RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA BARABARA YA SUMBAWANGA - MATAI - KASANGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Barabara ya Sumbawanga Matai Kasanga ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024.
Hongera kwa Mh.Rais kwa kuendelea kuijenga nchi yetu
Kazi iendelee lets the work continue 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅
Hongera a country on a move
Kama Taifa tuwe na maono ya muda mrefu, hii barabara Bado haina hadhi ya kuzinduliwa na Raisi . Ni kauchochoro traffic lights hamna
Hii barabara yenyewe mbona inaonekana haina ubora sina uhakika hata kama itafika hata miaka miwili haijahitajia ukarababu wanaohusika waangalie kama hakukuwa na ubadhirifu hapo kwa wasimamizi.
Angekuwepo jpm angewadabisha wote wariohusika kukubari utumbo huhu warosimamia ujenzi wakindiga uchafu tuuu😂😂😂😂😂😂😂
Mbona mama anakua mweupe kwan anapiga kitaulo 🤣
Mama chapa kazi ilii Tanzania ijulikane kiulimwengu edereza
Mazuri ya mtagulizi wako mzee jpm hapa kazi tuu bruedoza ni Mimi juma toka mbarara Uganda mtanzania harisii mama nakunga mkono
Hazeeki bi mkubwa
Ongea juu ya mahindi kuporomoka mbunge
Mahindi kuporomoka mtazamo wako ni upi maana mwaka jana tukipiga kelele chakula bei juu.