RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA BARABARA YA SUMBAWANGA - MATAI - KASANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Barabara ya Sumbawanga Matai Kasanga ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024.

ความคิดเห็น • 11

  • @Saki930
    @Saki930 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kwa Mh.Rais kwa kuendelea kuijenga nchi yetu

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendelee lets the work continue 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅

  • @JacksonMtese-gn4so
    @JacksonMtese-gn4so 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera a country on a move

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama Taifa tuwe na maono ya muda mrefu, hii barabara Bado haina hadhi ya kuzinduliwa na Raisi . Ni kauchochoro traffic lights hamna

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 2 หลายเดือนก่อน

    Hii barabara yenyewe mbona inaonekana haina ubora sina uhakika hata kama itafika hata miaka miwili haijahitajia ukarababu wanaohusika waangalie kama hakukuwa na ubadhirifu hapo kwa wasimamizi.

  • @EvaMwangunule
    @EvaMwangunule 2 หลายเดือนก่อน

    Angekuwepo jpm angewadabisha wote wariohusika kukubari utumbo huhu warosimamia ujenzi wakindiga uchafu tuuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @Ammarah0688
    @Ammarah0688 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mama anakua mweupe kwan anapiga kitaulo 🤣

  • @JumaAli-u5s
    @JumaAli-u5s 2 หลายเดือนก่อน

    Mama chapa kazi ilii Tanzania ijulikane kiulimwengu edereza
    Mazuri ya mtagulizi wako mzee jpm hapa kazi tuu bruedoza ni Mimi juma toka mbarara Uganda mtanzania harisii mama nakunga mkono

  • @Ammarah0688
    @Ammarah0688 2 หลายเดือนก่อน

    Hazeeki bi mkubwa

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 2 หลายเดือนก่อน

    Ongea juu ya mahindi kuporomoka mbunge

    • @issaidrisamusa5962
      @issaidrisamusa5962 2 หลายเดือนก่อน

      Mahindi kuporomoka mtazamo wako ni upi maana mwaka jana tukipiga kelele chakula bei juu.