LEMA ATOA MANENO YA UCHUNGU NIMESEMA SANA NIMEKIMBIA NCHI SIDAIWI CHOCHOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

ความคิดเห็น • 89

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Msema ukweli mpenzi WA Mungu Lema Mungu akubariki na kukulinda

  • @KesuYeile
    @KesuYeile 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +11

    Mungu akubariki San mh lema,

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Aibu sana ktk nchi yetu uoga ukizidi ni ujinga ktk taifa

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Unasema kweli mkuu kazi yakujituma ni ngum sana.Ila Mungu yuko pamoja na wewe usiogope amini tuu.

  • @magrethsengati2564
    @magrethsengati2564 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kweliiiii mh lema dah point

  • @FocusmachumuMwizarubi
    @FocusmachumuMwizarubi 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Kwa kweli watanzania tunamatatizo ya akili

    • @asinahussein2176
      @asinahussein2176 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Labda wewe usijumuishe wote

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Focus uliyonena ni ya ukweli

    • @HassanRubota
      @HassanRubota 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Hata mm nafikili tungepimwa akili nchi nzima

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@asinahussein2176kwani wewe mtanganyika?😂

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@asinahussein2176kwani amesema wote? Kasema watanzania.

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nakubali kiongonzi

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tuko pamoja sana broo🎉🎉

  • @KarutaHamza-rb1bn
    @KarutaHamza-rb1bn ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Uko sahihi one day

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ni kazi ngumu na yakukatisha tamaa,ila shida Mungu ameweka mzigo mzito ndani yenu. Wakati wa Mungu utafika tu msikate tamaa tafadhali

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Lema hutubia watu ambao hawaja tembelea maeneo mbalimbali dunia...Mimi bara zote na nchi mbalimbali dunia nimesha tembea...USA ombaomba wako wengi kuliko Tanzania... Sicilia Italy kuna machinga kuliko Tanzania...Na hizo ni nchi zenye uchumi mkubwa duniani...

  • @HamisLeo
    @HamisLeo 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Mm nmekaa bench mungu anisaidie. Watz wanalia kila kona lkn bdo wanapgia kura ccm. Kuna mtu nimempa elf 5 juzi alikuwa na mtoto wa mwaka mmoja alikuwa mgonjwa kaenda kituo cha afya dawa kambiwa kanunue sasa pesa hana kanieleza mm nikampa elf 5. Leo nmeenda kujiandikisha nimemkuta ni wakala wa ccm nmeumia sana

    • @ZephaniaKambaine
      @ZephaniaKambaine 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

      Ungemdai ela ako apo apo kumamake

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😢😢😢😢😢 jamaa nikweli

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Ungengata lipua lake

    • @HamisLeo
      @HamisLeo 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @@ZephaniaKambaine hilo ndo natarajia jion atoke huko nmfate anipe pesa yangu japokuwa nilimpa km kusaidia ila leo naifata lzma

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Pole kakubeba ujinga

  • @AshrafLema-n5r
    @AshrafLema-n5r ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Bismillah rrahmaani rrahiim.Bismllaah rrahmaani rrahiim, Bismillah rrahmaani rrahiim! Mwenyezimungu tupe moyo na nguvu kupigania haki za msingi,tuondoshee wadhalim ,watekaji na kila balaa la wasiojulikana.Aaaamina.

  • @khalifamwasha6648
    @khalifamwasha6648 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Bro Lema tangu kitambo nimekuwa nikikusikiliza umekuwa ukijenga hoja na ukitumia busara sana ktk speech zako. These days baada ya issue ya maandamano umekuwa ukiwalaumu wananchi na kuwatukana softly. Kaka tambua watanzania hawajaandaliwa ktk misukosuko ya kisiasa. naamini unajua kuwa ktk siasa hawakosi mamluki. Siyo kila ahudhuriaye ktk speech za kisiasa ni mfuasi na kwamba yuko tayari likitokea la kutokea mfano hata hapo likitokea tim tim mfano mpira au tairi la gari au puto kupasuka, usishangae wanaokusikiliza usimuone hata mmoja. Jengeni hamasa na msichoke na kukata tamaa kwa kutoitika maelekezo. Leo waoga na unaowashutumu na kuwaona hawana maana kwa kuwa kimya ndiyo mnaowahitaji wakupeni kura kesho. Wapo manabii walikataliwa neno la mungu sembuse siasa. Tunahitajiana. Kaka unaonekana umechoka siasa. Tafakari Jitathmini. Mpe hadhi raisi unapolitaja jina lake hata wakubwa zako wanamuita kwa prefix mheshimiwa Raisi.... Siasa zitaendelea kuwepo sawa na wapanda miti ya matunda wengine hawabahatiki kuyala wanaokuja kula ni wajukuu au vitukuu.

  • @StephenKudaka
    @StephenKudaka 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    sema ukweli hakuna mwanasiasa anaepiginia watu unajipaginia ww na famili yako

  • @JohnGadafi-x8j
    @JohnGadafi-x8j 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ni kweli kabisa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Lema hiyo imetoka ikirudi pancha Ccm huiwezi

  • @Voiceofpeopleotz
    @Voiceofpeopleotz 51 นาทีที่ผ่านมา

    Hii ndiyo mchi pekee polisi wanaweza kumkamata mtu kwa kutabiri kwamba huyu mtu atafanya kosa kesho. Walikamatwa watu kwa sababu watafanya vurugu kwenye maandamano..

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 13 นาทีที่ผ่านมา

    Huyu pa1 na mimi ni Rasilimali ya Taifa.

  • @MerryWilliam-r4l
    @MerryWilliam-r4l 14 นาทีที่ผ่านมา

    Lema nakuelewa mno

  • @rizmarkabraham3921
    @rizmarkabraham3921 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mungu alipiganie taifa

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mungu amesha shoka jipiganie ndiposa naye atawesa saidia

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Maneno ya lema ya umiza sana ni maneno mazito sana

    • @STEVENKAJUMBA
      @STEVENKAJUMBA 35 นาทีที่ผ่านมา

      Ngumu kumeza.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hawa maccm wamefanya nchi ni mali ya familia yao.

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    🤣🤣🤣🤣nyie ni wana Siasa Lema.ndio maana WATU wa maana mmewapeleka Ulaya,MKE wako, watoto wako N.K una Cha kupoteza,🤣🤣🤣🤣

    • @MmohamediSaidi
      @MmohamediSaidi 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kweli we unafilwa

  • @SaimonMwashinga
    @SaimonMwashinga ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ninyi niwatumishi wa mung tupo pamoja tunaomba juu yenu msikate tamaawanaharakatitupo wote jaman

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Jamaa wanapiga makofi maadaye wanachagua ccm

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😢😢😢😢😢

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Unafiki ni Mwingi sana nchi hii

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwani wewe ulitakaje sisi siyo Wakenya kila siku fujo tulipata Uhuru kwenye Amani na tunaomba iendelee nyie mnatumiwa nchi isiwe na Amani

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@margarethpolepole7438 umejuaje mimi ni mkenya?

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hakuna anaekubali kufa pelekeni watoto wenu wakaandamane maskini wakiandamana wakavunjika miguu mnawasaidia nini kwa matibabu acha wajitafutie ridhiki zao

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 22 นาทีที่ผ่านมา

    Hakika hauna Denis brother

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mzee Lema polen sana najua kuwa unaumia sana ila hiyo ndio nchi yetu sasa twende wapi maana ccm imegawa nchi kuwa makundu mawili wanaolindwa na kutunzwa na ambao hawana ulinzi wanaolindwa wajitaba kupita kias na ambao hawana haki.

  • @CosmasParkire
    @CosmasParkire 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😢😢daah inasikitisha

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kwani wewe hapo unapiga kelele unataka nini? Si uache sasa upumzike mdogo wangu! Uongozi mtamu!😂😂😂

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 48 นาทีที่ผ่านมา

      Acha ujinga hii ni nchi guru

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 15 นาทีที่ผ่านมา

      @@dionismutayoba3542 Nchi GURU tena! Ama kweli wewe una akili nyingiii!

  • @kajsun5918
    @kajsun5918 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    👏

  • @christophermwatendela9500
    @christophermwatendela9500 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ccm walishafanya Yao kitambo , watu wa hovyo kabisa ,nadhani dawa Yao Bado haijapatikana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hawajielewi Tatizo shule Tz tumelogw wp, elimu n tatizo, Tanganyika,

  • @MaguguStore
    @MaguguStore 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe ndiyo ujitambuwiiiii ,

    • @IbrahimMwakasembe-mu5fv
      @IbrahimMwakasembe-mu5fv ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kweli mtu ana kipimo anachokijua juu ya uzalendo. Siwez kukulaumu unaembeza lema. Uko upande salama, huwezi kujutia. Ila ubaya unalaana mbaya, kama hutalia wew watalia wanao

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😢😢😢

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mafisiemu. Mnatusumbua. Mnaumwa. Mavi. Mkanye mtuache bana

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakuna mtu mpuuzi kama lema yeye alikua mbunge na walishika alimashauli alifanyanini zaidi ya kujiongezea posh tuu

  • @TallTallmysha-v3u
    @TallTallmysha-v3u 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hhhhhhhhh maboya hawa

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Amesema""Hakuna kazi ngumu kama kupigania "haki" ya watu ambao hawajitambui"" je ni kweli au sio kweli?

    • @IbrahimMwakasembe-mu5fv
      @IbrahimMwakasembe-mu5fv ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ni kweli kabisa, nikaz ngumu kumpigania asiyejitambua, licha ya kwamba asiyejitambua ukimwambia Hujitambui, utasema natukanwa, Wala hawezi kukubaliana

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kibaraka 😂😂😂haya ukishaharibu hata haka ka amani tulikonako kimbia nenda kwa mabwana zako ulaya wakupididi sisi tutafia hapa hapa na Tanzania yetu,ila mtajibu kwa mungu mwenyez

    • @idiphoncekiimbi2021
      @idiphoncekiimbi2021 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mama yenu mbona anapokea misaada kutoka kwa mabeberu ambao baba zako waarabu

    • @FranckDaniel-cc5rg
      @FranckDaniel-cc5rg 49 นาทีที่ผ่านมา

      @idiphoncekiimbi2021 hakuna aliyekataa ila lisu hana akili zaid kusaliti taifa Lake kwa mabwanyenye,ngoja avuruge alaf wakishamaliza kumtumia utaon watakavombokoa makalio,lisu ni kama mobutu seseko,tu

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila wewe utaishi milele! Halafu huyu hata la kusema hana!

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hata mimi nimesema wakiiba mungu atafanya kitu atazima soketi kabisa kweli mtaona

  • @TamimuGambo
    @TamimuGambo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mama wa mtoto c wewe

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Lisu unamwiita mh ila Raisi wa nchi unamwiita Samia! Unawaita maboya! Hizo kauli zenu zitawagharimu! Kiongozi gani una kauli mbaya na unategemea watu wakuchague! Rekebisheni kauli za kibabe ni machukizo hata mbele za Mungu!😢😢

    • @patymwita5834
      @patymwita5834 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Bumbuwazi😂

    • @emmanuelmziray1073
      @emmanuelmziray1073 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Pimbi wewe Dora

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Tahira nyumbu wewe Dora au nikuite doa

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mubwa wewe tena kenge mukubwa jinga wewe ​@@MiriamAbdallah

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wwe ndio hujitambui

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli kabisa atuji tambui bilakatiba mpya siendy kujitambulisha

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Lema kwisha kabisha watu wengi wako wapi????? Lema mambo yamegeuka sio miaka ilio pita.....Kwa sasa wana nchi wamejielewa zaidi...

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndg MUNGU akupe heri wewe ndy unaifanya kazi MUNGU watu wengi wanaganga njaa

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Acha matusi wewe jamaa nani hajitambui ni njaa zako ndio zinakufanya utukane iache hiyo kazi uje tupige boda boda

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mubwa wewe tena kenge mukubwa

  • @shabanikimpinga6769
    @shabanikimpinga6769 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hamasisha.watu.wajiandikishe.acha.blabla.mukoje.maneno.yeleyele.

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yeye anafikiri kufokea watu kwa lugha za kihuni ndio watakupigia kura! Hamasisha watu kwa sera nzuri pia wajiandikishe kupiga kura! Acha maneno ya shombo hao watu wanajitambua!!😮😮

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Chi iliisha piganiwa na kukombolewa acha uhuni

    • @StevenNyanguye
      @StevenNyanguye 30 นาทีที่ผ่านมา

      We ndo umekombolewa

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Msema ukweli mpenzi WA Mungu Lema Mungu akubariki na kukulinda