UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • #drsulle #tanzania #islaamic #trending #islaahislamictv

ความคิดเห็น • 101

  • @ahmadzaid2940
    @ahmadzaid2940 9 หลายเดือนก่อน +16

    TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI

    • @rajuxcharity
      @rajuxcharity 9 หลายเดือนก่อน +3

      Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa

    • @athumanali2969
      @athumanali2969 9 หลายเดือนก่อน +3

      Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน +1

      shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 9 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dw 9 หลายเดือนก่อน +3

    Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia

  • @PirfaImanipirfa-vj3oz
    @PirfaImanipirfa-vj3oz 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 9 หลายเดือนก่อน +4

    Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤

    • @rashbash645
      @rashbash645 9 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni ukweli kabisa

  • @hamzalipuye7198
    @hamzalipuye7198 9 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 8 หลายเดือนก่อน

    Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.

  • @Abeidmussakabisu
    @Abeidmussakabisu 17 วันที่ผ่านมา

    Umetumwa uyasikilize wwe nikafiri ndio sifa yenu nikupinga tu hiyo polojo unayo isema wwe nikwakuwa Huna elimu

  • @PrayMbowe
    @PrayMbowe 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw

  • @QofSaidiKbsk01
    @QofSaidiKbsk01 9 หลายเดือนก่อน +3

    Sheikh sheikh ❤

  • @hasnakid
    @hasnakid 2 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah wallah sikuwa najua kabisa kuhusu hallow 😂😂😂 Shukran sana Sheikh wet #Allah akupe umri mrefu wenye manufaa.

  • @KhamisiKelly
    @KhamisiKelly 9 หลายเดือนก่อน

    Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 9 หลายเดือนก่อน

    Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 9 หลายเดือนก่อน

    Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 9 หลายเดือนก่อน +1

    Allahu Akbar, MashaAllah 🙏

  • @Naw89
    @Naw89 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh umenivunja mbavu

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 9 หลายเดือนก่อน

      We ni kajinga

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 9 หลายเดือนก่อน

      @@sadathboutique6253 mjinga mwenyewe

  • @sosdododo5653
    @sosdododo5653 6 หลายเดือนก่อน

    Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu

  • @emanuelmichael7679
    @emanuelmichael7679 8 หลายเดือนก่อน

    Hahaha aisee babuu fumba machooo

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakaah
    Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako
    Mungu akupe pepo inshaallah ❤

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 9 หลายเดือนก่อน

    Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu

  • @saddiqmageta7904
    @saddiqmageta7904 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @JumaLusandi
    @JumaLusandi 9 หลายเดือนก่อน +2

    mash-ALLAH

    • @sabanirama9233
      @sabanirama9233 9 หลายเดือนก่อน

      Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 9 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana

  • @hassanboru4038
    @hassanboru4038 5 หลายเดือนก่อน +1

    The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle

  • @MuhamedyKamby
    @MuhamedyKamby 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san

  • @chemstry409
    @chemstry409 9 หลายเดือนก่อน

    Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂

  • @bahatijsaha7298
    @bahatijsaha7298 3 หลายเดือนก่อน

    Masha'Allah

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 9 หลายเดือนก่อน

    Allhahu aqbar

  • @adamopitanvitanvita7958
    @adamopitanvitanvita7958 9 หลายเดือนก่อน

    mimi namtaka said kinyogori na mazinge

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 9 หลายเดือนก่อน

    MASHA ALLAH 😂😂😂

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 9 หลายเดือนก่อน

    Hiyo hata mm niliona buza

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @ajuaeonlinetv9762
    @ajuaeonlinetv9762 9 หลายเดือนก่อน

    Eti hallo jina la mtu

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂dah!

  • @غالببدرالبوسعيدي
    @غالببدرالبوسعيدي 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน

    mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 9 หลายเดือนก่อน +2

      Hivi wewe unashida Gani....
      Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam"
      Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@JeanMuzaliwa-bs6qh ...
      Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 9 หลายเดือนก่อน +1

      ASOTUMIA AKILI NI MJINGA
      AU
      ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA
      ​@JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha.
      Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an.
      Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 9 หลายเดือนก่อน

      @@khatibal-zinjibari6956 ...
      Achana nae huyo bwana hana analolijua....

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน

    uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 9 หลายเดือนก่อน

      Ushindwe katika Jina la Allah.

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน

      @@mwanaikaomar8628 nyie mumepotezwa kitambo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 9 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa uongo wake ni nini kama sio muumini wa kiislam nyamaza hayakuhusu fyuuuuu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 หลายเดือนก่อน

      @@mwawekomiuda9779 muongo sana uyo nyie mumeshapotezwa!

    • @SaadaKiyungi-uz6jn
      @SaadaKiyungi-uz6jn 9 หลายเดือนก่อน

      We chizi mpya kama huelewi kaa kimya