UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • #drsulle #tanzania #islaamic #trending #islaahislamictv

ความคิดเห็น • 107

  • @PirfaImanipirfa-vj3oz
    @PirfaImanipirfa-vj3oz ปีที่แล้ว +3

    Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha

  • @hassanboru4038
    @hassanboru4038 10 หลายเดือนก่อน +1

    The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakaah
    Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako
    Mungu akupe pepo inshaallah ❤

  • @hasnakid
    @hasnakid 6 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah wallah sikuwa najua kabisa kuhusu hallow 😂😂😂 Shukran sana Sheikh wet #Allah akupe umri mrefu wenye manufaa.

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db ปีที่แล้ว +1

    Allahu Akbar, MashaAllah 🙏

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 ปีที่แล้ว +4

    Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤

    • @rashbash645
      @rashbash645 ปีที่แล้ว

      Hiyo ni ukweli kabisa

  • @MwanaidiJuma-l2p
    @MwanaidiJuma-l2p 22 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda sana kwa ajili ya allah

  • @QofSaidiKbsk01
    @QofSaidiKbsk01 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh sheikh ❤

  • @MuhamedyKamby
    @MuhamedyKamby ปีที่แล้ว +3

    Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san

  • @NasmaAdam-iq1iw
    @NasmaAdam-iq1iw 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @hamzalipuye7198
    @hamzalipuye7198 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza

  • @ahmadzaid2940
    @ahmadzaid2940 ปีที่แล้ว +16

    TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI

    • @rajuxcharity
      @rajuxcharity ปีที่แล้ว +3

      Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa

    • @athumanali2969
      @athumanali2969 ปีที่แล้ว +3

      Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว +1

      shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 ปีที่แล้ว +2

      ​@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว +2

      @@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!

  • @bahatijsaha7298
    @bahatijsaha7298 8 หลายเดือนก่อน

    Masha'Allah

  • @MshamShaa-v1v
    @MshamShaa-v1v 4 หลายเดือนก่อน +1

    SAWA 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @JumaLusandi
    @JumaLusandi ปีที่แล้ว +2

    mash-ALLAH

    • @sabanirama9233
      @sabanirama9233 ปีที่แล้ว

      Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi ปีที่แล้ว

    Allhahu aqbar

  • @PrayMbowe
    @PrayMbowe ปีที่แล้ว +1

    Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw

  • @غالببدرالبوسعيدي
    @غالببدرالبوسعيدي ปีที่แล้ว

    ❤❤❤

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dw ปีที่แล้ว +3

    Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 ปีที่แล้ว

    Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah

    • @abdallahsuleiman3124
      @abdallahsuleiman3124 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli broo unavyo Sema ni nisawa tutaongia kwa peponi kwa rehema za Allah bt point, ni usishindwe kufanya wema kwamaana Uislamu ni rahisi

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 ปีที่แล้ว

    MASHA ALLAH 😂😂😂

  • @AMURGP
    @AMURGP 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂.. wahuni sio watu wazuri 😂😂😂

  • @adamopitanvitanvita7958
    @adamopitanvitanvita7958 ปีที่แล้ว

    mimi namtaka said kinyogori na mazinge

  • @Abeidmussakabisu
    @Abeidmussakabisu 5 หลายเดือนก่อน

    Umetumwa uyasikilize wwe nikafiri ndio sifa yenu nikupinga tu hiyo polojo unayo isema wwe nikwakuwa Huna elimu

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว

    Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe

  • @chemstry409
    @chemstry409 ปีที่แล้ว

    Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂

  • @KhamisiKelly
    @KhamisiKelly ปีที่แล้ว

    Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂

  • @Naw89
    @Naw89 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh umenivunja mbavu

  • @emanuelmichael7679
    @emanuelmichael7679 ปีที่แล้ว

    Hahaha aisee babuu fumba machooo

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂dah!

  • @saddiqmageta7904
    @saddiqmageta7904 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 ปีที่แล้ว

    Hiyo hata mm niliona buza

  • @sosdododo5653
    @sosdododo5653 10 หลายเดือนก่อน

    Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 ปีที่แล้ว

    Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว

    mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul ปีที่แล้ว +2

      Hivi wewe unashida Gani....
      Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam"
      Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว +2

      @@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul ปีที่แล้ว +1

      @@JeanMuzaliwa-bs6qh ...
      Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 ปีที่แล้ว +1

      ASOTUMIA AKILI NI MJINGA
      AU
      ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA
      ​@JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha.
      Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an.
      Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul ปีที่แล้ว

      @@khatibal-zinjibari6956 ...
      Achana nae huyo bwana hana analolijua....

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 ปีที่แล้ว

    Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.

  • @ajuaeonlinetv9762
    @ajuaeonlinetv9762 ปีที่แล้ว

    Eti hallo jina la mtu

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว

    uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 ปีที่แล้ว

      Ushindwe katika Jina la Allah.

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว

      @@mwanaikaomar8628 nyie mumepotezwa kitambo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 ปีที่แล้ว +2

      Sasa uongo wake ni nini kama sio muumini wa kiislam nyamaza hayakuhusu fyuuuuu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh ปีที่แล้ว

      @@mwawekomiuda9779 muongo sana uyo nyie mumeshapotezwa!

    • @SaadaKiyungi-uz6jn
      @SaadaKiyungi-uz6jn ปีที่แล้ว

      We chizi mpya kama huelewi kaa kimya

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤