Awali niliambukizwa chuki ya kumchukia sana mheshimiwa raisi na nikamchukia sana,lakini sasa najilaumu sana kwanini niliipumzisha akili yangu na kutumia akili za wengine! Magufuli is the right president whom we found for a long time,be blessed my president.
@@thepatriottz9205 sawa ndugu,mwenzio sijajaaliwa matusi,halafu nimeelezea hisia zangu na si za mtu mwingine,so haupaswi kuzikataa hisia zangu,we endelea na hisia zako na maamuzi yako,tusitusiane ndugu
@@Mja_Gongo fungua macho baba angalia tumefika wapi hiyo barabara na daraja zilizojengwa ni maendeleo kila rais anfanyaga lakini huyu mwandazimu kahraibu hali ya biashara anatiawatu ndani msaada toka nje lime kawatzwa anafatilia njia ya udikteta
@@thepatriottz9205 waaaaooo,ujue hapa tumetofautiana uelewa wa mambo,lazima utambue kuwa sipo upande wa vyama,maana mimi siwez kuwa wa ccm kamwe,baba na mama yng wote ni watumwa wa ccm,ila si mm,hapa najaribu kuyasifia mazur ya JPM maana mabaya yake nishayapinga sana,hebu nicheck 0744861099 ili tujuzane vema,tunaweza tusigombane ila tukapeana elimu
Ndugu zangu watanzania wenzangu msitumie maneno makali eti sababu ya kumlazimisha mtu awe na mtazamo sawa na wewe ni ngumu, na pia tulizoea sana uvivu fitina na majungu utoro makazini mtu ameamka na hangover kesho yake anaamua kujipumzisha ama mwengine anaenda kazin na hangover sasa jiulize je kazi itafanyika? Hapo ndio tulipofikia ila sasa utake usitake utafanya kazi huendi kazini toa maelezo na vielelezo ndio nchi zote zenye maendeleo duniani, Duniani hawajawahi tu hata mara moja kufikiria kama Tanzania watakuja kuaka kiasi hiki mapema mno na kuwastua magharibi kwa mutengeneza mradi wa umeme wa mega watts zaidi ya elf 2000 wakati nchi toka ipate uhuru umeme ni megawatts 1600 jamani mbona kipindi kifupi sana tumesha sahau? Nchi haiwezi kuwa na maendeleo kama umeme ni wa mgao, umeme ndio kitomvu cha maendeleo kukataa mikataba mibovu kwa mafano mdogo tu mradi wa bandari ya bagamoyo ambayo vyama pinzani na hata spika wa bunge pia walitaka uwendelee bila kutumia akili za kujiongeza barabara ya uhuru toka kipindi cha uhuru ndio deni lake limeisha mwaka jana reli ya stiglas gorge inajengwa kwa gharama ya silingi za kitanzania trilioni 5 ila kama ingekuwa mkopo ingetakiwa ijengwe kwa trilioni 20 je tungemaliza madeni lini? Tulifanywa ng'ombe wa maziwa na nchi za magharibi na ndio maana sasa wanatupandikiza chuki wenyewe kwa wenyewe, niishie hapa, nakaribisha kuelimishana angalizo sina chama ila ni mpenda maendele tu.
Esha kuna vya kucheka ndugu yangu kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza totoro hapo kwa taarifa yako unajicheka mwenyewe unaona ujanja mwenyewe kuwa na smart phone ? 😂🤣😂🤣 jiandalie sanda mwenyewe kwa magonjwa ulionayo kwenye hiyo smart phone yako #JPM anajitambua sio wewe hata lichupi lako unashindwa kufua kwa u busy na smart phone yako huku uvundo wa kufa mtu Nguruwe pori uliokosa mkia wewe
Namuamini Sana rais wangu,,hakika ana mambo mengi Sana yakufatilia ndo Mana huwa ahaidi kitu Wala kuweka Jambo subila,,yeye anamaamuzi ya papo kwa papo
GOTTA Boy Kama ulikua haujapa kuona mingwala asubuh hauwezi kupata kuiona mingwala jioni labda utaiona miguu ya kuku Usiku endelea kukaamacho wenzio wanaondoka kila siku we una kengeza tu lakini unajilazimisha kua kipofu.
Watu wengine wanaongea utumbo, huyu baba ananyoosha inchi shukuluni mungu kwakumpata, mungepata rais mwengine ka Kikwete inciyenu mungeshituka inatawaliwa shaglabagla kama KONGO DRC.
Kazi haitaki mazoea ni kufukuzwa tu na jela na wachunguzwe luswa tu ukiona hivyo awaamishi walikuwa wanamretea pesa Sasa kimeota ndiyo akajifuze na Familia yake
Kumbe tumepata Rais tuliye mtaka mm ni chadema lakni nimekukubali sana Raisi wangu yani jembeeeeeeeeeeeee
Michano Michano yaan Jembe kwa kweli Mungu amlinde
Hongera sana Ndugu kutambua kwamba ni rais wa kila mtu
Awali niliambukizwa chuki ya kumchukia sana mheshimiwa raisi na nikamchukia sana,lakini sasa najilaumu sana kwanini niliipumzisha akili yangu na kutumia akili za wengine! Magufuli is the right president whom we found for a long time,be blessed my president.
We mshenzi nini we hatutaki na dikteta hapa fala kweli we
@@thepatriottz9205 sawa ndugu,mwenzio sijajaaliwa matusi,halafu nimeelezea hisia zangu na si za mtu mwingine,so haupaswi kuzikataa hisia zangu,we endelea na hisia zako na maamuzi yako,tusitusiane ndugu
@@Mja_Gongo fungua macho baba angalia tumefika wapi hiyo barabara na daraja zilizojengwa ni maendeleo kila rais anfanyaga lakini huyu mwandazimu kahraibu hali ya biashara anatiawatu ndani msaada toka nje lime kawatzwa anafatilia njia ya udikteta
@@thepatriottz9205 waaaaooo,ujue hapa tumetofautiana uelewa wa mambo,lazima utambue kuwa sipo upande wa vyama,maana mimi siwez kuwa wa ccm kamwe,baba na mama yng wote ni watumwa wa ccm,ila si mm,hapa najaribu kuyasifia mazur ya JPM maana mabaya yake nishayapinga sana,hebu nicheck 0744861099 ili tujuzane vema,tunaweza tusigombane ila tukapeana elimu
Ndugu zangu watanzania wenzangu msitumie maneno makali eti sababu ya kumlazimisha mtu awe na mtazamo sawa na wewe ni ngumu, na pia tulizoea sana uvivu fitina na majungu utoro makazini mtu ameamka na hangover kesho yake anaamua kujipumzisha ama mwengine anaenda kazin na hangover sasa jiulize je kazi itafanyika? Hapo ndio tulipofikia ila sasa utake usitake utafanya kazi huendi kazini toa maelezo na vielelezo ndio nchi zote zenye maendeleo duniani, Duniani hawajawahi tu hata mara moja kufikiria kama Tanzania watakuja kuaka kiasi hiki mapema mno na kuwastua magharibi kwa mutengeneza mradi wa umeme wa mega watts zaidi ya elf 2000 wakati nchi toka ipate uhuru umeme ni megawatts 1600 jamani mbona kipindi kifupi sana tumesha sahau? Nchi haiwezi kuwa na maendeleo kama umeme ni wa mgao, umeme ndio kitomvu cha maendeleo kukataa mikataba mibovu kwa mafano mdogo tu mradi wa bandari ya bagamoyo ambayo vyama pinzani na hata spika wa bunge pia walitaka uwendelee bila kutumia akili za kujiongeza barabara ya uhuru toka kipindi cha uhuru ndio deni lake limeisha mwaka jana reli ya stiglas gorge inajengwa kwa gharama ya silingi za kitanzania trilioni 5 ila kama ingekuwa mkopo ingetakiwa ijengwe kwa trilioni 20 je tungemaliza madeni lini? Tulifanywa ng'ombe wa maziwa na nchi za magharibi na ndio maana sasa wanatupandikiza chuki wenyewe kwa wenyewe, niishie hapa, nakaribisha kuelimishana angalizo sina chama ila ni mpenda maendele tu.
Aksante mkuu wanajisahau sana hao ndg zetu, wakumbushe kwa kuwashusha vyeo
Kama umeona Rais mtukufu anatumia TECNO j8 gonga like👍
😝😝😝😝
@@salamamchingama3033 👅👅 Salama
Hawezi kutumia smart phone cse wazungu wanajua upo wapi unafanya nini umesema nini wana kurecord kutoka Google, hio Nokia yake ya zamani humuwezi
Nikajua kamanda anataka kumpiga #Jpm roba kumbe anamuwekea vizur 🎤😂😂😂😂😂😂😂
Piga kazi baba 🙏.
RAISI TUWEKE E-MAIL YAKO TUKUTUMIE UWOZOOO WATENDAJI .MAAN HATUWEZI KUKUPATA KUKUELEZA KERO ZETU..WATENDAJI WAKO WANAFANYA MADUDU SN NA WANAJIONA MIUNGU WATU..
Leo Mjomba kachukia sana toka asubuhi sijui wamemuuzi nini? Na Mama Mariam nae akazinguliwa duh
Mzee hataki masihara namtu nyie mnaleta masihara mtaisha 😊
We mzee ni Nouma uishii miaka bukuuuu
NAKUPENDA Rais wangu DrJohn Joseph Pombe Magufuli M/mungu Akusimamie. 🙏
Watu weweeeeeeeee Magu oyeeeee awamu ya kunyooka hii sio mchezo mliozowea vyakunyonga mtanyooka kma rula
Safi sana Baba
Naomba Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio Msahafu Ibadilishwe!!!!!
Afande ataambia nn mke na watoto kibarua kimeota nyasi 🤓
Ngoja ngoja yaumiza tumbo
@@sultanabdallah5092 aseee ataree
nomaa sanaa
million muheshimiwa huwezi pata pikipiki.labda zilizotumika
Bei hiyo bila VAT inawezekana
Usiyempenda kaja🤣🤣🤣🤣🤣
Hee baba kachukiahatari
watu oyooooo
walio muona namna mzee alivyo chukia wagonge like hapa!
Duuh milion 5 piki piki nne😀
mzee hamna pik pik ya mil 1,ila hizo watapata kama tatu hiv,watumie kwa kazi wakati mwingine wanapigia misele tu hawa jamaa..
Za serikali hazina ushuru hivyo zitapatikana chini ya 1m
Kumbuka ni za serekali hawalipie kodi so million inapendeza 😂😂😂😂😂
labda waziombee tax exemption la si hivyo itakuwa ngumu kupata pikipiki ya 1m
SAFI
Angewapeleka wengine Bush, wengine chato, sikuhamisha tuu🤣🤣🤣🤣
mzee Leo kavulugwa kinoma ukinzingua unazinguliwa hapo hapo
asante raisi wetu unafunya kazi tunavyotaka watanzania
Mzee magu,, naomba 2 uendelee kutawala mpk mungu atakapokuhitaji
Mheshimiwa na nokia yake 😂😂😂
Sio angalia vizuri usiwahi kucoment Bila kuangalia habar
@@latifamkulazi8378 we vipi?asa mie nilichoandika kinakuhusu nini?mie nime comment nilichokiona.
Halafu network search
Esha kuna vya kucheka ndugu yangu kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza totoro hapo kwa taarifa yako unajicheka mwenyewe unaona ujanja mwenyewe kuwa na smart phone ? 😂🤣😂🤣 jiandalie sanda mwenyewe kwa magonjwa ulionayo kwenye hiyo smart phone yako #JPM anajitambua sio wewe hata lichupi lako unashindwa kufua kwa u busy na smart phone yako huku uvundo wa kufa mtu Nguruwe pori uliokosa mkia wewe
@@papayatnzania1005 laana tullah labda mama yako aliekuzaa nnje ya ndoa. Mbwa mjaa laana usokuwa na makazi maalum wewe 😂😂😂kwaa taarifa yako unantanguliza kunivisha SANDA nawe unafuata
Ivi uko kuna pikipiki ya sh.mil.moja kweli au 900000
😛😛😛😛
Nimekubali baba
Namuamini Sana rais wangu,,hakika ana mambo mengi Sana yakufatilia ndo Mana huwa ahaidi kitu Wala kuweka Jambo subila,,yeye anamaamuzi ya papo kwa papo
IGP ametafutwa kama hela
HAPA KAZI TU. Ujanja ujanja Pembeni.
mungu awarehemu watanzania wote wanaokuwa kinyume na Raisi magufuri....
Mzee kachafukwa Rais wangu nakupenda sana
Pikipiki 900000 au milion zipo hukuu kwetu
Huyu ndo JPM, ni mwendo wa mbio tu awamu hii wale wasiokuwa na pumzi ya kumudu mpambano jitoeni mapema mchezoni!!!!!!!
Jaman m nimesikia Raha Kuona hii operesheni imefika Hadi Kwa Hawa wanyanyasaji
Africa inahitaji ma rais kama huyu magufuli
Ukicheza kidg tu,😂😂
Ushalimwa
Kweli mungu anawatu wake
kufanya kazi serikalini mida hii ni shida.
Amen Amen.
Nimeyapenda maamuzi yako mkuu wa nchi
Jembeeeeeeeeeee
Niivyo uko mbali baba ningekupa buku ya soda
Aliyemona magu kachukiya gonga like🤣🤣🤣
Teguwa ndio watafanya kazii kisawasawa nakukubali rais wangu hata kama simtanzania
Amri lazima uitekelezee
daaah huyu mzee allah amrinde sana kwani anajituma sana na kweli anafanya kazi kwa hofu yamungu
Milioni moja baiskeli au pikipiki
Ww acha kadiya pikipiki 12000
Wanyooka tu
Sasahiyo Kulen Mkione Chamtemakuni Mananyie amuonagikitu Kulen Nahy Sasa Muone Balaalake
Haya nimatizo ukiteleza tuu umeanguka
pipik milion moja
Kura zote mpe ccm
kama umesiki chato imetajwa gonga like
Sijapata kuona Rais mwenye mikwara kama huyu...
Mikwara wakat watu wanapgwa chini
GOTTA Boy Kama ulikua haujapa kuona mingwala asubuh hauwezi kupata kuiona mingwala jioni labda utaiona miguu ya kuku Usiku endelea kukaamacho wenzio wanaondoka kila siku we una kengeza tu lakini unajilazimisha kua kipofu.
Hapa naona seriousness ..mikwara tena mtu keshajipunguzia unga tyr
Watu wengine wanaongea utumbo, huyu baba ananyoosha inchi shukuluni mungu kwakumpata, mungepata rais mwengine ka Kikwete inciyenu mungeshituka inatawaliwa shaglabagla kama KONGO DRC.
GOTTA BOY hatari tu sana
Sielewi naomba wapewe nafasi ya kujitetea pia kuna onyo mda walio fanya kazi ni mda mrefu
Kazi haitaki mazoea ni kufukuzwa tu na jela na wachunguzwe luswa tu ukiona hivyo awaamishi walikuwa wanamretea pesa Sasa kimeota ndiyo akajifuze na Familia yake
Tutaona kama mke atamupenda
Amen Amen.