"MSIWAPIGE" MGOGORO WA JESHI NA WANANCHI KIGAMBONI RC CHALAMILA ATINGA NA KUTOA MAAGIZO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 143

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 27 วันที่ผ่านมา +5

    Kwanza hao wajeshi maeneo Yao yote hayana hati

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 27 วันที่ผ่านมา +9

    AIBU KUBWA KAMA JESHI LINA PIGA WATU

  • @GabrielSkyMtanzania
    @GabrielSkyMtanzania 26 วันที่ผ่านมา +2

    Jeshi letu tunalo amini
    Kutulinda leo ndio linawadunda wanainchi aibu sana😢.. Alafu Jeshi sindio serikali

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 27 วันที่ผ่านมา +8

    Makonda amewamshaaaaaa

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 23 วันที่ผ่านมา +2

    Inaonekana jeshi wanafosi kuchkuwa ilo eneo 😢

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 27 วันที่ผ่านมา +6

    Jeshi kama mnawapiga wananchi kweli mnawakosea sanaa wananchi maana tunawategemeeni nyie.

  • @african_channel
    @african_channel 26 วันที่ผ่านมา +2

    Kamanda ametulia sana kwenye majibu,ndio uzuri wa kuajiri wanajeshinwasomi hayo mambo ya kupiga raia yalisha pitwa na wakati,ila ulinzi wa nchi na kambi,japo he has to respect the civilian leaders including the DC na inaonekana DC amejaribu otherway round na ameshindwa

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh 26 วันที่ผ่านมา +3

    Tanzania sizani kama ukipigwa na mwanajeshi utaenda polisi haki utaipata sizani ila wananchi mkimpiga mwanajeshi mtafute nchi ya kuenda kuishi. Nnachoamini meno ya mbwa hayang'atani na siku zote kunguru muoga hukimbiza ubawa wake.

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h 26 วันที่ผ่านมา +3

    Makonda yupo wapi❤❤

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 26 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu ndio Mkuu wa wilaya anaejitambua, apandishwe cheo anastahili

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 27 วันที่ผ่านมา +6

    Hii nchi issue ya ardhi imeharibiwa na watendaji vilaza wa serikalini. Rushwa wizi ndio imepelekea hali hii leo.
    Jeshi lazima litengewe maeneo spesho nchi nzima. Na mipaka ijengwe inayoonyesha eneo hilo ni la jeshi. Hii ni mipango ya permanent kwa maeneo ya jeshi. Master plan ya nchi nzima yatengewe maeneo ya jeshi.

    • @ajoseph31
      @ajoseph31 25 วันที่ผ่านมา

      Kosa ni sera ya serikali kutokua na taasisi rasmi inayosimamia arthi kutoa vibali na kuacha hawa viongozi weny njaa, unategemea nini??

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 26 วันที่ผ่านมา +2

    HONGERA CHALAMILA KWA KUFUATA MISINGI YA UTAWALA BORA

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 26 วันที่ผ่านมา +2

    Shida ya jeshi na raia Tanzania ni kupiga. Wanajeshi katika Tanzania kuna amani sana kwahiyo hakuna vita sasa nawao wamelelewa na kujazwa kupigana. Tanzania ni amani na waoa wedhajzwa kupigana ndio maana kazi yao kubwa ni kupiga raia ambao hata fimbo hawana. Wanajeshi wetu TZ wote popote waonevu. Unapogwa na Jeshi ukaripoti polisi kwanza polish wanaufyata mkia mbele ya Jeshi. Halafu unapigw na golira unashtaki kwa nyani. Unachekesha sana. Wanajeshi waonevu sana.

    • @abdallahiddy6333
      @abdallahiddy6333 18 วันที่ผ่านมา

      Walikuonea wapi au unachuki nao jisemee wewe usifate mkumbo

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 24 วันที่ผ่านมา +1

    Shala hilo lifike kwa Rais

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 27 วันที่ผ่านมา +18

    Hii case angekuwa Makonda ingeisha hapahapa

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 26 วันที่ผ่านมา +1

      Umesema kweli

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe 26 วันที่ผ่านมา

      Kivipi, Acha ujinga, Makonda yupo juu ya sheria? Angenyang'anya ardhi akawapa jeshi, au angelinyang'anya jeshi, RC Chalamila hataki Kiki, anafuata sheria na taratibu, kifupi anaheshimu utawala wa Sheria

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe 26 วันที่ผ่านมา

      HONGERA CHALAMILA KWA KUWA UNAFUATA UTAWALA WA SHERIA

    • @SALEHSALEH-lk5jr
      @SALEHSALEH-lk5jr 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@PeterJohn-sg4oeLkn ujue mkuu wa mkoa ndiye mkubwa kwa majeshi yote yaliopo kwenye mkoa wake

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 26 วันที่ผ่านมา +2

    Wananchi wanapenda kuvamia maeneo halafu baadae sheria inapochukuwa mkondo wanaanza kulalamika kwenye mikutano ya Wanasiasa, acha sheria ichukuwe mkondo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 26 วันที่ผ่านมา +2

    Wakenda Congo wanapigwa kama bisi hasira zao zinarudi kwa raia. Mimi hunambii, jeshi namuogopa hata kukaa kiti kimoja kwenye dala dala akiniangali miguu inanitetemeka. Mara utaambiwa ngariaa mbere unamuangaria nani mmh haa ?!!

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 27 วันที่ผ่านมา +10

    Nyie Wanajeshi mnaopiga raia.. Hamuoni aibu... Nendeni Kongo hukoo mkapigane na wenye mafunzo wenzenu.... Achane kuonea raia wema

    • @DennisMkumbala
      @DennisMkumbala 27 วันที่ผ่านมา +1

      Punguza mdomo

    • @daudifesto5592
      @daudifesto5592 27 วันที่ผ่านมา

      @@DennisMkumbala acha kuingilia mambo wew

    • @mayanmlingwa4250
      @mayanmlingwa4250 26 วันที่ผ่านมา +2

      Ndugu yangu punguza mdomo ,,,,ujuaji sio mzuri

    • @Ambwene
      @Ambwene 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@DennisMkumbalaAcha upumbavu kama wewe mwanajeshi nenda kapigane congo huko sio unaleta upumbavu hapa

    • @Ambwene
      @Ambwene 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@mayanmlingwa4250Tulia dawa ikuingie wewe

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 27 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa Wananchi Awana Mazoezi Kipigo Cha Kazi Gani Wewe Mjeda Mpaka Umeitwa Mjeda Kwasababu Umefunzwa Mazoezi Sasa Kwenda Kumpiga Mtu Asie Na Mazoezi Ni Uonevu Usio Na Mana Shelia Za Nchi Zipo

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 27 วันที่ผ่านมา +6

    Jeshi kupiga wananchi sio sawa wao Wana mazoezi wananchi hawana mazoezi mkuu wa majeshi aliangarie Ilo adi kule karagwe kagera wanajeshi wanachukua wake za watu mwanaume ukileta kujitetea unapewa kwata vijana wanaotoka dapple wanasumbua sana kwenye jeshi letu mkuu wa majeshi aliangarie kwa jicho la Tatu isiwepo chuki kati ya jeshi na Raia mambo ya kupigana waachieni Askari police ndo wanalinda raia na Mali zake

    • @enezermwafrica7443
      @enezermwafrica7443 26 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi ukimchukua mke wangu kwa nguvu ujue umejichongea kaburi

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 26 วันที่ผ่านมา

      Ukiamua hivo sawa ila kama una plan kubwa za maisha yako unakuwa mpole pamoja na kuchukua mkeo huyo ni binadamu pia ana mapungufu yake subira inatakiwa sana kwenye jambo kama Hilo ndo maana Kuna wakubwa wa hizo kesi japo inaumiza ila no namna

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 27 วันที่ผ่านมา +3

    Kigamboni ipi Hiyo

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 26 วันที่ผ่านมา +4

    Sasa kama jeshi ni lawananchi manakeke ni familia moja. Ila jeshi haliwagi rafiki na mwananchi, na wanaweza kutembeza kibano, haijalishi wewe nani wala una umri gani. Bora jina la jeshi la wananchi libadilishwe tu.

    • @abdallahiddy6333
      @abdallahiddy6333 18 วันที่ผ่านมา

      Kwani nyie huwa mnapigwa na wanajeshi kwenye matukio gani mbona sis huu mwakwa wa arobain tunaishi nao jirani bila vita

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 5 วันที่ผ่านมา

    inaonekana kabisa jeshi ndyoo lenye tatzo na dhuluma zitawaangamiza watu

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 26 วันที่ผ่านมา +1

    Jeshi kuweni wa kweli

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd 14 วันที่ผ่านมา

    Eneo ni lajesh Wananch wamevamia

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 26 วันที่ผ่านมา +1

    Jeshi la Bongo

  • @user-tx7df1lk9k
    @user-tx7df1lk9k 27 วันที่ผ่านมา +2

    Swala hili ni la kiutawala, very bad planning

  • @franciscojohn5751
    @franciscojohn5751 27 วันที่ผ่านมา +4

    Jeshi nini mimi niliasi jeshi kwa ujinga wa kupiga wananchi bila kosa na niliwapiga wanajeshi wenzangu kwa ujinga wao na wanachi msiogope pambaneni nao hawana ubavu zaidi tu wao watakuja na silah mkiwazidi msiogope nguo

    • @Sadati-mj2ub
      @Sadati-mj2ub 27 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂acha kuhqmasishq watu....nenda kawapige wewe

    • @geraldsanga4879
      @geraldsanga4879 26 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo kwakuwa wewe ulifanya ujinga huo unataka na wananchi wadharau jeshi lao linalowalinda?

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 26 วันที่ผ่านมา

      Ulistahili kuondoka jeshini

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 27 วันที่ผ่านมา +2

    JJesh linajiongezea maeneo si huko tu ,nimpango endelevu wa kupora ardhi za raia jiran

    • @emmanuelkusare5653
      @emmanuelkusare5653 25 วันที่ผ่านมา

      Wananchi ndio wanavamia maeneo ya Jeshi

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 26 วันที่ผ่านมา +1

    Yawezekana kwl jeshi limekosea lakn mkuu wa wilaya anaongea kishabiki ili ashangiliwe. Kasahau kuwa yy ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya na jeshi linamlinda km mteule wa rais. Alitakiwa asolve problem kwa hekima na sio uchochezi wa jeshi kwa wananchi, haisaidii. Mkuu wa wilaya mchochezi tu kwa maneno yake. Hajaongea kisomi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 26 วันที่ผ่านมา

    Na Jeshi pia lipeleke vielelezo vya tangu 1969 kwamba wao ndio wamiliki. Maamuzi yatatokana na vielelezo halali vya makundi yote matatuu..... vya Jeshi, vya wamiliki na wizara ya ardhi, na vya wenyeji wa tangu mwaka1969... historia na vielelezo mahakamani ni muhimu sana...

  • @nathanjustine3973
    @nathanjustine3973 22 วันที่ผ่านมา

    Hv hii nchi ni ruksa kwa raia wa kigeni kumiliki Ardhi? Naona mchina nae analalamika

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 วันที่ผ่านมา +7

    Mkuu wa Wilaya wapewe mauwa yao

  • @ip_header
    @ip_header 26 วันที่ผ่านมา

    Tatazo wanajeshi wa Kiafrika Ubabe mwingi. Kwasababu untouchable

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu brigedia atumbuliwe anaharibu Image ya Jeshi la wananchi kazi yao nikulinda mipaka nasio kupora ardhi😢

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mambor c yapo mengi jamni ao wanajeshi vip asee wanapig wananchi da! Atarii sanaa aiseeee hi nchii najuta

  • @kakaimbela2597
    @kakaimbela2597 26 วันที่ผ่านมา

    Hivi kweli tunarasimisha utaratibu huu utumike kusuluhisha changamoto zinazoikabili Jamii.

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 27 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa wilaya km ana ushahid weka mezani. Ukwel ujulikane

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 27 วันที่ผ่านมา +2

    Ila wizard ya ardhi mheshimiwa slaa haki itendeke. Jeshi ni la wananchi . Jeshi litende haki

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 27 วันที่ผ่านมา

      Na wananchi wasivamie maeneo hovyohovyo kisa eneo liko wazi😢

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 24 วันที่ผ่านมา

    Sema abubakar chalamila mtu sana dar anaiweza

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 27 วันที่ผ่านมา +1

    Zuluma nimbaya jamaan

  • @WilliamYatosha
    @WilliamYatosha 25 วันที่ผ่านมา

    Jesh lnapiga wtu jesh lenyew dhaifu bla n siraha znawabeba

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe9776 26 วันที่ผ่านมา

    Wenyewe yanajua kupiga tu

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 27 วันที่ผ่านมา +1

    Chalamila unakosea kulihujumu jeshi .kazi za jeshi hamzijui au mnajitoa ufahamu

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 25 วันที่ผ่านมา

      Jeshi la Tanzania halina kazi msubiri vita nchi jirqni mpelekwe chambo basi

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mnaweka viclip nusu nusu kwanini

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 27 วันที่ผ่านมา +6

    Jeshi linapofanya maamuzii liheshhimiwe na si busara kutatua migogoro na Jeshii letu.hadharani na kubishana..Mkuu wa Wilaya hapo hapana busara itumike..Jeshi letu lipo kwa ajili ya kutulinda..vikao vya ndani vianze kwanza..ardhi Tanzania ni kubwa Sana wananchi wakapewe eneo lingine lengo ni mipaka yetu iwe salama na ilindwe..Viva JWTZ❤❤❤❤

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 27 วันที่ผ่านมา +3

      Wewe vip yaan hatakama linaonea lisiambiwe Acha uwogo ucyo kuwa nakichwa wala miguu

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 27 วันที่ผ่านมา +3

      Tatizo la ccwatanzania uwoga mwingi nenda hata makao makuu yajeshi utasikilizwa kunawengine wanajeshi hawana tamaa navitu vyawatu hiyo nitamaa tu Imewaingiya

    • @kissamwamunyange1018
      @kissamwamunyange1018 27 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe unayesema wananchi wanaonewa Una uhakika? Au upo unasikiliza wananchi wanaposema? Hivi hujuh hakuna watu wanao zamia maeneno km watanzania?

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 27 วันที่ผ่านมา

      Jeshi ni mali ya wananchi,huanza jeshi kufika kisha maisha ya wananchi yafuate,ikifikia hatua jeshi haliwezi kuendelea na shughuli zake sababu ya uwepo wa wananchi,basi linatakiwa kutafuta eneo jingine kwa ajili ya shughuli zake.
      Jeshi linaweza kupewa eneo lolote na likaendelea na shughuli zake,ila wananchi inawezakuwa changamoto zaidi.

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ex9sd8wm4lwananchi wanadhani wanajeshi huwa wanapiga watu hovyo hovyo tu bipa sababu.

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 25 วันที่ผ่านมา

    Kuna vitu havipo sawa,,,mkuu wa wilaya ni mwenykt wa usalama kwenye wilaya. Ko ni kama haya mazungumzo mm tu nimejiuliza

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 27 วันที่ผ่านมา +1

    Yani watu 6 wa family moja ndiyo walipwe fidia?? Heeeee uwiiii. Waziri wa Ardhi Jerry slaa aliangalie hili kwa kina

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 23 วันที่ผ่านมา

    sjawahi kujuwa majina ya vyeo vya wanajeshi wa maji pamoja na kmkm anaejuwa tafadhali anijuze

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 26 วันที่ผ่านมา

    Yani huyu hanampya

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 26 วันที่ผ่านมา

    Uko ni wapi Kigamboni ipi wenyekujuwa

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 26 วันที่ผ่านมา

    Mchina nae anadai ardhi,aende zanzibar kama atapata

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 27 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu mkuu wa wilaya kazingua ....
    Mbili angekaa na wawakilishi wa team hizo zote mbili kutatua huo mgogoro

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 26 วันที่ผ่านมา

      Huu mgogoro nimkubwa saaan

    • @halimamwingu4478
      @halimamwingu4478 26 วันที่ผ่านมา +3

      Anaongea kutaka sifa mbele ya wananchi wakati yeye ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilaya. Na Jeshi ndio linamlinda. Alitakiwa aongee kisomi ili kuweka mambo sawa na sio kulikandamiza jeshi km aongeavyo. Mi simo😂

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 26 วันที่ผ่านมา +2

      Hajakomaa bado anaishi kwa mihemko

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 26 วันที่ผ่านมา

      @halimamwingu4478 inasikitisha sana
      She talks like a mere mwananchi ....kama third party
      Sijui wanatolewa wapi??
      Wanamuabisha sana mama samia wa watu

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 26 วันที่ผ่านมา +1

      @@Wamoyothenumberone hakutakiwa kuzungumza vile kwa mkuu wa kikosi cha Jeshi la wananchi wake ...akiwa kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilaya ...
      Kazungumza lugha ya kutokumuamini yule kamanda,isiyo na busara ...
      Angetumia akili kidogo ingesaidia...anyway watatatua

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 26 วันที่ผ่านมา

    Tutatega viazi kwenye shamba hilo

  • @Ambwene
    @Ambwene 25 วันที่ผ่านมา

    YAANI JESHI SASA HIVI LIMEKUWA LA KIHUNI SANA 😂😂😂 SASA WANAPIGA RAIA ILI IWEJE SI UPUMBAVU HUO

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 26 วันที่ผ่านมา +1

    Serikali kuu kupitia mkuu wa mkoa jeshi ligawiwe eneo lake. Si busara wanajeshi kujitetea hadharani hivi.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 26 วันที่ผ่านมา

      Busara wakajitetee wapi? Akhera mbele ya uwanja wa hukumu?
      Sasa wakisubiri kujitetea akhera muda utakua umeisha, hapo ni kusukumwa jehanam kwa kupiga wenzao, wajitetee kabisa.

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 25 วันที่ผ่านมา

    Jeshi mbona ni la wananchi!!! Au maanake Nini?

  • @obedmasaki3565
    @obedmasaki3565 26 วันที่ผ่านมา

    Hii Nchi ni yetu wote au ina wenyewe? Na kwetu ni wapi?

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 26 วันที่ผ่านมา

    Wote twatakuwa wanajeshi! Hayo ni mafunzo tu,kila bindamu anaweza,si muujiza!

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 27 วันที่ผ่านมา

    Kuna dada mweusi hapo kakaachini anabinyua mdomo dada kimbia ukiona jeshi linakuja wekunja sura wakuuwe

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa unatamani Makonda ndo angelisimama hapo hili jambo lingeisha papo kwa papo... Kingine hii nchi kuna viongozi wameamua kuwa machawa hadharani sasa hiyo kofia aloivaa SSH inatafta nn hapo kama siyo uzwa....

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 27 วันที่ผ่านมา

      Kwani kila mkuu wa mkoa anavaa hiyo kofia? Hayo ni mapenzi yake na uhuru wake wee hutakiwi kuumia sababu binafsi yako uwezi kuvaa kofia ya namna hiyo pia maamuzi yako yanaheshimiwa.

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy 26 วันที่ผ่านมา

    Kwamujibu wa maelezo ya bibi wanajeshi wanapora eneo,

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 27 วันที่ผ่านมา

    Chalamila SSH Samia Suruhu Hassan
    Makonda Nike na Jesus did it.

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 21 วันที่ผ่านมา

    Hivi wafrika tunakwama wapi?Mchina ana hati ya kumiliki lakini muafrika asie mtanzania anaekewa vikwazo kama vyote.Is that really pan africanisim which mwalimu championed it?

  • @Mwinyi77
    @Mwinyi77 26 วันที่ผ่านมา +1

    Such a District Commissioner we need

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 26 วันที่ผ่านมา

      Alishindwa kupata audience kwa Afande Amiri Jeshi Mkuu. Pia hana ushahidi wa watu waliouawa na Jeshi.

  • @alfredbyangwamu9821
    @alfredbyangwamu9821 26 วันที่ผ่านมา

    NCHI HII! AU VIONGOZI HAWA WENYE DHURUMA!!! HATA KAMA NI WA KIJESHI!!! WATAISHA LINI???

  • @brightmpembela5177
    @brightmpembela5177 26 วันที่ผ่านมา +1

    Wengine mnacoment msicho kijua napia kuna kulewa Amani ndan yake ndiomana mnatusi jeshi . Na jeshi halina shida na maeneo km mkiona jeshi linawakera mlihamishe liende hata mkoa Mwingine na usalama wa maeneo hayo kuanzia banadar na usawa wa bahari mlinde nyie.

  • @user-yy6gf4my9f
    @user-yy6gf4my9f 27 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu .mkuu wa wilaya kaharibu kama vipi mama mtoe icho cheo.mingine ni siri yangu

    • @stevemahely
      @stevemahely 26 วันที่ผ่านมา

      Walipaswa kuongea ndani lkn yeye anaonyesha wilaya imemshinda km wanajeshi wanapiga watu.

    • @salehemsumi615
      @salehemsumi615 26 วันที่ผ่านมา

      Mkuu wa wilaya hatoshi,yeye ni mkubwa kuliko wanajeshi kwanini hakuchukua hatua?

    • @stefanmatafu
      @stefanmatafu 26 วันที่ผ่านมา

      Kama hawasiki na Wananchi wake wanapigwa afanyeje kama wewe utetei Wananchi wanaoishi kwenye ardhi Wanamiliki kihalali atete nani? Wavamizi ambawo wanasema uwongo mbele za Mamlaka mbili? Mkoa na Wilaya nani Mkuu wa Kamati ya Ulinzi ? Acha atutete tuna hati na ardhi ni yetu Sio Yao ndio tunapigwa hamna uwongo hapo

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 27 วันที่ผ่านมา

    Hapo chanzo ni serikali inashindwa kutenga maeneo,hasa linapokuja swala.la fidia .Wananchi ni kama upepo tu na wanajisikia fahari kuishi karibu na kambi za jeshi,yakitokea ya kutokea kama Mbagala wataelewa tu,ccm mmeshindwa kutawala,mkuu wa wilaya anatamani kuongoza.mgogoro.

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wanajeshi form 4 failure ndio wanao piga raia

    • @DennisMkumbala
      @DennisMkumbala 27 วันที่ผ่านมา +1

      Ungeenda apo nevy ukawaambie ayo maneno😂

    • @Alphonce-em2xi
      @Alphonce-em2xi 27 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe uko na Elimu Gani na imekusaidia nn makamanda endelea kulinda Taifa la Tz na mipaka yake

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 26 วันที่ผ่านมา

      Na mwenye PhD hafanyi kazi hiyo😂😂

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kwahiyo mkuu wa wilaya na yeye anaongea kama raia tu au hajui mamlaka yake ndani ya wilaya yake et leo mkuu wa mkoa tunaomba utusaidie useme neno tupone kwahiyo inamanisha yeye hatoshi kwenye wilaya yake husika

    • @superhemed7590
      @superhemed7590 26 วันที่ผ่านมา +1

      Ujui kinachomkuta

  • @lukasielibariki3181
    @lukasielibariki3181 26 วันที่ผ่านมา

    Jeshi ni laovyo linapiga Rai wake badala ya kulinda

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu chalamila anawazuga wananchi

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 27 วันที่ผ่านมา

    Hatuwezi kuwa na jeshi la kihivi......labda la nchi nyingine.......malizeni hizi mambo bhana tukae kwa amani na kupendana.

    • @brightmpembela5177
      @brightmpembela5177 26 วันที่ผ่านมา

      Kama vip km mnaona jeshi linawasumbuwa mlihamishe likakae hata kigoma mbaki na kigambon yenu jeshi hawana shida na maeneo wenyewe popote mkisema wahamie wanahamia .

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 27 วันที่ผ่านมา

    Hao wanajeshi hawana kaz hadi wapig3 raiakam vip watafutiwe sehemu yenye vita wakajipime huko

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 27 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂wapelekwe congo

    • @theemperor8229
      @theemperor8229 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@petermanala6138 Mara ngapi? Walishapiga Uganda, Comoro, Seychelles, South Africa n.k. baada ya dhiki ni faraja.

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 26 วันที่ผ่านมา

      @@theemperor8229 faraja kupiga wananchi?

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 27 วันที่ผ่านมา +1

    Namchina.....!?

  • @AbdulkareemHassan-ip5fl
    @AbdulkareemHassan-ip5fl 27 วันที่ผ่านมา

    Yani mkuu wa mkubwa chalamila hamnakitu Yani anaambia co kwamba simamisheni kupiga watu kwanza rusubiri Yani wanajeshi Kuna Sheria inasema wanajeshi kukiwa na mgogoro na wananchi wawapige wewe mkuu wa mkowa hufai kabisa Rudi shule,

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 27 วันที่ผ่านมา

    Jamanii na sisi Eneo letu LA tondoloni wanajeshi wanasem Lao kesi haiishi mpka Leo basiii tujue km lao tuondoke hizi kesi nyingi

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 26 วันที่ผ่านมา +1

    DC hayo mambo ni ya ndani, Wewe ni kiongozi wa ulinzi na usalama kwenye wilaya, hukupaswa kulalamika hapo, hayo mambo ungeyashughulikia kabla ya ziara ya RC, wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya, hivyo vyombo vipo chini yako

    • @christophersamwel8236
      @christophersamwel8236 26 วันที่ผ่านมา +1

      DC wa Ovyoo Sana anazoza Mbovu Sana mbele ya kamanda

  • @DaheerK
    @DaheerK 27 วันที่ผ่านมา

    Mkumbuke wanajeshi mtaondoka madarakan mkagombee mikoan kwenu mkajenge duh

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 27 วันที่ผ่านมา

    Hapo chanzo ni serikali inashindwa kutenga maeneo,hasa linapokuja swala.la fidia .Wananchi ni kama upepo tu na wanajisikia fahari kuishi karibu na kambi za jeshi,yakitokea ya kutokea kama Mbagala wataelewa tu,ccm mmeshindwa kutawala,mkuu wa wilaya anatamani kuongoza.mgogoro.

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 26 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna jeda mmoja eti alinizingua eti nivue nguo yenye rangi zao,ni nani mwenye haki miliki ya rangi duniani hilo la kwanza wajeda wa tz ni wajinga walio wengi hasa hawa wadogodogo wakitoka mafunzoni tu ni kwenda kuonea raia ndio maana mkienda kongo mna dediii

    • @mayanmlingwa4250
      @mayanmlingwa4250 26 วันที่ผ่านมา +1

      Kwaiyo una izo nguo mpaka mda huu.

    • @theemperor8229
      @theemperor8229 26 วันที่ผ่านมา

      Wewe tii maagizo tu, kwa nini huvai kanzu ya kiislamu kama wewe ni mkristo au kwa nini usivae joho la padri? Kama wewe mwanamke kwa nini usivae ya kiume, au kama Wewe mwanaume kwa nini usivae sidiria? Wewe heshimu tu taratibu, basi.