Kwanini Watu Wanaenda Ulaya Mashambani na Bongo Yapo | Mahojiano na Witness Vlogs
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 พ.ค. 2023
- Unahitaji kujua utofauti wa mashamba ya bongo na mbele?, Unatamani kujua mbinu ipi ya kutumia kama huna degree au diploma? Je una degree au diploma na ungehitaji kupata mahali nje ya nchi kufanya mafunzo kwa vitendo kwenye sekta ya kilimo na mifugo?. Basi kama ndio hii ni yako, sikiliza bila kuruka.
Msamehe tuu huyo Dada Yako. Umefanya vizuri Sana kaka kutoka. Wengi tunatamani kutoka ili tujifunze Ni vile hatujapata fursa hongera Sana.
Nakupongeza kaka yanu. Wewe piga kazi. Tuko nyuma yako tunakuja.
Ukirudi uonane na waziri Hussein Bashe ni Smart sana msaidiane tuijenge Tanzania
Wanini sass? Atasaidia nini?
Kiufupi tu huwezi kuli sukuma gari ukiwa ndani ya gari hivyo basi lazima utoke nje ndipo uweze kulisukuma ..toka nje ya tanzania ndipo utajua nini unaweza wekeza Tanzania pia tunatoka kwajil ya kuongeza mitaji na maarifa...brother piga kaz ongeza kipato na maarifa kwajili ya maslahi binafsi na kesho kwa maslah ya jamii..tupo pamoja sana
Asante sana eliasi na witness watu wajue kufanya kazi nje inàlipa zaidi,hata Kuna wafanyakazi wa manyumbani wanalipwa pesa nzuri sana
Hongera Sana Elias na whitnes...
Umeeleza vema Sana, Wasiojua hawajui, mnaojua mnajua tuu.
asante sana Hellen
Mungu akusimamie Kila hitaji lako likatimie kwa wakati wake.
🔥🙌🏾🙌🏾🙏🏾 It always nice catching with you.
Thanks so much for support too
kweli ni vizuri kupata uzoefu naamini hiyo itakupa mwanzo mwema
Leo acha ni subscribe mana nikisikia mtu yuko Germany moyo wangu unastuka sana I wish one day
Kazi nzuri bro
🙏🙏 sistaa
Kingne gift Kama ni mvivu asije Kwa wazungu😂
Kazi kazi 😂
Je you tube ya eliasi inaitwaje tumsaport
Channel yangu inaitwa Eli Tips th-cam.com/channels/PfAl4r27yoH3_IeNjALxRQ.html
Kaka channel gani youtube ulisema tunaweza icheki kujifunza kijerumani?
Check inaitwa Easy German
Shukuran
bro ukiwa na age above 33 vp unaweza kupata kazi au ni below 28 tu?
Habari George, kwa ujumla kazi haina restriction ya umri but kwa program moja moja lazima kigezo cha umri kifikiwe. kwa Training au internship ni below 30 kwa dual training wanachukua mpaka zaidi ila unakuwa kwenye program na watu wa 18 mpaka 25 ambao ndo majority age kwenye hizi program
Je naitaji ata Mimi kuja uko kufanya kazi shambani naomba namba
Kaka piga kazi hao wanaongea wote huo niwivu wanatamani nahao waje wanashindwa chaumuhimu pambana naMungu akutangulie sisi watanzania aslimia kubwa hatupendani wivu umejaaa
asante sana Rachel
@@EliTaarifa Asante kwa kutufungua macho..sasa lazima mtu awe na vyeti vya kuhitimu mambo na kilimo au animal production au pia mtu akiwa na ule upendo wa ukulima aweza pata job ..pls respond
Mimi nakuunga mkono wewe fanya kazi kwanza Tanzania hawezi kukulipa vizuri Kama wanavyolipa uko nje ,Tanzania hawana ajira na mshahara wao ni hafifu wewe piga kazi usijali wanakuonea wivu