Wakenya ,kwa sasa inatosha ,, serikari imewasikiliza ,wanapaswa kumpa muda Raisi wao ,,,,na SI kupanga maandamano yasiyo na maana yoyote kwa sasa zaidi ya kuivunja nchi yao wenyew,,wakenya Mh raisi kawasikiliza ,sasa mpeni muda aiendeshe nchi kwa utulivu
Bado tunazidi kumfinya makende zake bila huruma hadi asalimu amrita. Hapa kenya 🇰🇪 hakuna wajinga wa kucheza na ruto. Ataenda nyumbani. Alikuwa ametuzoea sana
Ruto knew on Tuesday atapinduliwa serikalini ndo maana anajaribu kubadilisha mwongozo. So I don't understand what will happen on Tuesday kwasababu hashtag imebadilika na kua #RutoMustGo
Nevertheless of its majority setbacks, democracy remains to be the most practical approach of governance for the modern demanding humanity. You got it Mr. President, lead to demonstrate and influence others🇰🇪
Mwafrika jikomboe ktk nyanja zote, hata ktk lugha...ipende lugha yako mama...kutumia lugha ya kikoloni ni sehemu ya utumwa wa kifikra! Kujifunza, kuelewa, kuongea kifasaha na kumudu vizuri lugha za nje ni jambo jema na zuri na linafaa LAKINI zisitufanye watumwa ktk nchi zetu ...lugha zetu za Kiafrika kwanza zipewe kipaumbele cha kwanza. Mfano KISWAHILI ktk nchi za Afrika Mashariki na kati tukipende, tukiongee hata kwenye majukwa rasmi ya shughuli za kiserikali hata kimataifa!
@@olomweneabongela1717 hakuna kisichowezekana, tupe mda tu, kwa wakati wake vitu vitanyooka, wala sio rahisi, ni ngumu tena sana, lakini tunaamini Mungu na pia tunao ujasiri haki zetu tutazilinda. Watch this space.
Congratulations 🎊 my president...we kenyan genz we are so grateful now....let the work begin.....we are proud of you baba.....lets end this vice of corruption
Duuu makubwa bado yanaendelea ila Jmn ndugu sky tunaomba uwe unatuelezea kwa kiswahili tupate kuelewa kwa uzuri zaidi make wengine tuliishia la 7 B kingereza tunakislilizia Kwa bombaa😅😅😅😅
Na wakirudi nyumbani wapitiye barabara kuu tuwazidikishe na tunyoroshe kila mtu viboko tatu moto za hiyo miaka tatu wametupotezea. Hizo whips zipakwe mafuta.
Apa ndio napata revelation as to why the major general was eliminated. If only he was there...he would be the one standing like Traore. They saw it coming. I have lived in Kenya for 17 years. Now in Tanzania But Ruto must Go anyway. Gen Z ❤
Nlichojifunza ni kwanza woga ndio adui wa maendeleo. TANZANIA bado sanaaa. Viongozi ni Miungu watu. Tupo katika usingizi mzito, hali za wananchi ni mbaya sana ila hawana wa kuwasemea.😢😢
Honera Raisi ni maamuzi ya busara na yanastahiki pongezi kubwa... Ila waliokufikisha apo ni wabunge ambao mbali na kuwasikia wanaowawakilisha wakisema nou...bado walipitisha zike sheria hao ndio wanastahiki haswa hiyo adhabu...! Wakaombe kura upya kwa wananchi wao! Wao ndio sabbu ya wananchi kukosa trust na wewe....i pray all goes well...Gen Z Asanten.
Kuna nchi africa azina serikali ni vikundi vya wahuni angalia vizuri sana akuna rais alikuwa gaddafi wengine wanajua kukopa kulipa wanalipa wanainchi poreni ngozi nyeusi
Sisi watanzania kuliko kuvunjwa miguu bora tukae kimya,Hatuwezi kinukisha kama Wakenya sababu tunalima chakula kwa wingi na tukishiba ugali na wali kisha tusikilize Diamond siku inaenda.Wewe na akafe kwenye maandamo.
Huu ndo uanaume sasa hapa mzee ndo katumia maamuzi ya Busara kwanza kapunguza hasira za watu kitu ambacho kisingeisha bila kuchukua hatua na ukizingatia jamaa tayar askari wake washaua raia baadhi, so ili kumantain hii hali lazima acheze na akili za raia, sisi raia huwa tunadanganyika kwa vitu vidogotu navo nikama hivo hapo kwa hilotu alilolifanya ni ishara tosha kwamba kakubali kutumia busara zaidi ya nguvu kwani nguvu haijengi! Ni maamuzi ya heshima na busara kwa upande wangu ❤ na hiki kitu GPS walikitabiri saha Smaa na Ally
Katiba ya kenya iko na kitu kinaitwa freedom of speech,unakosoa hata raisi, lakini tanzania ukichoka shati lenye sura ya raisi unafungwa ama upotee mazima,badilisheni katiba
Kuna kitu Cha kujifunza kwa wenzetu wa kenya ifeka wakati wa kuondoa woga nchini Tanzania tuseme enough is enough
Mjue kuwa politics it's life
NI mjinga wewe hayo maandamano yanayo zaminiwa na kabila la Kikuyu hawakuwa happy nafasi zote wamepewa wakenya
Yataka roho mshkaji wangu🔥🔥
haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..niseme tena haasswwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tanzania ni nchi ya waoga .Marais wake ni miungu wadogo.kama huyu Mama nae kajitambulisha rasmi yeye ni kiziwi hasikilizi wananchi kabisa.
Power to the GenZs, Power to the people of the nation 💪🏽🫡🫡🫡
Erick omondi ✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
Dj smaa upo sahihi kabisa
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Hoyeee gen z saa hii tutasukumana kwa traffic jam ......na hao 😅
Tanzania inafaa tuwaige Kenya Uwaziri tanzania ni kama ufalme . Ndo maana kila wakati nasema tanzania inaitaji katiba mpya
anza wewe.
😂😂😂tulieni tuwaoneshe mambo yanavyo fanywa mpka tulize hili kazi ndio.mkurupuke n.a. nyinyi
Mpiganie katibakwanza ndio mutaanzakuandamana kamasisiku kenya
@@Elizabeth-gq9klkatiba mpya itatuondolea utawala wa kifalme . Eti baba yako alikua na cheo fulani kwa serikali na mtoto wake anapewa cheo
@@Brunotarimo10mambo ya kijinga wakenya wamekataa kufanyiwa
Hivi sasa ndo amejua kua hana washauri wazuri😊
Muda ulikuwa hauruhusu. Angeharibikiwa kama angefanya mapema. Usisahau alianza. Lkn hakuendelea. Hakuwa na Back up
Bado hajasema na atasema tu😂Genz hoyeee🎉😂😂
Hoyeee
Mawaziri hawana shida, ajiangalie yeye mwenyewe "chombo cha mabepari"
Nchi ni wananchi
Baaaas tuende kazi
We are winning 🥇 this move..... Lakin bado kazi.....
Wakenya ,kwa sasa inatosha ,, serikari imewasikiliza ,wanapaswa kumpa muda Raisi wao ,,,,na SI kupanga maandamano yasiyo na maana yoyote kwa sasa zaidi ya kuivunja nchi yao wenyew,,wakenya Mh raisi kawasikiliza ,sasa mpeni muda aiendeshe nchi kwa utulivu
Umesema sawa kaka
tulimpa mdaa akatudanganya. alf kuskiza wanachi si favor ni katiba.
Kwa kweli wampe muda
Power to the people , especially the youth who lost their lives for justice and calling out the leadership
Umemuona Mh. Rutto anataka kulia😢😢😢
na amekonda wallah nikama hakuli
Bado tunazidi kumfinya makende zake bila huruma hadi asalimu amrita. Hapa kenya 🇰🇪 hakuna wajinga wa kucheza na ruto. Ataenda nyumbani. Alikuwa ametuzoea sana
@@ChumanaSusi hongereni wakenya,
Mmeamua.
@@UmmyZakiah 😂😂😂
@@piusrweyemamu3900 🤣😂amekua kama mkufi imediately
Huyu Ruto bado haaminiki my friend bado twa tazama tu
Kwa lipi?
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
Kumekucha mkuuu❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Ruto knew on Tuesday atapinduliwa serikalini ndo maana anajaribu kubadilisha mwongozo. So I don't understand what will happen on Tuesday kwasababu hashtag imebadilika na kua #RutoMustGo
😂😂😂
Shida yetu ni ruto as long as bado yuko pale hatuna amani, atashuka
Kenya my nation God bless you
Wewe shida yako ni ubinafsi
Bado Tuesday ataanguka tu
Huku bdo anauwa vijana wetu Ruto must go
Bunge livunjwe tafadhali ruto🇸🇸🇸🇸🇸🇸 tupige Kura tena
Usijali hiyo inakuja soon
Na itakuwa solution no 2
Ikishindikana solution no 3 itafanyika ambayo ni Ruto kuresign
Ww ni wa nchi gani hii unataka kupiga kura kenya???
@@billjames1216😂😂😂 sio Kenya
Nevertheless of its majority setbacks, democracy remains to be the most practical approach of governance for the modern demanding humanity. You got it Mr. President, lead to demonstrate and influence others🇰🇪
Ukisikia hiyo hutuba utasema Ni kweli mtatimiziwa anayoyasema ..... Mm simuamini hata robo
Hata mimi simuamini muongo sanaa
Huyu ruto.ni pepo wa urongo. Lakini round hii hana chake. Amekataliwa na nchi nzima hadi watoto
Huyu hata Rachel alimpata kwa kumdanganya😂😂
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nchi yangu
Comments zote zilizo comentiwa in English niza Wakenya congratulations my fellow Kenyans l like this 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦 proud of my country people
U will alwys b slaves kwenye nchi yenu wenyewe
@@KassimAlly-xp4dz Please write without grammatical errors; until then, we can talk about slavery.
Mwafrika jikomboe ktk nyanja zote, hata ktk lugha...ipende lugha yako mama...kutumia lugha ya kikoloni ni sehemu ya utumwa wa kifikra! Kujifunza, kuelewa, kuongea kifasaha na kumudu vizuri lugha za nje ni jambo jema na zuri na linafaa LAKINI zisitufanye watumwa ktk nchi zetu ...lugha zetu za Kiafrika kwanza zipewe kipaumbele cha kwanza. Mfano KISWAHILI ktk nchi za Afrika Mashariki na kati tukipende, tukiongee hata kwenye majukwa rasmi ya shughuli za kiserikali hata kimataifa!
@@martinmwasubila8762 kwanza kiswahili si chetu. ni lugha ya pwani. kama wewe si Bajuni, unazungumza lugha ya mtu mwingine. HAHA
@@mwalimunyerere pwani hiyo iko wapi?
Lapili tunalo subiri kila police aliye piga risasi mwana nchi maramajo afute kazi kibarua nacho bado hajapona
Huko awezi ndugu yangu kwa salama wa taifa na yeye binafsi.
@@olomweneabongela1717 hakuna kisichowezekana, tupe mda tu, kwa wakati wake vitu vitanyooka, wala sio rahisi, ni ngumu tena sana, lakini tunaamini Mungu na pia tunao ujasiri haki zetu tutazilinda. Watch this space.
Na ivo ndio tuna need bro...coz taifa ni mwananchi na karao KAZI yake ni kulinda mwananchi sio kumuua jo😢d@@olomweneabongela1717
My Kenyan people we keep on pushing....#RutoMustGo
Mimi ni mkenya ila huwa nawafatilia na kusikiliza habari kutoka kwenu
Kazi bado, ndio tumeanza tu, mambo ni mengi mda ndio mchache. Governors na mcas tunawaweka rada hakuna kuchezea jasho letu.
Huyu jamaa anawakati mgumu sanaa
my president my hope my happiness
Kwerakabisa.
Lione hili naye kubwa jinga😂
Congratulations 🎊 my president...we kenyan genz we are so grateful now....let the work begin.....we are proud of you baba.....lets end this vice of corruption
Ur not genz i can see
He try to remove are little problem but we can't forget the big problem is You, still we stand Ruto must go
Bado wakenya tunataka hela walizoiba na wevi wapeana za umma wakamatwe ikiwa mmoja wao Ruto
Namna hiyo Anza fresh.. Tunataka mawaziri watenda kazi sio mafisadi.
Duuu makubwa bado yanaendelea ila Jmn ndugu sky tunaomba uwe unatuelezea kwa kiswahili tupate kuelewa kwa uzuri zaidi make wengine tuliishia la 7 B kingereza tunakislilizia Kwa bombaa😅😅😅😅
Ahahaha
@@rainekisha we usicheke acha tu ni mbaya sana kutokujua kinge make unakuta kuna mambo yanakupita 😂😂😂
Mbona ndio kumekucha
Na bado naona ata yeye akienda sugoi
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Sasa mzee malizia miaka yako kwa amani usijekufia kwa kiti 😂
Hawezi maliza huyu .mKora fisadi mkubwa Wakenya wamemumulika kama tochi
Bado tunataka wale polisi wauwaji wakamatwe pia
ANGUKA NAYO
BADO YEYE PIA AENDE ZAKE
Power to all Genz kenya
Na wakirudi nyumbani wapitiye barabara kuu tuwazidikishe na tunyoroshe kila mtu viboko tatu moto za hiyo miaka tatu wametupotezea. Hizo whips zipakwe mafuta.
😂😂😂
Eric Omond
well said
Mwigulu za jioni?
Anguka nayoooooooooo😂,,bado sasa IG of police
People's Power 💪 🙌 🙌 🙌 Nguvu ya Wananchi Siyo Mchezo..
Ruto atavunjwa yéyé lazima yaondelewe madarakani hafai kua raisi wa Kenya
Who is fit enough? You foolish
Apa ndio napata revelation as to why the major general was eliminated.
If only he was there...he would be the one standing like Traore.
They saw it coming.
I have lived in Kenya for 17 years.
Now in Tanzania
But Ruto must Go anyway.
Gen Z ❤
Bado picha inaendelea
❤🇰🇪❤ Gen Z....🤜👍❤❤🎉
Nlichojifunza ni kwanza woga ndio adui wa maendeleo. TANZANIA bado sanaaa. Viongozi ni Miungu watu. Tupo katika usingizi mzito, hali za wananchi ni mbaya sana ila hawana wa kuwasemea.😢😢
Bongo nyoso.....bongo tutaendelea kuramba wanasisa mato😂😂😂😂
Tuendelee kuitazama hii movie hadi Mwisho
Ausio
alafu muchukue mafunzo
Watanzania tuna cha kujifunza hapa
Ahsante
All that we need is transparency zakayo
Honera Raisi ni maamuzi ya busara na yanastahiki pongezi kubwa... Ila waliokufikisha apo ni wabunge ambao mbali na kuwasikia wanaowawakilisha wakisema nou...bado walipitisha zike sheria hao ndio wanastahiki haswa hiyo adhabu...! Wakaombe kura upya kwa wananchi wao! Wao ndio sabbu ya wananchi kukosa trust na wewe....i pray all goes well...Gen Z Asanten.
Ruto must go.... Bado hajasema yani mpaka aseme. Wakenya hatupendi ujinga.
Na bado
Miguna miguna nimekuita marambili unge kaa kimya😂😂😂
Picha ndo linaanza bado ni teller movie haijaanza
Koome na mudavadi walifaa pia waende kwanza koome aki ..
Dj smaaaaa ni atariiiiii😂😂😂😂😂😂
Basi kazi iendelee sasa
Ruto must go
hongera muheshimiwa ruto kwa maamuzi yako
Mpaka kieleweke...
Good job Mr. President
Mungu. Wakongo angalihayi
Am proud to be a kenyan..thank you g.zee ..leo wameanguka nayo mawaziri wamekuwa job less kama ss😂😂😂😂😂😂😂..
But they already have life aiseee si sawa na wengine
Nasema hivii mh. Ruto anaangaliaga GPS 11:09
Kenya ni nchi ya watu wenye akili mingi sana
Sanaaa...
Hamna kitu ovyo kabisa
Kuna nchi africa azina serikali ni vikundi vya wahuni angalia vizuri sana akuna rais alikuwa gaddafi wengine wanajua kukopa kulipa wanalipa wanainchi poreni ngozi nyeusi
Kweli kbs vikundi va kihuni hakuna tena viongozi labda angalau traore anajitahidi nchini mwake
@@swalehemusa4546kafanya nn huyo Traore huko bukina faso?
Uku tayari
Reduce the rent of house, school fees, and food
Wacha kudanya wakenya wwe
Hapo sasa now we are fixing the Nation hta US Embassy tunakuja kusafisha huko
Sasa anaanza kuwa na akili
Mshenzi kesha-panic huyu.
Si utusiane huko kwenu wachana na huyu wetu..
Inafaa tufanye maandamano Moja ya mwisho so that he can fire himself too.....#RUTO MUST GO🇰🇪
Ujinga sasa
Wazimu ww😂😂
Watanzania waoga sana, Kenyans dont play
This was a revelation to this puppet?
😂😂mnajua nacheka nini?
Send a thief to catch a thief
#Ruto must go no matter what😆
Ameanza mapema.
Maandamano bdo ni yafaniwe hii sio njia ya kuzima maandamano
Amuka kesho wende ufanye
Kama kuna MKENYA yeyote humu inua mkono ✋ juu..
Utaacha kuongea urongo lini mr tumetenga Mr tumepanga?
😂😂😂😂
Watu hawamtaki rais sio mawaziri anajikosha😂
Sisi watanzania kuliko kuvunjwa miguu bora tukae kimya,Hatuwezi kinukisha kama Wakenya sababu tunalima chakula kwa wingi na tukishiba ugali na wali kisha tusikilize Diamond siku inaenda.Wewe na akafe kwenye maandamo.
Wacha nicheke tu😂😂
GenZ wa Bongo wajifunze kwa wenzao wa Kenya wasikubali huyu “maza” na “sisiemu” yake kuwaonea… naishia hapo.
Kuongoza Taifa kama Kenya, honestly akili zako lazima ziwe zinakaa kichwani! Maana kuna maraisi akili zinakaa sehemu nyingine kabisa za mwili 😂😂
Maraisi wangine akili zao ziko mkunduni😂😂😂😂
Huu ndo uanaume sasa hapa mzee ndo katumia maamuzi ya Busara kwanza kapunguza hasira za watu kitu ambacho kisingeisha bila kuchukua hatua na ukizingatia jamaa tayar askari wake washaua raia baadhi, so ili kumantain hii hali lazima acheze na akili za raia, sisi raia huwa tunadanganyika kwa vitu vidogotu navo nikama hivo hapo kwa hilotu alilolifanya ni ishara tosha kwamba kakubali kutumia busara zaidi ya nguvu kwani nguvu haijengi! Ni maamuzi ya heshima na busara kwa upande wangu ❤ na hiki kitu GPS walikitabiri saha Smaa na Ally
Gotha tenaa😂
Katiba ya kenya iko na kitu kinaitwa freedom of speech,unakosoa hata raisi, lakini tanzania ukichoka shati lenye sura ya raisi unafungwa ama upotee mazima,badilisheni katiba
Na waende nyumbani ruto afanye kazi yake na amani..
Bado yeye sasa aondoke
Viva Gen Z 🎉🎉🎉🎉
sawa sawa eric omondi oyoo
Gen Z power
Polepole tu tutafika🇰🇪