RAIS RUTO alivunja BARAZA la MAWAZIRI la KENYA na kumfuta kazi MWANASHERIA Mkuu wa Serikali

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 259

  • @george496
    @george496 20 วันที่ผ่านมา +76

    Kuna kitu Cha kujifunza kwa wenzetu wa kenya ifeka wakati wa kuondoa woga nchini Tanzania tuseme enough is enough

    • @rainekisha
      @rainekisha 20 วันที่ผ่านมา +5

      Mjue kuwa politics it's life

    • @AhmedHassan-vl5zf
      @AhmedHassan-vl5zf 20 วันที่ผ่านมา +4

      NI mjinga wewe hayo maandamano yanayo zaminiwa na kabila la Kikuyu hawakuwa happy nafasi zote wamepewa wakenya

    • @PabloEscobar-wt1fq
      @PabloEscobar-wt1fq 20 วันที่ผ่านมา +3

      Yataka roho mshkaji wangu🔥🔥

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 20 วันที่ผ่านมา +3

      haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..niseme tena haasswwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @felixmsale9244
      @felixmsale9244 20 วันที่ผ่านมา +8

      Tanzania ni nchi ya waoga .Marais wake ni miungu wadogo.kama huyu Mama nae kajitambulisha rasmi yeye ni kiziwi hasikilizi wananchi kabisa.

  • @leonolinga2834
    @leonolinga2834 20 วันที่ผ่านมา +36

    Power to the GenZs, Power to the people of the nation 💪🏽🫡🫡🫡

  • @chancelebishopofficial2785
    @chancelebishopofficial2785 19 วันที่ผ่านมา +18

    Erick omondi ✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 20 วันที่ผ่านมา +20

    Dj smaa upo sahihi kabisa

  • @dvoice_ginn
    @dvoice_ginn 20 วันที่ผ่านมา +12

    Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 20 วันที่ผ่านมา +14

    Hoyeee gen z saa hii tutasukumana kwa traffic jam ......na hao 😅

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 20 วันที่ผ่านมา +15

    Tanzania inafaa tuwaige Kenya Uwaziri tanzania ni kama ufalme . Ndo maana kila wakati nasema tanzania inaitaji katiba mpya

    • @omarnimrod1369
      @omarnimrod1369 20 วันที่ผ่านมา

      anza wewe.

    • @tatukingi2543
      @tatukingi2543 20 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂tulieni tuwaoneshe mambo yanavyo fanywa mpka tulize hili kazi ndio.mkurupuke n.a. nyinyi

    • @Elizabeth-gq9kl
      @Elizabeth-gq9kl 19 วันที่ผ่านมา +2

      Mpiganie katibakwanza ndio mutaanzakuandamana kamasisiku kenya

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 19 วันที่ผ่านมา +2

      @@Elizabeth-gq9klkatiba mpya itatuondolea utawala wa kifalme . Eti baba yako alikua na cheo fulani kwa serikali na mtoto wake anapewa cheo

    • @Maishanimaamuzi
      @Maishanimaamuzi 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@Brunotarimo10mambo ya kijinga wakenya wamekataa kufanyiwa

  • @halimahassanungura4588
    @halimahassanungura4588 20 วันที่ผ่านมา +15

    Hivi sasa ndo amejua kua hana washauri wazuri😊

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 20 วันที่ผ่านมา

      Muda ulikuwa hauruhusu. Angeharibikiwa kama angefanya mapema. Usisahau alianza. Lkn hakuendelea. Hakuwa na Back up

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 20 วันที่ผ่านมา +11

    Bado hajasema na atasema tu😂Genz hoyeee🎉😂😂

  • @yussufoptic
    @yussufoptic 20 วันที่ผ่านมา +7

    Mawaziri hawana shida, ajiangalie yeye mwenyewe "chombo cha mabepari"

  • @yahyamohamed1831
    @yahyamohamed1831 20 วันที่ผ่านมา +7

    Nchi ni wananchi

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 20 วันที่ผ่านมา +8

    Baaaas tuende kazi

  • @aliijumanne8293
    @aliijumanne8293 20 วันที่ผ่านมา +4

    We are winning 🥇 this move..... Lakin bado kazi.....

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 19 วันที่ผ่านมา +4

    Wakenya ,kwa sasa inatosha ,, serikari imewasikiliza ,wanapaswa kumpa muda Raisi wao ,,,,na SI kupanga maandamano yasiyo na maana yoyote kwa sasa zaidi ya kuivunja nchi yao wenyew,,wakenya Mh raisi kawasikiliza ,sasa mpeni muda aiendeshe nchi kwa utulivu

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 19 วันที่ผ่านมา

      Umesema sawa kaka

    • @cooljay9489
      @cooljay9489 19 วันที่ผ่านมา +1

      tulimpa mdaa akatudanganya. alf kuskiza wanachi si favor ni katiba.

    • @emmanuelmasanja6040
      @emmanuelmasanja6040 19 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa kweli wampe muda

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 20 วันที่ผ่านมา +2

    Power to the people , especially the youth who lost their lives for justice and calling out the leadership

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900 20 วันที่ผ่านมา +7

    Umemuona Mh. Rutto anataka kulia😢😢😢

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 20 วันที่ผ่านมา +2

      na amekonda wallah nikama hakuli

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 19 วันที่ผ่านมา +1

      Bado tunazidi kumfinya makende zake bila huruma hadi asalimu amrita. Hapa kenya 🇰🇪 hakuna wajinga wa kucheza na ruto. Ataenda nyumbani. Alikuwa ametuzoea sana

    • @piusrweyemamu3900
      @piusrweyemamu3900 19 วันที่ผ่านมา +3

      @@ChumanaSusi hongereni wakenya,
      Mmeamua.

    • @piusrweyemamu3900
      @piusrweyemamu3900 19 วันที่ผ่านมา

      @@UmmyZakiah 😂😂😂

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 19 วันที่ผ่านมา

      @@piusrweyemamu3900 🤣😂amekua kama mkufi imediately

  • @billjames1216
    @billjames1216 20 วันที่ผ่านมา +10

    Huyu Ruto bado haaminiki my friend bado twa tazama tu

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 20 วันที่ผ่านมา

      Kwa lipi?

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 19 วันที่ผ่านมา

      Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 19 วันที่ผ่านมา

      Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 19 วันที่ผ่านมา

      Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 19 วันที่ผ่านมา +2

    Kumekucha mkuuu❤️❤️❤️🙏🙏🙏

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 20 วันที่ผ่านมา +9

    Ruto knew on Tuesday atapinduliwa serikalini ndo maana anajaribu kubadilisha mwongozo. So I don't understand what will happen on Tuesday kwasababu hashtag imebadilika na kua #RutoMustGo

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 20 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @henryachila5448
      @henryachila5448 19 วันที่ผ่านมา

      Shida yetu ni ruto as long as bado yuko pale hatuna amani, atashuka

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 19 วันที่ผ่านมา

      Kenya my nation God bless you

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 19 วันที่ผ่านมา

      Wewe shida yako ni ubinafsi

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 19 วันที่ผ่านมา

      Bado Tuesday ataanguka tu

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu942 19 วันที่ผ่านมา +2

    Huku bdo anauwa vijana wetu Ruto must go

  • @abassimussa7473
    @abassimussa7473 20 วันที่ผ่านมา +5

    Bunge livunjwe tafadhali ruto🇸🇸🇸🇸🇸🇸 tupige Kura tena

    • @malongoisack5811
      @malongoisack5811 20 วันที่ผ่านมา +1

      Usijali hiyo inakuja soon
      Na itakuwa solution no 2
      Ikishindikana solution no 3 itafanyika ambayo ni Ruto kuresign

    • @billjames1216
      @billjames1216 20 วันที่ผ่านมา +1

      Ww ni wa nchi gani hii unataka kupiga kura kenya???

    • @annanzallo1150
      @annanzallo1150 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@billjames1216😂😂😂 sio Kenya

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 20 วันที่ผ่านมา +3

    Nevertheless of its majority setbacks, democracy remains to be the most practical approach of governance for the modern demanding humanity. You got it Mr. President, lead to demonstrate and influence others🇰🇪

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 20 วันที่ผ่านมา +6

    Ukisikia hiyo hutuba utasema Ni kweli mtatimiziwa anayoyasema ..... Mm simuamini hata robo

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 19 วันที่ผ่านมา +1

      Hata mimi simuamini muongo sanaa

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 19 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu ruto.ni pepo wa urongo. Lakini round hii hana chake. Amekataliwa na nchi nzima hadi watoto

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 19 วันที่ผ่านมา

      Huyu hata Rachel alimpata kwa kumdanganya😂😂

  • @fuadbawayo9233
    @fuadbawayo9233 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nchi yangu

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge 19 วันที่ผ่านมา +3

    Comments zote zilizo comentiwa in English niza Wakenya congratulations my fellow Kenyans l like this 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦 proud of my country people

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 19 วันที่ผ่านมา

      U will alwys b slaves kwenye nchi yenu wenyewe

    • @mwalimunyerere
      @mwalimunyerere 19 วันที่ผ่านมา

      @@KassimAlly-xp4dz Please write without grammatical errors; until then, we can talk about slavery.

    • @martinmwasubila8762
      @martinmwasubila8762 19 วันที่ผ่านมา

      Mwafrika jikomboe ktk nyanja zote, hata ktk lugha...ipende lugha yako mama...kutumia lugha ya kikoloni ni sehemu ya utumwa wa kifikra! Kujifunza, kuelewa, kuongea kifasaha na kumudu vizuri lugha za nje ni jambo jema na zuri na linafaa LAKINI zisitufanye watumwa ktk nchi zetu ...lugha zetu za Kiafrika kwanza zipewe kipaumbele cha kwanza. Mfano KISWAHILI ktk nchi za Afrika Mashariki na kati tukipende, tukiongee hata kwenye majukwa rasmi ya shughuli za kiserikali hata kimataifa!

    • @mwalimunyerere
      @mwalimunyerere 19 วันที่ผ่านมา

      @@martinmwasubila8762 kwanza kiswahili si chetu. ni lugha ya pwani. kama wewe si Bajuni, unazungumza lugha ya mtu mwingine. HAHA

    • @martinmwasubila8762
      @martinmwasubila8762 19 วันที่ผ่านมา

      @@mwalimunyerere pwani hiyo iko wapi?

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 20 วันที่ผ่านมา +9

    Lapili tunalo subiri kila police aliye piga risasi mwana nchi maramajo afute kazi kibarua nacho bado hajapona

    • @olomweneabongela1717
      @olomweneabongela1717 20 วันที่ผ่านมา

      Huko awezi ndugu yangu kwa salama wa taifa na yeye binafsi.

    • @laurine7898
      @laurine7898 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@olomweneabongela1717 hakuna kisichowezekana, tupe mda tu, kwa wakati wake vitu vitanyooka, wala sio rahisi, ni ngumu tena sana, lakini tunaamini Mungu na pia tunao ujasiri haki zetu tutazilinda. Watch this space.

    • @erqmusic5973
      @erqmusic5973 19 วันที่ผ่านมา

      Na ivo ndio tuna need bro...coz taifa ni mwananchi na karao KAZI yake ni kulinda mwananchi sio kumuua jo😢d​@@olomweneabongela1717

  • @wambuageorgemutua1930
    @wambuageorgemutua1930 20 วันที่ผ่านมา +1

    My Kenyan people we keep on pushing....#RutoMustGo

  • @SamuelOuma-uy2ci
    @SamuelOuma-uy2ci 19 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi ni mkenya ila huwa nawafatilia na kusikiliza habari kutoka kwenu

  • @laurine7898
    @laurine7898 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi bado, ndio tumeanza tu, mambo ni mengi mda ndio mchache. Governors na mcas tunawaweka rada hakuna kuchezea jasho letu.

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 20 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu jamaa anawakati mgumu sanaa

  • @dayahkibadeni185
    @dayahkibadeni185 19 วันที่ผ่านมา +3

    my president my hope my happiness

  • @mustaphabett5616
    @mustaphabett5616 19 วันที่ผ่านมา +1

    Congratulations 🎊 my president...we kenyan genz we are so grateful now....let the work begin.....we are proud of you baba.....lets end this vice of corruption

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 19 วันที่ผ่านมา +1

    He try to remove are little problem but we can't forget the big problem is You, still we stand Ruto must go

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 20 วันที่ผ่านมา +2

    Bado wakenya tunataka hela walizoiba na wevi wapeana za umma wakamatwe ikiwa mmoja wao Ruto

  • @lapozzydone5203
    @lapozzydone5203 19 วันที่ผ่านมา +1

    Namna hiyo Anza fresh.. Tunataka mawaziri watenda kazi sio mafisadi.

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 20 วันที่ผ่านมา +3

    Duuu makubwa bado yanaendelea ila Jmn ndugu sky tunaomba uwe unatuelezea kwa kiswahili tupate kuelewa kwa uzuri zaidi make wengine tuliishia la 7 B kingereza tunakislilizia Kwa bombaa😅😅😅😅

    • @rainekisha
      @rainekisha 20 วันที่ผ่านมา

      Ahahaha

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 19 วันที่ผ่านมา

      @@rainekisha we usicheke acha tu ni mbaya sana kutokujua kinge make unakuta kuna mambo yanakupita 😂😂😂

  • @boazmisango9797
    @boazmisango9797 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona ndio kumekucha
    Na bado naona ata yeye akienda sugoi

  • @dvoice_ginn
    @dvoice_ginn 20 วันที่ผ่านมา +7

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @Chawamsafi1
    @Chawamsafi1 19 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa mzee malizia miaka yako kwa amani usijekufia kwa kiti 😂

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 19 วันที่ผ่านมา

      Hawezi maliza huyu .mKora fisadi mkubwa Wakenya wamemumulika kama tochi

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed 20 วันที่ผ่านมา +2

    Bado tunataka wale polisi wauwaji wakamatwe pia

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 20 วันที่ผ่านมา +3

    ANGUKA NAYO
    BADO YEYE PIA AENDE ZAKE

  • @Alfredo_Kenya
    @Alfredo_Kenya 19 วันที่ผ่านมา

    Power to all Genz kenya

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 20 วันที่ผ่านมา +2

    Na wakirudi nyumbani wapitiye barabara kuu tuwazidikishe na tunyoroshe kila mtu viboko tatu moto za hiyo miaka tatu wametupotezea. Hizo whips zipakwe mafuta.

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv 19 วันที่ผ่านมา +1

    Eric Omond

  • @leeheyon
    @leeheyon 20 วันที่ผ่านมา

    well said

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mwigulu za jioni?

  • @michealouma2410
    @michealouma2410 19 วันที่ผ่านมา +1

    Anguka nayoooooooooo😂,,bado sasa IG of police

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 19 วันที่ผ่านมา

    People's Power 💪 🙌 🙌 🙌 Nguvu ya Wananchi Siyo Mchezo..

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 19 วันที่ผ่านมา +3

    Ruto atavunjwa yéyé lazima yaondelewe madarakani hafai kua raisi wa Kenya

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 19 วันที่ผ่านมา

      Who is fit enough? You foolish

  • @martinsafaris4314
    @martinsafaris4314 20 วันที่ผ่านมา

    Apa ndio napata revelation as to why the major general was eliminated.
    If only he was there...he would be the one standing like Traore.
    They saw it coming.
    I have lived in Kenya for 17 years.
    Now in Tanzania
    But Ruto must Go anyway.
    Gen Z ❤

  • @halimahassanungura4588
    @halimahassanungura4588 20 วันที่ผ่านมา +3

    Bado picha inaendelea

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 20 วันที่ผ่านมา +1

    ❤🇰🇪❤ Gen Z....🤜👍❤❤🎉

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 19 วันที่ผ่านมา

    Nlichojifunza ni kwanza woga ndio adui wa maendeleo. TANZANIA bado sanaaa. Viongozi ni Miungu watu. Tupo katika usingizi mzito, hali za wananchi ni mbaya sana ila hawana wa kuwasemea.😢😢

    • @nasorsaid5371
      @nasorsaid5371 19 วันที่ผ่านมา

      Bongo nyoso.....bongo tutaendelea kuramba wanasisa mato😂😂😂😂

  • @billskeez92
    @billskeez92 20 วันที่ผ่านมา +3

    Tuendelee kuitazama hii movie hadi Mwisho

  • @pendomalisa9308
    @pendomalisa9308 19 วันที่ผ่านมา

    Ahsante

  • @KhamisBeja
    @KhamisBeja 19 วันที่ผ่านมา

    All that we need is transparency zakayo

  • @catherineshayocwbp.2093
    @catherineshayocwbp.2093 19 วันที่ผ่านมา

    Honera Raisi ni maamuzi ya busara na yanastahiki pongezi kubwa... Ila waliokufikisha apo ni wabunge ambao mbali na kuwasikia wanaowawakilisha wakisema nou...bado walipitisha zike sheria hao ndio wanastahiki haswa hiyo adhabu...! Wakaombe kura upya kwa wananchi wao! Wao ndio sabbu ya wananchi kukosa trust na wewe....i pray all goes well...Gen Z Asanten.

  • @mkambotv5418
    @mkambotv5418 19 วันที่ผ่านมา

    Ruto must go.... Bado hajasema yani mpaka aseme. Wakenya hatupendi ujinga.

  • @elijawakaba
    @elijawakaba 20 วันที่ผ่านมา +1

    Na bado

  • @waendaotvcom204
    @waendaotvcom204 19 วันที่ผ่านมา

    Miguna miguna nimekuita marambili unge kaa kimya😂😂😂

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo 19 วันที่ผ่านมา +1

    Picha ndo linaanza bado ni teller movie haijaanza

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 20 วันที่ผ่านมา +1

    Koome na mudavadi walifaa pia waende kwanza koome aki ..

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 19 วันที่ผ่านมา

    Dj smaaaaa ni atariiiiii😂😂😂😂😂😂

  • @somoeomar4861
    @somoeomar4861 19 วันที่ผ่านมา

    Basi kazi iendelee sasa

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 20 วันที่ผ่านมา +4

    Ruto must go

  • @tuwasalimu
    @tuwasalimu 18 วันที่ผ่านมา

    hongera muheshimiwa ruto kwa maamuzi yako

  • @samuelmwatsuma4462
    @samuelmwatsuma4462 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mpaka kieleweke...

  • @barazanaphtally
    @barazanaphtally 20 วันที่ผ่านมา

    Good job Mr. President

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu. Wakongo angalihayi

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 19 วันที่ผ่านมา

    Am proud to be a kenyan..thank you g.zee ..leo wameanguka nayo mawaziri wamekuwa job less kama ss😂😂😂😂😂😂😂..

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 19 วันที่ผ่านมา

      But they already have life aiseee si sawa na wengine

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 20 วันที่ผ่านมา +4

    Nasema hivii mh. Ruto anaangaliaga GPS 11:09

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 19 วันที่ผ่านมา +5

    Kenya ni nchi ya watu wenye akili mingi sana

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna nchi africa azina serikali ni vikundi vya wahuni angalia vizuri sana akuna rais alikuwa gaddafi wengine wanajua kukopa kulipa wanalipa wanainchi poreni ngozi nyeusi

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 19 วันที่ผ่านมา

      Kweli kbs vikundi va kihuni hakuna tena viongozi labda angalau traore anajitahidi nchini mwake

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@swalehemusa4546kafanya nn huyo Traore huko bukina faso?

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 20 วันที่ผ่านมา

    Uku tayari

  • @kemalhussein2532
    @kemalhussein2532 19 วันที่ผ่านมา

    Reduce the rent of house, school fees, and food

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 20 วันที่ผ่านมา +2

    Wacha kudanya wakenya wwe

  • @Chrisscherry
    @Chrisscherry 19 วันที่ผ่านมา

    Hapo sasa now we are fixing the Nation hta US Embassy tunakuja kusafisha huko

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 20 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa anaanza kuwa na akili

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mshenzi kesha-panic huyu.

    • @thelordsgarden4083
      @thelordsgarden4083 19 วันที่ผ่านมา +1

      Si utusiane huko kwenu wachana na huyu wetu..

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 20 วันที่ผ่านมา +4

    Inafaa tufanye maandamano Moja ya mwisho so that he can fire himself too.....#RUTO MUST GO🇰🇪

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 20 วันที่ผ่านมา +4

    Watanzania waoga sana, Kenyans dont play

  • @chai_r
    @chai_r 20 วันที่ผ่านมา +1

    This was a revelation to this puppet?

  • @roselynealima3618
    @roselynealima3618 19 วันที่ผ่านมา

    😂😂mnajua nacheka nini?
    Send a thief to catch a thief
    #Ruto must go no matter what😆

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ameanza mapema.

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 20 วันที่ผ่านมา +1

    Maandamano bdo ni yafaniwe hii sio njia ya kuzima maandamano

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 19 วันที่ผ่านมา

    Kama kuna MKENYA yeyote humu inua mkono ✋ juu..

  • @hassanswaleh8720
    @hassanswaleh8720 20 วันที่ผ่านมา +1

    Utaacha kuongea urongo lini mr tumetenga Mr tumepanga?

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 19 วันที่ผ่านมา

    Watu hawamtaki rais sio mawaziri anajikosha😂

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 19 วันที่ผ่านมา +1

    Sisi watanzania kuliko kuvunjwa miguu bora tukae kimya,Hatuwezi kinukisha kama Wakenya sababu tunalima chakula kwa wingi na tukishiba ugali na wali kisha tusikilize Diamond siku inaenda.Wewe na akafe kwenye maandamo.

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 19 วันที่ผ่านมา

    GenZ wa Bongo wajifunze kwa wenzao wa Kenya wasikubali huyu “maza” na “sisiemu” yake kuwaonea… naishia hapo.

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 20 วันที่ผ่านมา

    Kuongoza Taifa kama Kenya, honestly akili zako lazima ziwe zinakaa kichwani! Maana kuna maraisi akili zinakaa sehemu nyingine kabisa za mwili 😂😂

    • @nasorsaid5371
      @nasorsaid5371 19 วันที่ผ่านมา

      Maraisi wangine akili zao ziko mkunduni😂😂😂😂

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 20 วันที่ผ่านมา

    Huu ndo uanaume sasa hapa mzee ndo katumia maamuzi ya Busara kwanza kapunguza hasira za watu kitu ambacho kisingeisha bila kuchukua hatua na ukizingatia jamaa tayar askari wake washaua raia baadhi, so ili kumantain hii hali lazima acheze na akili za raia, sisi raia huwa tunadanganyika kwa vitu vidogotu navo nikama hivo hapo kwa hilotu alilolifanya ni ishara tosha kwamba kakubali kutumia busara zaidi ya nguvu kwani nguvu haijengi! Ni maamuzi ya heshima na busara kwa upande wangu ❤ na hiki kitu GPS walikitabiri saha Smaa na Ally

  • @geniuskid2544
    @geniuskid2544 19 วันที่ผ่านมา

    Gotha tenaa😂

  • @DrNdii
    @DrNdii 18 วันที่ผ่านมา

    Katiba ya kenya iko na kitu kinaitwa freedom of speech,unakosoa hata raisi, lakini tanzania ukichoka shati lenye sura ya raisi unafungwa ama upotee mazima,badilisheni katiba

  • @RoseMary-jw2im
    @RoseMary-jw2im 19 วันที่ผ่านมา

    Na waende nyumbani ruto afanye kazi yake na amani..

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 20 วันที่ผ่านมา +1

    Bado yeye sasa aondoke

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 19 วันที่ผ่านมา

    Viva Gen Z 🎉🎉🎉🎉

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l 19 วันที่ผ่านมา

    sawa sawa eric omondi oyoo

  • @omartwahir7859
    @omartwahir7859 20 วันที่ผ่านมา

    Gen Z power

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 20 วันที่ผ่านมา

    Polepole tu tutafika🇰🇪