Nazungumzia uzoefu wangu hapa Canada, nikiwa kama Mtanzania sijawahi pata tabu na Mrundi, Waganda,Wakenya,Wazimbabwe, Wacongo, najua zipo changamoto hii ina prove sisi sio Malaika lakini naona wote wako poa tu, ila Nilichokiaona Wakenya wenyewe kwa wenyewe hawapendani kabisaa, kama ilivyo kwa Watanzania, wa Tanganyika na Wazanzibar wakikutana utasema hakuna ndugu kama hawa lakini kuna chuki kubwa saana kwa Wazanzibar dhidi ya Watanganyika nahisi mambo ya Siasa wanaleta hadi Nje ya Nchi lakini ni Watu wazuri saaana wenyewe kwa wenyewe huwa wanasaidiana kwahilo Mwenyezi awabarik, sio sisi Watanganyika huwa tunakimbiana na ukiharibikiwa ndio furaha yao, ila Wazanzibar wanapeana Connections saaana
Nawashukuru sana milldy ayo kwakututembelea Nchini kwetu kalibuni Sana BURUNDI Namshukulu mama wa BURUNDI Denise nkurunziza kwa moyo uliekuwanao wakusaidia watoto hatima Mungu ukupe baraka WARUNDI WOTE TUNAKUPENDA SANA MAMA YETU
Mama yupo natural na kapendeza kweli kweli. Sio mademu wa mwendo kasi, mikope iko offside, miwigi inanukaaa. Hebu jifunzeni kwa huyu mama. nyie ni wazuri bila mikope offside na hayo makatani.
I would wish to give a hand in training their youth on matters of renewable energy, services and even production. There is potential. Nobody is incapable, it's just about the right mindsets.
Watanzania tunaipenda Nchi ya Burundi Walundi wote ni ndugu zetu nikiwa Rais nitaanzisha programu maalumu ya kuongeza urafiki na undugu wa Burundi na Tanzania
Sisi Ndugu Burundi na Tanzania sababu kuna aina ya vitu vingi tunavyo kutania licha ya Lugha na Shirika la East África,Allah azijalie Inchi zetu afya maendeleo amani Upendo kama kawa na wazidishie afya uhai Má Rais Wetu Waheshimiwa General Never Evariste Ndayishimiye na Dr JPM,pia Mama Buntu
Millardayo,hongera sana na nakutakia uwe na amani mema huku kwetu Burundi
Warundi watu safi saaana, hata ukikutana nao Nje ya nchi hawana Maringo na majivuno,
Huwajui.
Labda siyo mrundi
Warundi ni watu wazuli sana ndio Raymond Oyieko you say the truth
Nazungumzia uzoefu wangu hapa Canada, nikiwa kama Mtanzania sijawahi pata tabu na Mrundi, Waganda,Wakenya,Wazimbabwe, Wacongo, najua zipo changamoto hii ina prove sisi sio Malaika lakini naona wote wako poa tu, ila Nilichokiaona Wakenya wenyewe kwa wenyewe hawapendani kabisaa, kama ilivyo kwa Watanzania, wa Tanganyika na Wazanzibar wakikutana utasema hakuna ndugu kama hawa lakini kuna chuki kubwa saana kwa Wazanzibar dhidi ya Watanganyika nahisi mambo ya Siasa wanaleta hadi Nje ya Nchi lakini ni Watu wazuri saaana wenyewe kwa wenyewe huwa wanasaidiana kwahilo Mwenyezi awabarik, sio sisi Watanganyika huwa tunakimbiana na ukiharibikiwa ndio furaha yao, ila Wazanzibar wanapeana Connections saaana
@@ndukulusudikucho_ ni ukweli even here in Australia warundi hawana maneno mingi wako safi kabisa na Mungu azidi kuwabaliki
Nawashukuru sana milldy ayo kwakututembelea Nchini kwetu kalibuni Sana BURUNDI Namshukulu mama wa BURUNDI Denise nkurunziza kwa moyo uliekuwanao wakusaidia watoto hatima Mungu ukupe baraka WARUNDI WOTE TUNAKUPENDA SANA MAMA YETU
Abarundi🇧🇮 nkanje mwemera Denise Nkurunziza tumenyane 👊
Ndagufana
Natwe abatanzania tulamweye...
@@benzenesanyofficial3841 murakoze
👍
Nashitse❤
Mama yupo natural na kapendeza kweli kweli. Sio mademu wa mwendo kasi, mikope iko offside, miwigi inanukaaa. Hebu jifunzeni kwa huyu mama. nyie ni wazuri bila mikope offside na hayo makatani.
Sante kaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hatari sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Ndo nyie nyie mkitoka nje mkayaona ayo makope na makatani mnayatongoza uo ndo ukweli
Respect Milliard Ayo Tv kazi yenu ni nzuri sana nawapenda saaana
Furaha ninayo kuona millard ayo kwetu Burundi sijuwi niseme nini uyu maman kwetu burundi nikipenzi cawatu Mungu amuongezeye siku zakuishi
She speaks kiswahili 😍I really love her heart ❤️😭
Thank you
Gear za lugha zimekwama, ikaingizwa Gear ya Kirundi
Ikatokea 👏🏾👏🏾👏🏾
✊🏾🇧🇮
May God bless you Mama Denise Nkurunziza.
She is so humble and elegant
Tunakupenda sanaaa mama yetu kipenzi Mungu eendelea kukupigania😍😍😍
Asante Sana Ayo TV tumeshukuru Sana kwa kwenda kumutizama muke wa rayisi wetu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏
Waaaaoooo kuanziya leo nawapenda sana from BURUNDI
Thanks
Love you Maman Buntu
ndashima cane Imana yaguye his wisdom
Nakubali...
AyoTv.
Karibu kwetu.
#KikiHouston
Naombeni namba ya uyo mkalimani sooo beautiful duuuuuuu ndagukunda chane love from kigoma tanzania
Thank you Millard Ayo for coming and showing love to Burundi,
From 🇧🇮 Saudia karibu san ndug zetu wa tanzania 🙏
ayo tv karibu kwetu burundi nawapa heko mumenikubalisha
Maman Gikundiro,esther,Maman Buntu,...Turakwikundira muvyeyi mwiza
Mimi na warundi wote tunampenda Denise NKURUNZIZA
Hata Watanzania, tunampenda sana. Tunawapenda na Warundi wote
@@godymbanyi1878 tunawapenda zaidi❤
Wow! Waburundi warembo kweli kweli....huyu dada anae tafsiri ni mrembo sana
Asante
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Iyoooo ako mana🙏🙏🙏🙏. Imana igukomeze mubyeyi mwiza!!! 🇷🇼❤️🇧🇮
Uburundi bwarahezagiwe cane kugira umuvyeyi mwiza nkuyu ubwacu n'umugisha munini ico twokora tumusengere buri musi imana iguhezagire Mama buntu 🇧🇮🙏🙏
Ongereni sana oyo TV kwakufika kwetu Burundi karibuni sana ilove you so much denise💕💕✌️
Urakundwa Maman Imana ikuzigame cane❤❤❤❤
Usikosi kutazama filamu ya kiswahili kutoka burundi kwenye compny ya TAMBWE
th-cam.com/video/OzGpc_tJgVo/w-d-xo.html
I'm from Zanzibar Tanzania you're my friend since 3 years ago
She is so gracious ❤️
🇧🇮 Inchi yangu Burundi 💋❤️💕💐🌹 karibuni sana kwetu Ayo Tv🌷🌹❤️
This girls speaking swahili
She.s so beautiful 😍 I swear
Good regional gesture of mixing contents with our neighbors from East Africa. #TresBien
Waooo Maman buntu ndagukunda abaurundi bamukunda tumenyane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️💞💞💞
Thank you very much mumy Denise Bucumi Nkurunziza.
Mungu akubariki sana Mama yetu Denise Nkurunziza . Jehovah azidi kuilaza roho ya marehemu mahala pema peponi .
Imana ikongereze uburyo bwo gufasha abo batishoboye jtm Maman Bndi Imana ikongereze ni misi yo Kubaho
Iyi ladio nayipenda sana mila na ayo tunawapenda sana burundi
Millard ayo
Munguabariki wa Tanzania kwakudutembereya bwana yesu awavakiri sana karibuni tena kwetu😍😍😍😍😍😍
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮
Kurikira pastor joel kuri Papa bitangaza tv muhabwe umugisha
Nice kadada kamtandio.
Yoooo😊😊😊😆urakoze cyane maman Imana iguhumugisha kd ikomeze kukwegera
Mashaallah mama Denise
Millard haufananishwi kwa kutafuta habari. Keep it up!
This is why l have been first line to subscribe On Millard Ayo TV since
Zingine ladio zote zifunge miladi na ayo inafaaa kwakazi nzuli
R.I.P but huyo Alikuwa mzee sasa,,tuache utani amefariki akiwa bado kijana ,,Uzee unaanzia 60yrs
Kwetu sisi ni msemo wa heshima
Rest In Peace #herHusband #nkurunziza
Imana izaguhezagire mama wa taifa
Bwana yesu awabariki sana wa Tanzania
Thank you maman Buntu and we love you soo much
Vidox ebu nichukulie namba kwa huyo mrembo anayetafsiri bhana. Nimemuelewa
Barabara ya 13 Ulyankulu asili yao ni Burundi. Warundi kuimba injili ni kipaji chao maridhawa.
Mama wa taifa.
Ndamukunda uyumu mama...imana iguhe umugisha
ayo karibu nyumbani kwetu 🇧🇮🇧🇮
🙌🙌YOU HAVE MY RESPECT
Mungu ambariki mama yetu Huyo
Спасибо большое Milliard Ayo and Ayo tv
ayo tv mko poa Sana hamtoagi habari za uongo kama ma tv mengine.
Mama i thanks God who gave you strength
Nawapenda Sanaa kwenda kwetu Bujumbura
Tunamtakia raheri na afia mzuri mama huo tena asante sana milliard ayo na mama huo aendelee kufanya kazi zake hadi inchni Tanzania..
Good job 👍🏿
Icompa tugahura muvyeyi ndagukunda cane😘
Ayo mbona hatuoni vipindi awo interview mmefanya na wasanii wa Burundi
Ndakwemera maman bintu
You have a good smile my sister
I lava lava u Mama Denise
welcome kwetu 257
Asante sana millardayo kufunza warundi utangazaji
I like it kabsa
Number one oyooooo
Ayo big up
Welcome 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏
Mama amepiga Lugha mbili Kilundi na kiswahili mama hataki swaga na Lugha za magharibi, asante sana mama barikiwa mno.
Nawabali sana ayo tv
Imana ikuzigame mama wacu♥️♥️♥️
Jaman mwenye namba ya huyo mtoto anipe kuna zawadi yake
Mtoto gani
😂😂😂
Vip nadra au ni wew nin
Mama yetu mungu akubariki
Oooh GaGa wakuze vrmt kiswaili safii kbs
Nampenda sana mama yangu😘
Ndamukunda cyane uyu mubyeyi
Asanten gusikia hivo mubalikie ten
I would wish to give a hand in training their youth on matters of renewable energy, services and even production. There is potential. Nobody is incapable, it's just about the right mindsets.
Huyu ni mama yetu 💓💓
Ohh naona nkurunziza umukuru wigihugu we miss you kabisa komeza denise
Mama bantu uko powa Sana mama mungu akubariki 🤲
Wooow
👍
Mtangazaji uko top sana
Nimejikuta naelewa
Nampendaga ☝️
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Ndamwera ijana kwijan
Yesaa
Mes respects à Madame Denise
Karibukwetu🇧🇮🇧🇮
Nguku uko Wokora 2021 Utere Imbere fyonda hano hepfo 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇th-cam.com/video/-SoRoc_jK9g/w-d-xo.htmlsub_confirmation=1
Ayo tv nakupenda bure
Watanzania tunaipenda Nchi ya Burundi
Walundi wote ni ndugu zetu nikiwa Rais nitaanzisha programu maalumu ya kuongeza urafiki na undugu wa Burundi na Tanzania
Wow nice
Sisi tunawapenda zaidi ndugu zetu wa Tanzania❤❤❤
Sisi Ndugu Burundi na Tanzania sababu kuna aina ya vitu vingi tunavyo kutania licha ya Lugha na Shirika la East África,Allah azijalie Inchi zetu afya maendeleo amani Upendo kama kawa na wazidishie afya uhai Má Rais Wetu Waheshimiwa General Never Evariste Ndayishimiye na Dr JPM,pia Mama Buntu
😁😁😁