BULAYA: MDEE ALINIVUNJIA LAPTOP/ NINA NGUVU NJE YA CHADEMA/ NITAJIUZULU UBUNGE/ NILIMTEMBELEA MBOWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

ความคิดเห็น • 52

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 หลายเดือนก่อน

    Hongera saaana Ester . Wewe ni kamanda na utabaki kuwa kamanda Big up sana

  • @jacksonsulle6673
    @jacksonsulle6673 ปีที่แล้ว +2

    Bulaya nimekukubali sana!!!
    Kwa kauli zake .

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 8 หลายเดือนก่อน

    Bulaya na Halima na wengine kiukweli mko vizuri kimsimamo na tumewa- mis sana mungu awasimamie katika madhila yaliyowatokea

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j ปีที่แล้ว +1

    Big up Ester Bulaya

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว +5

    Yaan huna chakutushawishi kbs wewe na hao wenzio 19 maana mmeingia kimazabe bila chama leo ukionekana unapiga vita lushwa na ubadhilifu wa mali za uma haingii akili kbs

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 ปีที่แล้ว +4

    Esta unaposema taasisi lazima iieshimiwe imekuaje Sasa mpo bungeni nawakati taasisi imewataka mtoke bungeni nanyinnyi hamtaki kutoka.

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 ปีที่แล้ว

    Msema kweli Ni mpenzi wa mungu ❤

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 ปีที่แล้ว

    Bulaya uko vizuri..hivi jimbo lako liko wazi au kuna mtu anammiliki

  • @MESHACKMAYENGA-qt4ip
    @MESHACKMAYENGA-qt4ip ปีที่แล้ว +2

    Esta nakukubali sana,ilanachóona hampewi nafasi nzuri ya kujenga hoja bungeni nakufuatilia sana wewe na Halima mdee mnapoanza kujenga hoja kunaibuka mambo ya taarifa,nikama mnapotezewapotezewa kinamnafumani hivi.Ila nachofurahi hamkasiriki Wala kususa.Mnajuamnachofanya.keep it up

    • @mchagagaspar6649
      @mchagagaspar6649 ปีที่แล้ว

      VIPI WAPEWE NAASI YAHOJA,NAWAO WALIWEKWA BUNGENI KWA KUWASAIDIA MA ccm MUULIZAJI UNASAHAU WALIPO INIKWA MKAA MWEUSI HADI KUJIFUNIKA SANDA ZAMAITI KULEEE ULE WAKATI WANAELEKEYA MAGEREEZA ???

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 9 หลายเดือนก่อน +1

    MNATAFUTA KURA MBONA. HAKUJIUZULU KABLA YA UCHAGUZI UNAOTAKA KUFANYIKA MNGELIKATAA KUTUSALITI NA MMSAINI. DPW

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 ปีที่แล้ว +1

    Umekula umeshiba

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 9 หลายเดือนก่อน

    1

  • @ResticiousMallya-bg5wd
    @ResticiousMallya-bg5wd ปีที่แล้ว

    Strong woman ❤

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 8 หลายเดือนก่อน

    Tupo wengi tu tunaowaunga mkono wanachama la wana insh allaah mtarudi

  • @haroldshangali1486
    @haroldshangali1486 9 หลายเดือนก่อน

    Na wewe uko vizuri ila ingia kwenye siasa safi

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 ปีที่แล้ว

    My favourite mtangazaji

  • @fredrickbaltazar819
    @fredrickbaltazar819 ปีที่แล้ว

    Mzee baba lambart upo vzr kaka, una kitu utafika mbari 😂😂

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 ปีที่แล้ว

    ❤ na kuku Bali jembe

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 ปีที่แล้ว +1

    Unawakilisha kwa chama gani ?

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 ปีที่แล้ว

    EASTER BULAYA NI MWANAMKE SHUPAVU NA MWENYE MISIMAMO ASIYEYUMBISHWA , ANA FOCUS MBELE NA NDOTO YAKE IKITIMIA ATASHUHUDIA ULIMWENGU, AMETETEA WANAWAKE WANYONGE HATA BILA KUJITANGAZA MITANDAONI. MWANDISHI UNAMUULIZA MASWALI YENYE NGUVU YA KUMFAHAMU EASTER BULAYA NA MWANDISHI MWENZAKO PIA. BUG UP.

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 ปีที่แล้ว

    Sana Sana mama chendema juu

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 8 หลายเดือนก่อน

    Dar 24 huyo sio Mbunge wa Chadema acha kutuletea mikosi wewe

  • @ngenzaprimaryschool9508
    @ngenzaprimaryschool9508 ปีที่แล้ว

    Dada bulaya songa mbele dadaa

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 ปีที่แล้ว

    Sorridarity=Solidarity

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    ATAWEZAAAA, KUJIUZULU SI KAZI NINI?. 😅😅😅

  • @YekoniaKusiluka-jt2ju
    @YekoniaKusiluka-jt2ju ปีที่แล้ว +1

    Mwandishi acha unafiki hao sio wabunge wa chadema

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 ปีที่แล้ว

      Unakuhusu nini. A heni atusaidie wanyonge

  • @thomaskabungo2211
    @thomaskabungo2211 ปีที่แล้ว

    Huyo ni ccm ndugai

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 ปีที่แล้ว

    Bulaya nimempenda bure

  • @georgelukas1272
    @georgelukas1272 ปีที่แล้ว

    Huna jipya wwe kumbali imeisha hiyo

  • @maspro6294
    @maspro6294 ปีที่แล้ว +3

    Na muulize amesha acha kusagana Na Mdee visimi vyao

    • @halidnaamo6156
      @halidnaamo6156 ปีที่แล้ว

      Unaushahidi,na hata kama unaushahidi sisi Wtz hoja yako hiyo inatusaidia nini na faida yako nini?

  • @user-ns2yo1fj9x
    @user-ns2yo1fj9x ปีที่แล้ว +1

    Atukutaki msaliti, umefata ahuahu

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 ปีที่แล้ว +2

    upuuz mtupu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 9 หลายเดือนก่อน

    Wabunge waccm wanafanya maigizo bungeni kwatuaminisha eti wanatupambania, huuniupumbavu zaidi yakiwango, kwanini hawataki katibampya yenyemisingirafiki naraia kwahiyo wasituchezee tunataka katibampya basi mengine yatajinyokea yenyewe,

  • @SeifuNassoro-po6rb
    @SeifuNassoro-po6rb ปีที่แล้ว +3

    Nyinyi wasaliti

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql ปีที่แล้ว

    Cku nyingin bc begi la mheshimiwa mliweke vzr aseee hapo hapo knamuhoji public figure tena MBUNGE haswa kitu pembn kuna mkoba wake kwel😂😂😂 too local

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 ปีที่แล้ว

    Hana shukurani huyo, leo angekuwa hana UBUNGE wa kupewa angekuwa kisha zimika, chadema ulisha fukuzwa

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 ปีที่แล้ว

      Sawa,lkn anatutetea. Inajisikiaje?

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 ปีที่แล้ว

    Watu wanadai hela zao zimekaliwa kwenye mifuko yao wahuni sana hawa jamaa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 9 หลายเดือนก่อน

    Wabunge wamaccm hawaminiki wanatabia yaubinafusi hawana akili yakufikilia maisha yavizazi vijavyo wakopale kwamasilahibinafusi hojazamaccm nizakishenzi wanafanyamaigizo tu , tubadrishe mfumo unaoajibisha kuanzia raisi hapondipo tutakuwa salama

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 9 หลายเดือนก่อน

      Wanatwaminisha wananchi kutusemea kwenye mfumo mbovu usiyoajibisha mafisadi wanchihii, maanayake wanafiki, kwanini wameshindwa kubadirisha katibahiimbovu hapo tutaona ukamilifu

  • @benjaminyakobo7792
    @benjaminyakobo7792 ปีที่แล้ว

    Dada hogeleni saana wewe pamoja na mdee kazeni mioyo

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 ปีที่แล้ว

    Makamu was Rais asichukue nafasi ya Urais Rais anapofariki au jujiuzuru. Nafasi hiyo itangazwe uchaguzi ufanyike naye Makamu wa Rais agombee na Watu wengine .Faida ya Jambo hili ni kuepuka Makamu wa Rais kumhujumu Rais wake akijua kuwa akitoka,. yeye atakuwa Rais wa nchi.

    • @user-sz7jx1jd6h
      @user-sz7jx1jd6h ปีที่แล้ว

      Makamu wa rais Hana ubavu wa kumhujumu rais aliyepo madarakani kwanza ukumbuke makamu huaga mgombea mwenza wakati wa uchaguzi na huteuliwa na huyo rais mtarajiwa, pili huo ulinzi anaokua nao rais aliyemadarakani hakuna awezaye kumgusa ispokua MUNGU tuu na tatu utaratibu huo wa makamu kuchukua nafasi umewekwa kwa kuwa kifo kipo wakati wote na kuendesha uchaguzi ni jambo kubwa lenye gharama kubwa mno. Hakuna makamu anayeweza kumhujumu rais bila rais mwenyewe kujua na kuchukua hatua stahiki

  • @user-sz7jx1jd6h
    @user-sz7jx1jd6h ปีที่แล้ว

    Esta hebu tueleze ukweli sisi mashabiki wako hivi ilikuaje mpaka mkaapshwa kuwa wabunge waviti maalumu wakati chama chenu hakikuyatambua Wala kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu na kwamba hakitapeleka wabunge wake kushiriki bunge la jamhuri ya muungano? Nini hasa kilitokea dada Esta?

    • @ladislausriwa7768
      @ladislausriwa7768 ปีที่แล้ว

      Lakini chama chao hicho kina mbunge wa Jimbo hakihojiwi kinapokea ruzuku ya matokeo ya uchaguzi huohuo na hakihojiwi ila hawa? It is not fair

    • @user-sz7jx1jd6h
      @user-sz7jx1jd6h ปีที่แล้ว

      @@ladislausriwa7768 Wacha swali lijibiwe usilete unafiki kwanza huna ushahidi wa hayo unayoyasema mwache esta anijibu swali langu!!!!!