Hili goma kweli halinaga swaga ila ni msumali wa moto kwa wanaolopokalopoka kama mtoto wanaokiita lunya ila sijaelewa ishu ya Loma hapo dah ila hili ni jiwe ❤❤❤❤ Kama Kuna anaepingana na hiii ngoma basi kaenda na wapembeni akati sisi tunaenda na wakati🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo naenda nawakati kesho naenda na wapembeni........asa shuka la nini wakati mgeni mwenyewe maaasai.....kifua cha uji wa ulezi.......roma wa nini huyu kwanza unamficha kwa voko acha wadiscuss.uhisi unacho ambacho huna .......10/10 unajua mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
"""Mwenye kiti si ukae,, au kauka nikuvae""" Tunaanza na kauka nikuvae.. maana yake ukivaa nguo ambayo nikauka nikuvae, haijakauka vizuri inakuwa inawasha mwilini,,, na ule ubichiubichi..... Kuna Madogo wa hip-hop wanajiona ndo wenye kiti Cha hip hop.... Ndo anamwambia,,, Si ukae au ndo unawashwa.... Maana yake mtu anaewashwa anahangaika mara akae mara ajigeuzegeuze,,,, Yani anarukaruka ..... 🔥🔥🔥🔥🔥
@@saleheabdallah5461 wenye uelewa mdogo ndo huwa wanamshabikia mbuzi sikiliza verse ya kwanza ni album mbuzi kagoma kwenda 😀😀😀😀👇👇👇th-cam.com/video/4IIgtXoVtQg/w-d-xo.htmlsi=MzNKfGkrMHv17B-V
UZURI NI KWAMBA HUYU MSUKUMA HAJAWAHI KUKISS AZZ YA MDAU YOYOTE ANAAMINI KWENYE TALENT YAKE..... something many Tz cats cannot live without. binafsi im happy we still have main stream rappers who can speak their minds without hesitating about wadau fake waliojaa drama. (mamae akina Petwoman)
Kwa mara ya kwanza nimecomment kwenye goma la mwaka nikiwa wa 3 hili goma ni kali Paragraph na Young K....... wakisikia hii watajichimbia sehemu walie
Kichaa katoka mirembe watoto wadg wot tulieni 😂😂
Yeah
Lunya kajichanganya kwa ngosha
Msodokiiii
Naona mipira inachezewa sheli
walio sikiliza mala mbili kama mimi tujuane kwa like
mie zaidi ya mara tano
ivyo yani
Dangerous
Disi yanga izi extravaganza 💪
Bonge ngoma
Mimi fan ya huyu jamaa tanguy dear gambe...nawaombeni likes from KENYA😊😊
Disi yanga izi extravaganza 💪
Ongea vizur wewe unatuaribia lungha yetu
Kwanza nyie c ndo mlisema mziki wetu upo kimya
Kutoa ni moyo,,,so Figo ni kujumlisha,,,like zake jmn
Nyimbo Zake kumi ni sawa na iyeeeee
Disi yanga izi extravaganza 💪
Sjawahi kuomba like, ila kwa ukali wa hii ngoma naombeni ata moja tu
Disi yanga izi extravaganza 💪
Naombeni hizo like mimi ndo wa kwanza kucoment hapa 👑
Disi yanga izi extravaganza 💪
Disi yanga izi extravaganza 💪
Mr sinaga swagga mm Leo ndo nime anza Ku kufatiya naomba like Ili moyo🫀🫀 uzame kwako miLele Amina boy from DRcongo 🇨🇩🇨🇩
Disi yanga izi extravaganza 💪
Alafu kuna kijamaa kibana pua kelele nyingi kina kuja kushindana hapa chizi kweli yule KING msodoki 1 tuu........SINAGA SWAGGA 7💥💥🔥🔥
Acheni Kumfananisha Huyu Msukuma Na Rappers Wenu Wa Ajabu Ajabu!! ✊🏾
Sure
Mtaje tu kutomfananisha na lunya😅
Disi yanga izi extravaganza 💪
Tulio rudia kuskilza zaid ya mara 5 tujuane😅 kunawatu wametajwa humu😂
Sasa msodoki ww babalao from now and on kama unamkubali mwanetu gonga lake zetu hapa mwanza mwaza 💪
👏👏👏👏
From drc🇨🇩 kama unamkubali youg killer msodoki weka like apa 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥
Disi yanga izi extravaganza 💪
Kama unatoka Kenya 🇰🇪 na unamkubali killer weka like
We mpumbav huon tumedisiwa 😂😂😂
@@SammyTv-zx7bynae alidiss pia
Disi yanga izi extravaganza 💪
Young killer stail zako za video huwa zinanikosha.... Kama wiz khalifa vile🙌🙌🙌🙌
Disi yanga izi extravaganza 💪
Félicitations Artistes Young msukuma Im from Congo drc 🎉🎉 🇨🇩 On ensemble
Hakuna kinachosalia mfukoni kwa sababu hakuna kanisa, nipeni hizo like sasa
Hapa akimaanisha nini?
Yule young nasikia " kwao ana BA KWA NYUMA" HIyo imeenda kabisaa😊
Mhuni sana huyu mwamba hapo basata hata kwa tebo ya 2 haishi hiyo 😂😂😂
Home. Boi
nilikuwa naitafuta hii comment
Su - MAKU
Bila d mbili
💥✌ mu uwe alafu uni atchiye ni mzike oyo dogo na izi rapu kiswahili zakongo zilizo na machango ya lingala
Jamani naombeni na mm like zangu huyu jamaa fire 🔥
Hili goma kweli halinaga swaga ila ni msumali wa moto kwa wanaolopokalopoka kama mtoto wanaokiita lunya ila sijaelewa ishu ya Loma hapo dah ila hili ni jiwe ❤❤❤❤
Kama Kuna anaepingana na hiii ngoma basi kaenda na wapembeni akati sisi tunaenda na wakati🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo naenda nawakati kesho naenda na wapembeni........asa shuka la nini wakati mgeni mwenyewe maaasai.....kifua cha uji wa ulezi.......roma wa nini huyu kwanza unamficha kwa voko acha wadiscuss.uhisi unacho ambacho huna .......10/10 unajua mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
Haturudishi walioenda tuko bize na waliopo🔥🔥🔥🔥
Mzigo WA🔥 saaana
@@Georgevasco-ld8be 🔥🔥 hizi ndo Ngoma zinazoishi
@@SidniAlly hukuti ikichuja Leo wala kesho🔥
Yaaah mahn🔥🔥
Usiwe kama stranger mwili huwez jengwa Kwa kokooto 😅😅
Rap shit wakina naniii waje waibe maujuzi na album zao mnovuuuu,,,gaddam hii ni like shwaaa😂😂
Kuna mstari mmoja sizan kama kuna yeyote kauelewa kanasema ... Mwenyekiti si ukae, au kauka nikuvae... daah killer ni muuaji
Hapo ana mana gn
Kuna mxtar unaxema. No cap no mzula ki alhaj🙌🙌🙌🙌
.nguo n moja kila siku anavaa iyoyo..ndio maana ya kauka nikuvae so hapa mwenyekiti hawezi kukaa coz nguo alovaa bado mbichi haijakauka vizur 🙌🙌🙌
😂😂🙌🙌🙌🇹🇿
Mwenyekiti siukae😂😂 ameomba sana kiti Aya akae sasa😂 afu dogo kauka nikuvae mama mamaee
nime sikiliza mala 100 naombeni like zangu
Unafki utakuua..
Disi yanga izi extravaganza 💪
Oya huu ugaidii tuliukosa kitambo sana 👊 SKUDAI TENA🚶
Disi yanga izi extravaganza 💪
Huu ni ugaidi sana huu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😭 I can't stop crying like a kid, We jamaa unajuha mpaka unakera. unajua..kuandika mamae!
Namuomba ..mungu Afanye tufe siku moja.
"""Mwenye kiti si ukae,, au kauka nikuvae"""
Tunaanza na kauka nikuvae.. maana yake ukivaa nguo ambayo nikauka nikuvae, haijakauka vizuri inakuwa inawasha mwilini,,, na ule ubichiubichi.....
Kuna Madogo wa hip-hop wanajiona ndo wenye kiti Cha hip hop....
Ndo anamwambia,,, Si ukae au ndo unawashwa.... Maana yake mtu anaewashwa anahangaika mara akae mara ajigeuzegeuze,,,, Yani anarukaruka
..... 🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂usinitunishie kifua kilicho jaa uji wa ulezi😂😂 young killer 🙌
Tushanyoa vichwa vya habar afu mipango tukasuka🔥🔥
Nilijua ni mwana kumbe we kundu-wamzimbazii😅😅
Disi yanga izi extravaganza 💪
Tuliorudisha rudisha tena kusikilizia mstari wa nyuma like hapo.... Me sinaga shobo hata Kwa nasibu abduli..😂
ngoma ni kali sasa na shangaa huwa mnaomba like zanini kwani zina wasaidia nni come on guys 🙌
Wanakeraga hao jamaa
Unajua sana mwanangu hii ngomaa ni album ya mbuzi kagoma kwenda😂😂😂😂
Naona mbuzi kajisfia mmemsema ila young killer kajisifia ila mmenyamaza
@@saleheabdallah5461 wenye uelewa mdogo ndo huwa wanamshabikia mbuzi sikiliza verse ya kwanza ni album mbuzi kagoma kwenda 😀😀😀😀👇👇👇th-cam.com/video/4IIgtXoVtQg/w-d-xo.htmlsi=MzNKfGkrMHv17B-V
Hahaha we jamaa umefanya nimecheka sana
Mbuzi kila ngoma anajisifia
@@saleheabdallah5461ujue killer anaongea facts ila lunya kila ngoma jau😂
Hawana vigezo vya kuwa wapinzanu🔥🔥🔥
USAMAKI sio UNYAMA 😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
We kweli sukuma😂😂
kama unaamini msodoki is the rap God leteni likes. From kenya young Lunya tunamvalisha dera
Naamm Hii nyenyewe kabisa.hii ndo Ngoma bora ya rap Kwa mwaka 2024
Sijawah pata like wakuu ata hii asee...sema me mchoraji nipeni subscription wakuu wekeni na Oda ✏️🫶🏾🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Disi yanga izi extravaganza 💪
Hili goma ni kali sana, naomba likes za killer na producer wake palla midundo 🔥🔥🔥🔥🔥
kama kutoa ni moyo basi figo ni kujumlisha,,,mkali wetu a big fan from 🇰🇪❤😂
Asiyemwelewa huyu dogo akapimwe akilo
Eti ana-bakwa-nyuma "ana bar kwa nyuma" punchline 🔥
Gonga like acha udwanzi ww ,,,Ngoma ya moto hii🔥🔥🔥
Dude la mwaka sio wale wanna jiita buumzii 😅😅😅😅 msukuma mjanjaaa 🙌🙌🙌🙌📌🔥🔥🔥🔥👑👑👑👑👑 NIMMOJA TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Na waamini wasukuma ndio wa kwanza kugonga pas nakuingia Nairobi 😎
Huyu jamaa anamjua sana kuimba❤❤
🔥🔥🔥
Kwenye ukweli tuongee...
Dude kali...
#competition muhimu lakini ✌🏻
Ningekua na uwezo ningemueka msodoki na con boi kwenye biti ya lufa
Ingekaaa poa sana Man
😂😂😂😂😂 daaah umewaza nnacho kimiss mwanang
Umewaza mbali master kila siku nawawazia ivo bongo moja la hit naliona hapo
Sio kila Young ni Killer!!! Sio Michano tu hata Futaa hawakuwezi.. 🎉🎉🎉
Content hatr saan mkal!killer always killing bro
Gonga like kwa killer wanang🙌🤝
Dream come true unatak kuwek heshima baa kwa buku🎉
Mkali sana uyu jamaa
Wanaonipanda kichwani wananipa siti ya dirisha💥💥
THe GREATER RAP of Tanzania 🇹🇿 msodoki❤❤❤❤ no swager kabisa🎉🎉🎉
Nilizani friend, kumbe we-kundu wa msimbaz 🔥🙌🙌😂
Huyu ndo kendrick lamar wa 255😈🔥🔥🔥
Hamna Kendrick apo😅😅😅
Mtoto wajana huijui hip hop bola uvunge tuu😂😂@@dadyvypa
Young Killer Mwanza Mwanza
Young lunya ni mpiga kelele tu broh bendachiiiii zeee la kuedit😂😂
@@Science-concept1234 Iko waziii!!!!!!!!!! Damu yang
UZURI NI KWAMBA HUYU MSUKUMA HAJAWAHI KUKISS AZZ YA MDAU YOYOTE ANAAMINI KWENYE TALENT YAKE..... something many Tz cats cannot live without. binafsi im happy we still have main stream rappers who can speak their minds without hesitating about wadau fake waliojaa drama. (mamae akina Petwoman)
Sawa kabisa ila umekawia kuwa jibu...💣💣💣🔥🔥🔥🔥🙌🙌ingine kama hiyo msukuma mjanja
Nyieeeeee 🙌🙌 we here again Msodokiii mwanangu wewe haunaga shobo naelewa kbs
Sanaaa msodokii🔥🔥🔥
This work is the masterpiece, killer anajua mno.no body like this dude
My favorite rapper 🙌🙌🙌🙌🙌
Kumbe We Kundu wa msimbazi 😂😂😂😂
Bongo hiphop ni mmoja tu MSODOKI
😂na DIZASTA
Tunao sema ngoma kali like hapa
Achana na anavocha chana hanaga swaga kabixa, big killer num one, leo kivumbi leo mtazamaji haya kula chuma 😮
😂😂😂 rapper wangu Bora wamda wote 😢 nakubari 🔥🔥🔥🔥✊ day yes tutasimama ote on stage
msukuma mjanja haturudishi walioende tuko bize na waliopo
Apo 3:03 np
KUMAMAMAMAAMAMAEEEEE KILLLER 🔥FIRE
Young killer najiskia fahar sana nikimwita young Pele maana hip hop inamjua mpaka inampa siti ya mbele. ❤❤❤❤ salute young Pele killer.
Huyu ndo msanii wa hiphop ,tunae mheshimu,
It’s time to wake up!!! Young killer msodooookiiii shoutout Sanaa kaka 🤛🤛
Classic sounds sio kila young ni killer 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤜🤛💪
Wakukaya🙌 super mwenye nyota sio waganga wa tangawizi😀
killer mtu makini muda wote na ngoma kali imetulia 🔥🔥🫂✅✈️🇺🇸
Nilidhani friend kumbe we-kundu wa msimbazi😂😂😂😂
Oyaaa weeh nimesubir sana hii midondoko ya mzee killer aiseee oya ni moto tu kmk💥💥🔥
Baada ya wiki mbili mmeondoka wote😢 Nan bado yupo🙌
Always kaka we ni mkali nakukubali sana na mimi ninaimba kama wewe young killer forever sinaga swagger
Album nzima imejibiwa na ngoma moja😂
Ameweka maji ya ugali wageni wamekuja kayaogea😂
😂😂😂😂 uyu mtoto mxenge xan
Hapa bongo huyu jamaaa hana upinzani kuanzia kuandika hadi kwenye kazi
Kumbi leo mtazamaji Kula chuma😂😂 mama maeeee
Unataka kueka heshima Baa kwa buku 😂😂😂😂😂i miss you to 🤞😂
My G young killer since day one 🙌🔥
Album ya Young Lunya ni sawa na ngoma moja Ya Young killer😅🎉🎉🎉🎉 Respect kwako king killer Young........
Hapa kaka nadhani ukitumia formula hii ndo UTAPATA jibu sahihi (sinaga swaga season 7÷3=albamu ya young lunya)maana naona hakuna usawa kabisa
@@TanakabjTuendelee kuenjoy HipHop ni maishaa halisiii Fazaa
hili pini nilikuwa sijalisikiliza khaa.. ni🔥🔥🔥 mbuzi kagoma ajipange kwakwer sio young ni killer tofaut na killer mwenyewe.
Yani minaga swaga kabisa😂😂😂 Young killer
Kendrick Lamar wa bongo💪
Young killer 🔥🔥🔥
Tupa like from 254
Rapa namba1 East Africa 🔥🔥🔥
Shida kanguza kubaya..Kenya mko wapi wamekuza tena mtoto wetu....nagoja OJ aseme kitu...bt chuma Kali...
🎉🎉🎉🎉 oya hupingwi mzeee kkkaleee sanaaaaaa
"Kama kutoa ni moyo basi figo ni kujumuisha"🔥🔥🔥🔥🔥
Machungu yatabaki Kwa watawaliwa💥
jamaaa utengwe bongo co level zako kaka unajua adi unakera
Kali sana bob
Ata mkiongea ufara na mikwara mi sina hofu🔥🔥
Msodokiiiiiiii 😂😂😂😂
The sun 🔥🔥🔥🔥🔥
Nilichokaliliumuuu mpak saiviii we kundu msimbaziii na maku😂😂😂
Achia ngoma nyingin baba uwanyamanzishe marapa wanaopigq kelele
Dah! daah daah daaaadadada🎉 maua tu