SIRI ya MAFANIKIO ya WACHINA - JINSI WALIVYOITEKA DUNIA na KUFANIKIWA KUFICHA TEKNILOJIA ya MAREKANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- SIRI ya MAFANIKIO ya WACHINA - JINSI WALIVYOITEKA DUNIA na KUFANIKIWA KUFICHA TEKNILOJIA ya MAREKANI...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Long time ago i try this tactics it's amazing
Nakukubari sana napenda unavyotuhabarisha hongera sana
Asante, nimejua,nisiyoyajua kupitia taarifa zako.
Bonge la documentary kazi nzuri sana🤜🤜
Nyerere aliona mbali kwenda kuwa urafiki na mchina kabadilisha mchezo kajitafuta kajipata
Du hatali sanawewe
Hakika, hii umeidadavua vema kabisa.
Denis!! Denis!! Denis!! Denis!!
Hapa umeua. Tunafunga mipaka tusiuze chakula nje....
Nani zaidi😁
Hongera kwa kutoa elimu safi maisha bila maamzi magum hakuna mafanikio.
Accepted,, digested,, planted,, in un limited field,, congratulations
Denis Mpagaze na msemaji wako,BIG UP
Inapendeza sana iyo
Duu brother nimekuelewa sana, na nimejifunza mengi sana
SAFI SANA.
DENISI, HAKIKA HATA WEWE UNA AKILI MNO.
This is Messages and i take it bro,thnk's.
Peter Mtui,nadhani kama waafrika tukijifunza uwajibikaji kuanzia kwenye familia zetu tutafika mbali hata kama hatutowafikia wachina na wazungu lakini tunaweza kufika mahala fulani pazuri "huwa nawaza unakuta mwanafunzi anasomea maswala ya engineering lakini barabara za rafu roads zinafanyiwa rehabilitation and construction na wachina " huwa nashindwa kuelewa mainginia wetu huwa hawawezi kutengeneza hata rafu roads
Nakapenda sana
Asante sana kaka
Amini ligonde, nakubali sana unavyotangaza
💯💯💯💯💯 saivi Tz inaweza kuwa inaongoza Kwa kuwa MACHINGA NA OMBAOMBA WA DUNIA 😮😮😮😢 INATIA AIBU NA HURUMAAAAAA , VIJANA TUAMKE TUFANYE KAZI , TENA WATANZANIA TUFANYE KAZI HASWAAA MAANA TUKO KWENYE HATARI YA KUWA OMBAOMBA WA DUNIA NA WATUMWA WA MWENDO KAZI ,MAANA HATUELEWEKI , TUAMKE 😢
Ni kweli lakin serkali inatakiwa kusimama kidete kuwasomesha Wazawa na kila senti ifanyiwe maendeleo ya kweli na siyo yale ya bomoka kwa mda mchache
Tanzania tunahitaji wageni kutoka nchi mbali mbali namini wageni huongeza ukuaji wa secta ya biashara katika ngazi nyingi kwa kupanga nyumba za biashara,nyumba za kulala,ununuaji wa mazao na kutumia usafiri wa anga na vitu vingne mlipuko wa maendeleo utakuja kwa haraka sana
Nice information to those who are well in the mind
Upo vyema 🎉🎉🎉🎉 habar zurii
Store nzuri sana ila baadhi ya maneno ya kitoto nayasiyoya hekima kwa Watu wazima kusikiliza
Leo nitachelewa kuja mzigoni jana nilizima.....
🎉🎉🎉🎉🎉 very beautiful job
Nakubali brother ubarikiwe
Very informative, bravo 🔥🔥🔥
Upo sahihi kabisa kiongozi Africa kazi lawama kwa viongozi lkn shortcut life
Shukrani
Hatar sana
Upo smati kaka
Kazi nzuri
Aiseee imenifunza mamboo mengiiiii
Sisi hatuwezi kufika coz mifumo yetu yakiserekali haimfikirii mwananchi wanaangalia wao wanaingiza nn kila kikicha wafanya biashara wanapandishiwa kodi tunaoumia ni sisi wanjnuaji wamachinga wanafukuzwa kila sehemu
Tumekuwa wazungumzaji na wasiklizaji wazuri tu lakini si watekelezaji wa Yale yanayozungumzwa kwa vitendo
Bro you are to the sky, no one does this.. choose one
Iv kweli marekan anaweza kukopa china?
America ni ndio Dunia
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Kkkk Wewe kaka unachekesha sana maongezi yako, yani unanogesha kabisa.
Upo vizur
Saw
Oya wanaakili kweli
ungeeleza tu kwa wepesi majungu kibao unaharbu content
Amini likonde mwambaaa
amin kikonde unatumia jina Gan is
Mmh hii nikama anakopi Ananias edigar
Kwa hiyo Kama anakopi tufanyaje? Kama hutaki acha msikilize mwingine!
🎉🎉🎉🎉
Chine🇨🇳 ni balaaa😂😂❤
Ukweli mtupu
Nataman ungekuwa Rais
Bajeti ya magari billion 200+ unapewa msaada billion 8.9😢
Korea kusin haina ahida na marekan
Kula SI dhambi
Watawala wetu wazamani walikua wanaelimu ndogo lakini akili Yao illikuwa kubwasana, ambapo Walikuwa wanaona mbalisana aiisee. Kwammfanno nyerere aliwafukuza wazungu. Akawazuia kuchimba madini akasemma watachimba wanae wakiwa naaakili. Sasabasi wanae wenyewe aliokuwa akiwasema ndo hawa leo wanao binafsisha bandari na kuwauzia wazunngu maeneo Yao yenyeraslimalli nnyinngi, Nyerere maeneo yaliokuwa na madini nyerere aliweka kambi zakijjeshi na kujenga mashure na taasisi mbalimbali . Ila sasa hawa biongozi ambao nyerere aliokuwa akiwategemea kuwa ndowatakao likomboa taifa ndo wana biinafsisha aridhi migodi bandari na kkuuwa viongozi wenyedhamira nanchiyao. Jamani biongozi wetu amkeni dhammana uliyonayo leo ndo hatimayako yakkesho. Watanzania Tunalia machozi Yadamu kumbuka hayatekketei Bure.
Inabdi viongozi ndo wazinduke
Ila hapo kwenye drip mmekosea
❤
awana udini
China imetuacha mbali
Sio kutuacha imewaacha hadi wazungu wengi tu
👊🏼🤞🤞🤞🤩
Awo wezi
Na amerika ni jambazi
Ndio mana muheshimiwa magu alikua anasisitiza watu tufanye kazi
Kuhusu hilo jua wala usiogope kwani wao walitengeneza korona na ikawachapa wenyewe
I have not been to the USA but China is very bad for business. All European countries, China is economically depressed. many young people in Africa are taking products from China and coming to sell in their countries and they are very successful. It's not because I don't like the USA, China has completely opened up the world to us. God bless China and its government. They have not made it difficult to enter China as it is in the USA. China does business with anyone, countries like USA only do business with big countries. I say thank you very much to China for opening up Africa. All the big construction projects are done by the Chinese in Africa, especially in my country Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. It is now time for China to become a powerful nation 🌎 economically, politically and militarily.
You will not hear that China has sent its troops to Pakistan, Iraq or Afghanistan. That is, their lives are busy with their affairs. Aiseeeee China salute you guys. Electric cars have become a big deal in European countries. I say 3 times
China, China, China GOD BLESS YOU. Although they have their shortcomings, China is the best of the best
Na wapenda hawa jamaa balaa.
China ikoo juu hao wamejenga Kwanza nchi yao wamejitolea jeshi lao ndio limejenga hio nchi hata hapa kwetu Kama jeshi litawezeshwa uwezo huo unawezekana
PONGEZI KWA DENISI MPAGAZI HONGERA UNAELEWEKA VIZURI SANA
Kweli kabisa,
Kukazana kujenga Hospitali kila kona si tija.
Tija ni kukinga kuzuia.
Unasema hatuna viwanda!!
Mbona majuzi nasikia tuna viwanda 13 vya KUTENGENEZA MAGARIA🤣🤣😆😆🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Tuchinje wahalifu watatu nchi itanyooka
Eti!! Ukiwashauri vijana wekezeni kwenye kilimo wanakwambia mtaji atatupatia nani!!!!...🤣🤣🤣
China kwa Africa ujenzi wa bure
Hakika china ni kweli ,ila kufanya nao KAZI pia akili inatakiwa maana kiuhalisia wanameza na kuondoka na kila kitu ,
Ila falsafa zao ni safi na naziunga mkono