SIRI ya MAFANIKIO ya WACHINA - JINSI WALIVYOITEKA DUNIA na KUFANIKIWA KUFICHA TEKNILOJIA ya MAREKANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • SIRI ya MAFANIKIO ya WACHINA - JINSI WALIVYOITEKA DUNIA na KUFANIKIWA KUFICHA TEKNILOJIA ya MAREKANI...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 79

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +22

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @kelvinwanjo186
    @kelvinwanjo186 หลายเดือนก่อน +2

    Long time ago i try this tactics it's amazing

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de ปีที่แล้ว +9

    Nakukubari sana napenda unavyotuhabarisha hongera sana

  • @ALAFIT-kt9lq
    @ALAFIT-kt9lq 4 หลายเดือนก่อน +3

    Asante, nimejua,nisiyoyajua kupitia taarifa zako.

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bonge la documentary kazi nzuri sana🤜🤜

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว +13

    Nyerere aliona mbali kwenda kuwa urafiki na mchina kabadilisha mchezo kajitafuta kajipata

    • @OmaryMwacha
      @OmaryMwacha 3 หลายเดือนก่อน +1

      Du hatali sanawewe

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika, hii umeidadavua vema kabisa.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 3 หลายเดือนก่อน

      Denis!! Denis!! Denis!! Denis!!
      Hapa umeua. Tunafunga mipaka tusiuze chakula nje....
      Nani zaidi😁

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera kwa kutoa elimu safi maisha bila maamzi magum hakuna mafanikio.

  • @JUMANNEMANYANDA-ow7gw
    @JUMANNEMANYANDA-ow7gw 11 หลายเดือนก่อน +3

    Accepted,, digested,, planted,, in un limited field,, congratulations

  • @baluhyaandrew1564
    @baluhyaandrew1564 5 หลายเดือนก่อน +2

    Denis Mpagaze na msemaji wako,BIG UP

  • @LameckKambuga
    @LameckKambuga 2 หลายเดือนก่อน +2

    Inapendeza sana iyo

  • @GodfreyMeshack-gy2yt
    @GodfreyMeshack-gy2yt 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duu brother nimekuelewa sana, na nimejifunza mengi sana

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 4 หลายเดือนก่อน +1

    SAFI SANA.
    DENISI, HAKIKA HATA WEWE UNA AKILI MNO.

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 ปีที่แล้ว +2

    This is Messages and i take it bro,thnk's.

  • @PeterMtui
    @PeterMtui 2 หลายเดือนก่อน

    Peter Mtui,nadhani kama waafrika tukijifunza uwajibikaji kuanzia kwenye familia zetu tutafika mbali hata kama hatutowafikia wachina na wazungu lakini tunaweza kufika mahala fulani pazuri "huwa nawaza unakuta mwanafunzi anasomea maswala ya engineering lakini barabara za rafu roads zinafanyiwa rehabilitation and construction na wachina " huwa nashindwa kuelewa mainginia wetu huwa hawawezi kutengeneza hata rafu roads

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 หลายเดือนก่อน

    Nakapenda sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kaka

  • @pyeremsafiri
    @pyeremsafiri 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amini ligonde, nakubali sana unavyotangaza

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 หลายเดือนก่อน +2

    💯💯💯💯💯 saivi Tz inaweza kuwa inaongoza Kwa kuwa MACHINGA NA OMBAOMBA WA DUNIA 😮😮😮😢 INATIA AIBU NA HURUMAAAAAA , VIJANA TUAMKE TUFANYE KAZI , TENA WATANZANIA TUFANYE KAZI HASWAAA MAANA TUKO KWENYE HATARI YA KUWA OMBAOMBA WA DUNIA NA WATUMWA WA MWENDO KAZI ,MAANA HATUELEWEKI , TUAMKE 😢

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli lakin serkali inatakiwa kusimama kidete kuwasomesha Wazawa na kila senti ifanyiwe maendeleo ya kweli na siyo yale ya bomoka kwa mda mchache

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 หลายเดือนก่อน

      Tanzania tunahitaji wageni kutoka nchi mbali mbali namini wageni huongeza ukuaji wa secta ya biashara katika ngazi nyingi kwa kupanga nyumba za biashara,nyumba za kulala,ununuaji wa mazao na kutumia usafiri wa anga na vitu vingne mlipuko wa maendeleo utakuja kwa haraka sana

  • @titombizo6941
    @titombizo6941 ปีที่แล้ว +1

    Nice information to those who are well in the mind

  • @MihayoBalele
    @MihayoBalele 2 หลายเดือนก่อน

    Upo vyema 🎉🎉🎉🎉 habar zurii

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 23 วันที่ผ่านมา

    Store nzuri sana ila baadhi ya maneno ya kitoto nayasiyoya hekima kwa Watu wazima kusikiliza

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 ปีที่แล้ว +3

    Leo nitachelewa kuja mzigoni jana nilizima.....

  • @daudchola
    @daudchola 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉 very beautiful job

  • @AyubuMashaka
    @AyubuMashaka 2 หลายเดือนก่อน

    Nakubali brother ubarikiwe

  • @daudbenard4800
    @daudbenard4800 2 หลายเดือนก่อน

    Very informative, bravo 🔥🔥🔥

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 4 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi kabisa kiongozi Africa kazi lawama kwa viongozi lkn shortcut life

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 5 หลายเดือนก่อน

    Shukrani

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 2 หลายเดือนก่อน

    Hatar sana

  • @MohammedAli-hz7to
    @MohammedAli-hz7to 11 หลายเดือนก่อน +1

    Upo smati kaka

  • @danielkagola6332
    @danielkagola6332 6 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 3 หลายเดือนก่อน

    Aiseee imenifunza mamboo mengiiiii

  • @cholombuda1658
    @cholombuda1658 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi hatuwezi kufika coz mifumo yetu yakiserekali haimfikirii mwananchi wanaangalia wao wanaingiza nn kila kikicha wafanya biashara wanapandishiwa kodi tunaoumia ni sisi wanjnuaji wamachinga wanafukuzwa kila sehemu

  • @RashidiSamandeko
    @RashidiSamandeko 2 หลายเดือนก่อน

    Tumekuwa wazungumzaji na wasiklizaji wazuri tu lakini si watekelezaji wa Yale yanayozungumzwa kwa vitendo

  • @PiusOnkangi
    @PiusOnkangi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bro you are to the sky, no one does this.. choose one

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Iv kweli marekan anaweza kukopa china?

  • @antonyndege6173
    @antonyndege6173 2 หลายเดือนก่อน

    America ni ndio Dunia

  • @Wmrbrack
    @Wmrbrack 10 วันที่ผ่านมา

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @ElisioVicenteMadimba
    @ElisioVicenteMadimba ปีที่แล้ว +6

    Kkkk Wewe kaka unachekesha sana maongezi yako, yani unanogesha kabisa.

  • @SelengaPius
    @SelengaPius 2 หลายเดือนก่อน

    Upo vizur

  • @erastobraiton9458
    @erastobraiton9458 ปีที่แล้ว +1

    Saw

  • @odenfundi
    @odenfundi 3 หลายเดือนก่อน

    Oya wanaakili kweli

  • @gadluck4362
    @gadluck4362 3 หลายเดือนก่อน

    ungeeleza tu kwa wepesi majungu kibao unaharbu content

  • @marijanimpapai6705
    @marijanimpapai6705 3 หลายเดือนก่อน

    Amini likonde mwambaaa

  • @BUTILANJIA
    @BUTILANJIA 4 หลายเดือนก่อน

    amin kikonde unatumia jina Gan is

  • @izack9191
    @izack9191 ปีที่แล้ว +1

    Mmh hii nikama anakopi Ananias edigar

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 6 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo Kama anakopi tufanyaje? Kama hutaki acha msikilize mwingine!

  • @MustafaMuhamed-i9t
    @MustafaMuhamed-i9t หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 4 หลายเดือนก่อน +1

    Chine🇨🇳 ni balaaa😂😂❤

  • @isackkamondo6588
    @isackkamondo6588 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mtupu

  • @DexVo24
    @DexVo24 2 หลายเดือนก่อน

    Nataman ungekuwa Rais

  • @SimonShoo-mw8nk
    @SimonShoo-mw8nk 2 หลายเดือนก่อน

    Bajeti ya magari billion 200+ unapewa msaada billion 8.9😢

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 3 หลายเดือนก่อน

    Korea kusin haina ahida na marekan

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 3 หลายเดือนก่อน

    Kula SI dhambi

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 5 หลายเดือนก่อน +2

    Watawala wetu wazamani walikua wanaelimu ndogo lakini akili Yao illikuwa kubwasana, ambapo Walikuwa wanaona mbalisana aiisee. Kwammfanno nyerere aliwafukuza wazungu. Akawazuia kuchimba madini akasemma watachimba wanae wakiwa naaakili. Sasabasi wanae wenyewe aliokuwa akiwasema ndo hawa leo wanao binafsisha bandari na kuwauzia wazunngu maeneo Yao yenyeraslimalli nnyinngi, Nyerere maeneo yaliokuwa na madini nyerere aliweka kambi zakijjeshi na kujenga mashure na taasisi mbalimbali . Ila sasa hawa biongozi ambao nyerere aliokuwa akiwategemea kuwa ndowatakao likomboa taifa ndo wana biinafsisha aridhi migodi bandari na kkuuwa viongozi wenyedhamira nanchiyao. Jamani biongozi wetu amkeni dhammana uliyonayo leo ndo hatimayako yakkesho. Watanzania Tunalia machozi Yadamu kumbuka hayatekketei Bure.

  • @YusuphMponde-cc4vq
    @YusuphMponde-cc4vq 2 หลายเดือนก่อน

    Inabdi viongozi ndo wazinduke

  • @deniesdmn2126
    @deniesdmn2126 5 หลายเดือนก่อน

    Ila hapo kwenye drip mmekosea

  • @claudekiza389
    @claudekiza389 4 หลายเดือนก่อน

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 4 หลายเดือนก่อน

    awana udini

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ ปีที่แล้ว +2

    China imetuacha mbali

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว

      Sio kutuacha imewaacha hadi wazungu wengi tu

  • @Konkaman
    @Konkaman 4 หลายเดือนก่อน

    👊🏼🤞🤞🤞🤩

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 5 หลายเดือนก่อน

    Awo wezi

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 5 หลายเดือนก่อน

      Na amerika ni jambazi

  • @joackimmwedimage6793
    @joackimmwedimage6793 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio mana muheshimiwa magu alikua anasisitiza watu tufanye kazi

  • @mangimosha95
    @mangimosha95 4 หลายเดือนก่อน

    Kuhusu hilo jua wala usiogope kwani wao walitengeneza korona na ikawachapa wenyewe

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 2 หลายเดือนก่อน

    I have not been to the USA but China is very bad for business. All European countries, China is economically depressed. many young people in Africa are taking products from China and coming to sell in their countries and they are very successful. It's not because I don't like the USA, China has completely opened up the world to us. God bless China and its government. They have not made it difficult to enter China as it is in the USA. China does business with anyone, countries like USA only do business with big countries. I say thank you very much to China for opening up Africa. All the big construction projects are done by the Chinese in Africa, especially in my country Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. It is now time for China to become a powerful nation 🌎 economically, politically and militarily.
    You will not hear that China has sent its troops to Pakistan, Iraq or Afghanistan. That is, their lives are busy with their affairs. Aiseeeee China salute you guys. Electric cars have become a big deal in European countries. I say 3 times
    China, China, China GOD BLESS YOU. Although they have their shortcomings, China is the best of the best

  • @donudonu2.r
    @donudonu2.r หลายเดือนก่อน

    Na wapenda hawa jamaa balaa.

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 2 หลายเดือนก่อน

    China ikoo juu hao wamejenga Kwanza nchi yao wamejitolea jeshi lao ndio limejenga hio nchi hata hapa kwetu Kama jeshi litawezeshwa uwezo huo unawezekana

  • @LawiNgakala-f1t
    @LawiNgakala-f1t 5 หลายเดือนก่อน

    PONGEZI KWA DENISI MPAGAZI HONGERA UNAELEWEKA VIZURI SANA

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa,
    Kukazana kujenga Hospitali kila kona si tija.
    Tija ni kukinga kuzuia.
    Unasema hatuna viwanda!!
    Mbona majuzi nasikia tuna viwanda 13 vya KUTENGENEZA MAGARIA🤣🤣😆😆🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 3 หลายเดือนก่อน

    Tuchinje wahalifu watatu nchi itanyooka

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 3 หลายเดือนก่อน

    Eti!! Ukiwashauri vijana wekezeni kwenye kilimo wanakwambia mtaji atatupatia nani!!!!...🤣🤣🤣

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 5 หลายเดือนก่อน

    China kwa Africa ujenzi wa bure

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika china ni kweli ,ila kufanya nao KAZI pia akili inatakiwa maana kiuhalisia wanameza na kuondoka na kila kitu ,
    Ila falsafa zao ni safi na naziunga mkono