🔴# LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAJI SEHEMU YA 2 - JAN 17 / 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
- 🔴# LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAJI SEHEMU YA 2 - JAN 17 / 2024
#efmtanzania #jioniyaleo #live #ripotiyaleo
- / @efmtanzania
Muziki Unaongea 🎶
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Eeh Mungu utujarie maisha marefu tuwalee watoto wetu😢
Mungu ampe adhabu Kali uyo mama
Eee Mungu uwalinde watoto wanaolelewa na mama wa kambo
tuko pamoja
Hebu wanaume ambao wana watoto wanaishi na mamawakambo hebu muwe muna wachuguza
Huyo mama ana roho chafu sana tuned 🇰🇪 🇰🇪
Haya Maisha ya kuishi na Mama wa kambo omba Mungu yasikupate uyasikie tu kwa mwenzio 😢😢
Aisee! Hajj an moyo jmn me yangenishind
Mung ampumzish baba angu wa kambo alikuw the best Dady ever 😢
Hongera Sana kwa kupata baba mwema hilo kwa wababa Ni kawaida kabisa kumlea mtoto km wa kwake japo sio wate pia
Mungu nimwema kilawakati tunajifunza kilaiitwaye leo
Dada Vero nimekuonaaa mwaaaaaah nakupenda dadaa
Kwan hii stor haina sehem ya kwanza mbona naitafta siioat
Hivi vipindi muviweke kwenye mfumo wa audio au basi kama mtaacha video muondoe sehemu za matangazo na ibaki video za kipindi pekeake
Uyo mama dah kama shetani apewe adhabu Kali sana mbinguni
Aisee hii simulizi najisikilizia machozi yananibubujika nawaza mwanamke unapata ujasir wa kunyanyaswa mtoto wa mtu aiseee M/Mungu niwekee nimulee mwanang
Wa kwanza Leo ❤
Vero leo hujaweka sumlizi yatarehe 18
Huyo mama anachokifanya ni zaidi ya roho mbaya 😢
Mwanaume kumkubali mtoto Wa mwanamke ni Rahisi sana, ila wanawake Sasa.
The story is so touching, haya mambo yasikie tu, omba yasikukute
Inonekana umeonja joto ya mams wa kambo
Mama wa kambo 😢
Kuna wakati watoto inatakiwa tuwasikilize sana
Mmmhhhh! Mungu tusaidie
mpaka nimelia machozi😢😢
Machozi yananitoka
Moyo unaniuma 😓@@winniefridamaiko2775
Inaumiza sana
Aise mpaka majozi yamenitoka jamani eee MUNGU wangu wa mbinguni nisaidie nimlee mtoto wangu jamani sio kwa haya maumivu anayo yapitia haji pole Sana
Acha Nitaabike na watoto wangu acha nitaabike kabisa
Yan katika maisha yangu namchukia mtu mwenye loho mbaya ya chakula jaman 🥲
Hata mimi
Mama.mdogo alishawaloga siku nyingi ndio maana hajji na baba yake walikua mazezeta tu juu ya huyo mama
Bora baba wa kambo wanajali sanaaaa jaman Mimi nina ushuhuda na baba angu wa kambo alikua ni baba mzuriiii sanaaaa kwetu pumzika kwa amani baba angu mzuriiii
Huyu baba haji angejifanya anasafiri halafu arudi kimya kimya ,angevizia ck moja, angejua ukweli
Eti kwishney hahahahahaaa da vero bhana🙌🙌 🇴🇲🇹🇿
Haya ni mambo ambayo wa mama wa kambo baadhi yao wanafanya dhambi kama hizo Ee Mungu wafinyange upya watu Hawa.
Duh hatari hiyo mungu atuweke jaman tu walee wanetu
Huyo Mama ni zaidi ya shetani
Dada veronika nakupat vinz san nikiwa oman jamaan huy mama mbon nyoka ten nyoka mweusi pole san haji
Wamama wengi mpo hivyo rekebisheni Mungu atawapiga
Jamani mbona yakwanza siipati
Mama wakambi baadhi Yao ni nyoka jamaniii😢
Nilimiss jana live sababu tulikuwa safarini 😢
Safarini wap ulienda?
Ukweli Haji mpumbavu ulishindwa kumsema huyo kwa baba yako
Yani paka machozi yame nituko wanaume munaroho gumu sn
Daah hii story ni ya uchungu sana
Wababa mjifunze kupitia maisha ya haji
Naskia kulia tu hapa Kwa hasira Yani 😭
Roho ya kishetani kbs hii
Kuna watu wana roho ngumu sana, Mimi ningeondoka hapo bora ningekuwa mtoto wa mtaani nikaomba omba, Nadhani baba angenielewa.
Mama wakambo wanamoyo ya paka hiv nikwanini sio kama wababa wa kambo wanamoyo mzuri
Wanaume mjifunze kufuatilia mambo nyumbani mwenu. Sio watoto tu hata ndugu mnaoishi nao
Hatukupati Da Vero kule tulikozoea
😂😂😂😂😂Eti Asira yababa kwishinery baada yakuskia sauti nzuriii yamamdogo😢
Hii dunia kuna watu sio wa kawaida
Wa pili 😂😂😂
Wanaume mliooa wanawake wengine amba wanakaa na watoto zenu embukueni nakini achen ujinga
Hii speed ya simulizi ya simulizi naickia mm tuu au??
Uyo mama kabila gani???? 😅
Mkurya 😂😂😂😂
Yani sisi wanawake tunakuwaga kama tumelogwa unamchukia mtoto bila sababu haununui unga haumlipii ada lakini unaweka chuki
Wakina mama wa hivi wasichojua ni kuwa wanajipalia makaa juu ya vichwa vyao.
Hapo anachofanya huyo mama kwa matendo yake hayo ni kumpa kibali na kupalilia mibaraka ya Haji. Na kwa kufanya hivyo anawaweka wanae pabaya kwa siku za mbeleni alichotakiwa kufanya ni kupalilia mibaraka ya wanawe kwa kulipa fadhila ya kumlea vzr kijana wa huyo mwanaume aliyemsitiri yeye na wanake.
Na kwa hilo litamcost mbeleni coz watu wa namna hii huwa hawafi mpaka washuhudie yale waliyoyapanda kwa wengine.
Wababa huwa mnawakosea sana watoto wenu kwa kitochunguza vitu vidogovidogo vinavyoendelea majumbani mwenu. Matokeo yake mnafarakana na damu zenu na kuneemesha damu za kinamwafulani.