🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAJJ SEHEMU YA 4 - JAN 19/ 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
- 🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAJJ SEHEMU YA 4 - JAN 19/ 2024
#efmtanzania #jioniyaleo #simulizizamaisha #live
- / @efmtanzania84
Muziki Unaongea 🎶
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Veronica thank for the good wotk. There is so much interruption dear, au ni network!
Mimi ASIA Nakupenda sana da Veronica nakusikiliza nipo uturuki
Eeeh ya yarrab "ALLAH" tujalie mwixho mwema inshallah 🙏🙏
Bila Shaka hyu mama atakua mbulu wambulu wanaroho mbaya Sana jaman daah
Sisi tumeishi hyo live mpk kumwambia baba achague yeye au mimi kwa vile baba alitekwa mm nilifukuzwa
Pole sana
Pole sana aisee
Leo wa kwanza da velo nakupenda sana mungu akulinde siku zote
Ooh da vero imeniumiza sana maisha ya haji yamenigusa sana nafatilia ripoti ya leo nikiwa dubai
Nakupata vizur sana da Vero nikiwa Oman nakupenda bure my dear
Looh! Uyo mama itakuwa chakula amekiweka sumu!😢hatari kweli kweli..
Aminini wambulu wanaroho mbaya Sana Kama shetan
Maisha niliopitia mama wa kambo nimeishi kwa kula Usiku tuu natoka shule unanuta vyombo na unaosha na unakuta wamekula, lakini wewe hukuti chakula toka la saba mpaka 4m 4 na ukuenda shule upewi hata mia maisha haya
😢
"MOYO" wangu unaugua xana na hii simulizi ya haji "MOYO" unaniuma xan yaaan mmmh hatar xana
Naitwa Neema hando , nasikiliza kupitia youtube kutoka usa asante da vero but matangazo ni mengi sana.
Wajina ubarikiwe inasisimuq. Mbona sio part 5?
Huyu haji angekuwa wa kike angekoma asa mambo ya ped ingekuwaje mmhh ila wanawake sisi 😢
Duh kweli jasiri haachi asili aisee huyu mama kumbe mshenzi eti eeh??
Kuna wanawake wanaroho Mbaya sana...
Vero efm mwanza haisikiki kulikoni91.3???
Aise hapana jamani huyu mama sio kabisa aise mpaka majozi yamenitoka kwa uchungu na wa mama tusiwaachie watu watutesee watoto wetu kiasi hicho jamani
MWENYE NO YA KUWASILISHA MIKASA ANITUMIE TAFADHALI
Mtu mwenye roo mbaya anaroo mbaya tu hajabadilika jamni
HASANTEE. Mimi ni Mpenzi msikilizaji na mfuatiliaji mzuri sana kutoka Pakistan
Subbhannallah huyo mama mdogo ni nyoka mwenye sumu kali yupo kama panya anauma huku anapuliza
Mm nipo oman muscat
Ila huyu mama amshukuru Mungu sana kapata kijana mpole ,mtaratib,mwenye hekma anamfanyia yote hayo yupo kwao tena na anamuacha tu pasipo kumshughulikia au kumtia adabu, angepata kijana mwenye akili anaye zijua mwenyew mbona angetiw adabu vizur tu, ila pole sana Haji
Yaan mtt mkubwa half anafanya kazi vizur lkn bd humtaki kwa roho mbaya anataka watt wake tu ndio walelewe vizur
Eeeeh huyu mama kiboko mbona ana rohoo mbaya hivi 😏😏🥺
Milcah ,Nakusikiliza nikiwa Madale Atlas
Huyu mama ni shetani sana from Belgium
@@fora2009 hello sorry Naweza pata contact yako pls au social media yeyote? I would like to ask something kuhusu Belgium pls
Davero huku mwanza atuwapati vizuri kupitia redio masafa ni yapi
Daaah huyo mama jamani shikamoo
Mwanza hatukupata masafa niyapi
Mama hana shukran huyu anataka nini jamn khaaa
Bonge akija mda kwishney
Hanasifayakuitwa mama
Nakupata nikiwa lraq da veronica ❤nasikiliza vizuri
Dodoma ata hausikiki da vero toka Christmas 😭😭
Daah hii story imenikumbusha mbali😢
Sasa kwann roho mbaya yake ni kweny chakula🥺🥺 yaan chakula bc 🥺kweli, hascdi hana sababu
Yani najiuliza ivi ingekua Haji ni mtoto wa miaka 2 naona angemunyonga maana uyu mwanamke ana roho nyeusi wanawake mnao waacha watoto wenu kwa wanaume wanapitia mengi
Sana angemuua huyu
Daaah😭😭
@@winniefridamaiko2775 kabisaaa
@@vumi8371 😪
Nikweli nivile Haj anajitambua tu
Watoto uwaleVyo ndivyo akuavyo na furahi sana kuona watoto wamebadirika
Nimefrah piah🤗
Mwanza hatukupata masafa niyapi