Muziki wa Chidi unauzwa mitandaoni, Chidi hapati pesa yoyote ,Nani huyo anaechukua pesa zake???? Kwa Nini hamlizungumzii swala hili,pengine ndiolinamchanganya Chidi.
You interviewers are so negative every time you talk of Chid ni madawa who said jamaa ni teja bado..muacheni mtu apate nafu ya akil…na kuna namna mingi za kumuongelea bila kumuhusisha na madawa..mnamuharibia tu hamsaidii kitu
Nampenda xan mchungaji mcheshi sana muda wote anaongea point
Mimi ni muislam na napenda sana mchungaji kama huyu anajuwa uhalisiya.
Huyu Baba anaishi na watu vzur xna....Ata watu wa mitaani na wasanii pia anawajua pia...mungu akupe nguvu na uzima bro.
Huyu mchungaji aishi sanaa kwakeli😅😅😅
Kuna maisha ya dini na maisha ya mtaani 😂😂
Muziki wa Chidi unauzwa mitandaoni, Chidi hapati pesa yoyote ,Nani huyo anaechukua pesa zake???? Kwa Nini hamlizungumzii swala hili,pengine ndiolinamchanganya Chidi.
Oya we mzee ni genius
Mch unasemaga ukweli Sana Mungu akubaliki Sana. Pia huyo mtangazaji anajuwa Sana anapenda anacho kifanya sema huwa hajitabulishi anaitwa nani
Mama samia hawaoni hawa watu ? Au anataka watu wenye taaluma ya uwalimu kuwaweka kwenye taaluma ya afya
Mchungaji Hananja ana Hekima na Busara pia Hana ubaguzi wa Kidini
Dada uwa napenda sana vipindi vyako Mungu azid kukupa maalifa tuko pamoja
MZEE HUNA MBAMBAMBA YAAN ❤❤❤
Mzee embu tuelekeze kanisan kwako ni wap tuwe tunakuja kupata maarifa ya dini na dunia ya sasa coz vyote unavijua
Kweli kabisa Mzee anaafya Bora sana yakili
Amestaafu lkn ni mchugaji huru mwaweza kumualika makanisa munayo enda na hakaja
Mtangazaji ni mrembo sana ila matunzo tu dah
💯
Ivi nifanyaje nikitaka namba ya mchungaji ndugu muandishi
anastahili kitu kikubwa sana kwnye hii nchi uyu mzee
😂😂😂eti konki kaenda kuombewa kwamwaposa😅🤣😂ananja kiboko aisee
Mzee anajua sana
Mimi nimeweza kutoka mara moja bila sobber na bila Methadon, mwenyezi Mungu ndie aliyenitoa
Umetumia kwa muda gani?
@@yassinuddi nimevuta kama miaka 8 hivi
@@ivanminja7954 ni jambo la kumshukuru Mungu, maake wengi naona inakuwa ngumu kutoka mpaka umauti unawafika
Hongeraa mchungaji unaongea point sana endelea kusaidia watu.
This guy is a real keeper 💯 MCH HANANJA 👏
We mzee nafuatilia sana mafundisho yako
Ukweli unauma
Anamjua paja moody bize. Kanal kweli. Huyu anamjua. Chidy sana
Mzee kabisa lako wap
dah ad raha sn kunawatu tunao wana mungu wana uwelewa mkubwa yan dah kubali sn
Safi Sana faza
🤣😂eti sholo mwamba namkubali sana uyu mzee nimjanja au nimegundua labda alikuwa msela
Sio labda, Mzee alikuwa msela sana hakuna msela kama huyoo
Baharia huyu
Baharia huyo
Sio labda alikuwa msela na bado ni msela mwenye busara na hekima
Mzee Yuko real anachokwambia sio kaambiwa ndivyo kilivyo habahatishi, ana experience kubwa sana na maisha ya mtaani. Mungu amlinde sana
Huyu mZee kuna nafasi anastahili serikalini, sijui mama hamuoni au
Hili sasa ndo jungu kuu ambalo halikosi ukoko sasa, Lina madini mpaka basi.
Yuko vzr mchungaji ....nakufatilia sana
Huyu mchungaji kaniacha hoi kuhusu maandiko hatr
Hahaha mchungaji Ananja nakukubali sana
Huna baya pastor muddy bize nilikua namuona pale boma nikitoka tuition mchikichini
hananja hachujiiii... wkina mwamposa wanakuja wanasepa akina antony lusekelo byebye huyu ni geneous
Karibu katika uislamu .mchungaji. natamani uwe muislam.itapendeza
Mtangazaji bado kabisa maswali yako umeandika kwenye simu 😂😂 bado kbs
Kamsaidie wewe tukuone utakacho kifanya, Hakuna kiumbe kilicho zaliwa kikajuwa kwa wakati mmoja Kila kitu ni kujifunza na kupata uzoefu!
Fanani ni muumini wa HBC Mzee ananja
Kilichonifikisha hapa ni pale ulisema " imeandikwa, usinitishe si imeandikwa" natamani TZ from Kenya
SIJAWAHI KUACHA INTERVIEW YA HUYU MZEE
Huyu mzee zamani alikua Bondia mzuri sana.Boxer mzuri mnoo.
Daaa we ni muenga 😮
Hembu nipeni namba za huyo mchungaji na pia mtangazaji please
Mmh lengo lako n namba ya huyu mdada tumekustukia 😅
@@rajabushedafa6397 ndo tatizo Medulla yako ilivyo kutuma hivyo poles sana mola akusameh dogo
@@rajabushedafa6397anataka kuleta ujogoo keshauza maharage yake anatafuta wakumchuna
Baba nataka nije nipate maarifa nakupenda sana
Mzee smart sana huyu.
Ww dada huwa NI pisiii sanaaaa...napenda sanaaa madem Kama ww
Umeshaanza mambo ya kidimbwi
Ubarikiwee babaaa
You interviewers are so negative every time you talk of Chid ni madawa who said jamaa ni teja bado..muacheni mtu apate nafu ya akil…na kuna namna mingi za kumuongelea bila kumuhusisha na madawa..mnamuharibia tu hamsaidii kitu
Mchungaji Hananja anamjua Modie bize😂
Mchungaji Yuko real sana
Ihefu oyeeeeee🎉
❤❤❤❤
❤❤❤❤