UTAPENDA MANENO YA MCH HANANJA MBELE YA CHID BENZ, NITAMPA AJIRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 69

  • @mussakiuzio-wq2jm
    @mussakiuzio-wq2jm 9 หลายเดือนก่อน +6

    Nampenda xan mchungaji mcheshi sana muda wote anaongea point

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 9 หลายเดือนก่อน +8

    Mimi ni muislam na napenda sana mchungaji kama huyu anajuwa uhalisiya.

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 9 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu Baba anaishi na watu vzur xna....Ata watu wa mitaani na wasanii pia anawajua pia...mungu akupe nguvu na uzima bro.

  • @covenMbaga
    @covenMbaga 9 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu mchungaji aishi sanaa kwakeli😅😅😅
    Kuna maisha ya dini na maisha ya mtaani 😂😂

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex 9 หลายเดือนก่อน +3

    Muziki wa Chidi unauzwa mitandaoni, Chidi hapati pesa yoyote ,Nani huyo anaechukua pesa zake???? Kwa Nini hamlizungumzii swala hili,pengine ndiolinamchanganya Chidi.

  • @Touchovtrav
    @Touchovtrav 9 หลายเดือนก่อน +5

    Oya we mzee ni genius

  • @stevenbaraka-v3b
    @stevenbaraka-v3b 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mch unasemaga ukweli Sana Mungu akubaliki Sana. Pia huyo mtangazaji anajuwa Sana anapenda anacho kifanya sema huwa hajitabulishi anaitwa nani

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia hawaoni hawa watu ? Au anataka watu wenye taaluma ya uwalimu kuwaweka kwenye taaluma ya afya

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mchungaji Hananja ana Hekima na Busara pia Hana ubaguzi wa Kidini

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 9 หลายเดือนก่อน +4

    Dada uwa napenda sana vipindi vyako Mungu azid kukupa maalifa tuko pamoja

  • @UpendoTonny
    @UpendoTonny 9 หลายเดือนก่อน +7

    MZEE HUNA MBAMBAMBA YAAN ❤❤❤

  • @Mr.Ben.RaphaelLazaro-wj7fh
    @Mr.Ben.RaphaelLazaro-wj7fh 9 หลายเดือนก่อน +20

    Mzee embu tuelekeze kanisan kwako ni wap tuwe tunakuja kupata maarifa ya dini na dunia ya sasa coz vyote unavijua

    • @stiangabrirl
      @stiangabrirl 9 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli kabisa Mzee anaafya Bora sana yakili

    • @azizirania63
      @azizirania63 9 หลายเดือนก่อน +1

      Amestaafu lkn ni mchugaji huru mwaweza kumualika makanisa munayo enda na hakaja

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mtangazaji ni mrembo sana ila matunzo tu dah

    • @musason1680
      @musason1680 9 หลายเดือนก่อน +1

      💯

  • @EzekielMsigwa
    @EzekielMsigwa 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ivi nifanyaje nikitaka namba ya mchungaji ndugu muandishi

  • @kristkristiana
    @kristkristiana 9 หลายเดือนก่อน +3

    anastahili kitu kikubwa sana kwnye hii nchi uyu mzee

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 9 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂eti konki kaenda kuombewa kwamwaposa😅🤣😂ananja kiboko aisee

  • @wasokyeyangya7757
    @wasokyeyangya7757 9 หลายเดือนก่อน +6

    Mzee anajua sana

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nimeweza kutoka mara moja bila sobber na bila Methadon, mwenyezi Mungu ndie aliyenitoa

    • @yassinuddi
      @yassinuddi 9 หลายเดือนก่อน +1

      Umetumia kwa muda gani?

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@yassinuddi nimevuta kama miaka 8 hivi

    • @yassinuddi
      @yassinuddi 8 หลายเดือนก่อน

      @@ivanminja7954 ni jambo la kumshukuru Mungu, maake wengi naona inakuwa ngumu kutoka mpaka umauti unawafika

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hongeraa mchungaji unaongea point sana endelea kusaidia watu.

  • @Touchovtrav
    @Touchovtrav 9 หลายเดือนก่อน +2

    This guy is a real keeper 💯 MCH HANANJA 👏

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 9 หลายเดือนก่อน +1

    We mzee nafuatilia sana mafundisho yako

  • @KenaniBishagazi
    @KenaniBishagazi 9 หลายเดือนก่อน

    Ukweli unauma

  • @Dogochao
    @Dogochao 9 หลายเดือนก่อน

    Anamjua paja moody bize. Kanal kweli. Huyu anamjua. Chidy sana

  • @JOHNMARWA-pb5wy
    @JOHNMARWA-pb5wy 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee kabisa lako wap

  • @ShakilaMMbaga
    @ShakilaMMbaga 9 หลายเดือนก่อน +1

    dah ad raha sn kunawatu tunao wana mungu wana uwelewa mkubwa yan dah kubali sn

  • @SlsProductionTz
    @SlsProductionTz 9 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana faza

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 9 หลายเดือนก่อน +3

    🤣😂eti sholo mwamba namkubali sana uyu mzee nimjanja au nimegundua labda alikuwa msela

    • @hafidhimarijani4961
      @hafidhimarijani4961 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sio labda, Mzee alikuwa msela sana hakuna msela kama huyoo

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 9 หลายเดือนก่อน +1

      Baharia huyu

    • @johnmalisa9373
      @johnmalisa9373 9 หลายเดือนก่อน

      Baharia huyo

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 9 หลายเดือนก่อน

      Sio labda alikuwa msela na bado ni msela mwenye busara na hekima

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 9 หลายเดือนก่อน +1

      Mzee Yuko real anachokwambia sio kaambiwa ndivyo kilivyo habahatishi, ana experience kubwa sana na maisha ya mtaani. Mungu amlinde sana

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu mZee kuna nafasi anastahili serikalini, sijui mama hamuoni au

  • @WitnessChristian-t7i
    @WitnessChristian-t7i 9 หลายเดือนก่อน

    Hili sasa ndo jungu kuu ambalo halikosi ukoko sasa, Lina madini mpaka basi.

  • @joelkihogo9312
    @joelkihogo9312 9 หลายเดือนก่อน

    Yuko vzr mchungaji ....nakufatilia sana

  • @StellaPaul-z9y
    @StellaPaul-z9y 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu mchungaji kaniacha hoi kuhusu maandiko hatr

  • @mlawayusuph8842
    @mlawayusuph8842 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha mchungaji Ananja nakukubali sana

  • @johnmalisa9373
    @johnmalisa9373 9 หลายเดือนก่อน

    Huna baya pastor muddy bize nilikua namuona pale boma nikitoka tuition mchikichini

  • @bestcodetz5726
    @bestcodetz5726 9 หลายเดือนก่อน

    hananja hachujiiii... wkina mwamposa wanakuja wanasepa akina antony lusekelo byebye huyu ni geneous

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 9 หลายเดือนก่อน +2

    Karibu katika uislamu .mchungaji. natamani uwe muislam.itapendeza

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 9 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji bado kabisa maswali yako umeandika kwenye simu 😂😂 bado kbs

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 8 หลายเดือนก่อน

      Kamsaidie wewe tukuone utakacho kifanya, Hakuna kiumbe kilicho zaliwa kikajuwa kwa wakati mmoja Kila kitu ni kujifunza na kupata uzoefu!

  • @Hassanhamisi-sw4be
    @Hassanhamisi-sw4be 9 หลายเดือนก่อน

    Fanani ni muumini wa HBC Mzee ananja

  • @simiyugidson2411
    @simiyugidson2411 9 หลายเดือนก่อน

    Kilichonifikisha hapa ni pale ulisema " imeandikwa, usinitishe si imeandikwa" natamani TZ from Kenya

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 9 หลายเดือนก่อน

    SIJAWAHI KUACHA INTERVIEW YA HUYU MZEE

  • @emmanuelchacha6718
    @emmanuelchacha6718 9 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mzee zamani alikua Bondia mzuri sana.Boxer mzuri mnoo.

    • @azizirania63
      @azizirania63 9 หลายเดือนก่อน

      Daaa we ni muenga 😮

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hembu nipeni namba za huyo mchungaji na pia mtangazaji please

    • @rajabushedafa6397
      @rajabushedafa6397 9 หลายเดือนก่อน

      Mmh lengo lako n namba ya huyu mdada tumekustukia 😅

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 9 หลายเดือนก่อน

      @@rajabushedafa6397 ndo tatizo Medulla yako ilivyo kutuma hivyo poles sana mola akusameh dogo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@rajabushedafa6397anataka kuleta ujogoo keshauza maharage yake anatafuta wakumchuna

  • @GladyMussa-mh6vf
    @GladyMussa-mh6vf 9 หลายเดือนก่อน

    Baba nataka nije nipate maarifa nakupenda sana

  • @binsimba6473
    @binsimba6473 9 หลายเดือนก่อน

    Mzee smart sana huyu.

  • @swissvany55
    @swissvany55 9 หลายเดือนก่อน

    Ww dada huwa NI pisiii sanaaaa...napenda sanaaa madem Kama ww

    • @shaurimtanda8285
      @shaurimtanda8285 9 หลายเดือนก่อน

      Umeshaanza mambo ya kidimbwi

  • @AdelineMassamu
    @AdelineMassamu 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwee babaaa

  • @neponova8988
    @neponova8988 9 หลายเดือนก่อน +1

    You interviewers are so negative every time you talk of Chid ni madawa who said jamaa ni teja bado..muacheni mtu apate nafu ya akil…na kuna namna mingi za kumuongelea bila kumuhusisha na madawa..mnamuharibia tu hamsaidii kitu

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 9 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Hananja anamjua Modie bize😂

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 9 หลายเดือนก่อน

      Mchungaji Yuko real sana

  • @ericrsong4778
    @ericrsong4778 9 หลายเดือนก่อน

    Ihefu oyeeeeee🎉

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @MagrethElibaliki
    @MagrethElibaliki 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤