ZUMARI || Kamanda Abdallah W. Mssika mshindi wa tuzo ya nishani ya vita vya Kagera

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ค. 2023
  • Amewahi kuwa mkuu wa Uhusiano kwa Umma Makao Makuu Dar es Salaam -Mstaafu
    Amewahi pia kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera na Shinyanga
    Ni miongoni mwa Makanda wa mwanzo kuanzisha Kanda Maalum ya Kipolisi Dar es Salaam.
    Miongoni mwa washiriki wa vita ya Kagera na kutunukiwa nishani ya vita
    -Akiwa RCO Kituo cha Polisi Osterbey ndie aliyeongoza polisi kuweka Ulinzi kwenye tukio la kulipuliwa Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam

ความคิดเห็น • 17

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah alinisaidia sana shinyangaAllah amlipe.

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 5 วันที่ผ่านมา

    Namkumbuka mtoto wake Mohamed msika nimesoma nae o level

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera saana kamanda Sheikh Abdalla msika kwa kuweza kustaafu vyema na kumaliza majukumu yako vyema kabisa ulik I wa mchapakazi mwenye weledi kabisa hongera saana nkuu

    • @kudramunisi2370
      @kudramunisi2370 3 วันที่ผ่านมา

      Kamanda mssika alikua Sio mtu wa kujiona. Alikua akifika Njia ya ng'ombe akitokea kwake Bucha.. Anawapa lift Watu Hana Makuu.. Naikumbuka discover yake nyekundu BSD na Mitsubishi colt yake.. Mama amuangalie ampe hata kitengo na Allah amjalie Afya njema kamanda

  • @getrudemadeko3703
    @getrudemadeko3703 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Kamanda Mssika, history nzuri mno ya KAZI zako.

  • @elvisbunde6454
    @elvisbunde6454 3 หลายเดือนก่อน

    Respect sir ,and we'll trained officer,to the current officers pay visit to him for more advice, Afande sir.

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 4 หลายเดือนก่อน

    Be blessed Mzee wangu 🏹🙌

  • @jisrainomwa4015
    @jisrainomwa4015 หลายเดือนก่อน +1

    Mtoto wa wazir hiyo watt wa mawazir mpoooo

  • @lamecklaurentius8936
    @lamecklaurentius8936 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Kamanda ni Mwalimu mzuri sana

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 5 หลายเดือนก่อน +3

    Tunaiomba serikali yetu iwakumbuke watu kama hawa lamanda msika alikuwa ni mfano bora wa kuigwa hivyo tunaishauri serikali yetu iwakumbuke sana wakongwe wetu hawa walilitumika taifa letu hili kwa uweledi wa hali ya juu mno na izidi kuwatumia ili waweze kufanikisha mengi,huyu kamanda hana do na alikuwa hana ubabaishaji wowote

    • @ShamimuAbasi
      @ShamimuAbasi 5 วันที่ผ่านมา

      Kazi nzuri saana Babu yangu🇹🇿🥰😍🙌🤝

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 ปีที่แล้ว

    Shukrani

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 6 หลายเดือนก่อน +1

    kamanda msomi huyo,kumbe alipigana uganda paia hongera zake

  • @orgenesdigina
    @orgenesdigina 7 หลายเดือนก่อน

    Daah, vyuma vimeondoka na vinazidi kuondoka, natamani kuona wanaobaki jeshini wawe conki km hawa wazee

  • @aziza9093
    @aziza9093 4 หลายเดือนก่อน

    Kazizur

  • @rashidimwambichi3340
    @rashidimwambichi3340 ปีที่แล้ว

    Naiomba hii part 2 yake tafadhari
    Jafari mponda

  • @johnhosea1321
    @johnhosea1321 4 หลายเดือนก่อน

    Kongole kwa utumishi bora