VIDEO KUTOKA UTURUKI: NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA na WAFANYABIASHARA ILIVYOTUA - CHEKI MSAFARA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 เม.ย. 2024
- VIDEO KUTOKA UTURUKI: NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA na WAFANYABIASHARA ILIVYOTUA - CHEKI MSAFARA...
ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wafanyabiashara mbalimbali, abiria pamoja na baadhi ya Waandishi wa Habari wakati akiwa safarini kuelekea Jijini Ankara nchini Uturuki kwa ajili ya Ziara Rasmi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Proud to be a TANZANIAN 🎉
Watanganyika mukitaka ku-enjoy life muuendelee kuweka Rais kutoka zanzibar bila hivyo yajayo yataendelea kusikitisha
Kwani huyo anaewaongoza zanzibar si katokea Tanganyika kuna utofauti gani kama muko tayari chukueni mtu wenu rudisheni wetu ngoma droo kwani ilipokuwa inchi haiyongozwi na mzanzibar kulikuwa hakuna maendeleo?
Ivi uk siliaz maneno yak
Maashaallh
Hongera MAMA MUNGU Akuongoze.
Safi sana mama
Heshima kabisaaaa hii the wing of kilimanjaro this is our proud
Masha allah
Rais mzalendo hawezi kusema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ,
Oneni miji ya wenzetu barabara sie kwetu uchafu mtupu mwanzo mwisho maduka sehem yoyote😅
Mumkumbushekwamba kwenyeNchiyake UmemendaniyaSaamoja unakatikazaidiyamara15 sasasijuihuundioutulivuwaNchi
Hivi bongo hatujui kama kuna matatizo ya uchumi kila kona ya dunia hii. Hizi safari ni matembezi tu? One trip would build a Muhimbili in every district. Iko kazi kweli. Wawekezaji huwa hawatafuti, they come to you if you have good policies etc etc
We ni mwehu nenda Milembe utibiwe
Mama anaupiga mwingi😂,had atoke madarakan ni nch chache atakuwa bado hajatembelea!!!
Atutafutie na mikopo isiyo na Riba
Inabidi kununua ndege nyingine.
7 more years atamamıza kila nchi hapa duniani. Next trip to Jupiter
Wacha atangaze nchi wewe BWEKA tu kazi iendelee SSH ❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿