kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..
Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....
Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy
Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power. Nuclear powers ni kama ifuatavyo:- 1. RUSSIA 2. USA 3. CHINA 4. UK 4. FRANCE 5. INDIA 6. NORTH KOREA 7. PAKISTAN Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran
Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli
Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa
Ni kweli kabisa teknolojia ya ulinzi ya Israeli iko vizuri sana. Makombora hayaleti madhara ndani ya Israeli. Waisraeli hizi vita na Gaza na Irani wanaziona kwenye TV na social media kama sisi wengine. Mcheki dada mmoja Mkenya TH-camr anaishi Israel anaitwa 'CoolKenyan Inisrael', yaani ndani ya Israeli hakuna kilichobalika, watoto wanaenda shule, watu makazini, shughuli za maisha ziko kama kawaida.
Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?
Naitwa dick son nauliza mbona wanasema kuwa izilael ndio kuna wataalamu sana na ambao wengi wao wapo marekani wanafanya kazi jeshini na ndio wataalau wake mmarekani.
Iran walichotaka nikumwonyesha muisrael kwamba anadhani hawezi fikika wao wanaweza kumfikia. Nijuavyo hakuna vita unavyomweleza adui kuwa kesho nitakushambulia ili ujikinge. Kwahiyo Israel,Marekani,ufaransa, na uingereza kujiweka tayari kuzidungua HILO NI IGIZO AMBALO HALIFAI KUJISIFU
Nikweli tunaweza kuwekeza kwenye eilim lakini tusitoboe kwenye hizo technology maana hazisomeshwi ovyo chuo, bali wanachaguwa wanafunzi na kwa malengo ya nchi, mfno Iran na Urusi wanashare technoloy nyetti km hiz, na kwenye vyuo vyao kwenye kusoma hizo techology akienda mtz ataishia kusoma vitabu namatheory kibao, miaka minne tano inaisha anaambiw umemaliza nenda kwenu, hili ni jambo kweli lakielimu lakin lakimkakati na kisiasa pia, kuwa km nchi mko nanani kisiasa? Km kenya tunawaona wako wazi kua nikambi ya america so wanaeza kupenya ila Tz msimamo wakutokua upande wwte utatutafuna sanaaaaa, tuqche uoga siasa ya dunia ina kambi tuchagur kambi
Ukitaka kujua unajua kitu ni lazima kwanza unaemuelezea kitu hicho akifaham ama akuelewe vzuri ndo utajua kwamba unajua hicho kitu ama umepata uelewa wake vzuri ..
Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio
Iko hivi waizraeli hutumia ndege za kivita kupiga masafa mafupi kilometers 20 hanas hurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya kilometers 50 na kuendelea na hutumia gorola war mtu moja abaweza leta kizaa kundi kubwa la kijeshi la lzrael kutumia missile hiyo lmewapelekea ldf jeshi la lzrael kuwa ktk wakati mgumu sababu za kitekenolojia za silaa za lran
Huyu jamaa Ali ni kweli anajua mambo ya kijeshi sana hongera
Kuwa Mchambuzi inahitaji skills na uelewa wa hali ya juu pia ufatiliaji, nakupa hongera Sana Mchambuzi... 🙏🙏✔️
Sasa mbona umekimbilia kucomment kabla hujamaliza video na kuelewa?
Huyu jamaa nimemsikiliza interview nyingi, namuelewa.... Anachambua hapendelei anaelezea hali halisi.
Uyo jamaa yupo vizur
Huyu jamaa Mr ally bado sanA KWENYE uchambuz ukiulizwa unajibu totaut na ulivyo ulizwa HATA mie naweza kukuzid KWENYE kuchambua
@@HabibuHobohobo-py2mqwew ndomana ya mbogo mavi wew
Uyumchambuzi tumemkubali wana sns tuponae💯💯 from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi
Wew kilakitu unakikubali😂😂
HHHH HHHHH
WEW PIA PINGA KILA KITU
@@bajosdamour2347 sinaakilitimam achananamimi kengeenini aunawaswa🇧🇮🤣
@@allahisone6386 haujuwi🇧🇮
Mchambuzi uko vizuri sana
Wa kwanza like zangu nyingiiiiiiii
Kaz nzur sky ✌️
Mchambuzi yuko vizuri sana
Big up sana ila naona mchambuzi bado hajazoea mazingira naomba haya maswali yewe kwa mara kadhaa baadae tunaenjoy kama DJ smaa 255
Jamaa yupo vizur sana
Bado anamuda wa kujifunza, keep it up
jibu halijitosheleza suala la inteligencia analysis linahitaji evalutions za kina
Big up!
Naomba kujuwa tanzania ina denge ya kisasa ya kivita
Na ina dron ya kisasa
Nimeipenda sana hii
Bwana Alyl anashindwa kujibu swali
Congratulations ❤
Israle alijibu kitu gan ..
Good
kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..
🫡
Najua kuteleza tu.ila Nw ni FSB maana KGB ilisambaratika pamoja na ussr hongera sana mzee.
kaka sky mtafute jamaa anaitwa @suleimani chanzi anajua haya mambo mpaka anakera hutojuta kumialika
AM THE FIRST ONE TO WATCH
Mwamba kama swali la kwanza kama ame kick around the bush iv
Uk is a millitary nueclea power
Good I'm 3
UK wanazo nyuklia Kwa miaka mingi sana
Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....
Mchqmbuzi mzuri sana
Good story
❤❤
Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy
Mchambuzi anahitaji kua deep sana kwenye world politics pia hajajibu swali
Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power.
Nuclear powers ni kama ifuatavyo:-
1. RUSSIA
2. USA
3. CHINA
4. UK
4. FRANCE
5. INDIA
6. NORTH KOREA
7. PAKISTAN
Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran
😮❤❤❤❤
Mchambuzi uko vizuri sana Bro ila ujue ni janja janja ina tumika ila Marekani na Esrael ni Nchimoja
Ndiyo maana mimi kuwa nawambia achana na uongo huu utakuja siku moja kuimaliza iran na washirika wake wote
Mm naitwa Saleh nipo znz nauliza hivi iran haina mifumo ya ulinzi?
Sio kweli mchambuzi hajui kitu kabisa
Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli
SKY naomba utengeneze Documentary inayohusu Vyombo vya intelligence by Combined
✌️👊👍.
Dj Smaa Mungu Amjalie arudi tu maana huyu jamaa namsikiliza sna ila simuelewi kbsa sorry Guys
Japokuwa wengi wamempongeza lkn kwa mtazamo wangu ni mchambuzi wa kiasi tu
Chambua wewe kama unaona rahis kenge wewe
@@salimali-rf9er there are so many negative and positive comments about him.
So mim nimesema ninavyojiskia
@@FastpayMauzo I'm sorry to offend you bro🙏
Bila shaka
Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa
Mbona tu burn utumizy WA drone na vikeazo sana' kwautumizy ea nicler weapons.
Nafikili Iran huijui vizuri ndiyo maana unakwepa maswali
Kwel kabisa tuliona makombora lakin yakiingia isiraiel lakin isiraile hawajalipot
Huyo mchambuzi alivyojibu swali la kwanza sivyo kabisa! Umejibu sivyo
Yes uingereza anamiliki nyukilia na nimoja ya nchi zilizokuwa za kwanza kumiliki nyukilia akiwemo marekan na rusia
Ni kweli kabisa teknolojia ya ulinzi ya Israeli iko vizuri sana. Makombora hayaleti madhara ndani ya Israeli. Waisraeli hizi vita na Gaza na Irani wanaziona kwenye TV na social media kama sisi wengine. Mcheki dada mmoja Mkenya TH-camr anaishi Israel anaitwa 'CoolKenyan Inisrael', yaani ndani ya Israeli hakuna kilichobalika, watoto wanaenda shule, watu makazini, shughuli za maisha ziko kama kawaida.
muongo wewe
@@nizarrama225 nenda kwa Cool Kenyan in Israel hapa kwenye TH-cam ukajionee. Ndio utajua kama muongo au mkweli. 😁
Mbona anaongea sana jibu bado kwanini hawakujua?
Mulizaji kauliza kuhusu gaza na sio iran
Mm nauliza ama nashauri tujifunzeni na sisi watanzania jinsi ya kutengeneza makombora mbona huyo ali anaonekana anaweza sana
Brother contact me, nikupe michanganuo ya vita.
SIAMINI KAMA IRANI HANA NYUCLIA HATTAKIDOGO.
Ndugu zangu, nipo Moçambique, iran ilipiga vituo 2 vya kijesh vya Israel.
Sky.. huyo jamaa mpe pending kwanza manake sahivi aeleweki
Oyaa ISRAEL bado nmoto mstiane moyo wakuu
hajajibu ni ulongo wamagaribi israel ameufyata
Uwongo tena wakati we kuandika tu hujui
Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?
MASHAMBULIZI YA IRAN YALIFANIKIWA VIZURI NA HABARI ZINASEMA KAMBI MBILI ZA KIJESHI ZA ISRAEL ZILIANGAMIZWA
mnajua kuchambua habari wanasns
Huyo hamna k2
Israel hawaongei Kiebrania, wanaongea Aramaic, kiebrania ni lugha iliyokufa.
27:00
Makombara 300 si kajalibu apo alipania
Nimewakubali sana wakubwa
Mossad ilijuwa kabsa,na israel ilipata sababu yakwanza iyi vita
Yanadunguliwa ya kawaida
Cruise ni makombora yanayo yurushwa kutoka bahari kwenye meli za kivita
Naitwa Ali salim makame nauliza swali hivi kunamikakati gani kwa palestina kupewa taifa lao
Tuonyeshe hayo magari yaliokuwa yakibeba hela kutoka Qatar munaichikiya Qatar kisa ni waislamtu
Naitwa dick son nauliza mbona wanasema kuwa izilael ndio kuna wataalamu sana na ambao wengi wao wapo marekani wanafanya kazi jeshini na ndio wataalau wake mmarekani.
Mimi nauliza kwann mashambuliz walifanya usiku hats urusi mara nyingi kufanya kurusha makombora usiku sababu nini
Iran walichotaka nikumwonyesha muisrael kwamba anadhani hawezi fikika wao wanaweza kumfikia.
Nijuavyo hakuna vita unavyomweleza adui kuwa kesho nitakushambulia ili ujikinge.
Kwahiyo Israel,Marekani,ufaransa, na uingereza kujiweka tayari kuzidungua HILO NI IGIZO AMBALO HALIFAI KUJISIFU
Nikweli tunaweza kuwekeza kwenye eilim lakini tusitoboe kwenye hizo technology maana hazisomeshwi ovyo chuo, bali wanachaguwa wanafunzi na kwa malengo ya nchi, mfno Iran na Urusi wanashare technoloy nyetti km hiz, na kwenye vyuo vyao kwenye kusoma hizo techology akienda mtz ataishia kusoma vitabu namatheory kibao, miaka minne tano inaisha anaambiw umemaliza nenda kwenu, hili ni jambo kweli lakielimu lakin lakimkakati na kisiasa pia, kuwa km nchi mko nanani kisiasa? Km kenya tunawaona wako wazi kua nikambi ya america so wanaeza kupenya ila Tz msimamo wakutokua upande wwte utatutafuna sanaaaaa, tuqche uoga siasa ya dunia ina kambi tuchagur kambi
Kwanini hajawekea vikwazo...mu Russi
Mchambuzi badobado aendelee kjifua atakua mzuri mno
Mwenye kujibu ajitambui
Sawa Ally mchambuzi mzuri
Ukitaka kujua unajua kitu ni lazima kwanza unaemuelezea kitu hicho akifaham ama akuelewe vzuri ndo utajua kwamba unajua hicho kitu ama umepata uelewa wake vzuri ..
Hapo wayahudi sio hao wayahudi wapo Africa wote, hao sio
Nchi gani?
Huyo jamaa hajui kitu 😢
Kombola 300 afu uyu ally anadai Iran alikuwa tu anaonjesha , mi naona alikuwa anaifuta israel
Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio
mchambuzi anakuja vizuri ila ajifunze kwangu apate madin ya kutosha kuhusu hao ,MOSSAD,FSB,M16, CIA
Mchambuzi badooo sana sana hana ujuzi na weledi wa siasa za kimataifa amtafute yeriko nyerere kwanza kablaa hajajaa kwenye kipindi apoo
Munazungumza kizungu kingi sana hadi kelo
Soma kijana haitakua kero kwako tena
Na hii America iko na nguvu yakupigana na Russia ikashinda vita?????
Iko hivi waizraeli hutumia ndege za kivita kupiga masafa mafupi kilometers 20 hanas hurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya kilometers 50 na kuendelea na hutumia gorola war mtu moja abaweza leta kizaa kundi kubwa la kijeshi la lzrael kutumia missile hiyo lmewapelekea ldf jeshi la lzrael kuwa ktk wakati mgumu sababu za kitekenolojia za silaa za lran
Huyu jamaa simwelewi
Kivip
Huyu jamaa hamna kitu kabisaaa hajibu maswali anasifia Israel tyu
Omba msaada tukusaidie
Unajuwa natamani kufahamu Hilo kombora la Nuclear, Liko uchambuzi wake
Kama Russia ananunua ma Boom kwa Iran jee Russia anaweza kushinda vita kwa mu Israel
Me ninauliza swali kati ya Russia na American nani alioanza kumiliki nuclear mwanzo 🤷
Jamaa halibut suali aliloulizwa anazunguka tu kama ni chombo bora mbona hamas waliweza kufanya yaliyofanya kua wise katika maongezi yako
Urusi kawezaje kukwepa vikwazo zaidi ya 1000?
Na bado uchumi wake unakuwa badala ya kushuka?
Swali lakwanza.....jibu vizuri...Mossad kwanini tarehe 7 october...?
Israel huwa haibebi fedha kuipekea HAMAS.
Anachofanya Israel ni ku- control mfumo wa fedha wa Ghaza na Palestina yote.
Huyu mchambuzi bado hajui,anafaa kujielimisha zaidi....
Naomba nijue izo ela anazotoa katal araf islaer anamperekea Hamas inakuwaje na Hawa maadui?
Bona inao yesha Gaza nimahily palipo ndani ya israely vip phalestine wanadrma nikwao?