GHARAMA ya DRONES na Mabomu ya IRAN/URUSI si Mchezo! Mchambuzi Ally ajibu Maswali ya Wana SnS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 270

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu jamaa Ali ni kweli anajua mambo ya kijeshi sana hongera

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน +11

    Uyumchambuzi tumemkubali wana sns tuponae💯💯 from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน +1

      Wew kilakitu unakikubali😂😂

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน


      HHHH HHHHH
      WEW PIA PINGA KILA KITU

    • @Supershopdubai-ck8td
      @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน

      @@bajosdamour2347 sinaakilitimam achananamimi kengeenini aunawaswa🇧🇮🤣

    • @Supershopdubai-ck8td
      @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน

      @@allahisone6386 haujuwi🇧🇮

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 หลายเดือนก่อน +17

    Kuwa Mchambuzi inahitaji skills na uelewa wa hali ya juu pia ufatiliaji, nakupa hongera Sana Mchambuzi... 🙏🙏✔️

    • @saidirakozi1809
      @saidirakozi1809 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa mbona umekimbilia kucomment kabla hujamaliza video na kuelewa?

    • @emmanuelmmbaga5209
      @emmanuelmmbaga5209 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu jamaa nimemsikiliza interview nyingi, namuelewa.... Anachambua hapendelei anaelezea hali halisi.

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche หลายเดือนก่อน +1

      Uyo jamaa yupo vizur

    • @HabibuHobohobo-py2mq
      @HabibuHobohobo-py2mq หลายเดือนก่อน +4

      Huyu jamaa Mr ally bado sanA KWENYE uchambuz ukiulizwa unajibu totaut na ulivyo ulizwa HATA mie naweza kukuzid KWENYE kuchambua

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@HabibuHobohobo-py2mqwew ndomana ya mbogo mavi wew

  • @jumamasele5793
    @jumamasele5793 หลายเดือนก่อน +10

    Wa kwanza like zangu nyingiiiiiiii

  • @MchAlsenPaulo-dn5uz
    @MchAlsenPaulo-dn5uz หลายเดือนก่อน +4

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @user-vl8ks7ps6l
    @user-vl8ks7ps6l หลายเดือนก่อน +2

    Big up sana ila naona mchambuzi bado hajazoea mazingira naomba haya maswali yewe kwa mara kadhaa baadae tunaenjoy kama DJ smaa 255

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 หลายเดือนก่อน +3

    Kaz nzur sky ✌️

  • @Kagineemmanuel
    @Kagineemmanuel หลายเดือนก่อน +3

    Mchambuzi yuko vizuri sana

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa yupo vizur sana

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v หลายเดือนก่อน +1

    Big up!

  • @renatusbahatimasuguliko892
    @renatusbahatimasuguliko892 หลายเดือนก่อน +1

    jibu halijitosheleza suala la inteligencia analysis linahitaji evalutions za kina

  • @SaidiMohammed-ge5ot
    @SaidiMohammed-ge5ot หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda sana hii

  • @karimmunis8302
    @karimmunis8302 หลายเดือนก่อน

    Israle alijibu kitu gan ..

  • @ALLYKAINE
    @ALLYKAINE หลายเดือนก่อน

    Bado anamuda wa kujifunza, keep it up

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 หลายเดือนก่อน +2

    Bwana Alyl anashindwa kujibu swali

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw หลายเดือนก่อน

    Good

  • @gharibjamma7740
    @gharibjamma7740 หลายเดือนก่อน

    UK wanazo nyuklia Kwa miaka mingi sana

  • @MusaMungia
    @MusaMungia หลายเดือนก่อน

    Good story

  • @ShafiiIsmail-zk9lq
    @ShafiiIsmail-zk9lq หลายเดือนก่อน

    Good I'm 3

  • @lifeuptv6353
    @lifeuptv6353 หลายเดือนก่อน

    Congratulations ❤

  • @Hakunamatata_shop
    @Hakunamatata_shop หลายเดือนก่อน +3

    kaka sky mtafute jamaa anaitwa @suleimani chanzi anajua haya mambo mpaka anakera hutojuta kumialika

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 23 วันที่ผ่านมา

    Ndiyo maana mimi kuwa nawambia achana na uongo huu utakuja siku moja kuimaliza iran na washirika wake wote

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 หลายเดือนก่อน

    Mchqmbuzi mzuri sana

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba kama swali la kwanza kama ame kick around the bush iv

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Uk is a millitary nueclea power

  • @ibadaliveog
    @ibadaliveog หลายเดือนก่อน

    AM THE FIRST ONE TO WATCH

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @JonasFrancis-mf1rk
    @JonasFrancis-mf1rk หลายเดือนก่อน

    😮❤❤❤❤

  • @al-qudrashabani237
    @al-qudrashabani237 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi anahitaji kua deep sana kwenye world politics pia hajajibu swali

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi uko vizuri sana Bro ila ujue ni janja janja ina tumika ila Marekani na Esrael ni Nchimoja

  • @SuwediJuma-jo1hw
    @SuwediJuma-jo1hw หลายเดือนก่อน

    Mm nauliza ama nashauri tujifunzeni na sisi watanzania jinsi ya kutengeneza makombora mbona huyo ali anaonekana anaweza sana

  • @user-pq6vz3ws4f
    @user-pq6vz3ws4f 18 วันที่ผ่านมา

    Mbona tu burn utumizy WA drone na vikeazo sana' kwautumizy ea nicler weapons.

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 หลายเดือนก่อน +1

    Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    ✌️👊👍.

  • @kijazi6506
    @kijazi6506 หลายเดือนก่อน +3

    kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..

    • @joshylucas1593
      @joshylucas1593 หลายเดือนก่อน

      🫡

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 หลายเดือนก่อน

      Najua kuteleza tu.ila Nw ni FSB maana KGB ilisambaratika pamoja na ussr hongera sana mzee.

  • @saitotibuchali7370
    @saitotibuchali7370 หลายเดือนก่อน

    SKY naomba utengeneze Documentary inayohusu Vyombo vya intelligence by Combined

  • @MasangulaGoa
    @MasangulaGoa หลายเดือนก่อน +1

    Sio kweli mchambuzi hajui kitu kabisa

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee หลายเดือนก่อน

      Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli

  • @jumashedafa
    @jumashedafa หลายเดือนก่อน +1

    Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy

  • @ZuberyMdemu-fx8kd
    @ZuberyMdemu-fx8kd หลายเดือนก่อน

    Huyo hamna k2

  • @user-pq6vz3ws4f
    @user-pq6vz3ws4f 18 วันที่ผ่านมา

    Bona inao yesha Gaza nimahily palipo ndani ya israely vip phalestine wanadrma nikwao?

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 หลายเดือนก่อน

    Huyo mchambuzi alivyojibu swali la kwanza sivyo kabisa! Umejibu sivyo

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 หลายเดือนก่อน

    Mulizaji kauliza kuhusu gaza na sio iran

  • @MdathiruMahamudu
    @MdathiruMahamudu หลายเดือนก่อน

    mnajua kuchambua habari wanasns

  • @mostoryhub
    @mostoryhub หลายเดือนก่อน

    Brother contact me, nikupe michanganuo ya vita.

  • @KurusumuMatola
    @KurusumuMatola หลายเดือนก่อน

    Kwel kabisa tuliona makombora lakin yakiingia isiraiel lakin isiraile hawajalipot

  • @davidnkya3557
    @davidnkya3557 หลายเดือนก่อน

    Nimewakubali sana wakubwa

  • @user-sf7by1cr5h
    @user-sf7by1cr5h หลายเดือนก่อน

    Mm naitwa Saleh nipo znz nauliza hivi iran haina mifumo ya ulinzi?

  • @AsiliyetuKwanza099
    @AsiliyetuKwanza099 หลายเดือนก่อน

    Omba msaada tukusaidie

  • @habarizausa6192
    @habarizausa6192 หลายเดือนก่อน

    27:00

  • @AsiliyetuKwanza099
    @AsiliyetuKwanza099 หลายเดือนก่อน

    Nafikili Iran huijui vizuri ndiyo maana unakwepa maswali

  • @user-pi3vj5sn3l
    @user-pi3vj5sn3l หลายเดือนก่อน

    Naitwa Ali salim makame nauliza swali hivi kunamikakati gani kwa palestina kupewa taifa lao

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน

    SIAMINI KAMA IRANI HANA NYUCLIA HATTAKIDOGO.

  • @lidyasulley2155
    @lidyasulley2155 หลายเดือนก่อน

    Yes uingereza anamiliki nyukilia na nimoja ya nchi zilizokuwa za kwanza kumiliki nyukilia akiwemo marekan na rusia

  • @vistoryvistory5908
    @vistoryvistory5908 หลายเดือนก่อน

    Tuonyeshe hayo magari yaliokuwa yakibeba hela kutoka Qatar munaichikiya Qatar kisa ni waislamtu

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 หลายเดือนก่อน +1

    Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power.
    Nuclear powers ni kama ifuatavyo:-
    1. RUSSIA
    2. USA
    3. CHINA
    4. UK
    4. FRANCE
    5. INDIA
    6. NORTH KOREA
    7. PAKISTAN
    Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran

  • @danieljoseph7120
    @danieljoseph7120 หลายเดือนก่อน

    Mwana anakula tuki

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Yanadunguliwa ya kawaida

  • @IddySkenke
    @IddySkenke หลายเดือนก่อน +1

    Mbona anaongea sana jibu bado kwanini hawakujua?

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Ayo 3500

  • @XxhamxyyxShhams
    @XxhamxyyxShhams หลายเดือนก่อน

    Sky.. huyo jamaa mpe pending kwanza manake sahivi aeleweki

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania หลายเดือนก่อน +1

    Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u หลายเดือนก่อน

    Mwenye kujibu ajitambui

  • @user-tg8sp6ql6v
    @user-tg8sp6ql6v หลายเดือนก่อน

    Oyaa ISRAEL bado nmoto mstiane moyo wakuu

  • @MasangulaGoa
    @MasangulaGoa หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa hajui kitu 😢

  • @saphinamirambo8171
    @saphinamirambo8171 หลายเดือนก่อน

    Naomba nijue izo ela anazotoa katal araf islaer anamperekea Hamas inakuwaje na Hawa maadui?

  • @RajabuAbdallah-yp5dp
    @RajabuAbdallah-yp5dp หลายเดือนก่อน

    Wale sio mayahud ni ma sheknaz

  • @michaelkyando9131
    @michaelkyando9131 หลายเดือนก่อน +1

    Makombara 300 si kajalibu apo alipania

  • @kassim1262
    @kassim1262 หลายเดือนก่อน

    Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio

  • @murtazantimba4270
    @murtazantimba4270 หลายเดือนก่อน

    Cruise ni makombora yanayo yurushwa kutoka bahari kwenye meli za kivita

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM หลายเดือนก่อน

    Dj sm 90%

  • @makameniga9566
    @makameniga9566 หลายเดือนก่อน

    Urusi kawezaje kukwepa vikwazo zaidi ya 1000?
    Na bado uchumi wake unakuwa badala ya kushuka?

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Kwanini hajawekea vikwazo...mu Russi

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda หลายเดือนก่อน

    Sawa Ally mchambuzi mzuri

  • @jumadaima1833
    @jumadaima1833 หลายเดือนก่อน

    Ndugu zangu, nipo Moçambique, iran ilipiga vituo 2 vya kijesh vya Israel.

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr หลายเดือนก่อน

    MASHAMBULIZI YA IRAN YALIFANIKIWA VIZURI NA HABARI ZINASEMA KAMBI MBILI ZA KIJESHI ZA ISRAEL ZILIANGAMIZWA

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Mossad ilijuwa kabsa,na israel ilipata sababu yakwanza iyi vita

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE หลายเดือนก่อน

    Je hakuna uwezekano wa kuzuia nyuklia bom kwa kutumia ulinzi wa anga km huo wa iron Dom?

  • @noelgypsum
    @noelgypsum หลายเดือนก่อน

    Israel hawaongei Kiebrania, wanaongea Aramaic, kiebrania ni lugha iliyokufa.

  • @user-vf7nl5tu2p
    @user-vf7nl5tu2p หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi badobado aendelee kjifua atakua mzuri mno

  • @allymo_pro
    @allymo_pro หลายเดือนก่อน

    Me ninauliza swali kati ya Russia na American nani alioanza kumiliki nuclear mwanzo 🤷

  • @Haru-rn1xy
    @Haru-rn1xy หลายเดือนก่อน

    Huyu anae jibu mashwali Hana uwezo Huo aende shule kwanza

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 Sasa Kuna mkuu wa mkoa Fulani hivi wamemtumia kila drone zimedunda

  • @givenhappy__bu1
    @givenhappy__bu1 หลายเดือนก่อน

    Kama Russia ananunua ma Boom kwa Iran jee Russia anaweza kushinda vita kwa mu Israel

  • @MankoWeitala-pe7mi
    @MankoWeitala-pe7mi หลายเดือนก่อน

    Kwanini hitla alikuwa ana wauwa

  • @suleimankindy6465
    @suleimankindy6465 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂%99 wamezuia
    Mambo ya kitoto wanayosema

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k หลายเดือนก่อน

    Munazungumza kizungu kingi sana hadi kelo

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz หลายเดือนก่อน

      Soma kijana haitakua kero kwako tena

  • @JumaTankile
    @JumaTankile หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa hamna kitu kabisaaa hajibu maswali anasifia Israel tyu

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน +1

    Dj Smaa Mungu Amjalie arudi tu maana huyu jamaa namsikiliza sna ila simuelewi kbsa sorry Guys

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er หลายเดือนก่อน +1

      Japokuwa wengi wamempongeza lkn kwa mtazamo wangu ni mchambuzi wa kiasi tu

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo หลายเดือนก่อน +1

      Chambua wewe kama unaona rahis kenge wewe

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน

      @@salimali-rf9er there are so many negative and positive comments about him.
      So mim nimesema ninavyojiskia

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน

      @@FastpayMauzo I'm sorry to offend you bro🙏

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk หลายเดือนก่อน

      Bila shaka

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa simwelewi

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 หลายเดือนก่อน

    Jibu maswali siokutoa maelezo

  • @user-xe1uq5gt2i
    @user-xe1uq5gt2i หลายเดือนก่อน

    Mimi nauliza kwann mashambuliz walifanya usiku hats urusi mara nyingi kufanya kurusha makombora usiku sababu nini

  • @MedardGombanila
    @MedardGombanila หลายเดือนก่อน

    Kwanini islael ilishambulia Iran haikulaumiwa ,ila Iran ilijibu na kuwekewa vikwazo na mataifa ya maghalibi?

  • @MusaMungia
    @MusaMungia หลายเดือนก่อน

    Je? Tanzania ikiungana na nchi zingine za africa mashariki hatuwezi kununua hizo dron kwawingi?

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310 หลายเดือนก่อน

    Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?

  • @blessingkabika5588
    @blessingkabika5588 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi hajui jabisa

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 หลายเดือนก่อน

    iran ni taifa kubwa sana na ushindi unakuja very soon

  • @diamondkaigili1291
    @diamondkaigili1291 หลายเดือนก่อน

    Kombola 300 afu uyu ally anadai Iran alikuwa tu anaonjesha , mi naona alikuwa anaifuta israel

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa kwenye maswala ya kijeshi nampa mauwa yake🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney หลายเดือนก่อน

    Hakun kit kizur kumsapot mwezk ni kat ya busar kubwa hongera kak

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Swali lakwanza.....jibu vizuri...Mossad kwanini tarehe 7 october...?