GHARAMA ya DRONES na Mabomu ya IRAN/URUSI si Mchezo! Mchambuzi Ally ajibu Maswali ya Wana SnS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 271

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu jamaa Ali ni kweli anajua mambo ya kijeshi sana hongera

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 หลายเดือนก่อน +17

    Kuwa Mchambuzi inahitaji skills na uelewa wa hali ya juu pia ufatiliaji, nakupa hongera Sana Mchambuzi... 🙏🙏✔️

    • @saidirakozi1809
      @saidirakozi1809 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa mbona umekimbilia kucomment kabla hujamaliza video na kuelewa?

    • @emmanuelmmbaga5209
      @emmanuelmmbaga5209 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu jamaa nimemsikiliza interview nyingi, namuelewa.... Anachambua hapendelei anaelezea hali halisi.

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche หลายเดือนก่อน +1

      Uyo jamaa yupo vizur

    • @HabibuHobohobo-py2mq
      @HabibuHobohobo-py2mq หลายเดือนก่อน +4

      Huyu jamaa Mr ally bado sanA KWENYE uchambuz ukiulizwa unajibu totaut na ulivyo ulizwa HATA mie naweza kukuzid KWENYE kuchambua

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@HabibuHobohobo-py2mqwew ndomana ya mbogo mavi wew

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน +11

    Uyumchambuzi tumemkubali wana sns tuponae💯💯 from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน +1

      Wew kilakitu unakikubali😂😂

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน


      HHHH HHHHH
      WEW PIA PINGA KILA KITU

    • @Supershopdubai-ck8td
      @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน

      @@bajosdamour2347 sinaakilitimam achananamimi kengeenini aunawaswa🇧🇮🤣

    • @Supershopdubai-ck8td
      @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน

      @@allahisone6386 haujuwi🇧🇮

  • @MchAlsenPaulo-dn5uz
    @MchAlsenPaulo-dn5uz หลายเดือนก่อน +4

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @jumamasele5793
    @jumamasele5793 หลายเดือนก่อน +10

    Wa kwanza like zangu nyingiiiiiiii

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 หลายเดือนก่อน +3

    Kaz nzur sky ✌️

  • @Kagineemmanuel
    @Kagineemmanuel หลายเดือนก่อน +3

    Mchambuzi yuko vizuri sana

  • @user-vl8ks7ps6l
    @user-vl8ks7ps6l หลายเดือนก่อน +2

    Big up sana ila naona mchambuzi bado hajazoea mazingira naomba haya maswali yewe kwa mara kadhaa baadae tunaenjoy kama DJ smaa 255

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa yupo vizur sana

  • @ALLYKAINE
    @ALLYKAINE หลายเดือนก่อน

    Bado anamuda wa kujifunza, keep it up

  • @renatusbahatimasuguliko892
    @renatusbahatimasuguliko892 หลายเดือนก่อน +1

    jibu halijitosheleza suala la inteligencia analysis linahitaji evalutions za kina

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v หลายเดือนก่อน +1

    Big up!

  • @StamMagessa-uo3hk
    @StamMagessa-uo3hk วันที่ผ่านมา

    Naomba kujuwa tanzania ina denge ya kisasa ya kivita
    Na ina dron ya kisasa

  • @SaidiMohammed-ge5ot
    @SaidiMohammed-ge5ot หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda sana hii

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 หลายเดือนก่อน +2

    Bwana Alyl anashindwa kujibu swali

  • @lifeuptv6353
    @lifeuptv6353 หลายเดือนก่อน

    Congratulations ❤

  • @karimmunis8302
    @karimmunis8302 หลายเดือนก่อน

    Israle alijibu kitu gan ..

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw หลายเดือนก่อน

    Good

  • @kijazi6506
    @kijazi6506 หลายเดือนก่อน +3

    kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..

    • @joshylucas1593
      @joshylucas1593 หลายเดือนก่อน

      🫡

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 หลายเดือนก่อน

      Najua kuteleza tu.ila Nw ni FSB maana KGB ilisambaratika pamoja na ussr hongera sana mzee.

  • @Hakunamatata_shop
    @Hakunamatata_shop หลายเดือนก่อน +3

    kaka sky mtafute jamaa anaitwa @suleimani chanzi anajua haya mambo mpaka anakera hutojuta kumialika

  • @ibadaliveog
    @ibadaliveog หลายเดือนก่อน

    AM THE FIRST ONE TO WATCH

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba kama swali la kwanza kama ame kick around the bush iv

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Uk is a millitary nueclea power

  • @ShafiiIsmail-zk9lq
    @ShafiiIsmail-zk9lq หลายเดือนก่อน

    Good I'm 3

  • @gharibjamma7740
    @gharibjamma7740 หลายเดือนก่อน

    UK wanazo nyuklia Kwa miaka mingi sana

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 หลายเดือนก่อน +1

    Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 หลายเดือนก่อน

    Mchqmbuzi mzuri sana

  • @MusaMungia
    @MusaMungia หลายเดือนก่อน

    Good story

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @jumashedafa
    @jumashedafa หลายเดือนก่อน +1

    Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy

  • @al-qudrashabani237
    @al-qudrashabani237 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi anahitaji kua deep sana kwenye world politics pia hajajibu swali

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 หลายเดือนก่อน +1

    Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power.
    Nuclear powers ni kama ifuatavyo:-
    1. RUSSIA
    2. USA
    3. CHINA
    4. UK
    4. FRANCE
    5. INDIA
    6. NORTH KOREA
    7. PAKISTAN
    Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran

  • @JonasFrancis-mf1rk
    @JonasFrancis-mf1rk หลายเดือนก่อน

    😮❤❤❤❤

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi uko vizuri sana Bro ila ujue ni janja janja ina tumika ila Marekani na Esrael ni Nchimoja

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 26 วันที่ผ่านมา

    Ndiyo maana mimi kuwa nawambia achana na uongo huu utakuja siku moja kuimaliza iran na washirika wake wote

  • @user-sf7by1cr5h
    @user-sf7by1cr5h หลายเดือนก่อน

    Mm naitwa Saleh nipo znz nauliza hivi iran haina mifumo ya ulinzi?

  • @MasangulaGoa
    @MasangulaGoa หลายเดือนก่อน +1

    Sio kweli mchambuzi hajui kitu kabisa

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee หลายเดือนก่อน

      Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli

  • @saitotibuchali7370
    @saitotibuchali7370 หลายเดือนก่อน

    SKY naomba utengeneze Documentary inayohusu Vyombo vya intelligence by Combined

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    ✌️👊👍.

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน +1

    Dj Smaa Mungu Amjalie arudi tu maana huyu jamaa namsikiliza sna ila simuelewi kbsa sorry Guys

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er หลายเดือนก่อน +1

      Japokuwa wengi wamempongeza lkn kwa mtazamo wangu ni mchambuzi wa kiasi tu

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo หลายเดือนก่อน +1

      Chambua wewe kama unaona rahis kenge wewe

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน

      @@salimali-rf9er there are so many negative and positive comments about him.
      So mim nimesema ninavyojiskia

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน

      @@FastpayMauzo I'm sorry to offend you bro🙏

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk หลายเดือนก่อน

      Bila shaka

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania หลายเดือนก่อน +1

    Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa

  • @user-pq6vz3ws4f
    @user-pq6vz3ws4f 22 วันที่ผ่านมา

    Mbona tu burn utumizy WA drone na vikeazo sana' kwautumizy ea nicler weapons.

  • @AsiliyetuKwanza099
    @AsiliyetuKwanza099 หลายเดือนก่อน

    Nafikili Iran huijui vizuri ndiyo maana unakwepa maswali

  • @KurusumuMatola
    @KurusumuMatola หลายเดือนก่อน

    Kwel kabisa tuliona makombora lakin yakiingia isiraiel lakin isiraile hawajalipot

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 หลายเดือนก่อน

    Huyo mchambuzi alivyojibu swali la kwanza sivyo kabisa! Umejibu sivyo

  • @lidyasulley2155
    @lidyasulley2155 หลายเดือนก่อน

    Yes uingereza anamiliki nyukilia na nimoja ya nchi zilizokuwa za kwanza kumiliki nyukilia akiwemo marekan na rusia

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa teknolojia ya ulinzi ya Israeli iko vizuri sana. Makombora hayaleti madhara ndani ya Israeli. Waisraeli hizi vita na Gaza na Irani wanaziona kwenye TV na social media kama sisi wengine. Mcheki dada mmoja Mkenya TH-camr anaishi Israel anaitwa 'CoolKenyan Inisrael', yaani ndani ya Israeli hakuna kilichobalika, watoto wanaenda shule, watu makazini, shughuli za maisha ziko kama kawaida.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 หลายเดือนก่อน

      muongo wewe

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 หลายเดือนก่อน

      @@nizarrama225 nenda kwa Cool Kenyan in Israel hapa kwenye TH-cam ukajionee. Ndio utajua kama muongo au mkweli. 😁

  • @IddySkenke
    @IddySkenke หลายเดือนก่อน +1

    Mbona anaongea sana jibu bado kwanini hawakujua?

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 หลายเดือนก่อน

    Mulizaji kauliza kuhusu gaza na sio iran

  • @SuwediJuma-jo1hw
    @SuwediJuma-jo1hw หลายเดือนก่อน

    Mm nauliza ama nashauri tujifunzeni na sisi watanzania jinsi ya kutengeneza makombora mbona huyo ali anaonekana anaweza sana

  • @mostoryhub
    @mostoryhub หลายเดือนก่อน

    Brother contact me, nikupe michanganuo ya vita.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน

    SIAMINI KAMA IRANI HANA NYUCLIA HATTAKIDOGO.

  • @jumadaima1833
    @jumadaima1833 หลายเดือนก่อน

    Ndugu zangu, nipo Moçambique, iran ilipiga vituo 2 vya kijesh vya Israel.

  • @XxhamxyyxShhams
    @XxhamxyyxShhams หลายเดือนก่อน

    Sky.. huyo jamaa mpe pending kwanza manake sahivi aeleweki

  • @user-tg8sp6ql6v
    @user-tg8sp6ql6v หลายเดือนก่อน

    Oyaa ISRAEL bado nmoto mstiane moyo wakuu

  • @amanmwamluku9772
    @amanmwamluku9772 หลายเดือนก่อน +2

    hajajibu ni ulongo wamagaribi israel ameufyata

    • @bomonda2622
      @bomonda2622 หลายเดือนก่อน +1

      Uwongo tena wakati we kuandika tu hujui

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310 หลายเดือนก่อน

    Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr หลายเดือนก่อน

    MASHAMBULIZI YA IRAN YALIFANIKIWA VIZURI NA HABARI ZINASEMA KAMBI MBILI ZA KIJESHI ZA ISRAEL ZILIANGAMIZWA

  • @MdathiruMahamudu
    @MdathiruMahamudu หลายเดือนก่อน

    mnajua kuchambua habari wanasns

  • @ZuberyMdemu-fx8kd
    @ZuberyMdemu-fx8kd หลายเดือนก่อน

    Huyo hamna k2

  • @noelgypsum
    @noelgypsum หลายเดือนก่อน

    Israel hawaongei Kiebrania, wanaongea Aramaic, kiebrania ni lugha iliyokufa.

  • @habarizausa6192
    @habarizausa6192 หลายเดือนก่อน

    27:00

  • @michaelkyando9131
    @michaelkyando9131 หลายเดือนก่อน +1

    Makombara 300 si kajalibu apo alipania

  • @davidnkya3557
    @davidnkya3557 หลายเดือนก่อน

    Nimewakubali sana wakubwa

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Mossad ilijuwa kabsa,na israel ilipata sababu yakwanza iyi vita

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Yanadunguliwa ya kawaida

  • @murtazantimba4270
    @murtazantimba4270 หลายเดือนก่อน

    Cruise ni makombora yanayo yurushwa kutoka bahari kwenye meli za kivita

  • @user-pi3vj5sn3l
    @user-pi3vj5sn3l หลายเดือนก่อน

    Naitwa Ali salim makame nauliza swali hivi kunamikakati gani kwa palestina kupewa taifa lao

  • @vistoryvistory5908
    @vistoryvistory5908 หลายเดือนก่อน

    Tuonyeshe hayo magari yaliokuwa yakibeba hela kutoka Qatar munaichikiya Qatar kisa ni waislamtu

  • @dicksonaugustino1850
    @dicksonaugustino1850 หลายเดือนก่อน +2

    Naitwa dick son nauliza mbona wanasema kuwa izilael ndio kuna wataalamu sana na ambao wengi wao wapo marekani wanafanya kazi jeshini na ndio wataalau wake mmarekani.

  • @user-xe1uq5gt2i
    @user-xe1uq5gt2i หลายเดือนก่อน

    Mimi nauliza kwann mashambuliz walifanya usiku hats urusi mara nyingi kufanya kurusha makombora usiku sababu nini

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 หลายเดือนก่อน

    Iran walichotaka nikumwonyesha muisrael kwamba anadhani hawezi fikika wao wanaweza kumfikia.
    Nijuavyo hakuna vita unavyomweleza adui kuwa kesho nitakushambulia ili ujikinge.
    Kwahiyo Israel,Marekani,ufaransa, na uingereza kujiweka tayari kuzidungua HILO NI IGIZO AMBALO HALIFAI KUJISIFU

  • @shafiihussein4753
    @shafiihussein4753 หลายเดือนก่อน

    Nikweli tunaweza kuwekeza kwenye eilim lakini tusitoboe kwenye hizo technology maana hazisomeshwi ovyo chuo, bali wanachaguwa wanafunzi na kwa malengo ya nchi, mfno Iran na Urusi wanashare technoloy nyetti km hiz, na kwenye vyuo vyao kwenye kusoma hizo techology akienda mtz ataishia kusoma vitabu namatheory kibao, miaka minne tano inaisha anaambiw umemaliza nenda kwenu, hili ni jambo kweli lakielimu lakin lakimkakati na kisiasa pia, kuwa km nchi mko nanani kisiasa? Km kenya tunawaona wako wazi kua nikambi ya america so wanaeza kupenya ila Tz msimamo wakutokua upande wwte utatutafuna sanaaaaa, tuqche uoga siasa ya dunia ina kambi tuchagur kambi

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Kwanini hajawekea vikwazo...mu Russi

  • @user-vf7nl5tu2p
    @user-vf7nl5tu2p หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi badobado aendelee kjifua atakua mzuri mno

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u หลายเดือนก่อน

    Mwenye kujibu ajitambui

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda หลายเดือนก่อน

    Sawa Ally mchambuzi mzuri

  • @msovietymsoviety3646
    @msovietymsoviety3646 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kujua unajua kitu ni lazima kwanza unaemuelezea kitu hicho akifaham ama akuelewe vzuri ndo utajua kwamba unajua hicho kitu ama umepata uelewa wake vzuri ..

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 หลายเดือนก่อน

    Hapo wayahudi sio hao wayahudi wapo Africa wote, hao sio

  • @MasangulaGoa
    @MasangulaGoa หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa hajui kitu 😢

  • @diamondkaigili1291
    @diamondkaigili1291 หลายเดือนก่อน

    Kombola 300 afu uyu ally anadai Iran alikuwa tu anaonjesha , mi naona alikuwa anaifuta israel

  • @kassim1262
    @kassim1262 หลายเดือนก่อน

    Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio

  • @shaurimtanda8285
    @shaurimtanda8285 หลายเดือนก่อน

    mchambuzi anakuja vizuri ila ajifunze kwangu apate madin ya kutosha kuhusu hao ,MOSSAD,FSB,M16, CIA

  • @emmanuelerasto6689
    @emmanuelerasto6689 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi badooo sana sana hana ujuzi na weledi wa siasa za kimataifa amtafute yeriko nyerere kwanza kablaa hajajaa kwenye kipindi apoo

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k หลายเดือนก่อน

    Munazungumza kizungu kingi sana hadi kelo

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz หลายเดือนก่อน

      Soma kijana haitakua kero kwako tena

  • @givenhappy__bu1
    @givenhappy__bu1 หลายเดือนก่อน

    Na hii America iko na nguvu yakupigana na Russia ikashinda vita?????

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 หลายเดือนก่อน

    Iko hivi waizraeli hutumia ndege za kivita kupiga masafa mafupi kilometers 20 hanas hurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya kilometers 50 na kuendelea na hutumia gorola war mtu moja abaweza leta kizaa kundi kubwa la kijeshi la lzrael kutumia missile hiyo lmewapelekea ldf jeshi la lzrael kuwa ktk wakati mgumu sababu za kitekenolojia za silaa za lran

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa simwelewi

  • @JumaTankile
    @JumaTankile หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa hamna kitu kabisaaa hajibu maswali anasifia Israel tyu

  • @AsiliyetuKwanza099
    @AsiliyetuKwanza099 หลายเดือนก่อน

    Omba msaada tukusaidie

  • @jawadimwalim3634
    @jawadimwalim3634 หลายเดือนก่อน

    Unajuwa natamani kufahamu Hilo kombora la Nuclear, Liko uchambuzi wake

  • @givenhappy__bu1
    @givenhappy__bu1 หลายเดือนก่อน

    Kama Russia ananunua ma Boom kwa Iran jee Russia anaweza kushinda vita kwa mu Israel

  • @allymo_pro
    @allymo_pro หลายเดือนก่อน

    Me ninauliza swali kati ya Russia na American nani alioanza kumiliki nuclear mwanzo 🤷

  • @aaabubakar5612
    @aaabubakar5612 หลายเดือนก่อน

    Jamaa halibut suali aliloulizwa anazunguka tu kama ni chombo bora mbona hamas waliweza kufanya yaliyofanya kua wise katika maongezi yako

  • @makameniga9566
    @makameniga9566 หลายเดือนก่อน

    Urusi kawezaje kukwepa vikwazo zaidi ya 1000?
    Na bado uchumi wake unakuwa badala ya kushuka?

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 หลายเดือนก่อน

    Swali lakwanza.....jibu vizuri...Mossad kwanini tarehe 7 october...?

  • @amanitarimo2026
    @amanitarimo2026 หลายเดือนก่อน

    Israel huwa haibebi fedha kuipekea HAMAS.
    Anachofanya Israel ni ku- control mfumo wa fedha wa Ghaza na Palestina yote.

  • @tedngowa2559
    @tedngowa2559 หลายเดือนก่อน

    Huyu mchambuzi bado hajui,anafaa kujielimisha zaidi....

  • @saphinamirambo8171
    @saphinamirambo8171 หลายเดือนก่อน

    Naomba nijue izo ela anazotoa katal araf islaer anamperekea Hamas inakuwaje na Hawa maadui?

  • @user-pq6vz3ws4f
    @user-pq6vz3ws4f 22 วันที่ผ่านมา

    Bona inao yesha Gaza nimahily palipo ndani ya israely vip phalestine wanadrma nikwao?