Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....
kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..
Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli
Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy
Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power. Nuclear powers ni kama ifuatavyo:- 1. RUSSIA 2. USA 3. CHINA 4. UK 4. FRANCE 5. INDIA 6. NORTH KOREA 7. PAKISTAN Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran
Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa
Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio
Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?
Huyu jamaa Ali ni kweli anajua mambo ya kijeshi sana hongera
Uyumchambuzi tumemkubali wana sns tuponae💯💯 from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi
Wew kilakitu unakikubali😂😂
HHHH HHHHH
WEW PIA PINGA KILA KITU
@@bajosdamour2347 sinaakilitimam achananamimi kengeenini aunawaswa🇧🇮🤣
@@allahisone6386 haujuwi🇧🇮
Kuwa Mchambuzi inahitaji skills na uelewa wa hali ya juu pia ufatiliaji, nakupa hongera Sana Mchambuzi... 🙏🙏✔️
Sasa mbona umekimbilia kucomment kabla hujamaliza video na kuelewa?
Huyu jamaa nimemsikiliza interview nyingi, namuelewa.... Anachambua hapendelei anaelezea hali halisi.
Uyo jamaa yupo vizur
Huyu jamaa Mr ally bado sanA KWENYE uchambuz ukiulizwa unajibu totaut na ulivyo ulizwa HATA mie naweza kukuzid KWENYE kuchambua
@@HabibuHobohobo-py2mqwew ndomana ya mbogo mavi wew
Wa kwanza like zangu nyingiiiiiiii
Mchambuzi uko vizuri sana
Big up sana ila naona mchambuzi bado hajazoea mazingira naomba haya maswali yewe kwa mara kadhaa baadae tunaenjoy kama DJ smaa 255
Kaz nzur sky ✌️
Mchambuzi yuko vizuri sana
Jamaa yupo vizur sana
Big up!
jibu halijitosheleza suala la inteligencia analysis linahitaji evalutions za kina
Nimeipenda sana hii
Israle alijibu kitu gan ..
Bado anamuda wa kujifunza, keep it up
Bwana Alyl anashindwa kujibu swali
Good
UK wanazo nyuklia Kwa miaka mingi sana
Good story
Good I'm 3
Congratulations ❤
kaka sky mtafute jamaa anaitwa @suleimani chanzi anajua haya mambo mpaka anakera hutojuta kumialika
Ndiyo maana mimi kuwa nawambia achana na uongo huu utakuja siku moja kuimaliza iran na washirika wake wote
Mchqmbuzi mzuri sana
Mwamba kama swali la kwanza kama ame kick around the bush iv
Uk is a millitary nueclea power
AM THE FIRST ONE TO WATCH
❤❤
😮❤❤❤❤
Mchambuzi anahitaji kua deep sana kwenye world politics pia hajajibu swali
Mchambuzi uko vizuri sana Bro ila ujue ni janja janja ina tumika ila Marekani na Esrael ni Nchimoja
Mm nauliza ama nashauri tujifunzeni na sisi watanzania jinsi ya kutengeneza makombora mbona huyo ali anaonekana anaweza sana
Mbona tu burn utumizy WA drone na vikeazo sana' kwautumizy ea nicler weapons.
Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....
✌️👊👍.
kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..
🫡
Najua kuteleza tu.ila Nw ni FSB maana KGB ilisambaratika pamoja na ussr hongera sana mzee.
SKY naomba utengeneze Documentary inayohusu Vyombo vya intelligence by Combined
Sio kweli mchambuzi hajui kitu kabisa
Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli
Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy
Huyo hamna k2
Bona inao yesha Gaza nimahily palipo ndani ya israely vip phalestine wanadrma nikwao?
Huyo mchambuzi alivyojibu swali la kwanza sivyo kabisa! Umejibu sivyo
Mulizaji kauliza kuhusu gaza na sio iran
mnajua kuchambua habari wanasns
Brother contact me, nikupe michanganuo ya vita.
Kwel kabisa tuliona makombora lakin yakiingia isiraiel lakin isiraile hawajalipot
Nimewakubali sana wakubwa
Mm naitwa Saleh nipo znz nauliza hivi iran haina mifumo ya ulinzi?
Omba msaada tukusaidie
27:00
Nafikili Iran huijui vizuri ndiyo maana unakwepa maswali
Naitwa Ali salim makame nauliza swali hivi kunamikakati gani kwa palestina kupewa taifa lao
SIAMINI KAMA IRANI HANA NYUCLIA HATTAKIDOGO.
Yes uingereza anamiliki nyukilia na nimoja ya nchi zilizokuwa za kwanza kumiliki nyukilia akiwemo marekan na rusia
Tuonyeshe hayo magari yaliokuwa yakibeba hela kutoka Qatar munaichikiya Qatar kisa ni waislamtu
Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power.
Nuclear powers ni kama ifuatavyo:-
1. RUSSIA
2. USA
3. CHINA
4. UK
4. FRANCE
5. INDIA
6. NORTH KOREA
7. PAKISTAN
Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran
Mwana anakula tuki
Yanadunguliwa ya kawaida
Mbona anaongea sana jibu bado kwanini hawakujua?
Ayo 3500
Sky.. huyo jamaa mpe pending kwanza manake sahivi aeleweki
Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa
Mwenye kujibu ajitambui
Oyaa ISRAEL bado nmoto mstiane moyo wakuu
Huyo jamaa hajui kitu 😢
Naomba nijue izo ela anazotoa katal araf islaer anamperekea Hamas inakuwaje na Hawa maadui?
Wale sio mayahud ni ma sheknaz
Makombara 300 si kajalibu apo alipania
Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio
Cruise ni makombora yanayo yurushwa kutoka bahari kwenye meli za kivita
Dj sm 90%
Urusi kawezaje kukwepa vikwazo zaidi ya 1000?
Na bado uchumi wake unakuwa badala ya kushuka?
Kwanini hajawekea vikwazo...mu Russi
Sawa Ally mchambuzi mzuri
Ndugu zangu, nipo Moçambique, iran ilipiga vituo 2 vya kijesh vya Israel.
MASHAMBULIZI YA IRAN YALIFANIKIWA VIZURI NA HABARI ZINASEMA KAMBI MBILI ZA KIJESHI ZA ISRAEL ZILIANGAMIZWA
Mossad ilijuwa kabsa,na israel ilipata sababu yakwanza iyi vita
Je hakuna uwezekano wa kuzuia nyuklia bom kwa kutumia ulinzi wa anga km huo wa iron Dom?
Israel hawaongei Kiebrania, wanaongea Aramaic, kiebrania ni lugha iliyokufa.
Mchambuzi badobado aendelee kjifua atakua mzuri mno
Me ninauliza swali kati ya Russia na American nani alioanza kumiliki nuclear mwanzo 🤷
Huyu anae jibu mashwali Hana uwezo Huo aende shule kwanza
😂😂😂 Sasa Kuna mkuu wa mkoa Fulani hivi wamemtumia kila drone zimedunda
Kama Russia ananunua ma Boom kwa Iran jee Russia anaweza kushinda vita kwa mu Israel
Kwanini hitla alikuwa ana wauwa
😂😂😂%99 wamezuia
Mambo ya kitoto wanayosema
Munazungumza kizungu kingi sana hadi kelo
Soma kijana haitakua kero kwako tena
Huyu jamaa hamna kitu kabisaaa hajibu maswali anasifia Israel tyu
Dj Smaa Mungu Amjalie arudi tu maana huyu jamaa namsikiliza sna ila simuelewi kbsa sorry Guys
Japokuwa wengi wamempongeza lkn kwa mtazamo wangu ni mchambuzi wa kiasi tu
Chambua wewe kama unaona rahis kenge wewe
@@salimali-rf9er there are so many negative and positive comments about him.
So mim nimesema ninavyojiskia
@@FastpayMauzo I'm sorry to offend you bro🙏
Bila shaka
Huyu jamaa simwelewi
Kivip
Jibu maswali siokutoa maelezo
Mimi nauliza kwann mashambuliz walifanya usiku hats urusi mara nyingi kufanya kurusha makombora usiku sababu nini
Kwanini islael ilishambulia Iran haikulaumiwa ,ila Iran ilijibu na kuwekewa vikwazo na mataifa ya maghalibi?
Je? Tanzania ikiungana na nchi zingine za africa mashariki hatuwezi kununua hizo dron kwawingi?
Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?
Mchambuzi hajui jabisa
iran ni taifa kubwa sana na ushindi unakuja very soon
Kombola 300 afu uyu ally anadai Iran alikuwa tu anaonjesha , mi naona alikuwa anaifuta israel
Uyu jamaa kwenye maswala ya kijeshi nampa mauwa yake🎉🎉🎉🎉🎉
Hakun kit kizur kumsapot mwezk ni kat ya busar kubwa hongera kak
Swali lakwanza.....jibu vizuri...Mossad kwanini tarehe 7 october...?