UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มี.ค. 2023
  • UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR ES SALAAM...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 426

  • @kennedkaaya5998
    @kennedkaaya5998 ปีที่แล้ว +127

    Sometime ayo mangoma ni kama kelele sio kila mahali wanapo shuka yapo sehem moja tu inatosha kila mahali kelele😅

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 ปีที่แล้ว +8

      Ni makelele tu!!na mtu pekee aliekua na huruma na africa ni Obama pekee ila hawa nyau

    • @honestmboya1453
      @honestmboya1453 ปีที่แล้ว

      ​@@josephatjordan2150 ;. B ,,, g ,,,,,. ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, see Dr gt fee

    • @mwavitadundo4880
      @mwavitadundo4880 ปีที่แล้ว +1

      Mengoma inazingua kweli kashajua nipo Africa tena Tanzania kwaiyo iyo mingoma ndio nini

    • @michaelkisselar5691
      @michaelkisselar5691 ปีที่แล้ว +4

      Tupe CV yako kwanza tujue una ongea Kama nani

    • @02boysmusic12
      @02boysmusic12 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @keritalk9609
    @keritalk9609 ปีที่แล้ว +4

    Even Mr. Magufuli from heaven is not happy about this! The were not supposed to make her wait that long.

  • @minahsulesh8740
    @minahsulesh8740 ปีที่แล้ว +12

    Pole Tanzania yangu rest in peace magufuli uliipenda nchi yako na watu wako tena ulikubali kujitoa kutokuwa mtumwa angalia mama yetu kipenzi kama bord guid nini kinacho sainiwa hapo je baba yetu angekuepo magufuli asimame hivi kwa mzungu? Hapana hapana Tanzania umeelekea down 😢😢😢 pole Tanzania Munguu tuokoe Tanzania

  • @frankshedrack8259
    @frankshedrack8259 ปีที่แล้ว +3

    Siungi mkono hizo ngoma jamani ndo maana sometimes wenzetu wanatuangalia kama watu wa kale kisa bado kuna vitu vya kale vipo kwa nn hatuendani na kasi ya dunia tuliopo karne hii,,hayo mangoma yalikua na ulazima gani,,,,,

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 ปีที่แล้ว

    Kumbe mama yetu na yeye ni jitu refu, MashaAllah

  • @IDDABDALLAH-ds5vw
    @IDDABDALLAH-ds5vw ปีที่แล้ว +4

    rais mwenye moyo wa pekee mungu akulinde nakupenda Sana rais wangu raisi wa taifa langu tz

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy ปีที่แล้ว +2

    Saa nyengine us wanajiskia sana na madharau yao haya walio nayo.. unaona vile wamemueka mama samia kumsubiri ashuke huyu makamu wa raisi kwenye gari lake! Hii ni dharau wala sikingine😊

  • @mohamedzahor4992
    @mohamedzahor4992 ปีที่แล้ว

    Mnarecord na sim za Tecno nin. Video mbaya kama ni 12FPS

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 ปีที่แล้ว +15

    Dakika 2 kwa mama yetu Kasimama kungoja mgen wake kiusalama sio mbaya kikubwa Aman tu kwenye Nchi yetu alhamdulilah

    • @swesschao3095
      @swesschao3095 ปีที่แล้ว

      Lazima confirm na inteligence yake kwanza kama kuna usalama wake

    • @salimliemba3458
      @salimliemba3458 ปีที่แล้ว

      @@swesschao3095 kabisaaa

    • @tittoskeysproject1967
      @tittoskeysproject1967 ปีที่แล้ว

      Apo ikulu ww hamna upuuz wala makosa

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla ปีที่แล้ว +1

      ​@@tittoskeysproject1967 mzee chochote kinaweza tokea na popote pale kinaweza tokea.

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 ปีที่แล้ว

      ​@@swesschao3095 Alikua anasubiri waandishi wake wa habari washuke kwenye magari ndio yy ashuke. Kumbuka waandishi gari zao zinakua nyuma ya msafara

  • @MaoBadru-ob7uh
    @MaoBadru-ob7uh ปีที่แล้ว

    Kamala Harris rais mzuri sana nata Mani ange kuwa rais (vice president wetu) jamani you got to say ana tabia nzuri nupeni likes basi have a great day wananchi

    • @naima5220
      @naima5220 ปีที่แล้ว

      Uko serious the woman is a joke

  • @hassanikobelo3688
    @hassanikobelo3688 ปีที่แล้ว +3

    Nchi yetu ndo inauzwa ushoga ushaanza kutangazwa rasmi mama misele ya kwenda nje haishii yaan full hekaheka😭😭😭

  • @dk28122002
    @dk28122002 ปีที่แล้ว

    I love the way the 2 political leaders went to do what they had to do just 2 of us helping each other that natural sense of getting along is natural african gesture I loved it sometimes those hundred security around are just dramatic 😂

  • @paidenasra4548
    @paidenasra4548 ปีที่แล้ว +3

    Usikute anapita anamasisha ushoga, na kusema msipokubali awatowi support

    • @pastry2546
      @pastry2546 ปีที่แล้ว

      Ndio kilochomleta

  • @amanitarimo2026
    @amanitarimo2026 ปีที่แล้ว +2

    Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, Linda Taifa letu lisimezwe na ushoga

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 ปีที่แล้ว +1

      Nani alikwambiaa Kuna ushoga

  • @geofreyambakisye4481
    @geofreyambakisye4481 ปีที่แล้ว +1

    Sometime ulinzi unadhalilisha,unasubir mtu hadi unachoka halafu hashuki kwenye gari haraka.

  • @SerafinaMalecela-cx1hk
    @SerafinaMalecela-cx1hk ปีที่แล้ว +2

    Mm ningekua samia ningetangulia ofisini wamletageeeee halaaaa

  • @meerahskitchen.loosingweig2535
    @meerahskitchen.loosingweig2535 ปีที่แล้ว

    Rahaa 😊

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 ปีที่แล้ว

    Mama anaupiqa mwinqi sana,nchi imefunquka mahusiano mazur na jamii za kimataifa siasa safi uhuru wakupeta.
    Apewe tu 10 menqine tena

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว +3

    Ulinzi ni balaa. Shida ni kwamba adui yao anaweza wafutilizia huku kwetu Afrika akijua ulizi ni dhaifu. Tumshukuru Mungu sisi hatuna maadui

  • @Bugoye
    @Bugoye ปีที่แล้ว +16

    Why keep the host -- the President of Tanzania herself -- waiting next to the guest's car (a visiting Vice President) that long? The optics aren't right. I can't understand why they'd do that.

    • @trapazzmajaliwa5191
      @trapazzmajaliwa5191 ปีที่แล้ว +3

      Looks bad aisee these Americans look down upon African, what was. She doing in the car all that long?

    • @khadarabdi6919
      @khadarabdi6919 ปีที่แล้ว

      That is the level of disrespect the have for African leaders

    • @aska8060
      @aska8060 ปีที่แล้ว +1

      I say those are power games ndo mjue hao ni marekani

    • @antonykhamati6387
      @antonykhamati6387 ปีที่แล้ว

      Scanning for any security threats.

    • @caycameout2play
      @caycameout2play ปีที่แล้ว +3

      ​@Antony Khamati A Vice President keeping an actual President waiting THAT long is just disrespectful! Plain and simple

  • @DonPlatinum-tz5tt
    @DonPlatinum-tz5tt ปีที่แล้ว

    Wao

  • @thereport1on1
    @thereport1on1 ปีที่แล้ว +22

    😂😂😂 huo mda wote ni wa kumngoja Kamala ashuke kwenye gari.
    huu ndio ukoloni mambo leo sasa

    • @jofreymagesa7927
      @jofreymagesa7927 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 ปีที่แล้ว +4

      Yn ingekuwa kule uswaz unamwambia tu bibi ww em shuka nawe🤣🤣

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 ปีที่แล้ว +1

      Walikuwa wanachora ulinzi wetu na lada kutoka marekani 😅,

    • @djsix_6598
      @djsix_6598 ปีที่แล้ว +1

      Ukoloni mwa mwe ata Putin anasemaga

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 ปีที่แล้ว

      Kamala katulipia Machungu Yetu Ya Foleni Ya Vingunguti Akiwaa Anashuka Yeye Kutoka Dodoma Maana Tunasimamaga Ata Masaa 4😂😂😂😂

  • @barakabonile8362
    @barakabonile8362 ปีที่แล้ว +1

    Msijali mungu yu nasi!

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 ปีที่แล้ว +32

    Me naomba tu taifa letu lisipate Lana ya ushoga kukubali misada ili tukubali ushoga no no hapana 🇹🇿💔💉

    • @barakabonile8362
      @barakabonile8362 ปีที่แล้ว +1

      🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈

    • @simonrichardmosha6141
      @simonrichardmosha6141 ปีที่แล้ว +1

      Simu yenyewe unayotumia imetoka kwao utakwepea wapi hiyo hali.

    • @ototek8037
      @ototek8037 ปีที่แล้ว +1

      @@simonrichardmosha6141 simu imetoka afrika akili ndo zakwao..vyote uvionavyo hasa vya internet na mishangazo unayoijuwa vinatengenezwa kwa udongo wa makinikia toka TZ Congo Ghana South Africa na kwingineko yalipo madini Africa.

    • @simonrichardmosha6141
      @simonrichardmosha6141 ปีที่แล้ว +2

      @@ototek8037 kwa hiyo una mali akili huna.

    • @abochejuniorhutingwa223
      @abochejuniorhutingwa223 ปีที่แล้ว

      Mpk hapo inaonekana km ni dili limeshakamilika, ss HV wakisoma hz komenti zetu humu watakuwa wanatucheka tu ndugu yangu. Hakuba kitu kibaya kwenye uongozi km ubinafsi lakini pia km kukosa kuwezo wa kusimamia na kuhifadhi utamaduni wetu na mila

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว +28

    Kavunjiwa heshima raisi wetu yani mjinga huyo kafika kakaa kwenye gari dakika 10 anachat kwanza raisi naye kaka anamsubiri 😢😢😢😢

    • @magiehermess9949
      @magiehermess9949 ปีที่แล้ว +3

      Mwenyewe nashangaa

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla ปีที่แล้ว +6

      izo no ishu za kiusalama usifir unashuka tu km unashuka porini

    • @magiehermess9949
      @magiehermess9949 ปีที่แล้ว +3

      @ChoroTesla kweli lakini rais hafai kukaa hapo muda wote akingojea mtu wa chini yake. She is a president for sure

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla ปีที่แล้ว +1

      @@magiehermess9949 ww ndo.mtu wa protocol?

    • @simonrichardmosha6141
      @simonrichardmosha6141 ปีที่แล้ว +4

      Ushazoea kuruka kwenye daladala haya mambo utayajulia wapi.

  • @yohanaeliud7292
    @yohanaeliud7292 ปีที่แล้ว

    Tazaniya bad sis niwatumwatu laisiwetu Kawa kamalaiya wakawait 😭😭😭😭😭

  • @bgmuch
    @bgmuch ปีที่แล้ว

    Mwafrika/mzungu anaweka mwafrika mwenzake nyumbani? Hatia kubwa sanaaaa!

  • @suleiman3288
    @suleiman3288 ปีที่แล้ว +21

    Mama yetu akasimama kama bodyguard hatariiiii

    • @zahoramour3344
      @zahoramour3344 ปีที่แล้ว

      Hivi ukipokea mgeni nyumban kwako unafanyaje

    • @iddymtambo7186
      @iddymtambo7186 ปีที่แล้ว

      Hapana kumbuka Marekani ndio mwamba wa dunia nchi zote lazima iweke heshima hapo ndio mana hakuna mwenye mamlaka Kama yeye .

    • @josephinenyamhanga8818
      @josephinenyamhanga8818 ปีที่แล้ว +2

      Lazima mnyenyekee wazungu ,leo kaacha wapi barakoa,maana anapokua na mawaziri wake anakua amevaa hapa siioni

    • @dinnambogoye9582
      @dinnambogoye9582 ปีที่แล้ว +2

      Hahahaha Bibi yenu kasimama dakika tatu nzima kumsubiri mtu kushuka kwenye gari hiyo ni hatar , Kwan yeye alipo kuwa kule kwao huyo shost yake alimsubir hata?? , Waafrika tuache ujinga wa kumnyenyekea mtu anae kutumia kwa manufaa yake binafsi kwa kivuli Cha msaada , hahahaaaa haya Bibi yenu kawa mlinzi😂😂😂

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 ปีที่แล้ว +1

      ​@@dinnambogoye9582 Upo sahihi wapo kwamaslahi yao alafu wanatumia kivuli chamsaada!

  • @ahmedsalim8136
    @ahmedsalim8136 ปีที่แล้ว

    Welcome to East Africa.
    Hapa hakuna matata.
    Mama Harris .

  • @Carlo-tw4nx
    @Carlo-tw4nx ปีที่แล้ว

    thats an intimidation tactic as much as its a security protocal..kueka mama hizo dakika tano na anamuona...madharau kidogo kidogogo.but love how unintimidated President Samia was.Tanzania oyee!!

  • @johnhanga-dp9ck
    @johnhanga-dp9ck ปีที่แล้ว +10

    Hata Kama asingekuj na walinzi hii nchi ni ya amani tupu ilimradi usiiseme serikali vbya utaenda na maji

    • @FaridaJames
      @FaridaJames ปีที่แล้ว

      Nchi imeuzwa

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 7 หลายเดือนก่อน

      Ukishakua kiongozi ni ngumu kutembea bila walinzi nani lazima watembee na walinzi kwasababu asilimia kubwa ya viongozi inawafundisha wanainchi wake wakosee mpaka sehemu penyewe

  • @barakabundala5941
    @barakabundala5941 ปีที่แล้ว

    AISEEEE!😥😥😥

  • @godfreyvenerandus9411
    @godfreyvenerandus9411 ปีที่แล้ว +11

    Hivi hapo bodyguard wa SSH wanakuwa wapi?😮😮

    • @jahimshahim8848
      @jahimshahim8848 ปีที่แล้ว +3

      Itifaki yore ya Ulinzi hapo imeshikwa na wa Marekani toka angani,majini mpaka ardhini.

    • @mikehjackson8146
      @mikehjackson8146 ปีที่แล้ว +1

      @@jahimshahim8848 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetishaaa

  • @mosimndeme9618
    @mosimndeme9618 ปีที่แล้ว

    hv na viongozi wetu wakienda ulaya wanapigiwaga ngoma hv au nicc tunashobo tu

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 ปีที่แล้ว +4

    Ila mama yetu ana hekima sana kikubwa nikulinda amani ya nchi yetu

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 ปีที่แล้ว +6

    Ushirikiano wa mwewe na kuku huu daah!
    Ngoja tuone!

    • @jamil1547
      @jamil1547 ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂😂 yaani umenichekesha sana

  • @fakihassani3
    @fakihassani3 7 หลายเดือนก่อน

    Wanzania kwa kucheza ngoma hawazidiwi

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 ปีที่แล้ว +1

    Tuna nguvu Tanzania maana alikuwa vice na sasa Rais ss ndio wa kwanza kwenye kuwaheshim wanawake kwenye uongozi hizo nchi za ulaya na marekani wanaiga kwetu

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 ปีที่แล้ว

    Kuna mambo yanakeraaaa hivi hajajua alosimama apo ni mwanamke mwenzie na Rais mpendwaa wetuu ata aso toka kwenye gari tu

  • @inocentgalinoma-eh3sv
    @inocentgalinoma-eh3sv ปีที่แล้ว

    Nyeus itakua nyekundu bendera ya Tanzania...😅😅😅😅😅...Appreciate my brother Roma..

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 ปีที่แล้ว +5

    Yaani rais wetu kasimama!!!... Kampisha makamu wa rais akae!!!... Hapa sijaelewa kwani kati yao ni nani mkubwa kimadalaka ?.... kwanini wasinge weka viti viwili, Mimi binafsi sijaipenda hii.

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว

      Subiri ukiwa Rais wewe!

    • @danrevelian
      @danrevelian ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂hapo alikuwa anasaini kitabu Cha wageni tu jamaniiii 😂😂😂

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 ปีที่แล้ว +1

      Yaani watu jamanii wanaropoka

  • @luigipellegrini92
    @luigipellegrini92 ปีที่แล้ว +4

    Samia is a very matured lady, Tanzania have a brilliant president in Suluhu ❤

    • @reubenothuol1823
      @reubenothuol1823 ปีที่แล้ว +2

      She's old bro... You must be matured when you're old.

    • @justathought7235
      @justathought7235 ปีที่แล้ว +3

      @@reubenothuol1823 growing old isn't maturing. Some people don't behave/reason like their age

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 ปีที่แล้ว

    Acheni kuupa ushoga promo

  • @samsondominick81
    @samsondominick81 ปีที่แล้ว +3

    Kwa kweli suaala la Rais wetu kuwa Sub Ordinate kwa makamu wa Rais wa Marekani is not a good things kwa kweli hata walioorganize na kumpa Rais wetu namna ya kumpokea huyu makamu wa Rais kwa kweli kuna mistake ndogo ndogo walizifanya lakin zinaa impact kubwa sana...hata kama ndo kumnyenyekeaa mgeni kwa kweli hapana sioo kwa style hii ... aliyetakiwa kwend kumsogezeaa kitii Kamala Harris ni Body Guard au mtu maalum aliyeqndaliwa kwa ajili ya hiyo kazi wake na sio Rais wetu hii ni dharau na kumdisvallue mkuu wa nchi.....Kwa kweli ifike mahali yale masuala ya akina chief Mangungo ya masula ya miaka ya 1900 hukoo yafikie kikomoo Mbona Rais wa Congo Juzi alimkemea mgeni wake Rais wa Ufaransa tena ni Rais sio makama alipokuwa anaongeaa uwongo tena akamkemea kwa kumnyoshea kidole....Ifike mahalii viongozii wetuu waache kunyenyekeaa sana ndo hukoo hata masuala ya kuaambiwa tuoane ndo tupewe misaada yanatoka kutokana na jinsi viongozii wetu wanavyoact kwa mamaster wao....AFRICAN LEADERS MUST WAKE UP INGAWAAJE BAADHI WAMESHAAMKA...ANGEENDA SOUTH I DON'T THINK KWAMBA ANGEPEWA IYO SUB-ORDINATE ALIYOIPATA HAPA KWETU NA TUNAHUBIRI KILA SIKU SISI NI MATAJIRI..AU NDO NNJAA YA PAPER DOLLAR 💵 😂

    • @caycameout2play
      @caycameout2play ปีที่แล้ว

      Very shameful indeed! Poor protocol planning 🤦🏽‍♀️

  • @gracemachege3817
    @gracemachege3817 ปีที่แล้ว +1

    Hio ya rais wetu kusimama na kumwachia kit haijakaa vizur

    • @levisdiamond4797
      @levisdiamond4797 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀 amekuwa bodyguard wake mama yangu 😂

  • @nassondaniel-gz8qj
    @nassondaniel-gz8qj ปีที่แล้ว

    mama ana maana yyte uyu

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 ปีที่แล้ว +5

    Kweri sjapenda rais wetu kwann asimame kwan haiwezekan kuweka viti 2 kulinda heshma yake

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 ปีที่แล้ว +1

      Lazimaawempole,marekani ndio dunia wanakilakitu

    • @thomassenga2526
      @thomassenga2526 ปีที่แล้ว +1

      Hata Mimi sijapenda kabisa mkuu wa nchi kumsogezea kiti makamu hapana siku nyingine itifaki isifanye hivyo

    • @hanafimsabaha7469
      @hanafimsabaha7469 ปีที่แล้ว +1

      Amekaa kwa sababu anaandika. Hapo sio sehemu ya kukaa

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mlinzi ni kiburi sana hakumsalimia hata mama km hamuoni shenz

    • @user-tw9wu2gz4g
      @user-tw9wu2gz4g 4 หลายเดือนก่อน

      Mtumwa asalimiwe toka lini?

  • @MaxThebad-gm2uz
    @MaxThebad-gm2uz ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂 nasikia sauti ya mkatolik mwenye asili ya kiyaud

  • @mcback4384
    @mcback4384 ปีที่แล้ว +6

    Sasa toka gari imeingia langoni muda wote huo hashuki maana yake kuna secret service agent alienda kukagua mpaka uvunguni kwa Samia kama hakuna illegal substances kwa Usalama wa kamala

  • @kazimirihorace7161
    @kazimirihorace7161 ปีที่แล้ว

    Ndio sababu Bado harmonise uwashinda Kwa wimbo wake wote anapo burudisha wageni nyumbani. Mziki inapigwa hadi inakuwa kelele jameni eti makaribisho? Chanukeni na wimbo zenu za kitamaduni!

  • @xavermkalanga1230
    @xavermkalanga1230 ปีที่แล้ว +3

    Ni utamaduni wetu namna ya kumlaki mgeni ingekuwa kwao tungeingia kwa hip-hop

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 ปีที่แล้ว +7

    Mashost wamependeza 100%

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 ปีที่แล้ว +3

    kumbe samia anauweza ubordguard🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @FRANKMWOMBEKI
    @FRANKMWOMBEKI ปีที่แล้ว

    Magu angeenda kumgongea dirishani... "Oyaa unazingua shuka basi"

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 ปีที่แล้ว +1

    Nyeusi itakua nyekundu bendera ya tanzania

  • @djsix_6598
    @djsix_6598 ปีที่แล้ว +2

    Kaja kwake kukagua hesabu

  • @mikelokamba1202
    @mikelokamba1202 ปีที่แล้ว +1

    Ewe mwenyez mungu mpe nguvu rais wa Russia aweze kutukomboa nasisi wa tanzania maana toka ancle magu atangulie mbele za haki nnch yetu imetekwa na mafisadi ile mbaya ikiwemo kikwete na jopo lake kama ikiwezekana kiwete na samia suruhu wafe tu kabla mwaka aujaisha baba mungu tusaidie

    • @khadija5761
      @khadija5761 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅😅😅😅

    • @anniemallagi
      @anniemallagi ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅

    • @levisdiamond4797
      @levisdiamond4797 ปีที่แล้ว

      😀😀😀 Na ni sahihi 😀😀 naishi marekani ila sipendi wakija kwa inchi zetu huko africa ma bwege hao wanafanya vitu kwa manufaaa yao

  • @MaoBadru-ob7uh
    @MaoBadru-ob7uh ปีที่แล้ว

    We mina sulesh sijakata magufuli ni mzuri lakini you got to say my friend

  • @lumo9999
    @lumo9999 ปีที่แล้ว +1

    Huyo bibi anaumwa nn mbona abatembea hivyo😂😂

    • @hillarymuhidini5030
      @hillarymuhidini5030 3 หลายเดือนก่อน

      Aisee haumwi ila mguu wake mmoja ni mfupi hivyo tu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk ปีที่แล้ว +2

    Full mi karate 🥋 hapo

  • @dianamonyo1960
    @dianamonyo1960 ปีที่แล้ว

    Kaleta ushoga tu ,endeleeni tu kukubali ushoga,pongezi kwa mseven kwa kukataa huu ujinga.

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 ปีที่แล้ว

    Hata mama lazima walimscan asibebe knife 😂😂😂

  • @emmanuelnamakwa
    @emmanuelnamakwa ปีที่แล้ว

    Mama sio kitu makamu wa raisi anamsimamia kama bodyguard iliweje kweri Tanzania imeshapigwa bei na ushoga

  • @allexjohnmurra1551
    @allexjohnmurra1551 ปีที่แล้ว

    Naomba kwa anayejua hayo magari wanayotumia viongozi wa America ni campuni gani

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re ปีที่แล้ว

    Nna wasi wasi na huyu waziri hajaleta skendo za ushoga kweli? Macho yangu😢😢

  • @worldtv9145
    @worldtv9145 ปีที่แล้ว

    Imagine having to wait 2minutes for her to come out thee car..#1961

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 ปีที่แล้ว

    Ushoga ni shindikizo la Wamarekani - kwann na kama Viongozi wasipokua Imara Tutaamuliwa kila kitu.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 ปีที่แล้ว +2

    Mbona kamala kama kaandika barua ya kuomba kazi hapo.

  • @sadahramadhani6046
    @sadahramadhani6046 ปีที่แล้ว

    Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,hamuoni Wenzenu

  • @hclever7731
    @hclever7731 ปีที่แล้ว

    Yan kugeuza geuza kichwa tu ndio umakini,, si hata baba levo anaweza hiv

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 ปีที่แล้ว +1

    Wazungu wazungukeni Rais wetu Anasubili mgeni kwa madakika Africa bado niwa tumwa??

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 ปีที่แล้ว

    Apo kabla hajatoka walikuwa wanaangalia usalama umo ndani kwa ndani usishangae ata rais wetu walikuwa wakimzoom kavaa nini kwa ndani asije akamdhuru uyu mama ulinz wa marekani sio mchezo.walipojilidhisha kuwa pako salama adi ndani ndo wakamfungulia sio mchezo.

  • @deusdeusibrahimdeus2149
    @deusdeusibrahimdeus2149 ปีที่แล้ว +3

    Heshima kubwa kwake mama samia suruhu

  • @dgt6303
    @dgt6303 ปีที่แล้ว

    0:07 hivi macho yenu yanaona kama mimi? Mbona kama Bodyguard wa Mama anakaguliwa kibegi chake? Msaada wenye macho yanayoona

  • @khairat754
    @khairat754 ปีที่แล้ว

    Hivi maraisi wetu wakienda kwao wanapigiwaga Ngoma hivi naomba nielimishwe toka airport mpaka ikulu?!

  • @lama6310
    @lama6310 ปีที่แล้ว

    Ila Haolewi Mtu hapa bhata Uje

  • @ahmedalshaibany
    @ahmedalshaibany ปีที่แล้ว

    Amejiweka kwenye gari masaa kabla ya kushuka huku mama samia anamsubiria kwa kusimama. Sijapenda dharau yao wamarekani

  • @kephamarando2370
    @kephamarando2370 ปีที่แล้ว

    Mbona amechukua mda mrefu hivo kushuka kutoka Kwa gari. Ama alikua anashuta mwanzo😅😅😅😅😅

  • @hamadanzeyimana7488
    @hamadanzeyimana7488 ปีที่แล้ว

    Very disrespectful how president in own country wait vis president sitting in the car for this time 😢😢😢 she shouldn't have to wait her more than 30 sec otherwise she will left other seniors official to welcome her and wait her in the office but in front entrance come on guy

  • @christina-xd4qd
    @christina-xd4qd ปีที่แล้ว

    Christina

  • @elonotieno8805
    @elonotieno8805 ปีที่แล้ว

    Ee,,Africa na kelelee

  • @danieljoseph7120
    @danieljoseph7120 ปีที่แล้ว +6

    Mbwembwe nyingi mwisho wa siku kazi yake mola hyna makosa

    • @athumaniamiri880
      @athumaniamiri880 ปีที่แล้ว

      Nikweli siona maana ya ulinzi mkali mambo mengi lakini siku ya mwisho ikifika hakuna wa kuzuia

    • @amosdaniel1327
      @amosdaniel1327 ปีที่แล้ว

      😃😃😃

  • @fressoj-mova8640
    @fressoj-mova8640 ปีที่แล้ว

    Why mis president kasimama like hvyo, ingekua kwao angesimama pia uyo kamala?

  • @polloz77
    @polloz77 ปีที่แล้ว

    Ulinzi lazima satellite Ziko juu ya Tanzania Manuwari jeshi hipo nje ya bandari standby. They don’t take risks

  • @PastorZakariaTzTV
    @PastorZakariaTzTV ปีที่แล้ว

    TANGU NIJUWE KUWA MAREKANI WANAHAMASISHA USHOGA TANZANIA NA NCHI ZA AFRICA NAONA THAMANI YAO NI KAMA YA UMBWA.

  • @sadahramadhani6046
    @sadahramadhani6046 ปีที่แล้ว

    Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 ปีที่แล้ว +2

    Nimemsikia Roma kwa mbaliiiii

  • @Ryangiggs744
    @Ryangiggs744 ปีที่แล้ว

    Hawa c watu wazuri sn kutembea inchi wana mambo ya kishetani huwa wakata kuungwa mkono

  • @familytalks1
    @familytalks1 ปีที่แล้ว

    Wanatupotezea mda sasa, watu wa dance wanachoka kupiga ngoma nayeye hashuki aaahhhhh!!!!!!!

  • @babudicky
    @babudicky ปีที่แล้ว +1

    Hii sasa nini mama Samia unafany nini teb

  • @kevinakuko9238
    @kevinakuko9238 ปีที่แล้ว +1

    Kama mzalendo lazima uumie jamani daah inaumaa

  • @davidland3677
    @davidland3677 ปีที่แล้ว +1

    kweli ni aibu first lady wa tanzania amesimama na huyu bibi wa marekani amekaa kimya unyonge kwa tanzania.

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 ปีที่แล้ว

      Marekani ndio dunia mjomba,wanakilakitu

  • @hassanalawy4325
    @hassanalawy4325 ปีที่แล้ว

    Sasa wapo ikulu bado hawaamini tu kama nisehemu salama mpaka wanampotezea muda mama kusimama dk zote hizo

  • @evaristbamfu7149
    @evaristbamfu7149 ปีที่แล้ว +3

    Natamani siku moja tujielewe

  • @shukrimusa528
    @shukrimusa528 ปีที่แล้ว +1

    Huyu anakuja kutangaza ushoga tu marekani Hawana lingine jipya

  • @francethomas8059
    @francethomas8059 ปีที่แล้ว

    Mama yetu mkalimu adi basi yani kawa chini kweli tujifunze kumkalibisha mgani

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania na viongozi wetu ni vibaraka wa wazungu

  • @florianmukachi3957
    @florianmukachi3957 ปีที่แล้ว

    Why should Kamala keep the president waiting for that long before she leaves her vehicle??

  • @gasperedward
    @gasperedward ปีที่แล้ว

    Wazungu ni Miungu wa Waafrika