ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Yani huyu jamaha mbali na ushauri uwa hananechekesha sana thank you 🙏🏿 ❤❤😂😂😂
W doctor genius sana Umeletwa na Mungu kutimiza makusudi yake
Anakataza soda huyu.Hivi kweli?
Asant broo love ❤️
nakukubali doctor wangu na pia nakikubari sana kipindi chenu
Ubarikiwe doctor nimekuelewa
Kwelii kbs uko vzr
Dokta nakukubali sana uko sahihi sana sio simu na tv tu uislamu unakataza hata kuongea wakati unakula
Aisee we ni mwamba wa madaktari!
Huyu daktari anaongeaga pumba ila kwenye kutibu anatibu vizuri sana. Hajawahi uwa mgonjwa
Hongera dokta
Leo nimekupa sikio dr.
Nguvu ni kwa Yesu kristo pekee.Inategemea imani yako
😂😂😂Watu wana angamia kwa kukosa maarifa
Daktari huyu yuko vizuri kweli ni mhaya ?
Nakubali Sana
Naomba no ya simu ya dr please
Dokta yupo sawa
Mhhhh DR HUYO NI NOUMA
Hapo kwny kula saa 12 jion haf chai saa 4 ni ukwel kabisa hiyo ninaijua hiyo inafny kaz kwl kwel 💯📌
Hii manjano unaeza kukoronga na maji tu ukanywa??
Manjano ndo nini daktali?
Binzali ya njano mpendwa
Binzari
Afya mbna huna au mganga hajigangi
Nakwel vykula ni chnz cha magonjwa meng mjn.
Huyu fala bado mnampaga airtime?
Anaongea Kwa fact zake, ukikataa kama una fact zako basi unazifata
Huyu sio daktari wala mwana Sanyansi. Anaongea ukweli mchache, afu anakoleza na uongo mwingi. Hawezi kuwa mwana sayansi unayeongea tu bila kuambatanisha na ushahidi wa ki sayansi au facts.
Hebu weka uwongo wake hapa na sisi tupone na madaktari hawa wa mchongo aisee
dr hana akili timamu hyu
Yani huyu jamaha mbali na ushauri uwa hananechekesha sana thank you 🙏🏿 ❤❤😂😂😂
W doctor genius sana Umeletwa na Mungu kutimiza makusudi yake
Anakataza soda huyu.Hivi kweli?
Asant broo love ❤️
nakukubali doctor wangu na pia nakikubari sana kipindi chenu
Ubarikiwe doctor nimekuelewa
Kwelii kbs uko vzr
Dokta nakukubali sana uko sahihi sana sio simu na tv tu uislamu unakataza hata kuongea wakati unakula
Aisee we ni mwamba wa madaktari!
Huyu daktari anaongeaga pumba ila kwenye kutibu anatibu vizuri sana. Hajawahi uwa mgonjwa
Hongera dokta
Leo nimekupa sikio dr.
Nguvu ni kwa Yesu kristo pekee.Inategemea imani yako
😂😂😂Watu wana angamia kwa kukosa maarifa
Daktari huyu yuko vizuri kweli ni mhaya ?
Nakubali Sana
Naomba no ya simu ya dr please
Dokta yupo sawa
Mhhhh DR HUYO NI NOUMA
Hapo kwny kula saa 12 jion haf chai saa 4 ni ukwel kabisa hiyo ninaijua hiyo inafny kaz kwl kwel 💯📌
Hii manjano unaeza kukoronga na maji tu ukanywa??
Manjano ndo nini daktali?
Binzali ya njano mpendwa
Binzari
Afya mbna huna au mganga hajigangi
Nakwel vykula ni chnz cha magonjwa meng mjn.
Huyu fala bado mnampaga airtime?
Anaongea Kwa fact zake, ukikataa kama una fact zako basi unazifata
Huyu sio daktari wala mwana Sanyansi. Anaongea ukweli mchache, afu anakoleza na uongo mwingi. Hawezi kuwa mwana sayansi unayeongea tu bila kuambatanisha na ushahidi wa ki sayansi au facts.
Hebu weka uwongo wake hapa na sisi tupone na madaktari hawa wa mchongo aisee
dr hana akili timamu hyu