Mungu asaidie ujumbe huu na umfikie askofu mkuu eagt Mimi ni mahirika TU lakini hatuko hivo tuna Anza Kwa Imani na watumishi wengi mungu amewatoa huyu sio ,sio simuamini hata Imani Hana ndo mana anatafuta za kuchotewa awekwe kikaango ahamie hukohuko
Case is Over Waooooooo You're Highly Favoured Nabii Mkuu!!, I pray for Devine Protection May Your Ministry And Family grow Up richly In Jesus Mighty Name
Kusaidia kazi ya Mungu ni jambo la baraka sana, tatizo ni pale unapotaka dunia ijue kuwa umemsaidia fulani, tusisahau maandiko yanenavyo "UTOAPO SADAKA USIPIGE PANDA..., HATA MKONO WAKO WA KUSHOTO USIJUE (Mathayo 6:1-3). Kinyume na hapo huwezi kupata thawabu kutoka kwa MUNGU, isipokuwa utapata sifa kutoka kwa wanadamu.
Ahsante sana Prophet Geodavi kwa msaada huo, bado kama viongozi wa kidini, kama 3 au 4 ambao ni watoto wa kiroho wa Moses Korola . Geodevi ndiyo mmojawapo kafungua njia.
Hivi wewe mchungaji uliitwa kweli na Mungu ooooooh Mungu have Mercy on his church....... yaaan ukiona mchungaji anaanza kuabudu mwanadamu mwenzake Hilo kanisa limeisha,Askofu mkuu wa EAGT Unamuona huyu mchungaji??😭😭😭😭😭😭
Wewe mchungaji huna jipya unaacha kumlilia Mungu unaenda huna lolote unamwani na kupiga magoti poleni sana kizazi hiki kisicho kuelewa na kumwamini binadamu baadara ya mungu
Watumishi wa Mungu aliye hai tafuteni uongozi wa Mungu kuongonzwa na tamaa za dunia Mungu hapendi tena anachukia tafuteni maarifa ya Mungu aliye hai muumbaji wa dunia ili muwe na imani roho zenu zikifanikiwa katika kuongozwa na Mungu ndipo hamtachanganyikiwa ivo *isaya48:17-19
Baba wa huruma...Baba wa upendo..Mchungaji ambaye kiroho kimekufa kabisa .Unawezaje kumpa mtu sifa ya Mungu na kusujudu mbele yake?Mungu akurehemu sana
Wewe Mchungaji Nenda kaokoke maana haujaokoka uweshindwa kupita kwenye makanisa ya E.A.G.T Mungu akuangalie upya haujamjua vyema Mungu uliyenaye ndiomana unatangatanga
EAGT waabudu halisi silo kanisa lililoanzishwa na Moses Kulola. Kanisa hili limeibuka baada ya mzee kulola kulala mauti. Sidhani hata kama hili kanisa limesajiliwa. EAGT hawajafilisika kiasi cha kushindwa kumuomba Mungu afanye na kwenda upande huu narudia upande huu kuomba msaada.
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake na moyoni mwake amemuacha Mungu, Eliya anasema nimeona wivu mwingi kwaajili ya Bwana wa majeshi, ole wao manabii wa baali maana roho za watu waliowapoteza zitatakwa mikononi mwao
Mawazo wa mtu mchanga bilia inasema tafuten mtapata omben mtapewa, achen wivu watanzania ndio maan mmezid kuw maskin na wengine tunazid kutajirika, kuukum tu ni dhambi uruhudiw kunyoosha mkon kwa mtu walokole weng tutaenda mototo kwa kutumia mdomo vibaya.
Pesa Inaweza Kukupokonya Mke Au Mme Kukupokonya Aki Yako Kupokonya Ardhi Yako Kupokonya Utu Wako Kupokonya Fulaa Yako Ulionayo Iyo Iyo Pesa Inaweza Kukueka Mbali Na Mungu Wako Kwasababu Ukiikosa Autaweza Kutoa Sadaka Autaweza Kutoa Fungu Lakumi Sasa Kama Utoi Sadaka Nyumba Za Ibada Zijengwe Unazani Mungu Gani Atakusikiliza Wewe Kwadababu Kila Alichoumba Kwa Ajili Ya Wanadamu Sasa Wewe Useme Auna Ya Kutoa Sadaka Jamani Uliipata Pesa Ipe Eshima Yake Aijalishi Unaipatia Wapi Kwadababu Ukiomba Mungu Aku
@@josephvicencio174 mtumishi wa kanisa la kipentecoste aliyejazwa roho mtakatifu na anaamini ubatizo wa maji Mengi hawezi kuingia happy kuomba msaada ,Kwan makanisa mengine ya kipentecoste hakuna ?
Wewe mchungaji pepo askofu wako ameliona hilo lakini tangu mwanzo umechemka eti eagt wabuduo halisi je wabuduo sio halisi ni akina nani mmepotea sana ulijua utapewa kimyakimya sasa nabii mkuu kakuweka mtandaoni umejichafua
Kwa Watumishi wa YESU unaitajika macho ya rohoni. Maana Leo watu wameshindwa kumuendea MUNGU kwa unyenyekevu wanaziendea Pesa kwa magoti nasifa zisizo faa katika ufalme wa mbingu.
Kuomba sio shida tatizo ni namna ambayo anaomba kana kwamba huyu nabii ndie mungu wake hadi kupiga magoti na izo baba zinamaanisha nini vp na kondoo anaowachunga wamwamini mungu yupi alie juu au nabii mkuu
kweli namshuru Mungu ninaona na Mungu anipe macho ya rohoni nione zaidi lakini moyo wangu unaumia sana kundi hili kubwa alafu vipofu hii inakuwaje jamani?
Mchungaj unaliaibisha jina la YESU na upendekoste Kwan ungeliomba msaada Kwa wachungaj WA kipendekost sip manabii utapokea vitu vya ajabu.torati 12:30.
Biblia imesema wakristo wa kweli tutawatambua kwa matunda : ( Utu wema , fadhili , Upenda n.k) na ili tuwatambue lazima haya matunda yaonekane au yajulikane na watambuzi . Kwa haya Dr. GEODAVI he is a real servant of Jehova.
Yesu alisema ni Upendo wa namna gani mtu akautoa uhai wake kwaajili ya rafiki yake ( alimaanisha hiki nikiwango Cha juu Cha Upendo) , GEODAVI - Anatuonyesha kiwango kingine Cha juu Cha Upendo , akizitoa Hela zake kwa ajili ya kuwapa wenginie furaha . Na wewe unaecomment kinyume JARIBU hii level ya Upendo
Maaskofu wengi hapa Tanzania Ni matajiri sana ila ni wabinafsi na Ni wachoyo sana,hawasapoti mtu wa dhehebu tofauti na lake wako tayari waone unajifia na shida yako kuliko kujitolea hasa inapojiri jambo la kusapoti kanisa kifedha
Wewe mchungaji wa chanika unajiaibisha jina la YESU unaliwa huduma yako ya uchungaji na utakufa vibaya kiroho na kimwili,fedha inakupeleka jehanam,wachungaji wa kiroho mnasombwa na manabii Kwa sababu fedha.siku za mwisho wachungaji kaeni macho nyakati za mwisho.
Siku za nwisho hizi!! Wengi watasombwa na injili zidanganyazo. Ni nyingi so kuzigundua ninkazi lkn...Muhimu hapo anawaita watu kwenye utumishi ni Kristo na ndio mwajili wao sasa huyu mwingine...!!!
Ziwe zinatoka kuzimu au popote tunachojua Shetani hana chake,tukumbuke Bwana Yesu alikwenda kula chakula kwa Zakayo je ulisha jiuliza kile chakula alinunua kwa fedha gani
Mungu aliwaita anaweza kufanya lolote kwanu!! Kwani kazi ya kwenu au ya Mungu. Vipi hasiwape pesa ya kununua kiwanja tu? Mazingira magumu!!! Mtumishi wa Mungu Daud anasema hajawai kuona hata mtoto wa Mtumishi anaomba mkate mtaani
Mungu hajawahi kushusha pesa kutoka mbinguni na wala hakuna mtu anayetengeneza pesa kule Bali zipo hapahapa duniani na ziko Kwa watu wala sio kwa malaika
@@florianakhweso5749 Hapo sio Mungu anayetukuzwa!! Ni jina la Mtu linatukuzwa.... ndio maana kila anayetaka pesa hapo ni kumsifia tu sio kumtukuza Kristo...Wafilipi 4:19... huyu Mungu asiyeshindwa na jambo atamtumia yeyote na mwisho yeye ndio atatukuzwa. Kipimo kama ni roho mwingine anatumika ni pale mtu anatukuzwa badala ya Mungu...Watu wangu wanaangamia kwa kokosa maarifa
@@lianaelgomezulu2259 Mungu anakaa ndani ya watumishi wake hivyo mtumishi akitukuzwa Mungu Hana wivu ndo maana Yesu alisema kaeni ndani yangu nami ndani yenu utukufu alionipa Baba nami nawapa ninyi
Mungu asaidie ujumbe huu na umfikie askofu mkuu eagt Mimi ni mahirika TU lakini hatuko hivo tuna Anza Kwa Imani na watumishi wengi mungu amewatoa huyu sio ,sio simuamini hata Imani Hana ndo mana anatafuta za kuchotewa awekwe kikaango ahamie hukohuko
Baba mwenye huruma !!!?
Anakuwa mungu kabisa!! Pole sana kabisa sababu yakukosa pesa unaanza kuiti watu baba mwenye huruma !!!
Case is Over Waooooooo
You're Highly Favoured Nabii Mkuu!!, I pray for Devine Protection May Your Ministry And Family grow Up richly In Jesus Mighty Name
Msijishushe sana kwa sababu ya pesa
Kusaidia kazi ya Mungu ni jambo la baraka sana, tatizo ni pale unapotaka dunia ijue kuwa umemsaidia fulani, tusisahau maandiko yanenavyo "UTOAPO SADAKA USIPIGE PANDA..., HATA MKONO WAKO WA KUSHOTO USIJUE (Mathayo 6:1-3). Kinyume na hapo huwezi kupata thawabu kutoka kwa MUNGU, isipokuwa utapata sifa kutoka kwa wanadamu.
AMTEGEMEAYE MWANADAM AMELAANIWA.
MUOMBE SIYO GIO DEV.
Ahsante sana Prophet Geodavi kwa msaada huo, bado kama viongozi wa kidini, kama 3 au 4 ambao ni watoto wa kiroho wa Moses Korola . Geodevi ndiyo mmojawapo kafungua njia.
God bless you Nabii Mkuu usiangalie unafikuli wa wakristo wenye fitina endelea kusaidia Watu Baba tunakuelewa
Hivi wewe mchungaji uliitwa kweli na Mungu ooooooh Mungu have Mercy on his church....... yaaan ukiona mchungaji anaanza kuabudu mwanadamu mwenzake Hilo kanisa limeisha,Askofu mkuu wa EAGT Unamuona huyu mchungaji??😭😭😭😭😭😭
Kwa kweli inasikitisha sana kuona mchungaji anamwabudu binadamu mwenzie kisa pesa. Kumbuka mali zote zatoka kwa Bwana
Sasa kama nyie na askofu mkuu mmeshindwa kumsaidia mchungaji mnakusanya sadaka za kitaifa tu mlitaka asaidiwe na Nani? Punguzeni roho mbaya
Watumishi wa Mungu tusimshushe Yesu kwa jinsi hii kama ni kuomba msaada nenda ofisini sio kulia na kupiga magoti eti naomba
Mungu aku bariki Mchungaji.Usi angalie maneno ya watu.Binadam hawana jipya Chini ya jua.❤❤
Mungu akuondole uchungaji wako kwa jina la Yesu
Vivaah Kazi za Nabii Mkuu Dr Geordavie Peace Ambassador, Asante sana Baba 🙏🙏
Mungu ALIYEHAI ahusike mwenyewe katika maisha yautumishi wakinabii nabaraka tele
Mungu akubariki sana nabii mkuu Dr Geor Davie kwa moyo wako wa upendo kumsaidia huyo mchungaji
Mhh!! Lbd kakodiwa aaibishe Hilo kns la EAGT duuh!! Sio kwa kumdharau Mungu kias hicho
Wewe mchungaji huna jipya unaacha kumlilia Mungu unaenda huna lolote unamwani na kupiga magoti poleni sana kizazi hiki kisicho kuelewa na kumwamini binadamu baadara ya mungu
Mnamdhalilisha tu Bishop Moses
Kivipi?
Wow Nabii Mkuu Dr Geordavie Mungu akupe Maisha marefu wewe na Family yako Baba
Ki ukweli nabii mkuu nilikuwa sikuelewi ila Kwa Sasa nakuelewa sana barikiwa sana na mungu akuzidishie pale ulipotoa
Mungu atusaidie sana
Alaaniwe. Mtu Yule amtumainie mwanadamu
Watumishi wa Mungu aliye hai tafuteni uongozi wa Mungu kuongonzwa na tamaa za dunia Mungu hapendi tena anachukia tafuteni maarifa ya Mungu aliye hai muumbaji wa dunia ili muwe na imani roho zenu zikifanikiwa katika kuongozwa na Mungu ndipo hamtachanganyikiwa ivo *isaya48:17-19
Mungu aendelee kukubariki baba, asante sana kwa kumsaidia mtumishi huyu wa Mungu, unamoyo wa huruma sana 😭😭🤚
😢
Badala yakumwambia mungu baba mumeamza kumwambia baba mwanaume mwenzenu
Mungu tusaidie kukutegemea
Haaa we ungewasaidia hiyo milioni tano? Acha wivu
Mchungaji unampigia magoti binadamu mwenzio, unasoma Biblia gani? Pole sana.
yaani Ee Geo DEV WEWE SI MUNGU TAFADHARI UNAZITOA WAP
Hongera nabii mkuu Kwa kuunga mkono juhudi za madhehebu mengine ili wakaifanye KAZI ya Mungu aliejuu
Nimepata uoga sana
YESU KRISTO anajitosheleza
Baba wa huruma...Baba wa upendo..Mchungaji ambaye kiroho kimekufa kabisa .Unawezaje kumpa mtu sifa ya Mungu na kusujudu mbele yake?Mungu akurehemu sana
Waumini mmekuwa wagumu hamtoi sadaka si manabii tutawapeni mana huwa mnatuita ni wapigaji
Mchungaji ameitiwa sadaka? Ukimtafuta Mungu kwanza vingine vitakuja.
Wewe Mchungaji Nenda kaokoke maana haujaokoka uweshindwa kupita kwenye makanisa ya E.A.G.T Mungu akuangalie upya haujamjua vyema Mungu uliyenaye ndiomana unatangatanga
Nyakati za mwisho tutaona nyota mbinguni zikianguka !!! BWANA YESU nipe jicho la tatu.
Mmhh za mwisho wapi
Kumbe Eagt wanapigaga ishara ya msalaba. Inasikitisha mno. MUNGU tusaidie sana
Ukimuomba Mungu Akupe Pesa Utaipta Kwa Njia Yeyote Kikubwa Kujua Pesa Ni Maisha Pesa Ni Fulaa Pesa Sabuni Japo Aina Povu
Sijuii wanaobisha wanatakajee an hawajui Mungu anatumia kutusaidia jamaan mnakwama wapi ety
EAGT waabudu halisi silo kanisa lililoanzishwa na Moses Kulola. Kanisa hili limeibuka baada ya mzee kulola kulala mauti. Sidhani hata kama hili kanisa limesajiliwa. EAGT hawajafilisika kiasi cha kushindwa kumuomba Mungu afanye na kwenda upande huu narudia upande huu kuomba msaada.
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake na moyoni mwake amemuacha Mungu, Eliya anasema nimeona wivu mwingi kwaajili ya Bwana wa majeshi, ole wao manabii wa baali maana roho za watu waliowapoteza zitatakwa mikononi mwao
Mawazo wa mtu mchanga bilia inasema tafuten mtapata omben mtapewa, achen wivu watanzania ndio maan mmezid kuw maskin na wengine tunazid kutajirika, kuukum tu ni dhambi uruhudiw kunyoosha mkon kwa mtu walokole weng tutaenda mototo kwa kutumia mdomo vibaya.
Safi hiyo imeandikwa 2kor.8:14-15
Verynice
Pesa Inaweza Kukupokonya Mke Au Mme Kukupokonya Aki Yako Kupokonya Ardhi Yako Kupokonya Utu Wako Kupokonya Fulaa Yako Ulionayo Iyo Iyo Pesa Inaweza Kukueka Mbali Na Mungu Wako Kwasababu Ukiikosa Autaweza Kutoa Sadaka Autaweza Kutoa Fungu Lakumi Sasa Kama Utoi Sadaka Nyumba Za Ibada Zijengwe Unazani Mungu Gani Atakusikiliza Wewe Kwadababu Kila Alichoumba Kwa Ajili Ya Wanadamu Sasa Wewe Useme Auna Ya Kutoa Sadaka Jamani Uliipata Pesa Ipe Eshima Yake Aijalishi Unaipatia Wapi Kwadababu Ukiomba Mungu Aku
Usiabdu mwanadam
Acha ujinga
Mungu ninaemjua mm hawez kuruhusu mtumishi wake asimame mbele za watu namna hii kuomba hela
Hakuna mchungaji wa kanisa la kipentecoste anaweza kufanya huo ujinga ,
Unamaanisha Nini mtumishi wa Mungu?
@@josephvicencio174 mtumishi wa kanisa la kipentecoste aliyejazwa roho mtakatifu na anaamini ubatizo wa maji Mengi hawezi kuingia happy kuomba msaada ,Kwan makanisa mengine ya kipentecoste hakuna ?
@@mckingu4004 Labda amekosea huko, Ila siamini 🙆
Naunga mkono hoja yako. Hii ni zaidi ya usanii.
Umewaza kam mm
Yesu hajatuma huko hata kama mmepata pesa huko
Wewe mchungaji pepo askofu wako ameliona hilo lakini tangu mwanzo umechemka eti eagt wabuduo halisi je wabuduo sio halisi ni akina nani mmepotea sana ulijua utapewa kimyakimya sasa nabii mkuu kakuweka mtandaoni umejichafua
kazi tunayo pastor
Me nadhani maaskofu wamejilimbikizia Mali hawasaidii makanisa yanayochipuka, wao nibkudai asilimia tu
@@petermwenda6470 duu !haya mambo mmmm....
Hadi mchungaji unaulizwa kuhusu kuanzishwa na mosses kulola
Mungu akubariki sana mhe, kwa kutusapoti Tsh 5,000,000/=kwa sasa Kanisa linaendelea vizuri sana.
Ipo siku iyo hela itahitajika kulipwa . maana Mungu si mwanadamu hata asaidiwe kazi
Amina baba
Dah ehe Mungu tusaide
Poleni
Mnaenda kuchukua pesa za shetani kwaajili ya kumtumikia Mungu.😢😢😢😢
Nafurahi sn 🙏🏼❣️🙏🏼
Hata mm nafrahi kuona mtumishi asie na ubaguz
Hii nimeifurahia san
Kwa Watumishi wa YESU unaitajika macho ya rohoni. Maana Leo watu wameshindwa kumuendea MUNGU kwa unyenyekevu wanaziendea Pesa kwa magoti nasifa zisizo faa katika ufalme wa mbingu.
😢😢 acheni maneno huyu baba nabii anapiga kazi
EAGT huku tena! Duuuuuuh! Something is wrong somewhere,yangu macho😳
Kabsaaa
🤣🤣🤣 kwani vipi
Kabisaaaa
Bwana Yesu tusaidie!!!
Wewe ni Bora Dady nakupenda
Kweli uyo anachanganya masabayu ya Mungu naa kishatani
Eti 'Baba mwenye huruma' 'Baba mwenye upendo ' ..... ungetoa hoja hizi kwa Mungu aliyekuita! Ungepata zaidi ya hayo!!! 🤣🤣🤣
Umeona eee anaibisha kanisa la Eagt kweli jamani aibu hiiiii
Kuomba sio shida tatizo ni namna ambayo anaomba kana kwamba huyu nabii ndie mungu wake hadi kupiga magoti na izo baba zinamaanisha nini vp na kondoo anaowachunga wamwamini mungu yupi alie juu au nabii mkuu
Jesus christ anaaibishwa jamani naumia mm jamani 😭😭😭eee Yesu linda ķanisa lako iko wapi imani ya kweli
Kwanini mnaona nabii mkuu anamtumikia shetani ninyi ni watu wanamna gani mtu akiwanacho wa washetani mungu wetu ni zaidi sana
Huishi milele Nabii mkuu . Kwa Jina la Yesu christo.
Yesu
Ni upuuzi mkubwa kumfanya mwanadamu mwenzenu kanakwamba ndio Mungu
Kabisa MUNGU atusaidiye.
Nani amemfanya ni Mungu?
mwenye macho na atazame,mwenye masikio na asikiye,niwakati wa kushituka tuyaonapo haya,ni wakati wa kukimbia
Kwanini
kweli namshuru Mungu ninaona na Mungu anipe macho ya rohoni nione zaidi lakini moyo wangu unaumia sana kundi hili kubwa alafu vipofu hii inakuwaje jamani?
Duuu kweli hapa ni maombii tu kulitetea kanisa la Tz na hii kwann picha ya baba yet moses kuloloa wameiweka iyo apo
Naomba mnisaidie hivi hizi hela zinazotolewa zinatokana na sadaka za waumini au Kuna chanzo kingine mbadala
Ni ajabu na kweli, mchungaji hapigi magoti kwenye madhabahu ya Bwana anampigia magoti Nabii mkuu ili kuomba fedha! Makanisa yana mahangaiko!
Nimetafakari sana
Huo ni upotoshaji kanisa la eagt gani au mmeamua kuchafua tu kanisa la watu mshindwe Kwa jinala YESU
Watumishi wanamahangaiko Askofu Eagt unaionaje hali hiyo
Akitenda katika kristo ni utukufu, Mungu amubariki nabii mkuu
Safi sana
Hana ubaguz
Umasikini utafanya wengi muabudu wasiostahili kuabudiwq
We Una Roho ya kiburi ndo mama ukasema hivo
Mchungaj unaliaibisha jina la YESU na upendekoste Kwan ungeliomba msaada Kwa wachungaj WA kipendekost sip manabii utapokea vitu vya ajabu.torati 12:30.
Mungu wa mbinguni azidi kukuinua kwa maana haujiangalii ww peke yako unaangalia na wengine Mungu wa mbinguni akutie nguvu Nabii
Jamaniii jamaniii.. YANGU.
😳😳.. MUNGU tusaidie..
Mmmhh kweli😳😳 si mambo ya kiofisi? Au ofisi zimefungwa😳😭😷😷 YESU BABA YANGU TUSAIDIE WANAO
Biblia imesema wakristo wa kweli tutawatambua kwa matunda : ( Utu wema , fadhili , Upenda n.k) na ili tuwatambue lazima haya matunda yaonekane au yajulikane na watambuzi . Kwa haya Dr. GEODAVI he is a real servant of Jehova.
Kabisaaa
Kama EAGT mmeshindwa kuwasaidia mnataka waende wapi?Bora waombe tu.
Hiyo heshima ungempa MUNGU basi usinge nyenyekea hivyo kwa mtu 😢😢
I hope everyone in his church can have a daily meal.
Mnajichoresha sana
EAGT toka amefariki kulola nayo imekufa tu 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔
Mmmmh haya mambo haya
Heeee nabii wamchongo anaendelea kuteka wengi
Yesu alisema ni Upendo wa namna gani mtu akautoa uhai wake kwaajili ya rafiki yake ( alimaanisha hiki nikiwango Cha juu Cha Upendo) , GEODAVI - Anatuonyesha kiwango kingine Cha juu Cha Upendo , akizitoa Hela zake kwa ajili ya kuwapa wenginie furaha . Na wewe unaecomment kinyume JARIBU hii level ya Upendo
Huyo sio mchungaji wa EAGT akuna mch wa EAGT anaeenda kuomba msaada
Unajua watumishi kama hawa wanaojitolea hivi wanakutana nachangamoto niwakuombewa
EAGT! Duh!
😰😢
Maaskofu wengi hapa Tanzania Ni matajiri sana ila ni wabinafsi na Ni wachoyo sana,hawasapoti mtu wa dhehebu tofauti na lake wako tayari waone unajifia na shida yako kuliko kujitolea hasa inapojiri jambo la kusapoti kanisa kifedha
Matajiri kwa sabb nyiny waumin ndo mnawafaidisha half wao pesa mnazowapa wanaenda kujaza matumbo yao na familia zao, nyiny mnabakia na njaa tu
@@lasthunter6347 hawawasaidii hata waumini wao wenyewe wale wenye shida hasa wajane
@@christianmwasakogo5579 yule sio nabii ila ni shetan hata mkishtuka mshapigwa sana
@@lasthunter6347 MMH!MUNGU ATUSAIDIE
Kweli wachoyo na watamuweka kikaangoni huyu pasta
Mungu wa madhabahu ya Mosses Kulora hataaibishwa Kwa shilling,mngejua! Nyuma ya sadaka hz kuna nini msingechekelea.
Kuna nini kwani
Yan Moses kulola hayupo lakini Yesu kristo yupo mchungaji umezingua njaa mbaya
Wewe mchungaji wa chanika unajiaibisha jina la YESU unaliwa huduma yako ya uchungaji na utakufa vibaya kiroho na kimwili,fedha inakupeleka jehanam,wachungaji wa kiroho mnasombwa na manabii Kwa sababu fedha.siku za mwisho wachungaji kaeni macho nyakati za mwisho.
Mmmh Jamn kwel EAGT ninayoifahamu au?? Daaah
Hongera nabii
Hii nayo ni Futuhi, yani mpaka aibu.
Watu wanajua kumtia aibu Kristo
Lakini mnajua pesa zinatoka wapi?
Kwani si fedha halali za kitanzania na zipo popote duniani??? Kwani hizo ulizonazo wewe zimetoka mbinguni??
Siku za nwisho hizi!! Wengi watasombwa na injili zidanganyazo. Ni nyingi so kuzigundua ninkazi lkn...Muhimu hapo anawaita watu kwenye utumishi ni Kristo na ndio mwajili wao sasa huyu mwingine...!!!
We watched watapokea pesa za mashetani
Ziwe zinatoka kuzimu au popote tunachojua Shetani hana chake,tukumbuke Bwana Yesu alikwenda kula chakula kwa Zakayo je ulisha jiuliza kile chakula alinunua kwa fedha gani
Twambiye ww
Huyu ni mchungaji Wa EAGT KWELI JMN
Mungu aliwaita anaweza kufanya lolote kwanu!! Kwani kazi ya kwenu au ya Mungu. Vipi hasiwape pesa ya kununua kiwanja tu? Mazingira magumu!!! Mtumishi wa Mungu Daud anasema hajawai kuona hata mtoto wa Mtumishi anaomba mkate mtaani
Kwani wao walikuwa wanaomba lolote au pesa Kwa mungu?? Wamepewa walichokiomba.Sasa Mungu awape lolote lipi tena
Mungu hajawahi kushusha pesa kutoka mbinguni na wala hakuna mtu anayetengeneza pesa kule Bali zipo hapahapa duniani na ziko Kwa watu wala sio kwa malaika
@@florianakhweso5749 Hapo sio Mungu anayetukuzwa!! Ni jina la Mtu linatukuzwa.... ndio maana kila anayetaka pesa hapo ni kumsifia tu sio kumtukuza Kristo...Wafilipi 4:19... huyu Mungu asiyeshindwa na jambo atamtumia yeyote na mwisho yeye ndio atatukuzwa. Kipimo kama ni roho mwingine anatumika ni pale mtu anatukuzwa badala ya Mungu...Watu wangu wanaangamia kwa kokosa maarifa
Mungu ndio amewapa kupitia nabii ubaya uko wapi???
@@lianaelgomezulu2259 Mungu anakaa ndani ya watumishi wake hivyo mtumishi akitukuzwa Mungu Hana wivu ndo maana Yesu alisema kaeni ndani yangu nami ndani yenu utukufu alionipa Baba nami nawapa ninyi
JAMANI!!MBONA UNAPOTEA JAMANIIIIIII,UWIIIIIII!!EAGT unakwendaje huko WEWE????????
Sina uhakika Kama kweli huyu Mch, yuko Eagt
Huyo mchungaji afukuzwe haraka sana hajielewi.
Pesa inamfanya mwanaume aipokee kwa kupiga magoti kweli pesa imekua ngumu
Wala usishangae maana makabila mengine wanaume wanapiga magoti,hivyo hatujui huyo Mchungaji kabila lake
@@salomenchimbi6851 sawa tutaona mengi pale ambapo wanadamu wanaacha kumtafuta Mungu wanatafuta pesa tu
Hapo hawajatafuta pesa bali wamepokea pesa,Jamani acheni tunae mpenda Nabii tumpende tu...! tusikalili maisha
Alafu baada ya usajiri jamaa ana nyundo anagonga na kutamka kuwa kesi imeisha mmhhha!
MUOMBE MUNGU, SIYO GIO DEV.
Mungu hutumia watu ,hawezi kukushushia hela
Sikatai kuomba Msaada lakini issue ya kujieleza kwa Mtu kwa mbele Ni upumbavu mkubwa Sana Sana , Sana Kama una mpa mtu Ni shida zaidi kubwa Sana
Nyakati za mwisho hizi
Wewe Mchungaji ni kipofu wa kiroho, unasoma biblia kweli? Na ni biblia gani?
Sio EAGT ya Moses Kulola hawa wanajiita waabudu halisi...msipotoke..