Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
MBONA nashindwa kuelewa, ulikuwa na wake 6 halafu unapsema kuwa haukuwa na pesa hata 50 mln! Halafu ulikopa chakula Cha 3000 umelipa juzijuzi. Inaonekana haukuwa na uwezo,kwa nn wake 6???
Uyu jamaa inatakiwa wamchunge ametudanganya vanilla inaiva ndan ya mwaka mmoja viongoz tunawaomba muwe mbere yetu
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
😂😂😂😂 uyu jamaa aangaliwe Akili yake
Sijajua kama jamaa ni taperi au sijui maana nimemwona kwenye vanilla akasema vanilla kilo million leo manguluwe lazima tuwe makini sana jamaa
MBONA nashindwa kuelewa, ulikuwa na wake 6 halafu unapsema kuwa haukuwa na pesa hata 50 mln! Halafu ulikopa chakula Cha 3000 umelipa juzijuzi. Inaonekana haukuwa na uwezo,kwa nn wake 6???
😅😅. 😅😅😅 nikajua ni mimi tuu
Uyu jamaa muongo daa sijapata kuona
Mbwembwe zote nguruwe 1000
Hamna lolote tafuta vidéo halisia yupo chini ya 50.
,moja ya interview mbovu kuwahi kutokeaa, halafu Global mbona nyie wakubwaa in gani hii sasan haina content kabisaaa
Tanzania uongo nimutaji yani musikilize vizuri. Mr eeeh
Ni mwongo saana, maneno yanashida vitendo.
Upuuzi mtupu nguruwe alianza vipi una miaka mingapi ukakaa miaka 14 mara Bangkok mmhhh uongo kabisa