MITIMINGI # 675 JIFUNZE KUKATA KIUNO KUBORESHA TENDO LA NDOA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- KWA WANANDOA TU - Ili kuongeza thamani yako wewe kama mwanamke. Jifunze kukata kiuno kuboresha eneo la tendo la ndoa katika ndoa yako.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39
Sijui kwa nini umenyakuliwa mapema Mwalimu Wanguu 😍
Hahahaha pastor am single Umeniamsha aki😀😀aty kata kiuno😂😂mbaka nmeskia utamu😀😀Aki apo mwenye ajui kuinua leo amejua Awesome man❤❤😘😘😘
Barikiwa sana mtumish wa Mungu kwa kuponya na kuokoa ndoa za watu mamia na zaidi
Aki asante nimejifunza fundisho Kali lenye na nguzo zote za kuenjoy tendo la ndoa nimefurahi na umeniboost sana sina cha kukupa ila mungu Wa mbinguni aliyekupa hii Neema ya kufundisha mambo haya ya thamani na sema azidi kukubariki nyanja zote
Hakika Mungu are not limited,kuona yeye ni juu ya mambo yenye tulifikiria kubwa kizima kutoka kinywani mwake mtu yeyote ile hadharani. Yesu apewe sifa zote!
Mambo makubwa hayo...!!
Kila la kheri wanandoa..🙌🙌
Kama una amin wana wake ngangali wapo wengi gonga like
duuuuu hakika mipango ya mungu haina makosa mungu ukupunguzie dhambi ulale salama mchungaji R. I. P mbelee yako nyuma yetu pumzika kwa aman
Safi kabisa Kenya tunakukubali mafundisho mazuri sana
Ubarikiwe mtu wa Mungu,
RIP mtumishi wa Bwana !
Tuliipenda sana huduma yako.
Na ukweli ulikuwa ni muwazi na wa tofauti sana katika eneo hilo.
Rest in peace brother,
Mioyo yetu inalia, ila pia ina furaha kwa kuwa tunajua upo salama pamoja na mzee Ibrahim, Lazaro pamoja na watakatifu wengine mbele za uwepo wa Mungu Baba wakati huu mkiendelea kulisubiri Kanisa na kuungana nalo kuingia mji ule Mtakatifu ambao haki ya Mungu inakaa ndani yake !
Asante sana mchungaj nimekuelewa sana mngu aendelee kukulinda ili utufundisha meng
Mamboo ya kuzima taa si mahabaa ni kuwangaaa washenii taa waonee shangaa jaaaamanii kama umeona ni kweli nipe like
Somo nzuri kabisa
Asante kwa mafundisho mazuri. Barkiwa mchungaji
Safi saaaana mchungaji umesema kweli
So sad umekufa ndo nimeanza kukufuatilia ulikuwa amazing Sana mchungaji 😘😘
Asante mchungaji mafunzo bomba kipindi chako chanifunza mengi yenye sikuyajua
Patamu hapooo mtumishi wa Mungu
Thankyou .Remember my country with prayer God be with u all
Hapo patamu sana sasa nafanya mpango wa kuoa.
I'm touched. By miti mingi
Umelala Dr.ila maneno yako yataishi milele
Amina mi nko kenya but uwa napenda mfunzo yko
Kwel kabisa walio wengi hawana radha maan wakina baba wengi wanalalamika kwa marafik zao mpaka kunazuka ugomvi ndan kwaajir ya kutafuta kuridhishwa.
Jifunze kukata kiuno ,,makavu live bila kupepesa macho
asante mwalim somo nzuriiisana
RIP baba hakika mafunzo yako yataendelea kuishi tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza imani umeilinda😭😭😭
Daaah maneno matam saaanaaa 🔥 🔥
M nikizimiwa taaa naghair.
Am enjoying this 🙏
kweli wema,hawadumu ktk dunia dah! pumzik kwa,aman baba
Asante sana barikiwa ninaendelea kujifunza na kubarikiwa pia
Good teaching Dr mitimingi
wow barikiwa mtumishi
Thank you for enlightening women.I've liked it.
Nakupenda Dady God bless you Man of God
Jamani kifoooooo uwiiiii
Nakupenda bure mwalimu @mitimingi
God bless you for your good teaching Mwalimu Dr Mitimingi
Duuh kwa nzia reo nitakua nikimpa Mume wangu kira siku asante Mchungaji na swari nyigine jee nakama nina Maziwa madogo!
Nakuelewaa sana mtumishi
😂😂😂nimecheka kweli funzo nzuri
Bado mapema sana!! Tutapata wapi material haya? Mungu watie nguvu familia,kanisa na taifa zima mana hili pengo halizibiki!! Mungu tuhurumie! Pumzika kwa amani baba yetu
Amina Mungu akubariki mtumishi nimejifunza kitu
Nice teaching
Wamama mko smart sana be blessed
Asant kwa semina baba
Thank you dady
Wanaume wengi hawapendi wake zao wafanye kazi,wala kujishughulisha
Pumzika kwa amani😭😭
Nakukumbuka saana rip
Rest in peace, your teaching will leave for a long time
hapohapo mchungaji! ushanenaaaa kwa kukata maunoo😃😃😃😃😃😃😃
Duh hahahaaa yani wee acha tu mtumishi inaonekana idara iyo yuko vizur😱😱
nimecheka wallah asante kwa somo
Mmm aya bana'wenye viuno vigumu mnalo
Mnatuchanganya mchungaji Daniel Mgogo anawataka wanawake waombe Pesa kwa waume zao wewe unafundisha Kuwa wanawake wajishughulishe,kipi tushike?
Duu somo limeshiba kwel..kwel
asanteeee ubarikiweee mtumishi
Asante Kwa mafunzo
Duuuuuh somo nzuri
Heheeeeeeeeee,uwiiiiiiiii jaman Dr umeniacha hoiiiii
.leo nimecheka sana ila jambo naumwa apo kwa wanawake umewafikisha kweli
Hii kali ila ina mafunzo ya kujenga
Pumzika kwa Amani
Rip mwalimu wetu tutaendelea kujifunza ulicho tuachia
Tanzania mnafundisha saana mambo ya Ndoa lakini Talaka ni nyingi kwa nini?
Hiv? Naomba kuuliza nijue. Haya mafundisho yanavo fundishwa? Watoto hawpo? Au wanezowea?
Rest in paradise 😭😭😭
Pwaaaaah niokotwa Kenya
Mbarikiwe
Alafu weee miti mingi wewe😃😃😃😃
R I P zeee
This guy was too much funny, true. Lesson.
Mmh umetisha
😁😁😁😁😁 kazi kwelikweli
Ukapumzike salama mwalim
Thank you
R .i.p mtumishi
Good
Good say
Barikiwa sana,asante
Dah ,
.... Rest in Peace
Mng akubariki xn
mh nmeipenda hii
R.i.p
real talk
Jifunzen wadada kukata kiuno.
Wewe unajua je kama ya mama hawakate viuono?'bakutazame vizuri pasta
R. I. P
Mh asante
Continue resting in peace forever in our heart.
Rest in piece dadyyy
Very true
Kama hawakukusikiliza na kukuelewa ukiwa hai,basi mwelewen sasa na video m-download ndoa zenu na mahusiano yapone
😂😂😂😂😂😂😂 thank you so much mwalimu be blessed.
MI sijaona mchungaji apa jamani""
Ameen
Rest in peace 💔💔💔
hahahaahaaaa umetisha mchungaji ni hatareeeee