NILITAKA KUMPASUA MADAM RITHA WA BSS BAADA YA KUVUTA VITU VYANGU : BELLA KOMBO | MASANJA TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • TANGAZA NASI MASANJA TV TUPIGIE SASA KWA NAMBA 0712329490
    SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
    👇 👇
    / @masanjatvgospel

ความคิดเห็น • 54

  • @waypetertv8856
    @waypetertv8856 4 ปีที่แล้ว +13

    nashangaa wa2 wanamubishia huyu dada wakati sio wasanii yy anaonge coz kayapitia hayo ko walionielewa gong like twende pamoja

  • @mary-rg3sk
    @mary-rg3sk หลายเดือนก่อน

    Bella has a living testimony she has come from far

  • @roserisasi5441
    @roserisasi5441 5 ปีที่แล้ว +6

    Hadanganyi nikweli kabisa

  • @sylviamusinzi9089
    @sylviamusinzi9089 4 ปีที่แล้ว +1

    kwani lazima mutumie kengele jamani, haya mapya

  • @josephbonday8510
    @josephbonday8510 5 ปีที่แล้ว +2

    Hayo Masuruali tena yanakubana bado umeyavaa na matatoo bado umeyaacha mwilini.KWELI UNAHITAJI MSAADA WA KINA WA MAANDIKO YA MWENYEZI MUNGU

    • @lucyemmanuel2410
      @lucyemmanuel2410 4 ปีที่แล้ว +1

      Dont judge any person are yuo perfect???

    • @fanerajofabra1728
      @fanerajofabra1728 3 ปีที่แล้ว

      Wew Dada Nan alikwambi tatoo inafutika

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 5 ปีที่แล้ว +4

    Mungu wangu tupe mwongozo wako mfalme

  • @farajalaizer4669
    @farajalaizer4669 4 ปีที่แล้ว +1

    She is beautiful.

  • @lillianrotuaek275
    @lillianrotuaek275 3 ปีที่แล้ว

    Ni kweli dada. Jeki hizo ni bure tu.Bila Mungu sisi ni bure.

  • @mocranaburugi3486
    @mocranaburugi3486 5 ปีที่แล้ว +3

    Part one iko wapi?

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 4 ปีที่แล้ว

    Ila una bayondo ya nguvu.. my type..!

  • @mwajumaally3665
    @mwajumaally3665 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamanii Bella,ila Mungu ni mwema.

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 ปีที่แล้ว +3

    Muongo wewe sio wote. Labda wewe uko ulikokuwa sio kuzuri

  • @officialchox3580
    @officialchox3580 3 ปีที่แล้ว

    Chizi Huyo dada

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 5 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana nilazima kweli

  • @michaelkihaga8773
    @michaelkihaga8773 5 ปีที่แล้ว +5

    ooooh pole Sana mpendwa Mungu akutie nguvu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Mzur

  • @salomeeliakim7488
    @salomeeliakim7488 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen! your story touched me

  • @andrewkitaly6003
    @andrewkitaly6003 5 ปีที่แล้ว +1

    in God we trust

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 5 ปีที่แล้ว

    hio ni mambo yakimajini sio kuokoka walanini

  • @sirsebaonline9106
    @sirsebaonline9106 4 ปีที่แล้ว +1

    Wewe dada nitafute nikwambie unachokosea serious very important

  • @lucysandy3207
    @lucysandy3207 5 ปีที่แล้ว +7

    Sio wote wengine wana karama zao.

  • @djsjswhshhwh8382
    @djsjswhshhwh8382 4 ปีที่แล้ว

    Eti nimelia

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akuongoze maana umepotea

  • @kateoluchiri6581
    @kateoluchiri6581 5 ปีที่แล้ว +1

    With God everything is possible sio wote wanatumia madawa ni ujasiri na mungu

  • @famitonawanda4831
    @famitonawanda4831 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu dada ni muongo mbona kuna watoto wadogo wana mizuka na ndio kipaji na kipaji sio ulevi acha ujinga we dada

    • @kelvinnyamle6031
      @kelvinnyamle6031 4 ปีที่แล้ว +1

      Hao watoto ni kina nani, Ckliza na tunia akili kuchambua kiongelewacho ,sawa

  • @imakulatasingo1983
    @imakulatasingo1983 5 ปีที่แล้ว +6

    sio wote Dada labda pekeyako

  • @josephbonday8510
    @josephbonday8510 5 ปีที่แล้ว +3

    Yalishatabiriwa haya kwenye maandiko matakatifu kuwa manabii wa Uongo wengi watatokea siku za mwisho na kuwadanganya wengi hata walio WATAKATIFU. SO wasomao maandiko hatuyashangai hayo na wala hatudangangiki na hizo ROHO ZA MANABII WA UONGO

  • @jasmineshemweta1683
    @jasmineshemweta1683 5 ปีที่แล้ว

    Pole dear

  • @benedictamaganga614
    @benedictamaganga614 5 ปีที่แล้ว

    Kifuu cha Nazi nanyi.

    • @wahidawahida6675
      @wahidawahida6675 5 ปีที่แล้ว

      Et watanzania hawajui kifuu ata mzungu aliekuwa amerik anajua😁😁

  • @petermhina6535
    @petermhina6535 5 ปีที่แล้ว +1

    Kisuruali dada kinakuondolea utukufu ungevaa vazi la wokovu

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 5 ปีที่แล้ว +2

    acha uongo wako.

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 4 ปีที่แล้ว

    God is real and works on different pple.

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 4 ปีที่แล้ว +1

    Dada muongo sana na uwache kuharibu kazi za watu kama wewe ulifanya ivyo ni wewe na utaahira wako acha kuchafua wasanii

  • @JanethMkala
    @JanethMkala 4 หลายเดือนก่อน

    Unakipaji...ila tu nikushauri tu kwa wema hayo mavazi...yakuvaa suruali...yatakuondolea utukufu japo kwa leo uko juu ila utashuka hutaamini...vaa vizuri kama mlokole...mimi sioni utofauti wako na mwinbaji wa bongofleva...

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 4 ปีที่แล้ว

    Sitaki kukuamini maneno yako hata kidogo sio wotee wengine stimu nature akwendeeeeee ukoooo

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 5 ปีที่แล้ว

    Muongo wewe usijifanye umeokoka

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo diamond atakuwa anatumia nn kupata mizuka!