Watu wanajaji kila kitu hata kusalimiana na wapendwa tuu kawaida inakua ni ishu...kuna makundi kanisani ambayo kwa kweli wanaharibu sana sifa ya wokovu,kuna makundi sana makanisani
Dada shetani huwa haangaiki na watu wasiona Athari kwake huwa anahangaika na mtu anaeitwa mlokole alafu anamletea mazara kwenye ufalme wake so Kuhusu unafki makanisan Mama Jitwike msalaba wako mfate Yesu unafiki hautaisha hadi Yesu atakapoludi We mshike Yesu mana unamjua unaemtumikia hutumikii mwanadamu
Nakupenda mwanangu Bella, Mungu azidi kukuinua, umechagua fungu jema, siyo rahisi kwa binti mdogo na mrembo kama wewe, sifa na utukufu kwa Bwana Yesu!
Mzuri mashallah
Watu wanajaji kila kitu hata kusalimiana na wapendwa tuu kawaida inakua ni ishu...kuna makundi kanisani ambayo kwa kweli wanaharibu sana sifa ya wokovu,kuna makundi sana makanisani
Mtangazaji mchokozi☺️
Dada shetani huwa haangaiki na watu wasiona Athari kwake huwa anahangaika na mtu anaeitwa mlokole alafu anamletea mazara kwenye ufalme wake so Kuhusu unafki makanisan Mama Jitwike msalaba wako mfate Yesu unafiki hautaisha hadi Yesu atakapoludi We mshike Yesu mana unamjua unaemtumikia hutumikii mwanadamu
Some questions are too personal...this is not professional
Bella yani hapo umenigusa sana unafiki kanisan ni mkubwa sana,alaf kichoshangaza kinafanywa na watu wanaojiita watakatifu.