NIKO SINGLE, NIMEAMUA KUSEMA,HAKUA MTU SAHIHI :Bella kombo (Sauti therapy).

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 มี.ค. 2023

ความคิดเห็น • 40

  • @barnabazawadi9433
    @barnabazawadi9433 11 หลายเดือนก่อน +14

    Linapokuja suala la mwanamke kumtii mwanaume, wanawake wanakuja juu kwamba huo ni utumwa. Na linapokuja suala la mwanaume kumpenda mwanamke, wanaume nao wanakuja juu!! Usipompenda mke itakuwa vigumu kwake kukutii! Mwanamke yuko china yako, wewe ndo unatakiwa uoneshe upendo kwake kwanza na bila kutazamia chochote kutoka kwake. Hapa ndio kuna mgogoro mkubwa!

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020 8 หลายเดือนก่อน +2

    Bora wasameheane na warudiane.

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 7 หลายเดือนก่อน

    Iko spirit kwa hiyo Beba mzigo kwa ajili Yetu Tuombee sana kwa kweli 😢

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc 5 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kuonan na wew mm samwel

  • @nuruanafisoo4220
    @nuruanafisoo4220 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @stellarjovitas5473
    @stellarjovitas5473 7 หลายเดือนก่อน +2

    🧔:swali gani upendi?!
    👩‍🦰:Qn about marital status
    🧔:So can you tell me your marital status🙄

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 ปีที่แล้ว +6

    Bella, don't feel proudly to mention you're single. Kwa watu wa MUNGU sio kitu kuzuri, lkn pia inaondoa utukufu, sijaelewa Kwa nini unaeleza kitu kibaya lkn in a good way, 😭😭, nilikuwa nasikia utukufu ndani Yako lkn Sasa nasikia uzuni, unapoteza ushuuda na nguvu za MUNGU pia

    • @esupatthomas5881
      @esupatthomas5881 11 หลายเดือนก่อน +2

      Hakuna baunsa wa mahisiano na ndoa

    • @preneruth5110
      @preneruth5110 8 หลายเดือนก่อน +1

      Watu Kama nyie ndo mnafanya watu wajiue... sasa kwa nn asiseme akatoa lililo moyoni kwanni mtumishi wa Mungu ni malaika hakutani na yanayowakuta wengne

    • @salvinahassan8778
      @salvinahassan8778 8 หลายเดือนก่อน

      @@esupatthomas5881 inategemea unachukuliaje, ndoa it's a big examination na Kwa mtu wa Mungu lazima u pass, haijarishi unapitia changamoto zipi.
      Baunsa wa mahusiano ni YESU ambae anafanya kazi ndani yetu. Nimesema hivyo Kwa sababu, ukiwa na huduma inayotafutwa ni huduma iliyo ndani Yako, ukishapigwa inakuwa ngumu sana kumwambia mtu matendo ya YESU wakati ameshindwa kutenda kwako

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 7 หลายเดือนก่อน

      Uko sawa

    • @benjaminshayo32
      @benjaminshayo32 6 วันที่ผ่านมา

      Kwaiyo Paulo hakuoa, Kwa maneno ya kisasa-sasa alikuag single, we Hilo unalionaje?

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huduma imevamiwa na waabudu mashetani.

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele หลายเดือนก่อน

    Mashetan wanawamaliza wanawake wanaoim a nyimba za injil za kuzim pumbavu kabisa mnavaa kishenz kishenz pumbavu zenu nyie mnafanyoaa bongo move mwenyez mungu pumbavu kabisa umalaya

  • @vincentonsomu8372
    @vincentonsomu8372 หลายเดือนก่อน

    Msameane na murudiane

  • @upendojoseph7912
    @upendojoseph7912 ปีที่แล้ว +1

    Ukutane na mtu sahihi dada bella wangu

    • @salvinahassan8778
      @salvinahassan8778 ปีที่แล้ว +2

      Mtu sahihi hayuko duniani, hajazaliwa na hatazaliwa. Kila mtu ana mapungufu yake, kubwa ni kutafuta namna ya ku deal nae, baadae anaweza kuwa mtu mzuri kwako na si duniani, maana akienda Kwa mwingine Bado ataonekana ana mapungufu.

    • @upendojoseph7912
      @upendojoseph7912 11 หลายเดือนก่อน

      @@salvinahassan8778 WA mapungufu anayoyaweza bella kuabeba

    • @barnabazawadi9433
      @barnabazawadi9433 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@salvinahassan8778uko sahihi kabisa…. Watu wanafikiri mtu sahihi, hatokuudhi wala kukupinga kwa chochote.

  • @heavensent2526
    @heavensent2526 11 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna kitu kiko nyma ya waimbaji kwani Wakisha anza kuimba gospel wanakosana na waume zao something is wrong in the realm of spirit

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 10 หลายเดือนก่อน +2

      Wengi waabudu mashetani, waliovaa mavazi ya kondoo. What a tragedy.

    • @mercyetago4020
      @mercyetago4020 8 หลายเดือนก่อน +1

      Pride. Pride. Tuwaombee female gospel singers.

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 7 หลายเดือนก่อน +1

      The devil will fight pple who oppose him not secular musicians.

    • @Jacklinjohn-cr4vs
      @Jacklinjohn-cr4vs 7 หลายเดือนก่อน

      Lucifa alikua muimbaji MBINGUNI akaanza kujiinua juu ya Mungu kiburi kikapanda..so sie waimbaji kiburi

  • @fadhilibarnabas3438
    @fadhilibarnabas3438 ปีที่แล้ว +2

    Daaa!! Why gospel singers, pole saana dada . Mungu akusaidie ufike alipokupangia. But naumia saana hii kwa waimbaji asilimia 90 ni hivyo.

    • @jaligawesa
      @jaligawesa ปีที่แล้ว +3

      Vita vya kiroho...pia watu wanaolewa au kuoa watu wasiosahihi

    • @salvinahassan8778
      @salvinahassan8778 ปีที่แล้ว +1

      Ni huduma kubwa lkn wahusu wake wanaona unaweza kufanya bila hata kuwa na maombi ya kutosha, just talent. Wengi wao wanakosa watu sahihi wa kuwaongoza na kuwashauri, tayari wameshakuwa ma super ⭐.

    • @barnabazawadi9433
      @barnabazawadi9433 11 หลายเดือนก่อน

      @@jaligawesawala hata sio vita ya Kiroho! Tunamsingizia sana shetani hata kwa vitu ambavyo hahusiki. Ni ukosefu tu wa maarifa sahihi! Kama ni Shetani kwa nini usimpinge? Maana Biblia inasema “mpingeni, naye atawakimbia..” na kama hajakimbia ukakimbia wewe, maana yake ni kwamba wewe ndio unashida! Sijui unaelewa!! Ndoa nyingi zinazovunjika, ni kutokana na ukosefu wa maarifa sahihi, kwanza kuhusu ndoa, pili kuhusu neno la Mungu. Biblia inasema “kama upo kwenye ndoa halafu ukaokoka, lakini mwenzako hataki kuokoka na anataka kuendelea kuishi na wewe, maandiko yanasema usimuache…” hakuna kusema kwamba hakuwa mtu sahihi. Kwani usahihi wa mtu hupimwa kwa mambo gani? Je, ni kwa kutokuwa na changamoto kwenye ndoa? Hapa kuna utata wa kutafsiri usahihi wa mtu…

  • @patricklaurent3741
    @patricklaurent3741 8 หลายเดือนก่อน

    Bella mbona mkubwa hvyo hijaoa bado

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 ปีที่แล้ว +1

    eti kazunguka ili apewe majibu kirahisi

  • @opukjaboda7839
    @opukjaboda7839 2 วันที่ผ่านมา

    I am a big fun from Kenya but this I can tell you without fear will bring you down. God hates divorce. go back to your man and submit before you preach to us. Dont let the devil take over you

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 29 วันที่ผ่านมา

    Kwani si hakunaga kuachana huko au??

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 8 หลายเดือนก่อน

    Ni kwa nini wanawake wengi waimba injili wakitoka tu kimziki..,ndoa zao zinavunjika?

  • @josephmpanda306
    @josephmpanda306 10 หลายเดือนก่อน +2

    kama ilikuwa ndoa kweli natamani utengeneze na mwenzio, maana nafasi ya ndoa nyingine kibiblia inakosekana

    • @dominicdwaax3736
      @dominicdwaax3736 6 หลายเดือนก่อน +3

      kaka ubarikiwe na Bwana wakristo wanatakiwa kusikia hili hasa hawa wapentecoste maana wanaanza kufungisha ndoa wake na waume za watu … Mungu atusaidiee🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽Tuonee ya ndaniii kabca