@@tanzaniatouristsattraction1622 jaman ndo maana nkasema ingekua ni mm ningejaza furniture .....umewah ona nyumba ya Kylie Jenner ni nzuri sana kwasbb kuna furniture nyingi na decorations nyingi kuliko nyumba ya Kim kardashian iliopwaya..... Na pia designer anaweza akutengenezee na isipendeze vilevile tu kwani designer si mtu km wengine
Sasa Nyumba yaku panga ni nyumba? Mwenye nyumba akiamua kuiuza leo ata henda wapi? Tamaa mbaya wa sanii ndo maana mna tafuta pesa za giza . Bora ukae kwenye Banda kama ni lako
duu noma bora iwe yake, ikiwa yakupanga ni uzembe na ulimbukeni, ila jux namkubari yupo timamu ni yake.
Sio yake bhanaa 😝tushawazoea hawa
@@nuruabraham3769 kweli
Yake iyo
@@mudiboytz5762 camini wallah
Ni nyumba yake alianza kujenga kitambo sana jux
Kama ni yake Mashallah 😍😍 but ka niyakupanga ni upuzi
I second u
Congratulations to him
...my best artist ever.....mob love...Juz...#Reginah
.song you made it for me
....am grateful 🥰Big up
Hongera sana jux ,umepambana sana na ulianza jenga tangu upo na vanessa kitambo nakumbuka ulipost ikiwa bado sana.bigbigup
Nakumbuka ilikuwa gofu kipindi hicho
wa kwanza 🙌🙌ongera Jux👌
Mashallah bro jux Allah akuzidishie nguvu zako uzid kujituma na kujenga zaid ❤ ya hy lkn iwe yko maana mastar wetu nyinyi
Mm naona ya kupanga 2
Vannesa rudi kwa jux kumenoga sio kazi kupiga picha za vitandani na huyo mchumba wako,woyoo jux uko vzr.
Iko Kali Sana naipenda🔥🔥🔥🔥
Hongera bn ndo ujuwe Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya mwanamke na mwanaume mwenzako katuonyesha Pete mnyamwez umetuonesha nyumba💉🚶🚶🚶
Yake???
Vanessa arudiane na Jux tu,kule aliko naona anakondeshwa tu
@@samniza1763 ndio yake alianza kujenga siku nyingi
Ahahaha ...aisee unaongea point broo ...sisi wanaume tuna focus sana maisha ...wanawake Wana focus kushindana kwenye vitu vya kijinga
@@africatanzaniatours si wote siku izi wanawake wng wanajenga
Africa boy uwa akosei uwo mjengo niwake mzee safi sana unanifanya niongeze mapambano zaid🤜
Hope ni yake Mashallah nzuri sana 🤝❤🇹🇿🇨🇭
Ya kupanga
Hujambo amina
@@alidslv9883 🙏
@@alidslv9883 wewe nani?ni st.gallen
@@alidslv9883 nipe yako
Kielelezo kwa jamii ,much love from 254kenya
African boy in the building shotout Bro's
Uyu alikua anahenga cku nyingi sana
Alionyesha nyingine pia ilikuwa nzuri sana lakini ilikuwa ya kupanga sasa sijui hii ni yake au bado ya kupanga? Haya hongera tajiri.
Hiyo nyumba jux kaanza kuijenga tangu mwaka 2014 na alikua akiipost akiijenga ilikuwa gorofa moja. nahisi ndo hii imekamilika
Nyumba nzuri mno
Hatareee maisha n kupamban keep it up jux
Duh yaelekea keshamsahau hadi V Money
Namkubali jux..
Kama kanunua safi. Ila kama kupanga ni upuuzi
Kapanga mm iyo nyumba naijuwa adi mwenye nayo
@@patirickdenisi7596 Acha uongo wewe
Masha Allah 🥰🥰🥰🥰👌
Wapil jux juuuu
Nihakirikuwananyumba zuri
Mucheki jiva ana ngoma kali sana
Nakubali sana
Kwani miwani ndo identity ya jux au coz cjawahi muona huyu mwana bila miwani kwakwel imagine hapo yupo ndani na still kavaa duuh me Ngachoka 😂😂😂😂😂😂😂😂
Swagaa😂
Hahaa
@@esteralbert4720 anacheka 😊😊😊
Nyumba ya mama ake hyo
Wawooo mashallah
Hongera juma
Nyumba IPo vikunai kotaz za bima alinunua akabadilisha ramani kwa sehemu
Great
Kma yakwake kajenga hongera ila kupanga ni ujinga tu
Haswaaaa
Kabisa
Unazan kujenga nisawa na kununua vocha
Powa kk
kaka, sukari ya waremboo
Mashallah nice one🔥🔥
Hii nyumba Kajenga mwenyewe jux kama unaweza pitia post zake za zamani alikuwa anapost picha za site wakati bado gofu
Kweli nakumbuka
Yah n kwel
Big congratulations to him
Hongera zake ,ila ingekua ni mimi ningeongeza furnitures km sofa ili sitting room kusipwae sana
Acha ushamba hio nyumba za kitajir haziko ivo hapo kaja designer kabisa
@@tanzaniatouristsattraction1622 jaman ndo maana nkasema ingekua ni mm ningejaza furniture .....umewah ona nyumba ya Kylie Jenner ni nzuri sana kwasbb kuna furniture nyingi na decorations nyingi kuliko nyumba ya Kim kardashian iliopwaya..... Na pia designer anaweza akutengenezee na isipendeze vilevile tu kwani designer si mtu km wengine
Vizuri kama ni yake ila kama ya kupamga huo ni ushamba
💕💕💕💕💕
Mashaa Allah
Huyu jama ana hela
Ni maisha ya kuigiza
🤣🤣🤣🤣Ila wasanii wetu daaah balaa tupi🙌
Jaman nyumba ninzuri
Lilobakii aowee apatee Watoto na watoto wajee kujidaii kuwa wananyumbaa za kifaharii y baba yao
Kivanesaaaa ashaonaa jmn weee
Anahusika nini sasa Vanessa?
@@zakyahya4645 🤣🤣🤣
Hujawahi kuona jumba la vanesa wewe
@@salomewandya7257 😂😂wa ajabu sana uyu
@@nancynziku9757 nahic mgeni
Uko vzr
Msanii mkubwa tanzania video of
Kama kweli yake munhu ampe akili ya kujenga nyinginie isiwe kkiki tu
Ongera
Sasa Nyumba yaku panga ni nyumba? Mwenye nyumba akiamua kuiuza leo ata henda wapi? Tamaa mbaya wa sanii ndo maana mna tafuta pesa za giza . Bora ukae kwenye Banda kama ni lako
𝙒𝙖𝙨𝙖𝙣𝙞𝙞 𝙬𝙚𝙣𝙜𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙥𝙖𝙣𝙜𝙖
Hongela sana fundi juma jux nakukubali
Ni balaa
Salut
Tunafurahi sana wasanii wetu wanaweka thamani zao kubwa ila ss utashangaa mwisho wa siku eti kapanga 🤣🤣🤣
Hiikal👍👌
Hapo ni nyumbani kwao bwana nyumba ya mama yake 😃😃 mbezi huko mama ake yuko vyema sana mbona ni wakishua huyo hapo kwao
MJENGO KAMA WA KWANGU
😂😂
Nyumba😂😂😂😂
Hio nyumba yangu bwana sema tu Mimi sitaki watu wajuwe
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa Kaka c tumeshajua au?
Shida inakuja wanapoumwa ndio tunajua kuwa hawana hela
Kabisaaaaa
Hahahaha
🔥🔥🔥🔥
wabongo wanaanza kuhoji ni yake kweli!! basi yenu nyie
Akili nyigi
Mashallah
Kumbe hamjui nilidhani mmeshajua kuwa ni yake lol!
Wasaniwotewamigiwananyumbazuri
Kwenda huko kapanga
Iwe ni yaake tu maana mpangaji hana ramani baana
Anamringishia Vanesa huyo
😂😂😂 nimecheka balaa ila kutesa kwa zamu🤣
Shinsha toba
SIO YAKE NI YAKUPANGA😂😂
Mwambie uyoo juma kama vee 1yatabia ya jioni nikumuwudumia chemella yetuu rotimi😏
Atakuwa amerent!
Mbwembwe zote hizo ukute kapanga🤣🤣🤣maana ma ⭐ wa Tz ndio wanaongoza kwa kupanga 🤣🤣
kwani unaonaje hawa hawawezi jenga apo ni kupanga tuu
Pitia page yake insta utagundua hilo
Mastaa wa bongo wanpost Nyumb sio zao upuuz mtupu ikiwa ya kwako ndo upost
Nitaanza kunywa chai jioni🤔
Na mimi pia😅😅😅
Matajiri ndio wanaokunywa chai jioni hujaelewa?
Mmmh itakuwa n department iyo
Department ndiyo nini wewe? Au unamaanisha apartment?
Apartment
@@fadhilinyengo7853 atakuwa anamaanisha Department ya madawa hyo
@@fadhilinyengo7853 😂😂😂😂😂 amekosea tumsameh bro
Kapangisha kama diamond
Mjengo wa babayangu huo kapanga ninyumba yetu iyo
🤣🤣 ya baba angu mimi hiyo
Kwani wachaga nao wanapenda kujisifu kama wahaya?
IWE SI YAKUPANGA MANA MUMEZOEYA KUISHI MAISHA FAKE
Mashallah
Shinsha toba