KWANINI TUNAKOHOA KATIKA DHIKRI?| ELIMU INAPOTEA, MAARIFA YANAPANUKA - SHARIF AHMAD ALWI BADAWIY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 154

  • @Ashrafumohamed-gv5cj
    @Ashrafumohamed-gv5cj 4 หลายเดือนก่อน +1

    mimi naamini kama mtu kapita madrasa hawezi kutukana wala kukejeli wewe unaotukana unavitbu gani ulivyo soma mbna mwajichumia madhambi zilzomijaa nichuki tuacheni na kumtaja kwetu alla na kumsifu mtume wetuﷺ

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 2 ปีที่แล้ว +4

    Shekhe umesema kweli zama izi elmu inapotea maalifa ndo yanakuja juuu wallah naapa shaidi allah mpk siku yakiama sasaivi elmu inapotea kwanz wanazuoni wasasa wanaojiita chipukizi awana hekma wala busara na allah amesema mweny hekm ndy anakher zote dunianii wasasa wamekosa nawanachosoma nimabishano nakuwaingiza watu moton haliyakuwa wote wapo dunianii ndy maana elmu zao zimekuwa azina kalama tuliziona kalama na maajabu kwa mashekh wetu wakaon bado wanaita walikuwa wachawi kwakel tutaja kuulizwa naallah

  • @bakarsalimu6418
    @bakarsalimu6418 ปีที่แล้ว +2

    Hawo wanao kutukana shekhe waachie mungu hawana hekima haoo mashaallh shekhe

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah atujaliye kheir na baraka

  • @ummymagula-qw7kf
    @ummymagula-qw7kf ปีที่แล้ว

    Shukran sheikh Allah akupe umri mref wente barakaa

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyu sio sufi wala pamba,ni sheikh Al allama al mujahidulqabir

    • @saidchina8552
      @saidchina8552 2 ปีที่แล้ว

      Mashallahu mawahabi wanaumia san hawana elim ndo maana wanateseka

    • @alwymohammed2460
      @alwymohammed2460 ปีที่แล้ว

      اللهم انفعنا بعلومه . واطال الله عمره

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 2 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah al habib ustadh Ahmad

  • @bimsoud8762
    @bimsoud8762 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah jadhaka wallah lkheir ya shekh,umepita katika elmu kubwa sanaa,wambie wale jaamaa zetu wanayopinga haya,na wanapinga kwa uchoyo tu kwavile tunapata dhawabu alhamdulillah 😊

    • @ramadhanisulemani9016
      @ramadhanisulemani9016 2 ปีที่แล้ว

      Hhhhhhhh mche allah thawabu ipi waipata kwa kukohoa wewe....huoni hata ametumia hadithi ya uongo. Emb kaa uchunguze

    • @aboubilal3926
      @aboubilal3926 2 ปีที่แล้ว

      Ndiyo maana ulamaa wanasema kuwa bidaa inapendeza zaidi kwa ibilisi kuliko maasi.
      Anayefanya maasi kama vile pombe zina, kamari nk anajua kuwa yale anayofanya ni maasi akitubia anatubia kwa maasi anayofanya wakati mtu wa bidaa atatumia kwa jambo yeye analiona kuwa ni ibadah?
      Tafakari

    • @athmanbabusa8020
      @athmanbabusa8020 ปีที่แล้ว

      @@aboubilal3926 Unamaanisha kutia Nia kwenye swala inapendeza zaidi kushinda zinaa?

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 2 ปีที่แล้ว +3

    We mzee hebu rudi ktk sunna sio muda utarudi kwa mola wako, Muogope Allah we mzee wangu utasimamishwa mbele ya Allah na utaenda kuulizwa ktk haya ulosema na mengineyo.

    • @aljahuur
      @aljahuur 2 ปีที่แล้ว

      Acha uyahudi wewe

    • @husseinthabiti311
      @husseinthabiti311 2 ปีที่แล้ว

      Humjui huyo jaribu kutafuta kwenye you tube Kisha utamjua Ni Nani huyo

    • @tatatabdi9999
      @tatatabdi9999 2 ปีที่แล้ว

      @@husseinthabiti311 ni miongoni mwa maswahaba wa mtume au ?

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 2 ปีที่แล้ว

      @@tatatabdi9999 hahahaha

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 ปีที่แล้ว

      Hata ww utarudi kwa mola wako tena omba mungu qkusamehe kutusi walimu yy ametupa yake hupendi na ww toa darsa lako tukuskize

  • @DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc
    @DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc 11 หลายเดือนก่อน

    Shukrani Al habiib

  • @ramadhanisulemani9016
    @ramadhanisulemani9016 2 ปีที่แล้ว +2

    Nawashangaa sana wanao kusifia ktk hili ambalo unawapoteza kwalo...kwann usiwafundishe watu ukwel Muogope Allah.
    Kutokana na uchache wa maarifa yako ya kujua hadithi ipi sahihi na ipi dhaifu Unadanganya watu kwa hadithi dhaifu, ضعف الطالب والمطلوب

    • @MohamedAli-rl8cl
      @MohamedAli-rl8cl 2 ปีที่แล้ว +1

      Yule aliekuambia wewe una maarifa ni nani? Ukamilifu ni wake M/Mungu.

  • @binbaya923
    @binbaya923 2 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa Allah. Shukran yaa Sheikh kwa kutufundisha

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 2 ปีที่แล้ว +2

    Masha’Allah elimu kubwa sanaah hiyo imetolewa na Sharifu

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara6776 2 ปีที่แล้ว

    khurafi jijisufu ujinga mkubo sana allahu akuongoze rejea kwa allahu mjijisufi achani kiburj

  • @nyumbayatibanadua737
    @nyumbayatibanadua737 2 ปีที่แล้ว

    Ma shall aah, ma shall aah, Allah akulipe kula Kheri. Zidi kutumpa elimu wapuuze majahili yenye kupinga pinga tu, Ila nimekuelewa Sana.

  • @barjah1184
    @barjah1184 11 หลายเดือนก่อน

    وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ

  • @kamaluissackkalonkano1348
    @kamaluissackkalonkano1348 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran saanaaa sheikh wetu Kwa elim

  • @MwamvuaJafari-fq4ku
    @MwamvuaJafari-fq4ku 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah.

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 2 ปีที่แล้ว +2

    Masha’Allah Masha’Allah

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 2 ปีที่แล้ว +2

    Kama unaona hajui na wew tupe unachojuwa kukwambia mzee kama huyu tena ni shariffu. Acheni kumkosoa kila mtu aamini anachojuwa ukiona halikufai nenda pembeni tuwachie dhikri yetu

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 2 ปีที่แล้ว

      Kwani Sharifu ni nani ee

    • @iddydaruwesh8650
      @iddydaruwesh8650 2 ปีที่แล้ว

      @@hamadfaki2503 pole sana ndugu hujui shariffu ni nani labda una imani ya nyengine. Ukiona jambo kwako halikufai waachie wenye jambo lao. Dini yetu ni pana sana

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 2 ปีที่แล้ว

      Qur'an imetaja walii ni wacha mungu ila nyinyi muna mawalii wenu wa kisufi mnao wajua nyinyi,wkt hata ww unaweza kuwa walii au ndie kabisa,acheni kuwatukuza watu kupita mipaka baadae wanapofariki mnaenda kwenye makaburi yao mnaomba,mnaleta شرك أكبر

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukuran Sana sheikh sharif

  • @abdallahmohd8544
    @abdallahmohd8544 2 ปีที่แล้ว +1

    Adabu zao ndogo sana hao wanaomkosoa Sheikh na elimu yao wanafundishwa ya kubishana na ndomana barka hawana kabisa na Allah alivyokua mkubwa basi masheikh aina hii wengi huwa wanapata shahada wanapokufa sasa sijui jaahil nani na wao shahada huwa wanaisikia kwenye bomba😄 ya Rabbi waongoze ndugu zangu uwaoneshe hakika ya mambo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 ปีที่แล้ว

      Tafuta Hadith ya kujikohoza hata kala shetani utowe hapa iwe ww au hao mashekhe wako wa kujikohoza na lau ungekuwepo ushahidi wake tungeona dunia nzima wanakohoa sawa sawa ila kila mtu anakohoa aina yake fuatilia hilo, tuna taka hadithi sio mbwembwe

    • @abdallahmohd8544
      @abdallahmohd8544 2 ปีที่แล้ว

      Sio kujikohoza mbona unabadilisha ni kumtaja Allah kule au hujamsikia sheikh vzr

    • @aljahuur
      @aljahuur 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna wahabi ata mmoja alokufa akatamka kalima ufe yahudi utamke kalima wap subutuu kazi yahudi kazi yake ni kupatana katika dini kama biashara ili ataka hili hataki ndo tabia zao mayahudi tangu wakat wa mtume muhammad

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 2 ปีที่แล้ว +1

    eti aaah aaah ahhh. dini mpya hii

    • @aljahuur
      @aljahuur 2 ปีที่แล้ว

      Allah kawaziba ufahamu mawahabi mayahudi wamepewa ufahamu wa kufuga ndevu na kuvaa kofia zao za kiyahudi za vitobo zile za kipadri tu

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 2 ปีที่แล้ว +4

    Mie elimu yangu ndogo nauliza katika majina 99 ya Allah mbona AAA silioni?

    • @selemohd9060
      @selemohd9060 2 ปีที่แล้ว

      Utaiona wapi na elimu yako ni ndogo?

    • @mamlomamlo9064
      @mamlomamlo9064 2 ปีที่แล้ว +1

      @@selemohd9060 ungenielimisha

    • @mahershadhil2493
      @mahershadhil2493 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅🤣🤣

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 2 ปีที่แล้ว

      Hili swali hukuna Sufi yeyoto aweza kutujibu kabisaaaa حتى يشيب الغراب

    • @AlawiKahema
      @AlawiKahema 19 วันที่ผ่านมา

      Kipo kitabu yapo majina 1000 yote ya Allaah endelea kujifunza

  • @fatumaomary6110
    @fatumaomary6110 ปีที่แล้ว +2

    Tuachane tuzikri tuende motoni shida nn

  • @allyabdallah4679
    @allyabdallah4679 2 ปีที่แล้ว

    Subhanallah hakika umma unaupotosha turudini katika haki hamna dini kama hio

  • @tatatabdi9999
    @tatatabdi9999 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee ninakukumbusha kwa aya hii.
    (فَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلَّذِینَ أُرۡسِلَ إِلَیۡهِمۡ وَلَنَسۡـَٔلَنَّ ٱلۡمُرۡسَلِینَ)
    [Surah Al-A'raf 6]
    Sasa endelea kupotosha watu.

    • @FatherofRabbits13
      @FatherofRabbits13 2 ปีที่แล้ว +1

      Kabsa ndugu yangu. Misufi wana taabu Sana.
      Subhanallah

    • @sokotvonline8845
      @sokotvonline8845 2 ปีที่แล้ว

      Hivi Huyo Mtu Munamjua Vzur Kwanza Kabla Hamjasema Lolote...Munamfaham Huyoo

    • @FatherofRabbits13
      @FatherofRabbits13 2 ปีที่แล้ว +1

      @@sokotvonline8845 sheik mm hasa Sina haja ya kumjua jitu kma hlo lenye kupotosha watu ovyo.
      Ikiwa aqwaal Za maulamaa zinachukuliwa zikiwa ni sahihi na zinarudishwa kma sio sahihi. Ni Nani Uyo aongee hvo askizwe??
      Hzo ni takataka anayoongea kutoka kinywani mwake.

    • @sokotvonline8845
      @sokotvonline8845 2 ปีที่แล้ว

      @@FatherofRabbits13 Sawa

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 2 ปีที่แล้ว

      Asante akhy umetukumbusha

  • @farmah9685
    @farmah9685 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwatafuta pilau Tu hamna lolote wacheni kupoteza watu

  • @digital_jungle2
    @digital_jungle2 5 หลายเดือนก่อน

    wacha kudanganya hadithi ni maudhur kuhusu aninu al maridh

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 2 ปีที่แล้ว +2

    Hawi mtu suufi asubuhi ispokua jioni utamkuta chizi,imaamu shaafii

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 2 ปีที่แล้ว

      Hhhh Maa SHAA Allah barakallahu fyika Akhy FYI manhaji ssalafyi

  • @quranrecitations7267
    @quranrecitations7267 2 ปีที่แล้ว

    Ndoooooo kazi ipo hapo

  • @sabihamakami3720
    @sabihamakami3720 2 ปีที่แล้ว +2

    Shekhe unajitahid kutetea ila sio dhikri hio yakukohoa adhkar zilizo sahihi nikesema subhannallah allahuakbar lailahailallah n,k lkn hizo nyengine wanavyo kaa kwenye vikundi nakukohoa sio sahihi vyovyote mujipambiavyo

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyusheikh sioni kwa nini hiki kitv kinampa nafasi ni mpotoshaji sana.

    • @hasanisaidishabani3879
      @hasanisaidishabani3879 2 ปีที่แล้ว

      Wee uwez kuwa sawa unaelmu gan kwanz mpk ujue uyo anapotosha

  • @ismailmursal1933
    @ismailmursal1933 2 ปีที่แล้ว

    Duuh Allahu l musta'an nashangaa herufi Inakuwa nikatika majina ya Allah ?hii nibalaa vipi herufi Inakuwa ni katika majina ya Allah? Sisi ELIMU yetu ni ndogo katika hadithi imekuja kuwa Allah anamajina 99 Sasa hili la AAa mbona hatujaliona limetukea wapi! Allah atudhibitishe katika Sunnah wallah لأن هذا من البلوا

  • @sittacharlesmaendeleo778
    @sittacharlesmaendeleo778 ปีที่แล้ว

    Nenda kasome ww acha upuuz usipoteze umma mpuuz mmoja

    • @SeifAlliy
      @SeifAlliy ปีที่แล้ว

      Jitoto la zinaa lazima litoe kauli mbovu kwa waja wema.

    • @sittacharlesmaendeleo778
      @sittacharlesmaendeleo778 ปีที่แล้ว

      Kwa mja mwema Gani...achen kutukuza nafsi zenu Allah anamjua

  • @barawampaayi
    @barawampaayi 5 หลายเดือนก่อน

    Katika watu wa lamu sheikhi wa kisawaswa ni sheikh Ahmad Msallam

    • @barawampaayi
      @barawampaayi 5 หลายเดือนก่อน

      th-cam.com/video/vcL5mTCPQXI/w-d-xo.html&si=zS36dSb89CGwrDi5

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 ปีที่แล้ว

    Kuna Chanel hazifai hata kufungua kama hii mnatueekea upumbavu kama huu

    • @AlawiKahema
      @AlawiKahema 19 วันที่ผ่านมา

      Pole sana masikini wewe huna jipya acha kubishana na wanaojua ww ni mtu ulionyimwa BUSARA na ALLAAH,Pole sana

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @alhidaaya5288
    @alhidaaya5288 2 ปีที่แล้ว

    Ibada ya Dhikri ilikuwepo Tangu kipindi cha Mtume na Maswahaba na Waliofuatia Baada ya Hapo.Lakini Mfumo huu wa kufanya Dhikri uliobuniwa na hawa Haupo katika Dini Mtume Hakufundisha hivi na wala Maswahaba Hawakufanya Aina hii ya Dhikri na wao ni wachamungu zaidi na wenye Elimu zaidi kuliko sisi .Hivyo mfumo huu wa Dhikr ni jambo La Bidaa na hauna Malipo na ipo Hadith Marfuu Swahaba Abdillah ibn Masoud aliwaona watu msikitini Wakikaa vikundi kufanya Dhikri za Pamoja na vijiwe aliwakemea na kuwafukuza Msikitini

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

    Nafikiri Riyadh Al Janna iliyozungumzwa katika Hadeeth hiyo ni Majlis Al Ilm!!

    • @aninanichasi422
      @aninanichasi422 ปีที่แล้ว

      Unajuwa kuliko sharifu? hata allaah akupe umri wakuishi miaka 500 huwezi kuifikiliya elimu yahuyo sharifu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

      @@aninanichasi422 hahahaha,,,,, mjuzi na mwenye elimu asiyepitwa ni Allah Tu, hata nabiy ul llah Musa alikuwa na dhana hiyo kuwa ni yeye pekee alikuwa na elimu kubwa kuliko wote, Allah akamuonyesha Al kidhir mtu mdoogo sana asiyekuwa na jina ili amuonyeshe kuwa yeye Musa hajui kila kitu,,,,,,,kwahiyo sishangai hayo uyasemayo!

  • @muhammedsuleiman2137
    @muhammedsuleiman2137 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni kwa uelewa wako shekhe a ha a ..ahlutwarika..naona unapigia debe ahlutwarika

  • @trucking2298
    @trucking2298 ปีที่แล้ว

    Mumeokoka kama wakristo!!! Ulitoa wapi uhakika wa kusamehewa?

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 ปีที่แล้ว

      Maskini huwelewi mungu akusamehe insha Allah siku yakiyama utamjibu mola wako kufananisha muisilamu na mkiristo

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 ปีที่แล้ว

    Upotoshaji huo..tufuate sunnah ya Mtume SAW tuache huu upuzi.

  • @muryd6999
    @muryd6999 2 ปีที่แล้ว

    Maa Shaa Allah ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @foxnineteen5679
    @foxnineteen5679 2 ปีที่แล้ว

    Pumba unatumwagia

  • @sittacharlesmaendeleo778
    @sittacharlesmaendeleo778 ปีที่แล้ว

    Jinga sana hili

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri3764 2 ปีที่แล้ว

    Mi nimtu wa dhikri lkn sijaona mashiko ya matetezi ya huku kukohoa anyway Alkamaalulillah.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 ปีที่แล้ว

      ndugu yangu, fahamu mtu yoyote huongea kulingana na mzingira husika, hapo hapakuwa na haja ya kuongea hivyo unavyotaka wewe kwa sababu waliokusanyika wote hapo hakuna anayepinga hilo swala hata mmoja, wote wanalikubali, laiti sheikh angekuwa ktk majadiliano ya kielimu na wanayoyapinga maswala hayo wala asingezungumza kwa lugha hiyo kabisa... zingeshuka nondo hapo mpaka angekimbia mtu.

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv3470 2 ปีที่แล้ว +1

    sasa dhikri hiyo kaifanya mtume

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna anaepinga DHIKRI,Bali tunapinga huku kujikohoza kohoza na kujamba Jamba ktk hiyo DHIKRI

  • @farmah9685
    @farmah9685 2 ปีที่แล้ว +7

    Wacha uongo muogope Allah mtaenda kuchomwa na bidaa zenu

    • @swedibr3218
      @swedibr3218 ปีที่แล้ว +1

      Mawahabi tu ndo mtaenda peponi

    • @aninanichasi422
      @aninanichasi422 ปีที่แล้ว

      utajuaje wakati hujui kusoma?

    • @barawampaayi
      @barawampaayi 5 หลายเดือนก่อน

      @@swedibr3218umesema ukweli kwa sababu mwahabi ndio wako juu ya haki kuliko watu wa tariqa

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 2 ปีที่แล้ว

    Majina yote ya Allah Yana maana tupe maana yake we mzushi

    • @hamisimwempozo6103
      @hamisimwempozo6103 2 ปีที่แล้ว

      Wewe jinalako linamaanagn mpaka umuite shekh nimzushi

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 2 ปีที่แล้ว +2

      @@hamisimwempozo6103 we ndo chenga kabisa unadhan dini ni ushabiki?? Kuwa shabiki wa haki acha kukurupuka kaa darasan utajua haki kuliko kusikiliza haki ipo kwenye vitabu waongeaji wengi wanachunga maslahi , kwahyo tunaposema alete maana ya Aa Aa Aa unadhan labda tumekurupuka siyo majina ya Allah yote Yana maana na sifa za Allah ndo Mana tunaomba kupitia majina yake kutokana na shida nilionayo km nimsamaha yeye ni ghafuru km nirizq yeye ni Al razaq km hvyo hvyo majina mengine Yana sifa ulitaka nusra au msaada kuna jina Lina sifa hiyo

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 2 ปีที่แล้ว

    Wenye Elimu zao vichwa vinawaka moto

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 2 ปีที่แล้ว

    Hamna kitu hapo mpotoshaji jahiri bobezi katka bidaa

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 ปีที่แล้ว

      Sihaba kwamba umekubali kabobeya asante kwa hilo

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 2 ปีที่แล้ว +1

    hadeeth iyo ni maudhui (fabricated hadeeth) acha uongo mjinga ww

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 2 ปีที่แล้ว +1

    Sisi watu wasaivi wengi niwajinga mfateni mwenyew mumueleze kama anasema uwongo mumekaa kama mambumbumbu kama hamujuw hamujuwi tu mafufu matupu kichwani

    • @slaeem7515
      @slaeem7515 2 ปีที่แล้ว

      usitukane watu astaghfirullah

    • @mohdmbarouk8465
      @mohdmbarouk8465 2 ปีที่แล้ว

      Mtafute ukweli ya hizo elimi alafu muite Watu waongo tunakosea Sana ndio maana mijadala imekuwa miiingi na makundi haiwi mtu kama shekh unamuita muongo wakati Elimu ya alichokisomea wewe haukijui

    • @kibavumrisho3495
      @kibavumrisho3495 ปีที่แล้ว

      Mashallah elimu emeenda sheikh mungu akujaaalie akupe umri mrefu haki umesema kila utoalo haki maarifa ya ujinga ndio yanapanuka akhlaq hikma pia hawapo ndio maana watu wanaweza kutukana wanazuoni basi watawatukana hata wazazi wao

  • @faisalmohamed2746
    @faisalmohamed2746 2 ปีที่แล้ว +1

    Unathubutu kumwita huyu sheikh muongo au jahil muogope Allah

  • @user-vx5pm1dk7s
    @user-vx5pm1dk7s 2 ปีที่แล้ว +1

    Hebu kuweni wakweli mbona hamuogopi falsafa za hovyo ambazo hazina dalili za Latisha.

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 2 ปีที่แล้ว

    Nadhani wangekunywa dawa ya kukohoa kwanza ingekuwa afadhali

  • @aboubilal3926
    @aboubilal3926 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna hadithi yoyote kuhusiana na adhkari inayotaja dhikri kwa jina la Allah peke yake achilia mbali A a a.
    Wakati wote utaona jina la Allah Kwanza halafu neno jingine mfano Allah Akbar, Allah Al Mustaan n.k
    Au linaanza neno halafu jina la Allah mfano subhaana Allah, Astaghfiru Allah n.k
    Sheikh kachemka hapo.

  • @jibriilaboubakar2514
    @jibriilaboubakar2514 2 ปีที่แล้ว +3

    Lijinga limoja lasema maasha allah majitu majinga kweli

  • @OMAR-se6rb
    @OMAR-se6rb ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂sheikh muingo ww

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 2 ปีที่แล้ว

    Hahahahahahaha...acha uongoo ewe jina langapii???

    • @abdulshariff00
      @abdulshariff00 2 ปีที่แล้ว +2

      Hicho kicheko chako ni kejeli ama wamuona sheikh ameongea pumba? Mungu akufanyie wepesi na akuongoze uwache kuwadhihaki masheikh

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 2 ปีที่แล้ว

    Achauongoo bhna huo ujaahilii.....nani katafsiri hivyoo katika wema walio kutangulia....

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 2 ปีที่แล้ว

      Jamaa jongo kichizi yani..

    • @binmiraji2168
      @binmiraji2168 2 ปีที่แล้ว +2

      Kasome tafsiri ya ibn kathiri jinsi alivyoitafsiri aya isemayo" إن إبراهيم لاءواه حليم" ukishasoma rudi hapa tuzungumze

    • @abdulshariff00
      @abdulshariff00 2 ปีที่แล้ว +2

      @@binmiraji2168 akifanya hivyo nafunga siku tatu. Kaishia kujaza comment za kumuita sheikh muongo tu na hilo linaonyesha level ya ilmu yake

    • @jibriilaboubakar2514
      @jibriilaboubakar2514 2 ปีที่แล้ว

      Mwajazana ujinga pumbavu. Nyie

    • @nasoros.mgungo5502
      @nasoros.mgungo5502 2 ปีที่แล้ว

      @@binmiraji2168 lisikushangaze matusi kwa Mawahabi.

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 2 ปีที่แล้ว

    wazushi nyinyi. moto matao ya wazushi. ivi huo upuuz mtume saw kwann asitufunze yy. abambanya hoja wafikie malengo

  • @hamzaomar790
    @hamzaomar790 2 ปีที่แล้ว

    Nenda kasome juha wewe

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 2 ปีที่แล้ว

    Hujasema isoku umenena urongoo...

    • @abdulshariff00
      @abdulshariff00 2 ปีที่แล้ว

      Hebu tufafanulie urongo aliosema sheikh

    • @jibriilaboubakar2514
      @jibriilaboubakar2514 2 ปีที่แล้ว

      Hahahhahaha mashekh uchwara hawa haaah ety jina la allah watu wanachekesha nyie dah wanajua kiarabu kuwashinda waarabu wenyewe

    • @slaeem7515
      @slaeem7515 2 ปีที่แล้ว

      Huna elimu bado wewe elimu yako ni ndogo sana nenda ukasome kwanza ndo uje hapa

    • @jibriilaboubakar2514
      @jibriilaboubakar2514 2 ปีที่แล้ว

      @@slaeem7515 wewe nipe moja ktk hayo alonena usikimbilie nenda kasome hata wewe kasome elimu nipana

    • @saidiisimbula428
      @saidiisimbula428 2 ปีที่แล้ว

      hizi ni dalili za kiyama

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070 2 ปีที่แล้ว

    Ujinga mtupu..
    Allah akuongoze

    • @omarishabani5249
      @omarishabani5249 2 ปีที่แล้ว

      Kwa kutukana hamjambo..Allah atuongoze

    • @mansourhubby7398
      @mansourhubby7398 2 ปีที่แล้ว

      Kumvunjia Muslamu mwenzako heshima ni kharaam

    • @muftishaban.a.musamombasak6577
      @muftishaban.a.musamombasak6577 2 ปีที่แล้ว

      Ujinga gani ?

    • @sakibuabdul7318
      @sakibuabdul7318 2 ปีที่แล้ว +1

      Hapo ndo mnapofeli na kudhihirisha jazba na kusahau hikma, kwahyo hapo ndo ilimu yako ilipoishia na umetufundisha nn sisi na huyo shekhe hapo?

    • @suleimanhemed9537
      @suleimanhemed9537 2 ปีที่แล้ว

      Ujinga unaujua wewe

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k 2 ปีที่แล้ว +3

    Wewe kweli Ni sufiy ALLAH akuongoze wewe mzee