Utamaduni wa mwafrika haujawahi kua kuvaa nguo, babu zao babu zetu walifunika nyeti tu. Hakuna mheshimiwa mmoja hapo bungeni amevaa kiasili. Halafu wanaongelea utamaduni wa mwafrika.
Siasa siasa siasa yaani suala la ushoga unaohamasishwa na wasanii kwa kuvaa uhusika wa kidemu watu wanajibu kisiasa tu badala ya kuchukua maamuzi!!!! Hapana hapana hapa inafaa hatua stahiki za kuzuwia zichukuliwe hakuna mtego wowote hapo my brother wanawake wasanii wapo wengi asilimia kubwa ya wanaume tunachukizwa na maigizo ya hivyo hatuburudiki wanaoburudika ni wanawake wasio na hofu ya Mungu na mashoga tu
Ujenzi ungeanza na kiwanja cha CCM Kirumba kikakarabatiwa na kuwa na kiwango cha kimataifa kabla ya ujenzi wa kiwanja cha Ilemela. Hakuna logic yoyote ile kifedha kuanza kujenga uwanja mpya kabla ya kukarabati uwanja wa CCM, endeni mkajifunze kwa wenzetu Kenya na Uganda walivyokarabati viwanja vyao. Kama hakuna nauli basi nendeni Zanzibar mkaone walichokifanya.
Kwenye maswali na majibu naona kama mipango yani maswali yameshaandaliwa kuwa mimi nitakuuliza hili kisha na wazili nae anaandaliwa majibu.kisha muuliza maswali anasoma swali na mjibu maswali anasoma jibu hii ingekuwa darasani nadhani wote wangefaulu mjibu swali anasoma jibu
Ujajibu kitu apo mwana F. Unapo sema kwamba Kila mtu anaishi Kwa utamaduni wake Tena wemwenyewe una sema tuna Linda utamaduni Sasa apo una Linda Nini maana una sema Kila mtu Aishi Kwa utamaduni wake .wachina Wana ingea lugha Yao na awa changani ninyi mna jifanya wazungu na Bado Nima fisadi eti Dunia Kijiji Sasa ume faidika nini na iyo Dunia Kijiji upumbavu TU ivi niyi mnaona kama watanzania so ni wajinga eti.ila nataka nikuku mbushe kama mtanzania ange kua mjinga asinge penda utendaji wa Magufuri IPO siku
Utamaduni wa mwafrika haujawahi kua kuvaa nguo, babu zao babu zetu walifunika nyeti tu. Hakuna mheshimiwa mmoja hapo bungeni amevaa kiasili. Halafu wanaongelea utamaduni wa mwafrika.
sio jumba la Sanaa, hapo ni bungeni
Simba nguvu moja 💪🫶♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐💐💐mtake msitake
Yanga bingwa
Ccm kirumba ni uwanja wa kimataifa ila serikali hiwalioni hilo,Kabla ya kujenga uwanja wa ilemela,mngekarabati CCM kirumba kiwango cha vigezo vya FIFA
Yani kama huyu ndio waziri basi twendeni tukasome
Siasa siasa siasa yaani suala la ushoga unaohamasishwa na wasanii kwa kuvaa uhusika wa kidemu watu wanajibu kisiasa tu badala ya kuchukua maamuzi!!!! Hapana hapana hapa inafaa hatua stahiki za kuzuwia zichukuliwe hakuna mtego wowote hapo my brother wanawake wasanii wapo wengi asilimia kubwa ya wanaume tunachukizwa na maigizo ya hivyo hatuburudiki wanaoburudika ni wanawake wasio na hofu ya Mungu na mashoga tu
Uko sawa
Simba nguvu moja
Afcon 2024???
Copy &paste in preparations of reports is problem
Simba nguvu moja❤❤❤
Kwanini viwanja wanavyomiliki ccm visibinafusishwe kwa manufaa ya taifa?
Kwahiyo hamuoni au mnajitoa...... watoto wana haribika mnamchango ni za ovyo.
Kirumba itakarabatiwa? Kweli itakarabatiwa? Mungu atuweke tuone ukikarabatiwa
Kwanin tusisimamie utamaduni yetu piga marufuku tamadun ya nje
Kashakuwa chawa naye siku hiz
Ujenzi ungeanza na kiwanja cha CCM Kirumba kikakarabatiwa na kuwa na kiwango cha kimataifa kabla ya ujenzi wa kiwanja cha Ilemela. Hakuna logic yoyote ile kifedha kuanza kujenga uwanja mpya kabla ya kukarabati uwanja wa CCM, endeni mkajifunze kwa wenzetu Kenya na Uganda walivyokarabati viwanja vyao. Kama hakuna nauli basi nendeni Zanzibar mkaone walichokifanya.
Mwijuma kaiva
Kabuku
Kamzungumzia Mo WP
Hivi vichanel uchwara ndio zao kuforce views
Yani et waziri anaulizwa vingine anajibu ujinga
😭😭
😭😭
Siyo kingeleza😄👉ni kingereza
FA KAIVA
Binafsi naomba mweshiwa Tulia kama spka asitusahau uwanja wa sokoine uwe wa kisasa kwa maandalizi ya afcon
Kwenye maswali na majibu naona kama mipango yani maswali yameshaandaliwa kuwa mimi nitakuuliza hili kisha na wazili nae anaandaliwa majibu.kisha muuliza maswali anasoma swali na mjibu maswali anasoma jibu hii ingekuwa darasani nadhani wote wangefaulu mjibu swali anasoma jibu
Ujajibu kitu apo mwana F. Unapo sema kwamba Kila mtu anaishi Kwa utamaduni wake Tena wemwenyewe una sema tuna Linda utamaduni Sasa apo una Linda Nini maana una sema Kila mtu Aishi Kwa utamaduni wake .wachina Wana ingea lugha Yao na awa changani ninyi mna jifanya wazungu na Bado Nima fisadi eti Dunia Kijiji Sasa ume faidika nini na iyo Dunia Kijiji upumbavu TU ivi niyi mnaona kama watanzania so ni wajinga eti.ila nataka nikuku mbushe kama mtanzania ange kua mjinga asinge penda utendaji wa Magufuri IPO siku
mbona Kapombe akutibiwa na serikali alipoumia?????
Bali alitibiwa na daktari
Nashangaa hii kiazi amekuje waziri?
Ulitaka nani awe waziri?
Wewe ungeweza ATA kusimama pale kenge wewe
Ukute hujawai kuongea ata mbele ya familia ako.
Huyo ndyo mwana falsafa!!😂😂