Asante sana amiri jeshi mkuu mama samia na mkuu wa majeshi yetu yote hapa yanzania kwa kuichagua china ambao hawana tuhuma za ushoga waje na urusi na korea kaskazini na irani
Hakuna cha kujifunza apo vita sasa ivi inapigana Kwa technology sio kujificha kwenye msitu na kuviziana iyo haipo Karne hii mboni awakuchukua na drone za makombora
Umeshawah kuskia China au urusi zna record ya mauaji au unyonyaji au kupora nchi nyngne na km uwezo wanao lkn hawana ubinafc huo urus Ina mafuta gas na nishat nyngne umewahi kuskia wamepora kutoka kwa wengine? Wanachokifanya China na urusi na washirika wao ni kufany reshape ya dunia ili kila m2 awe na Uhuru na Mali zake siasa zake na mipaka yake pia fuatilia siasa za ulimwenguni ujifunze
C amin chochote hapoo ile meli ya matibabu na wawas nayo watoto huku wanaibiwa wanapungua ile meli imeondoka na viungoo hawa wachina wana jeshi wameleta madubu ya kamali 😂 ndy wachinjajiii😅
Naomba pia Jeshi la Urusi Rais PUTIN tunakuomba sana Mwamba imara ulete jeshi lako Baba...Mama yetu SAMIA tuwaombe waje tuwe pamoja tunawapenda sana Warusi ni marafiki wetu wema sana
Miaka 60 ya ushirikiano, Wenzetu wanapiga hatua kubwa za maendeleo,sisi ni tunanuka shida na wizi wa kutisha, Nb:Ikumbukwe tz ni moja ya nchi ambayo ilipiga kura ya ndio ya kuomba CHINA apewe uanachama wa UN
Tanzania si kisiwa...hatuhitaji tu marekan na washirika wake ila Urusi, China, Iran, Parestine, korea kaskazin..Karibun san Tanzania...Ata mkitaka vijana wa kupgan njoon mtupe train tu tuingizane..Tutaziruka ktk uwanja vita atar...Hasa mie waniweke ile section ya sniper ni kakae ktk miti, milima na majengo marefu ni dunguo adui atar😂😂😂
Isije ikawa mtego pindi NATO ikianza kupigana na Urusi na washirika wake watake kutuhusisha na sisi,maana jirani yeye yuko upande wa Nato na sasa sio siri hawa watu wanatafuta washirika Kwa werevu
An Katika coment zote nimeona coment ya mtu mmoja mwenye akili kama ya magufuli maana hao watu wanavyokuja hapa Tanzania wameshatusoma Tanzania jins tulivyo tunapenda kusaidia saidiwa Jaman msishangilie hapo kuna vita hayo mnaoshangilia na huyo bibi yenu
Asante sana amiri jeshi mkuu mama samia na mkuu wa majeshi yetu yote hapa yanzania kwa kuichagua china ambao hawana tuhuma za ushoga waje na urusi na korea kaskazini na irani
safi kabisa tanzania inatakiwa ishirikiane na china na urusu sio hao. mashoga
Watanzania wanene mashallah yaan hapo anasalimiana na mwenzie anafinyia tumbo kwa ndani
Jeshi linabidii lianzishe bandar yake
Kwa hili safi sana
Hakika Uchina na Tanzania ni marafiki wa Jadi
Mwalimu & Mao
Hongera sana rais wetu kwa kuichagua China marekani hatuwataki
We na nani?
Vizuri Sana, huo ni uhusiano wenye afya
Nimefurahi Leo Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 URAAAAAA 🎉🎉🎉🎉
Hii sawa nimemeipenda
Tuwache ulasimu tuwe wazalendo wakweli tujenge bandari ya kaole tuzidi kujitanua zaidi
Waleteni huku kwa ground bhana wasicheze kenye maji tuu
Wamefikia wapi kwanza? Mje muwalete kwenye airbnb yangu kawe beach wengine watalala kwenye garden tuna garden kubwa tu
Airbnb nini??
na warusi lini waje warus ndio baba.lao
Hawa ndio tunao wataka waje watufundishie askari wetu sio majeshi ya mashoga
Mbona mashoga hata huku kwetu wapo tu
Mwafrika mtumwa peke yake ndo anaweza kumchukia marekani na kumuita mchina ndugu
@@ladislausngoyinde4384umeongea fact
Uku wakiwa na ndoto ya kwenda marekani kuliko China @@ladislausngoyinde4384
@@ladislausngoyinde4384 kapime mkojo au cable za dishi
Kama nchi hii inafanyika kazi matakwa ya wananchi tunaomba watu kama China! Urusi! Irani! Nk sio wazungu! Wala Americans
Mama namkubali sana, sina shaka naye.
Na sisi Tanzania tupeleke ma meli yetu ya kivita huko kwao china
Peleka za baba yko
😅😅😅😂😂
😂😂😂😂 kwani tz tuna Meli za kivita😅
😄😄😄😄😄 labda mpeleke mitumbwi
@@zebedayokatamaduni9676 unazo
Natumai kuna siku nisikie meli vita ya tanzania yawasili chini kufanya maxoez ya pamoja
Amna chochote kitu
Amn k2 Apo wapeni
Mnamtishia marekani hamuogopi vikwazo
Natoa rahi.UMAKINI UNAITAJIKA
Hakuna cha kujifunza apo vita sasa ivi inapigana Kwa technology sio kujificha kwenye msitu na kuviziana iyo haipo Karne hii mboni awakuchukua na drone za makombora
😂 ni swali zuri
Point
Hata hao wazungu na waarabu walikuja hivyo hivyo mwishowe tukatawaliwa na kuuzwa kama watumwa
Umeshawah kuskia China au urusi zna record ya mauaji au unyonyaji au kupora nchi nyngne na km uwezo wanao lkn hawana ubinafc huo urus Ina mafuta gas na nishat nyngne umewahi kuskia wamepora kutoka kwa wengine? Wanachokifanya China na urusi na washirika wao ni kufany reshape ya dunia ili kila m2 awe na Uhuru na Mali zake siasa zake na mipaka yake pia fuatilia siasa za ulimwenguni ujifunze
😂😂😂😂mvutuo tena ng'gande
Tpdf oyeeee
This exercises seem to dwarf USA's Justified Accord in kenya
Watz tumechagua ukomunisti na kuacha ubepari
C amin chochote hapoo ile meli ya matibabu na wawas nayo watoto huku wanaibiwa wanapungua ile meli imeondoka na viungoo hawa wachina wana jeshi wameleta madubu ya kamali 😂 ndy wachinjajiii😅
Hayo maneno ndg mdomo
Kwanini jeshi lisijenge bandari yake? Kama pale Bagamoyo pazuri kabisa
Lijenge Bandari alafu waweke nn hapo kweny bandari wakati hawana meli 😅😅😅😅😅
Tusiwaamini kupita kias maana hizo silaa walizobeba wanaweza chukua tanzania na msiongee chochote😢
Iyo mzuli lakin mama umeshakua rais atuna budi kukukubari,
inabidi watuachie meli moja sio kuja kuonyesha tu! Tuwe na meli ya Kivita hta moja vifaru haviwezi kuingia baharini😂😂
Vipo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
@@paschalbenito9783 hakna meli ya kivta
Kamanda anasauti kama ya eriud cheka tu
Naomba pia Jeshi la Urusi Rais PUTIN tunakuomba sana Mwamba imara ulete jeshi lako Baba...Mama yetu SAMIA tuwaombe waje tuwe pamoja tunawapenda sana Warusi ni marafiki wetu wema sana
Unadhania putin anasoma comment ako😂
Tunachokitafuta tutakipata😂😂😂😂😂
Toka taahira ww
Kipi hiko bora hawa jamaa
Biden wako maji ya shingo wewe mama alitaka kushindana na Urusi wakati Urusi ni liidude likubwaaaa 😂😂
@@twalibulomy-cd4zd sawa 😂😂😂🙏🙏
@@FredySemkiwa-or7kn hawa ndoo wahuniii hawafaiii
Nyie jichanganyeni at wakoloni waliingia ivo taratibu mshawaruhusu waingize silaa
Peleka upumbavu uko
Walitwambia kwamba kuna madktari kutoka china watatoa huduma kwa wananchi lakini sasa huduma yao ilikuwa magumashi
Mtanunua lini zenu km hizi , mnakaa kila mwaka kupokea meli za wenzenu uku nyie mkiwa hamna meli km hizi
Si watugaie moja
Miaka 60 mnafundishwa hamuelewi acheni ujinga ,wenzenu wanatonoa nyie mnapewa matango pori
Ngoj Wamarekani nao wafanye mazoezi hapo Kenya. Kupanga nikuchagua
Wana fata nini kwetu huku kwetu hatuna vitaa bwana
Kuja kuimarisha ulizi na kupat mafunzo kwa wanajeshi wetu pia kuimarisha uhusiano
Kwann majesh yetu yasiende uko kwao wajifunzie huko huko@@JohnCage-we6tp
Sasa nyie mna kipi cha kujifunza kutoka kwa china?nyie mnazo hizo meli?au nyie ni mikia
Shida kubwa ni bundi na ngedere 😂😂😂
Miaka 60 ya ushirikiano,
Wenzetu wanapiga hatua kubwa za maendeleo,sisi ni tunanuka shida na wizi wa kutisha,
Nb:Ikumbukwe tz ni moja ya nchi ambayo ilipiga kura ya ndio ya kuomba CHINA apewe uanachama wa UN
Meli imekuja2 nakuondoka ety kutowa uduma ya matibabu😂😂
🇹🇿❤🇨🇳🤲🔥
😅mbona wamekuja karibu na uchanguzi msifanye mazoezi afumnakuja kumalizia kwetu mpigane we yew
Mtego huo
Tanzania si kisiwa...hatuhitaji tu marekan na washirika wake ila Urusi, China, Iran, Parestine, korea kaskazin..Karibun san Tanzania...Ata mkitaka vijana wa kupgan njoon mtupe train tu tuingizane..Tutaziruka ktk uwanja vita atar...Hasa mie waniweke ile section ya sniper ni kakae ktk miti, milima na majengo marefu ni dunguo adui atar😂😂😂
Unapigwa kabla hujapanda babu😂
Mhmmm
Aya mazoezi sina imani nayo
Kwann
Si watugaiye kila mtu bunduki yake jamani tumtafute makonda wetu
MAGUFULI alishawahi kusema ukiona jirani anakujali sana ,,jiulize sana kunamahali kwako panavuja jiran anajisogeza kuja kukinga kwa akili wala sio swala la upendo
Akili za kutoto
Akili za Magufuli zilishazikwa
Tz mda c mrefu inaenda kua shamba la makaburi ila kuna wajinga hum wanashangilia china na mareka ndo uwanja wao wa mapambano
Kwa nn unasema hvo broo imeona nn
Isije ikawa mtego pindi NATO ikianza kupigana na Urusi na washirika wake watake kutuhusisha na sisi,maana jirani yeye yuko upande wa Nato na sasa sio siri hawa watu wanatafuta washirika Kwa werevu
Wouh
Tanzania haina meli za kivita za aina hiyo hizo drill zinasaidia nini? Kama hawana meli kama hizo
Kila kitu wakuoneshe ww ujue kama zipo au waropokwa hujui kinachoendelea
Sorry kama unajisi naropoka, hakunaga kisicho julikana
@@roberttarimo4956 mambo mengine ni siri ya nchi sikila kitu utakijuwa ww au watu wakijue
Mbn znz hawajaja
Zanzibar ni mkoa wa tanzania 😂😂
Kwan Zanzibar ni wap ??
An Katika coment zote nimeona coment ya mtu mmoja mwenye akili kama ya magufuli maana hao watu wanavyokuja hapa Tanzania wameshatusoma Tanzania jins tulivyo tunapenda kusaidia saidiwa Jaman msishangilie hapo kuna vita hayo mnaoshangilia na huyo bibi yenu
@@ProsperUlungi Zanzibar ni bara ndugu yangu
@@MkisiStylish acha utani