Inalilah wainalilah rajaun yaraabi amjarie mwisho mwema apumzike kwaaman napenda kutoa pole kubwa kwawanafamily ya ruge mtahaba pia nawaomba waendelee kua namoyo wasubira naiman kwass lazima watakutana nakila khari yamisusuko yakinadam kunawatakao wpa pole nakunawanao dhihaki lakin lamhim waendelee kumuombea dua apate pumziko jema ishallah
Nimekusikia mwacha mm sina cha kusema ndugu yangu we cha kufanya shika kijiti ngawa baba ameshakabidhi wengi vijiti kaka angu mm nasemea upande wa family yako mwacha pambana kaka naendelea kuomba mungu akupe hekima ,busara,elimu, na pia shima ili uwezee kuongoza family yako mwancha mm nitakuombea sana kaka angu mm najua maumivu ya kuondokewa na baba najua haswaa so fight brother u can do it stil but above all pray harder brother Thank you may God be with you foverver and ever
Poleni sana familia yote kiujumla mungu awape subra kwa kipindi hk kigumu mlicho nacho nas twasema tupo pamoja na wana familia wote wa ruge mutahaba mungu ametoa na mungu ametwaa litukuzwe jina la mungu amiin amiin amiin
Inauma sana jamani poleni na tupoe kwa sote kwani hata na umbali huu ila mimeshindwa kujizuiya kwa kutazama hiki kilochokuwa kikiendelea familia mungu atawatia nguvu kwa wakati huu kikubwa msimame naye katika sala niwatakie muendelezo mwema mpaka mtapo fikia tamati
Daaa nataman sana kijana aende na yeye kwny ofisi ya baba ake akajalibu kupunguza machungu ya baba ake kinakusaga wajalibu kushilikiana nae ili asimamie nayy daaaa inaumaaaa sana
Ni wkt mgumu sana mlionao kama wtt wake hasa mwachi ukiwa kama mkubwa familia yake baba na mama na wdg zake lkn pia wtz kwa ujumla tumeumia tumejeruhiwa pumzika baba pumzika shujaa pumzika mpambanaji.too sad
Mwachi my young brother Najua ni maumivu gani unayoyapata kuondokana na kipezi babako na rafiki yako.jipe moyo,baba amemaliza safari yake,fight kuyaenzi mazuri zaidi ya aliyofanya baba kwa family na Taifa.Bwana ametoa,na Bwana ametwaa Jina lake na Lihimidiwe
@@abs3online726 fungua humo youtube tafuta alipoongea josephu kusaga utajua kwanini wanamlilia sana hata me mwanzo nilikua najiuliza kama wewe laki baada ya kutazama istoria aliyoisoma josephu kusaga nimejua
pole sana kijana kwa kumpoteza baba yako hata maneno ni machungu moyo unauma pole MUNGU ata kupa nguvu hakika kifo hakina uruma jamani ruge pumzika kwa hamani inauma sana tena sana😭😭😭😭😭😭
Huu utaratibu wa kuchagua mtu wa karibu zaidi aliyefiwa ubadirishwe! Mnafahamu kabisa mtu ana huzuni nyingi na majonzi kutokana na msiba halafu unamchukua asome wasifu wa marehemu ambaye ni mzazi wake au ndugu wa karibu zaidi, hapo unategemea nini kama siyo kuongeza maumivu makali zaidi ambayo ni sawa na kuchoma moyo kwa sindano ya moto! Mtu akidondoka akazirai au naye akafa palepale unafikiri nani wa kulaumiwa hapo! Naona hiki kitendo watu hawakiangalii kwa umakini sijui ni kwa nini! Wahusika inabidi mfikirie mbali zaidi kwenye hilo suala kabla matatizo hayajajitokeza! Nashauri awe anachukuliwa ndugu, jamaa au rafiki ili awe anasoma wasifu ili lengo liwe linatimizwa kama lilivyokusudiwa kuliko hivyo maana inaweza kusababisha mtu asimalize kusoma huo wasifu! Inauma sana jamani!
Sasa Tunaandika Vipi Maoni Wakati Mtandao Unasua Sua Airtel Bwana Sijui Wameajili Wafanyakazi Wa Kutoka Nchi Gani Ambao Awaoni Tatizo Kwao Wakiona Intaneti Kimeo Wao Wanakula Mshaala Tu
hongera sana kijana kwaujasiri wakuweza kusoma wasifu wa baba yako nijambo la kishujaa sana wachache sana wanao weza kufanya hivyo R.I.P Ruge
Inalilah wainalilah rajaun yaraabi amjarie mwisho mwema apumzike kwaaman napenda kutoa pole kubwa kwawanafamily ya ruge mtahaba pia nawaomba waendelee kua namoyo wasubira naiman kwass lazima watakutana nakila khari yamisusuko yakinadam kunawatakao wpa pole nakunawanao dhihaki lakin lamhim waendelee kumuombea dua apate pumziko jema ishallah
Davisa samwel nawapa por san wenye family ya luge mutahaba mungu amulaze mahar pema peponi
Davisa samwel L,R p rugee pumzik kwaaman umewachia machungu famiryia yako
Mungu amevuna mti mzuri alioupenda, Hakuna mtu hawezae kuzuia roho pindi Mungu akiita, R.I.P Ruge Mutahaba
Pole sana Mwachi....rest easy RUGE
Nimekusikia mwacha mm sina cha kusema ndugu yangu we cha kufanya shika kijiti ngawa baba ameshakabidhi wengi vijiti kaka angu mm nasemea upande wa family yako mwacha pambana kaka naendelea kuomba mungu akupe hekima ,busara,elimu, na pia shima ili uwezee kuongoza family yako mwancha mm nitakuombea sana kaka angu mm najua maumivu ya kuondokewa na baba najua haswaa so fight brother u can do it stil but above all pray harder brother Thank you may God be with you foverver and ever
Mungu akulaze mahala pema Ruge
Pole totoe jamani Mungu akusimamie katika kipindi hiki kigumu Bwana ametoa Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe
Poleni sana familia yote kiujumla mungu awape subra kwa kipindi hk kigumu mlicho nacho nas twasema tupo pamoja na wana familia wote wa ruge mutahaba mungu ametoa na mungu ametwaa litukuzwe jina la mungu amiin amiin amiin
Pole sana kaka na Hongera kwa kujikaza kuongea mbele ya Hadhara juu ya wasifu wa Baba
"Mambo n mengi lakin muda n mchache" muumba wa vyote kakupenda zaid#tangulia bro
Pole sana kijana,Mungu awatie nguvu jaman
Poleni sana familia Mungu wetu awape faraja
R.I.P Ruge
Judith Lucas ISupport you
Hongera Mwache kwamoyo waujasili namungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu kwako nakwataifa la tzn R.I.P RUGE
Pole sana wafiwa mungu atie nguvu
Poleni wanafamilia wa ruge, pia kwa watanxnia ote tuloguswa na msiba huu bwana ametowa bwana ametwaa
hongera kwa ujasiri mkubwa mungu awape wepesi familia ya ruge RIP Ruge
Pole sana kijana pumzika ruge kwaaman
Pole sana dogo mungu akupe ulinzi na Manyang'au.rip baba mwachi
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Ruge mahali pema peponi🙏
Poleni sana kwa family na marafiki wake wote
Mungu awape nguvu, na hao wasiojua kusamehe bas waish milele wasife kama mungu ni wao
Polenii Jamani 🙏🙏🙏
Pole Sana Mipango ya mungu
mungu atamchagulia pakumuweka sawasawa na kazi yk
Pole Sana kijana Mungu atakupa nguvu
R.I.P ruge mbele yako nyuma yetu..
Pole sana
poleni wanafamilia
Pole sana kjana kwa msiba wa baba yako kpenz rest in paradise#ruge
Poleni sana jamani wanafamilia mungu azidi kuwatia nguvu najua nijambo kubwa ila inawabidi kujitaidi
Rip ruge wetu bwana ametoa bwana ametwaaa jina LA bwana libarikiwe aminaa
mungu ailaze roho ya marehemu mahalipema
Inauma sana jamani poleni na tupoe kwa sote kwani hata na umbali huu ila mimeshindwa kujizuiya kwa kutazama hiki kilochokuwa kikiendelea familia mungu atawatia nguvu kwa wakati huu kikubwa msimame naye katika sala niwatakie muendelezo mwema mpaka mtapo fikia tamati
Naumia sn na msiba wa bo's Ruge rip shujaa
Rest in peace
pole Sana bro mungu akutie nguvu
Polen sana familia mungu awatie nguvu
Kumbe alikua na mtoto mkubwa#RIP ruge
Kumbe dudubaya wewe ndie hauna nithamu kama wimbowako ulioimba
Anamtoto alie fanana nae hadi raha
@@shirimacostantine5106 ndomana alikuwa hawajibu matus yao angepoteza heshima yake ona alivoZikwa kwaheshima zote
@@aishamabiruhatar5932 .
Mungu amekutia nguvu ya kusimama na Mungu aenderee kuwatia nguvu wafiwa wote
Mungu akujalie kwa Yale mema uliyoyatenda hapa duniani ,R.I.P ruge
Mashaallah ana mtoto mkubwa
Ruge ni mtu wawatu kwakwer
Dah inauma sana jamani R.I.P Ruge njia yetu sote
Pole mdg wangu Mwachi
Mwenyezi Mungu awape nguvu jamani
Pole sana famila na tanzania kwa ujumla ewe mola wetu ipe faraja familia yake aamina
Aameen yarrab
Pole kijana kufiwa kunauma Sana
God bless you kijana
Pole sana kijana ni maumivu makali sana
Pole sana kijana Allah awatie nguvu wana family kwakipindi hiki kigumu
Mungu watie nguvu familia hii
Poleni
So sad I can’t stop crying
annamary lyakurwa pore sana mtoto waruge mungu akufunge mkanda kwakipindi hiki kigum
Mungu awe mfariji wenu
Pole sana Kaka kwani mungu ndiy mjuwaji 😭😭😭
R.I.P, ruge tutakumbuka daima na mungu akuhifadhi mahali salama,
Kamanda pumzika kwa amani. Mbele yetu nyuma yako.
poleni sana kwa family
Nimekumba mbaliii sanaaa.....RIP uncle RIP mdg Beza🙏
He is courageous man
polen sanaaa
lala salama ruge
Chozi limenitoka Jaman uwekwe unapostahili Ruge
Evancia Ernest pole sana dogo yote maisha
uyu mwachi ana mvutoo
Maskini kufiwa jamani. Yasikieni tu. Poleni sana wafiwa
Kumbe ruge sio mtanzania Ni black American 😢
Poleni San jamani
Haki nimelia pole sana mdogo wangu rip ruge
Polen sana wanafamilia dunia mapito tu r.I.p ruge
Jipe moyo mama ruge mungu akupe akupe ng in by
Kifo ni desturi pole kijana furahia alichokifanya mzee wetu hapa duniani uwepo wake ulikuwa unafaida kwa watanzania wote R.I.P Ruge
Daaa nataman sana kijana aende na yeye kwny ofisi ya baba ake akajalibu kupunguza machungu ya baba ake kinakusaga wajalibu kushilikiana nae ili asimamie nayy daaaa inaumaaaa sana
Poleni family ya malehemu
My deepest condolence from dubai😭
mungu akupe ujasili sana kijana
mungu
Hakuweke.mali.pema
Dah pole sana brooo mungu yu nawe
Ni wkt mgumu sana mlionao kama wtt wake hasa mwachi ukiwa kama mkubwa familia yake baba na mama na wdg zake lkn pia wtz kwa ujumla tumeumia tumejeruhiwa pumzika baba pumzika shujaa pumzika mpambanaji.too sad
Mwachi my young brother
Najua ni maumivu gani unayoyapata kuondokana na kipezi babako na rafiki yako.jipe moyo,baba amemaliza safari yake,fight kuyaenzi mazuri zaidi ya aliyofanya baba kwa family na Taifa.Bwana ametoa,na Bwana ametwaa Jina lake na Lihimidiwe
R,I,P Ruge tutakukumbuka daima kwa ushujaa wako
Upumzike kwa amani ruge
Kafanana Sana na baba yake
pole br mng awape subra na amlaze mahala pema pepon amen
so sad kwa kwel n majnz mpumzishe kwa aman Ruge wetu kwan hakuna aliyekamilika kwa kila jambo kila mwanadam ana mapungufu yake
Pumuzika kwa amani ruge ila tunaimani umetuachia matunda yalo iva R.I.P.ruge
RIP regend of music,,'ll remember everlastly!! Ever!!
Nimejikuta nalia. pumzika kwa amani ruge
We kweli mwanaume mungu sendelee kukupa nguvu🙏
@@abs3online726 fungua humo youtube tafuta alipoongea josephu kusaga utajua kwanini wanamlilia sana hata me mwanzo nilikua najiuliza kama wewe laki baada ya kutazama istoria aliyoisoma josephu kusaga nimejua
Ongera kwa ujasil huo wa kusoma wasifu wa baba yako Mungu Ailaze roh ya marehem Ruge mahal pem peponi Ameee
KWELI DUNIANI HUWEZI KUFRAHISHA WATU WOTE HATA YESU ALIDHIHAKIWA NA BAADHI YA WATU PAMOJA NA KUWAHUBIRIA HABALI NJEMA.
Poleni sana wafiwa 😥 roho inauma sana r.I.p ruge
RIP ruge wakenya tu nanyi
Lala mahala pema peponi RIP Ruge
uwii msiba huu unauma sana
pôle sana Kaka ôté tuko njiamoj
pole sana kijana kwa kumpoteza baba yako hata maneno ni machungu moyo unauma pole MUNGU ata kupa nguvu hakika kifo hakina uruma jamani ruge pumzika kwa hamani inauma sana tena sana😭😭😭😭😭😭
Pole sana mwaas yani nilikuwasjaona hhii creap jamani like father like son
Henson Gunman kweli kabisa
Daaa poleni sana familia ,wasaniii na watanzania wote kwa ujumla Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki cha majonzi R.I.P Ruge.
poleni sana daa umeniliza kijana
Jaman pole wanafamilia wote🙆🙆😭😭😭
Salome Kambanga pole sana kk
Pole
Huu utaratibu wa kuchagua mtu wa karibu zaidi aliyefiwa ubadirishwe! Mnafahamu kabisa mtu ana huzuni nyingi na majonzi kutokana na msiba halafu unamchukua asome wasifu wa marehemu ambaye ni mzazi wake au ndugu wa karibu zaidi, hapo unategemea nini kama siyo kuongeza maumivu makali zaidi ambayo ni sawa na kuchoma moyo kwa sindano ya moto! Mtu akidondoka akazirai au naye akafa palepale unafikiri nani wa kulaumiwa hapo! Naona hiki kitendo watu hawakiangalii kwa umakini sijui ni kwa nini! Wahusika inabidi mfikirie mbali zaidi kwenye hilo suala kabla matatizo hayajajitokeza! Nashauri awe anachukuliwa ndugu, jamaa au rafiki ili awe anasoma wasifu ili lengo liwe linatimizwa kama lilivyokusudiwa kuliko hivyo maana inaweza kusababisha mtu asimalize kusoma huo wasifu! Inauma sana jamani!
Pumzika kwa aman Ruge
wew sasa umeongea kwa hekima kurko wangine kwasababu una jua baba yako arsha wakosea wa2 nahata wa2 pia washa mkosea baba yako Uko sawa p
hakika tumepoteza shujaa kijana tanzania .....R.I.P SHUJAA RUGE
Pole mtoto mungu atawatia nguvu r i p ruge
poleni sana ndugu zaguni
R.I.P...kibonde
Kazi ya mungu haina makosa jina la bwana lihimidiwe
Kazi ya mungu aina makosa apumzike kwa amani ameni
ruge alikuwa na damu kali
pole
Rip Ruge 🙏😭
Sasa Tunaandika Vipi Maoni Wakati Mtandao Unasua Sua Airtel Bwana Sijui Wameajili Wafanyakazi Wa Kutoka Nchi Gani Ambao Awaoni Tatizo Kwao Wakiona Intaneti Kimeo Wao Wanakula Mshaala Tu
Awadh upo sahihi huu mtandao saiz pooooooor
Wahame wasikuchoshe
Awadhi Rajabu kumbe hili tatizo na ote nikajua cm yangu tu mwe wanaboa
Shenzi hawa Airtel nilijua mm tu
Polesana tanzania