Mama DANGOTE amjibu HAMISA? "Mkwe hakutaki" Mashabiki wamuomba amsamehe kwa uchungu waguswa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2020
  • #HamisaMobetto #MamaDangote #Gingerme

ความคิดเห็น • 344

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein748 3 ปีที่แล้ว +34

    Sisi sote ni waja wake Allah! Don't worry hamisa Ukipendwa na Mungu hiyo imetosha!

    • @irenewanini6716
      @irenewanini6716 3 ปีที่แล้ว

      Mama diamond kwani ni mungu,

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 3 ปีที่แล้ว +2

      Exactly my dear, yeye ni nani kwani 😏😏😏

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 3 ปีที่แล้ว

      @@irenewanini6716 Eti

    • @rehemahussein748
      @rehemahussein748 3 ปีที่แล้ว +2

      @@saumuhassan6365 amejisahau kuwa pesa ni mapambo ya dunia tuu! Huwezi kumchukia mwana wa mwenzio buree Bila sababu!

    • @mymunamymuna4807
      @mymunamymuna4807 3 ปีที่แล้ว +1

      Achana nae huyo bibi mchawi, kama mungu anakutosha inatosha huyo mwanga asikusumbue

  • @Kal-Mary
    @Kal-Mary 3 ปีที่แล้ว +27

    Hamissa Hamissa Hamissa nakupenda ila nakuomba ukaye mbali na hao watu hawakupendi,fanya kazi zako Mungu atakubari tena kama inawezekana ata kuhusu matumizi ya mtoto usiombi labda mwenyew Dai ajitume.kaa mbali Mama usiruhusu kuwa karibu nao please 😔Roho inaniuma utafikiri ni Mimi daah.Please achana nao na uyo Daimond hakupendi ju yeye njo katunga uyo wimbo 😭😭😭

    • @omanmuscat299
      @omanmuscat299 3 ปีที่แล้ว

      Kweli hata mimi namuomba Hamisa angejitenga nao yani sijui kwanini anawafata wakati hawamtaki anajidhalilisha aachane nao asonge mbele Allah atambarik

    • @Kal-Mary
      @Kal-Mary 3 ปีที่แล้ว

      @@omanmuscat299 kwli kabisa wng,yani wanamzarau kupita kiasi.kama ni upendo ameshawaonyesha ila wapi.Sasa ajitenge nao

  • @catherinemuthoki2614
    @catherinemuthoki2614 3 ปีที่แล้ว +4

    Hamissa dada ...achana na huyu mama siku yake yaja chuki ...ikunyime kuishi ...jikaze na maisha yako ...let her be God's love is important than human being love...may God protect you and your son

  • @lm6373
    @lm6373 3 ปีที่แล้ว +12

    Hamisa mzuri sana anajuwa ku jivicha ona video yake machallah anapendeza anasema vizuri good personality lakini zuchu nguo ana vaa kama zime chonwa kwa fundi wa barabani mmmh hamisa well done

  • @maimunamunisigloyyixigjsgs6638
    @maimunamunisigloyyixigjsgs6638 3 ปีที่แล้ว +9

    Wewe mama kuwa kiakili mtoto Hana tatizo kiumbe Cha mungu hicho. Duniani tunapita

  • @marthaemmanuel3323
    @marthaemmanuel3323 3 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana mama dangote mkomeshe huyo

  • @tajjudinihaji2776
    @tajjudinihaji2776 3 ปีที่แล้ว +18

    Ukizaa mtoto nnje ya ndoa.ujue ni wa mwanamke .so acha watoto walelewe na mama zao

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa wanawake weng wanafel hapo kuzaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa huyo mtoto ni wa mwanamke na tumeshaambiwa ktk din haifai baadae ndio matatizo kam haya na hili Wimbi la kuzaa pasina ndoa wanawake weng has wa kiafrika ni shidaa

  • @mariajoackim1368
    @mariajoackim1368 3 ปีที่แล้ว +9

    Daah,,,,Mimi kama mwanamke sijajisikia vizuri Ila hapo hamissa akae mbali na hiyo familia wanaweza kumpoteza mtoto wake aombe uhai alee mtoto wake mabibi wa upande wa kiume sometimes miyeyusho,,,yaani hamisa jinsi anavyojielezea nimejisikia vibaya

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 3 ปีที่แล้ว +6

    Kwani kama Hamisa alimkosea. Huyu mtoto mdogo Malaika amemkosea nini ? Jeuri ya pesa, zote tutaziacha hapa hapa. Hamisa Mungu atazidi kukufungulia njia. Huyo mwanamke sio Mungu

  • @nenadurra8477
    @nenadurra8477 3 ปีที่แล้ว +11

    Mama Dangote oyee, nani kama mama, yaani I love this woman. Mama Dangote knows exactly what she is doing, she is not stupid. This so called Hamisa should stay away... Hivi Tanzania hamna wanaume?

    • @luckyvenance4576
      @luckyvenance4576 3 ปีที่แล้ว

      Inaonekana hata mamaako anatabia hizi

    • @mariegriffin9952
      @mariegriffin9952 3 ปีที่แล้ว

      Can you please translate what Hamisa is saying? Google translate is not accurate😂…I tried to translate Swahili into English but nope; doesn’t make any sense! Thanks in advance

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisaa

    • @faithkagendo2548
      @faithkagendo2548 3 ปีที่แล้ว +1

      Umeongea ukweli.u r wise

    • @nenadurra8477
      @nenadurra8477 3 ปีที่แล้ว +1

      @@faithkagendo2548 Thanks

  • @hopechidera
    @hopechidera 3 ปีที่แล้ว +17

    Huyu Hamisa nayeye anajinyimaga thamani sana,mtu unajua hakupendi bali unazidi kujipendekeza kwake😏😏😏bila aibu eti na birthday ya iyi mwaka ukamu wish😏😏😏kuliko nawewe ujitenge nae usimjali unajikaza kwake na ndo sababu hawezi kukupenda,mtu wa roho mbaya kama mama Dangote dawa yake nikutomjali na kumsahau kama alie fariki ili nayeye akuone wa thamani sababu humjali. Onyo ndogo👉🏽ukigundua mtu hakupendi usiforce kujipendekeza kwake just walk away kama wangereza wasemavyo and that's it.

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 3 ปีที่แล้ว

      nashangaaaa mie m2 km huyu namtakaaaa haswaa awe ktk anga zng akipita kishoto napita kulia mwisho wa cku anachiii😀😀😀😀😂😂😂😂😂

    • @lonelady3368
      @lonelady3368 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwani mwanaume ni Diamond tuu...mbona aongelei kuusu mamake babake mtoto wake wakwanza?

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 ปีที่แล้ว

      Unajua hiki kitu chamkwe hata mm kilinipata,tena maneno yalikuwa mengi yakudhalilishwa,lkn sikufungua mdomo kujibu wala kujipendekeza,napita kule anapita kule.mwisho wasiku kaanza kuona aibu mwenyewe nakutaka tusalimiane kanikuta sina habari,tena bila sababu yoyote.sawa Hamisa alikosea nakaomba msamaha amsamehe tu.hii nidunia tunapita tu

    • @gracesiwale7066
      @gracesiwale7066 3 ปีที่แล้ว

      Hamisa angeachana nao na kufanya mambo yake

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 3 ปีที่แล้ว

      Umegonga dipo sioni anajilazimisha nini kwani bila hiyo familia hawezi ishi?
      Ashadhalilisha mara nyingi sana na hakomi
      Wanawake wengi huku nje ni masingle moms but wanalea watoto wao sasa sioni hamisa kwa nini anajilazimisha ku fit in kwa hiyo familia na hapendwi
      Kwanza nae pia ana pesa kwani hizo pesa zake hawezi shughulikia mtoto wake?
      Awache kua mjinga ingalikua ni mimi keee hata ndio singetaka kuwaskia ningejiwekq mbali sana na wao duh

  • @costavalenci7699
    @costavalenci7699 3 ปีที่แล้ว +11

    Jamanie mama kauliza nyimbo kaimbiwa Nani ? Ubaya wake uko wapi?

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 3 ปีที่แล้ว +13

    Yani mama anatakiwa kuwa mfano ila ndo anatia aibu....huu ujinga jmn yani aibu naona mm😂😂

  • @anithaemmanuel8981
    @anithaemmanuel8981 3 ปีที่แล้ว +27

    Kwan huyo mama dangote ndo nani labda embu atupishe mtu mzima hovyo😏😏😏....

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 3 ปีที่แล้ว

      Anawatenganisha Watoto simjui kwa nn

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 3 ปีที่แล้ว +2

      Eti yeye ni nani kwani uyo Mama Dangote, ajui hizo Mali na maisha mazuri tutayaacha hapa hapa Duniani 😏😏😏😏 akanye mbele, mimi mwenyewe simkubali wala nini mxiiiiiiii

    • @safijohn6079
      @safijohn6079 3 ปีที่แล้ว

      Huyo mtu mzima hovyo hajielew huyoo

    • @subiraomari5908
      @subiraomari5908 3 ปีที่แล้ว

      @@saumuhassan6365 mtu mzima kisheti huyo

    • @bimkubwaali1605
      @bimkubwaali1605 3 ปีที่แล้ว

      Unaaakili wewe hembu kunywa soda kwanza.who is mamadangote.bullshit huyu hamisa nae kwani mama dangote sura yake barabara ya mafanikio hata hamisa akashindwa kupita.mxiewww

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 3 ปีที่แล้ว

    Ivi hamisa siufate maisha yako unanichosha

  • @jasmineshemweta4547
    @jasmineshemweta4547 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyo Juma lokole asipo mkubari hamisa anamsaidia na kitu gni,,yy mwenyewe danga😏😏

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 3 ปีที่แล้ว

    Wa mama wengine uwaga wanajisahau kabisa awajuwi mpaji ni mungu na sio binadamu, mtu mzima hovyo. Hamisa upendo wa mungu ni bora kuliko wa binadamu take ur time🙏🏽🙏🏽🤲🏽

  • @salmasaid8964
    @salmasaid8964 3 ปีที่แล้ว +6

    Awez kumpenda maana yeye ndio sababu diamond na zari kuachana . alijifanya Rafk Wa zari kumbe anatembea na diamond ad kupata mimba..
    Awez kupendwa ata kdgo

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 3 ปีที่แล้ว

      Mama dangote na esma si walimleta ndani ya nyumba na kunwalika kwenye 40. Leo analalamika nini?

    • @copacabannaswax5061
      @copacabannaswax5061 3 ปีที่แล้ว

      Kwani huyo mod alimzakia mod peke yake kuna mwanamume wa mtu ktk hii dunia hiyo sio sababu, niloho mbaya tu ten yakichawii.

    • @khadijamohanani6476
      @khadijamohanani6476 3 ปีที่แล้ว

      Sasa kwani huyo zari aliowea .si wote michepuko tu.

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 3 ปีที่แล้ว

      @@jonathanenock2329 alikuwa anamcheat Majizo??

  • @ashasuleiman9607
    @ashasuleiman9607 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi nakushauri Mama Dangote kuwa usihadaike na pumzi ya Mwenyezi Mungu ambayo muda wowote Mwenyewe Subhanahuwata'ala anaweza kuisitisha, hivyo unajua hukmu ya mtu kama wewe ambaye unaendeleza chuki na kutokusamehe? Mwenyezi Mungu hukuuliza je yeye akisema hakusamehe madhambi yako utakuwa mgeni wa nani kesho akhera? Please samehe saba mara sabini, kimsingi tunatakiwa ili tufe tukiwa na radhi za Mwenyezi Mungu tunatakiwa tukilala tumuombe Allah atusamehe madhambi yetu na kusamehe waliotukosea kila siku. So think about this, Binadamu hujui unaondoka saa ngapi maisha ni mafupi mno ndugu yangu. Think twice. Nahisi Hamisa ameambiwa haya ndio maana anafanya hivyo anavyofanya ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Please fikiria sana akhera kugumu ndugu yangu.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 ปีที่แล้ว +8

    Mama mtu Mzima hovyoo..

  • @Kanicynjuguna
    @Kanicynjuguna 3 ปีที่แล้ว +17

    Sasa kwa nini Hamisa worrying about this woman..mama mwenyewe mafi ya kuku 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Liz-2315
      @Liz-2315 3 ปีที่แล้ว

      Yani uyu mama n mafi tu chuki ya nini na vile Hanmisa alivyo mzuri

    • @sarahtony3937
      @sarahtony3937 3 ปีที่แล้ว +2

      Naww ni mafi

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 3 ปีที่แล้ว

      Mnamlazimishaje ampende hamisa wakati hampendi Bora at ivo anavyojionyesha Kama alijipendkeza akapewa mimba akazaa yy akaushe na mwanae c ameyataka ebu achen kumchamba mama wa watu

    • @Kanicynjuguna
      @Kanicynjuguna 3 ปีที่แล้ว

      @@sharonchristian3711 kama.mama dagote hampendi mtoto wa hamisa. You think this woman will ever love hamisa...?

  • @uwasesifa4167
    @uwasesifa4167 3 ปีที่แล้ว +6

    Mama dangote wakuache kila mama ana choice ya mwanae kuoa bibi mwenye anapenda na mimi Hamisa simukubali kabisa.

    • @lm6373
      @lm6373 3 ปีที่แล้ว +3

      Utapewa mfukko wa mchele

    • @khadijamohanani6476
      @khadijamohanani6476 3 ปีที่แล้ว +2

      Hata kama ana choice lakini wanawake wote hao takua wote hawafai. Huyu mama sura mbaya mpaka roho yake mbaya.

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 ปีที่แล้ว

      Hayaja kukuta

    • @fatmas7338
      @fatmas7338 3 ปีที่แล้ว

      Kama ww humkubali Ila mungu namkubali ndio maana yupo hai mpaka leo

    • @lisajackson5867
      @lisajackson5867 3 ปีที่แล้ว

      mama dangote alimpenda sana zari n wema katika mademu w diamond coz walikua n mapenz y kweli ndo mn mpk leo roho yamuuma sana n ukiangalia hmisa ndo aliyevuruga uhusiano w diamond n zari yaani movie bdo inaendelea hahaha nacheka km mazuri usiombe uchukiwe n mkwe or mawifi utakunya mawe

  • @janemusa9529
    @janemusa9529 3 ปีที่แล้ว +16

    If she thinks she is beautiful and young why can't she get anther man???? Even father( Fantacy) your daughter left you and he is at peace, get a life girl.

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 3 ปีที่แล้ว +4

    Mama dangote pride itamuua mapema....kwan yy nan

  • @marieimanishimwe4874
    @marieimanishimwe4874 3 ปีที่แล้ว +9

    Mama dangote let your grandson be.what your doing is not right at all .you must be the good example to these kids cause they are your future fmly

    • @bettycrawshaw183
      @bettycrawshaw183 3 ปีที่แล้ว

      They one she is hurting most is her son, Does she really think his happy with her! At the end of the day Dylan is innocent! She is a wicked human being

  • @salamagat4784
    @salamagat4784 3 ปีที่แล้ว +7

    Huyu bibi anazengua 2

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 3 ปีที่แล้ว +2

    Mtoto atakuwa na ataona jinsi bibi alivyomkataa. Dha ni mbaya sana Allah amlinde kabisa. Ila Hamisa kaa mbali nao ya nini kuwafata utajajuta kabisa yatakayokukuta

  • @elitrudesulul1963
    @elitrudesulul1963 3 ปีที่แล้ว +21

    Uhusiano hau lazimiswi.

  • @brightluvanda2795
    @brightluvanda2795 3 ปีที่แล้ว +2

    Haliombi msamaha wa kweli huyo hamisa kama,,ingekuwa kweli kwanini kila siku hamisa amekaa stendby kuharibu mahusiano ya diamond na wanawake wengine?????

  • @najma3268
    @najma3268 3 ปีที่แล้ว

    Mimi wote nawapenda, nawaombea mungu to waweze kuyamaliza mapema kabla hawajaingia mwanandani, cc sote tumepanga mstari hatujui nani anaetangulia

  • @felisterraphaely7678
    @felisterraphaely7678 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa mama achana nao Anza maisha yako mwenyewe hakka utaweza

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 3 ปีที่แล้ว +2

    Si atulie kwani ameambiwa toka mda hawampendwi sasa kinachomfanya aendelee kuhangaika anayataka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 3 ปีที่แล้ว +6

    Jamani kama kweli waislam kubalini hiki kitu sio mimi bali ni amri ya Allah hakuna kitu damu yake kama hakukuwa na ndoa msi halalishe kitu alicho kiharamisha Allah muna zini muki pata watoto kisha muna sahihisha makosa naelewe nita udhi wengi lakini ukweli una udhi lakini lazima usemwe mbona hatu laumu wanao fanya haki

  • @abdulrazzaqchou3004
    @abdulrazzaqchou3004 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana hamisa mungu akupe nguvu dunia ni mapito akuna kilicho kuwa Bora isipokuwa allah 😭😭

  • @lucylucy2404
    @lucylucy2404 3 ปีที่แล้ว

    Asipo kupost kwn hauli hamisa acha mambo fny kazi kaa mbl n hiyo family ukion mama akupndi jua n mtot akupndi n siyo we tu umezaa watu wengii ila hawana kingngniz kama chako .

  • @mariyamumadebari4296
    @mariyamumadebari4296 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atakupa riziki yako my dear!

  • @susymuganda6326
    @susymuganda6326 3 ปีที่แล้ว

    Asiyekupenda wachana na yeye, anayekupenda pendana na yeye maisha ni mafupi kama mtu anadai ni mcha mungu na hawezi samehe ibada Yake ni bure mbele ya mwenyewezi mungu.

  • @nasraiddy9678
    @nasraiddy9678 3 ปีที่แล้ว

    Mjukuuu hana makosa ...kuna leo nakesho Mama angu dangote hujui mjukuu yupi atakufaa ,kama Mama ana ttzo na wew dili na Mama yake tu wajukuu wafanye wawe pamoja Bibi wew dunia hii siyetu wako wapi kina mengi matajiri wameacha familia zao maisha mafupi haya jamani tusidanganyike na pumzi hizii zinatuhadaa

  • @user-mm5tf7yn6p
    @user-mm5tf7yn6p 3 ปีที่แล้ว

    Hamissa Mabeto mungu agusameh saaaana gukata damu yako yakwanza unarana kabisa🙈🙉🙊🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 3 ปีที่แล้ว +1

    Aaah hiyo imeenda kwa hamisa 😪

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs6361 3 ปีที่แล้ว

    Msilazimishe watz mnahaibu kwani hamisa ninani kwa mama mondi mondi hajawai kuowa ata siku moja uwoni uzinifu mnaukumbatia ,mama dangote mungu amnahaibu ,hamisa alikwenda mahakamani kudai huduma ya mtoto hao ni watoto wa zinaa watoto wa mama msifosi haibu,ukiachwa achika ndiye,mama ngote mshauli mondi aowe aachane na uzinifu au kweli mondi free.

  • @movetcaren4208
    @movetcaren4208 3 ปีที่แล้ว +1

    Sio lazima umpenda mapenzi ya Allah tosha

  • @nathaliefikiri5003
    @nathaliefikiri5003 3 ปีที่แล้ว +27

    You broke her family what you think, you can’t make her like you if she not ready

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV 3 ปีที่แล้ว +4

      Adui wa mwanamke ni mwanamke, wewe ni nyoka

    • @stephanieeunice8572
      @stephanieeunice8572 3 ปีที่แล้ว

      Family gani

    • @nathaliefikiri5003
      @nathaliefikiri5003 3 ปีที่แล้ว +7

      @@stephanieeunice8572 Let me refresh your mind if you don’t follow this family once upon a time zari and diamond had a family had two beautiful kids and then hamisa come along,so diamond said he was going to be there for his child since he cheated on his girlfriend had a whole baby he’s gonna be a good father but Hamisa wanted the world to know that diamond was the baby daddy and she never apologize for coming between Zari and diamond family, mama diamond, loved Zari kids they were happy family, so whenever she is ready she will accept her.

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV 3 ปีที่แล้ว

      @@nathaliefikiri5003 tombwa kuma chafu

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV 3 ปีที่แล้ว +2

      @@nathaliefikiri5003 akiforce diamond kulala naye???

  • @stanslauselias9002
    @stanslauselias9002 3 ปีที่แล้ว +5

    Mwanamke amezaa na wanaume tofautu kila siku mond mond mond anazingua mbona hatuoni anataja wanaume wengine

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 ปีที่แล้ว

      Ndoujuwe huyo mwingine kila kitu kikosawa.nainasemekana anamjengo wake kabisaaaaa

    • @junemuchiri609
      @junemuchiri609 3 ปีที่แล้ว

      Dada akiulizwa maswali na page za udaku na waandishi asijibu ama?

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 3 ปีที่แล้ว

      Golddigger huyo demu

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 3 ปีที่แล้ว

      @@m.mmarckus6298 hamna kitu

  • @deriodubose4199
    @deriodubose4199 3 ปีที่แล้ว +6

    Mkwewe akikukataa mungu nakukubali.yeye ni mtu au mja

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 3 ปีที่แล้ว +5

    Maisha mengine co ykuiga jmn midiocre ndo hao tunawaona et mtoto hatutaki 😂😂😂😂 cjpta kuona aliyemshaur mama aongee hvyo kpuynga kwakweli

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 3 ปีที่แล้ว

    I really appreciate

  • @tatiya6883
    @tatiya6883 3 ปีที่แล้ว +1

    mie kinacho nifurahisha utakufa2 na Miwani kama kobe nyoooooo wajiona dunia yakwako Etieee🙃🤗🥱☹😏😏😏😏

    • @fatmatz5086
      @fatmatz5086 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣😂umejuwa kunichekesha duh🤣🤣

    • @tatiya6883
      @tatiya6883 3 ปีที่แล้ว

      @@fatmatz5086 😅😅wallahi anaboaa uyo bibi

  • @getmad9908
    @getmad9908 3 ปีที่แล้ว +8

    😂😂😂😂 wako wapi walisema wimbo alimbiwa tanasha mko wapi nilijuwa tuu no donge Kwa hamisa. Tuuu😂😂,

  • @phoebeachieng3197
    @phoebeachieng3197 3 ปีที่แล้ว +6

    Dont worry she will came back crawling 😢

  • @louangesid
    @louangesid 3 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭😭 mama mungu anakuona

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru8079 3 ปีที่แล้ว +1

    Moto hii 🔥🔥🔥

  • @irenekatumwa5963
    @irenekatumwa5963 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa nakpenda ila acha kujipendekeza kwa hawa watu

  • @kidawaali4160
    @kidawaali4160 3 ปีที่แล้ว +1

    Inaonyesha Hamisa bado anampenda dai shoga utakiwi uliomfanyia umesahau haaaaa

  • @maureenswai3275
    @maureenswai3275 3 ปีที่แล้ว

    Malipo na hapa hapa Dunia kila kitu vitasemaa

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 3 ปีที่แล้ว

    Misa nae kazidi mtto anaangaliwa yeye kila kukicha dai dai katowa nyimbo imesahaulika yanayo ongelewa sasa ni mama dangote

  • @jasmineshemweta4547
    @jasmineshemweta4547 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa wala usijali sio wewe tu unao chukiwa Sisi tuko na wtt kuanzia Baba yao na familia Yao yote lkn maisha yanaenda

  • @matswelopelemphela9676
    @matswelopelemphela9676 3 ปีที่แล้ว

    Mama unajenga misikiti inamaana unamjua mungu samehe

  • @KhadijaKhadija-cv9db
    @KhadijaKhadija-cv9db 3 ปีที่แล้ว

    Kuna Leo na kesho we mama haya ni maisha tu tunapita

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 ปีที่แล้ว

    Anaombwa amsamehe yeye ni Mungu aende huko mtu mzima asiyejijua wala kujitambua alikotokea.

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 3 ปีที่แล้ว

    Watajuana wenyewe

  • @aeeazz8170
    @aeeazz8170 3 ปีที่แล้ว

    Maana warundi wanasemaga hivi umwana yankwa niwe akura sema insha allah

  • @furahalawi941
    @furahalawi941 3 ปีที่แล้ว

    We ni mrembo mama

  • @yusrasalmin9563
    @yusrasalmin9563 3 ปีที่แล้ว +3

    Haki hizi online tv nazo ni chonganishi,mmh

  • @rebeccachikuru7605
    @rebeccachikuru7605 3 ปีที่แล้ว

    Inawezekana uyu hamisa alimukoseya adabu mama dagonte njomana. Ni kwa hamisa kwenda kuomba musamaha

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa acha kujikomba mama hawakutaki we bado tu.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 ปีที่แล้ว

    Si kila mja atakupenda ila mungu wetu hana ubaguzi anatupenda waja wake bila kubagua kwanini sisi twabagua?so sad 😔

  • @mariegriffin9952
    @mariegriffin9952 3 ปีที่แล้ว +6

    Okay, from what I can see HAMISA is all nice and sweet in front of the cameras while her fans and trolls hurl insults toward Zari and her kids Tiffa and Nee, even at Mama Dangote for posting them on her IG?…And before you start coming at me, Hamisa and her son LIVE IN TANZANIA but Tiffa, Nee live inSouth Africa! Hamisa is changing her tune because she has seen that her prior tactics didn’t work! One more thing👉🏽About her DNA test, I believe Mama Dangote knows more about it, just saying!

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 3 ปีที่แล้ว

    mambo ya familia hutakiwi kusema mtandaoni alfu pia hamisa hatakiwi kulazimisha mambo mwanamke funga mdomo wako ongea kidogo sasa ww unaulizwa kidogo bas unaongea yotee

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 3 ปีที่แล้ว

    Mama Dangote amsamehe tu hii ni dunia na tunapita pia Hamisa kashajishusha

  • @madamboss348
    @madamboss348 3 ปีที่แล้ว

    Dylan n mtoto wa jaguar hata mama dangote anajua

  • @angelasenga5800
    @angelasenga5800 3 ปีที่แล้ว

    Ucjl hamisa mungu yupo nawe

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 3 ปีที่แล้ว +3

    Amprnde asimpende kilicho andikwa ndicho kitakuwa kupendwa na bibi haina maana hao wajuku ndio watakao kufaa. Anajisumbuwa bibi mwagiliya zote.

  • @queenbellamicky7745
    @queenbellamicky7745 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndo shida ya kupata pesa uzeeni,yeye ndo wa kwanza kuwa mama apa duniani?

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv7183 3 ปีที่แล้ว

    Ni hatari kama hataki amuache tunaomba sapoti yenu muangaliya vitu vyetu ndo bado tunaanza bila nyiye hatutafika

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 3 ปีที่แล้ว

    Uyo mama dangot anajion amefik apa dunian kumbe ajui punzi ndiy inamsumbua ila atambue nitunia t hi

  • @anniesilvester4315
    @anniesilvester4315 3 ปีที่แล้ว

    Daaah,Hamisa kaa mbali kuwa na busy na mambo yako atakufata akiona unafaa

  • @rahabnyambura688
    @rahabnyambura688 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa your beautiful young ad handworking,just move on ad let this diamond ad family be....stop even mentioning them just move on dear

  • @saumukaisi7003
    @saumukaisi7003 3 ปีที่แล้ว

    Kama hamkubali hamissa lkn mungu anampenda nibasi siolazima binadamu wakupende

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Hamisa nae asikii toka amekataliwa ni leo??! Kwa nini asiwachunie km wao hawamutaki?!.

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 3 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @mwanaidisuriah3072
    @mwanaidisuriah3072 3 ปีที่แล้ว

    This mama will never see heaven

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 3 ปีที่แล้ว +2

    Jaman haoo mashabiki wananivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @lydiakemuntookindo7254
      @lydiakemuntookindo7254 3 ปีที่แล้ว

      Hamisa yeye anaonakana desparate,yaani unaforce upendwe mamamkwe

  • @hotcakerealcake5412
    @hotcakerealcake5412 3 ปีที่แล้ว +1

    Sasa huyo mama nani msuri kwake? Kila binti ni mbaya,? Mwanaye ako chini ya miguu yake, yeye asalishe tu na alee

  • @faustermathiasfaustet5362
    @faustermathiasfaustet5362 3 ปีที่แล้ว

    Oooh!!

  • @majidgashe9856
    @majidgashe9856 3 ปีที่แล้ว

    Na hamisa aache ujinga kwani bila Diamond hawezi kuishi bwana

  • @healthchoicewithluciebern8741
    @healthchoicewithluciebern8741 3 ปีที่แล้ว

    Anaye mpa mama yake kiburi ni Diamond, ila Diamond iyo ni damuyako 100% unazaraulisha mwanao nasio Hamisa

  • @nyabukitundu2929
    @nyabukitundu2929 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa kama unataka kusamehewa .
    Nadhani wewe ni muislamu basi kumbuka kuhusu ulivyokuwa unafanya unajifungua mpaka wa arobain jaribu kumwogopa mungu hamisa achana na mitandao huu mama alikuwa anakupenda sana.kumbuka ulivyokuwa hospital achana kwanini utaki kutafuta watu wazima na Dini zenu ni mmoja naamini sana huyu atampokea mjukuu kama kweli ni damu wake.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 หลายเดือนก่อน

    Wanawake watanzania acheni taamaaa ukiamua kuzzaa namtu simama nae. Sasa tamaa zinawapoza tukisema tufatilie wanaume wa Tanzania wengi wanawatoto bandia sanaa sababu wanawake wabongo elim hakuna

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 ปีที่แล้ว +14

    Wa kwanza alie comment kanikosha kwakweli, sasa anawafundisha nini watoto wengine, simkubali kabisa uyu Bibi kwa mbwembwe zake za kijinga 😏😏😏😏

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 3 ปีที่แล้ว

      Hamisa naye mbona king'ang'anizi c ashughulike na maisha yake kama hupendwi hupendwi tu .

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 3 ปีที่แล้ว

    Mama dangote balaa mhmm

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 3 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo ule wimbo ni wa hamisa.hamisa nae akome kwani lazima kuiganda hiyo familia.hii familia itafanya hamisa akose mume hakuna mwanaume atakaekubari mwanamke anaefatilia ex zake kila siku mtandaoni daimond sijui ndio mwanaume pekee duniani.

  • @aoman5214
    @aoman5214 3 ปีที่แล้ว

    Yaan hata akimkataa ni Sawa Tu maan hata mtoto wake hafanan na ndg wengin na pia kama hakutk achana na huyo mama

  • @marykalisa830
    @marykalisa830 3 ปีที่แล้ว +1

    She broke her happy family, Zari and the kids were everything to her.

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mama mtu mzima lkn kakua magoti tuu mana yotee haya yy ndohuchangia mana mwanae anafata amri zako angekuwa ametulia na sepetu AMA zari yy kuwaumizaa wanawake tuu wewe ukifurahia mwache kijana atafute mke wake naaishi naye sio kubania mtoto kwakuwa wewe ndoulimxaa sasa kumpimia pumxi yy naye anapimia wengine huko injee mama acha ubaguzi waranngi wataka kuwa kama warabu jamani nyimbo yaeza kuwa imewalenga ma ex wote alio wapitia

  • @namuyindhamiim6556
    @namuyindhamiim6556 3 ปีที่แล้ว

    Hamisa she's whichcraft

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 3 ปีที่แล้ว

      Juda iscariot🤣🤣🤣

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 ปีที่แล้ว

    Maskini hamisa hanachuki wala siombaya anaonekana mwenye busara heshma na nidhamu asamehewetu hakuna aliokamilika

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 3 ปีที่แล้ว

    oke

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 ปีที่แล้ว +1

    Labda utuweke wazi tu ulimfanya nini sababu sio Bure... Kipo na unakijua Sana tu

    • @lisajackson5867
      @lisajackson5867 3 ปีที่แล้ว

      kabisa love huwez jua mtu kamfanyia nn mpk anmchukia hvyo

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 3 ปีที่แล้ว +2

    Yamungu nimengi yakuku mayai namwanaume ni Mkr......, so yeye huyu mwanamuke ajiweke juu mara sijuwi nini kwa masharti yaku lala na mtoto wako eti awe maharufu nakupata utajiri soon tutakuwa nastori tofauti hapa hapa kwa media, unajifanya wewe ndio mungu nahuyo Hamisa achane nao, huwezi lazimisha ambaye anakuchukia eti akupende kamwe, and huwezi zuwiya mkundu kunyamba so stop that nonsense and move on, watu wenyewe umarufu na pesa ila afya niyawasi wasi nivile ninyi hamuja kutana nao kama bado hawaja paka makeup duuuuuu utajiuliza ni misukule ilio hai au vipi daaaaaa polesana .