HATIMAYE WEMA SEPETU wa BUGURUNI AKUTANA na WEMA SEPETU ORIJINO, Amwaga MACHOZI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- HATIMAYE WEMA SEPETU wa BUGURUNI AKUTANA na WEMA SEPETU ORIJINO, Amwaga MACHOZI...
HATIMAYE mwanadada anayejiita, Wema Sepetu wa Buguruni kutokana na kuwa na mapenzi ya dhati yaliyozidi kipimo kwa muigizaji Wema Sepetu, ametimiza ndoto yake aliyokuwa akiiota siku nyingi ya kukutana uso kwa uso na Muigizaji huyo...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kupendwa RAHA 😍❤️ Upendo hauna sababu jamani wooi ht mtu ufanye mabaya lakini Mtu anakupenda hivyo hvyo 😍❤️❤️
Kwakweli mpnz
😂😂😂😂
Upendo hauhesabu mabaya
Kweli kabisa
❤️❤️❤️❤️❤️
Kupendwa raha jamani ❤❤hats mimi nampenda kuna siku nilimwona posta, siyo mimi tu kumbe siyo madreva, boda boda wote ukelele wemaaaa huyu dada anapendwa sana na watu
Tungekua tunampenda Mungu hivi 😂😂😂 ingependeza
Sana
Unampenda kwanza binadamu mwenzio hata mungu anasema tupendane kwanza cc halaf ndo tumpende yy
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣
😂😂😂😂
Sanaaaa
Nakupenda pia wema sepetu
Kama upendo ungekuwa hivi,kwa kweli hakungekuwa na uchawi dunia hii,huyu dada amenishangaza tu sana
Nice madam boss wawatu
Chefuuu...badala ya kulia na mungu wake anamlia mtu ambae hatomsaidia chochote
🤣🤣🤣
Dunia ina mambo hii
@Zawadi Issa haswaa
Tumeagizwa upendo
@Zawadi Issa Nakupenda ❤
Woooow...wema I like it umefanya la maana..mm pia machozi yananitokaa😍😍🥰🥰❤❤❤❤❤
Waaaooh ❤️❤️❤️
Same yamenitoka.machozi
Pia mm
Wema anamoyowa kipekee .kajitambua anautajiri wa watu sio pesa. Wooowww💗
Ndiyo ya mahana
Ubalikiwe wema 🙏🙏🙏🙏🙏
Wema nakupenda kwa moyo wako yani natokwa na machozi kwa kuonyesha upendo kwa uyo dada
Asante wema s kwakutozarau isia za mwenzako mwenyezi mungu azidi kukubarki🙏🙏🙏🙏
Jamani najikuta nalia kweli kumbe kunawatu wanamapenzi saaaana
Wema Isaac Sepetu, ni kipenzi cha watu!! Ata iwe vipi wema Mungu ndiye aliempa Moyo wake msafi, ndio maana watu wenye moyo wa ukweli wanampenda kabisa kutoka mioyoni mwao. Mungu azidi Kumbariki wema Isaac sepetu, Na wafuatiliaji wake wote!!! 🙏🙏😘😘😘
❤Mtangazaji tunakushukur uko poa sana. Tunakushukuru Ms Imelda.. Big up🤝
Wema sepetu ana upendo sana Mungu ambariki..She has Good heart....❤❤❤
Tunakupenda vyovyote ulivo wema hata ukitatika miguu tunakupenda
😂😂😂😂😂😂
😁😁😂
Hahahaaaaha na mm nampenda nand
😂😂🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata akitembea mguu mmoja
Yani watu wengine lait wendelikua upendo huo unampenda Allah na mtume wk na hayo machozi lait wendelikuwa unalia kwa ajili ya allah bc yendepemdeza
Machozi ya kumlilia Mingu ni siri yako moyoni na Mungu wako kinachozungumziwa hapa ni upendo wa Wema A Wema B
💕💕💕😘💕🙏
Jaman kupendwa rahaaa piga kelelee kwa wema akeee 🥰🙏
Tambua umuhimu wa upendo wa Wema Sepetu wa Buguruni,
Nakupenda Dada wema sepete mungu akujaliy upati mtoto mromb wangu💝💘💜❤️💚💛
😭😭nimesikia furaha mpk nalia umefanya vizuri sana wema muonyeshe mapenzi wema mwenzako
From 🇧🇮 Saudia wema uyo dad anakupend san kwel
Ata mm nakupenda ww 💕
Da emma mwambie na zanzibar pia tupo ambao tunampenda da wema sana mpaka tunalia
Aaaaa kweli eeee
Mpende jirani yako kama nafsi yako,ukiangalia watu wanasemaje mmmmh hata Yesu walimsema kaenda nyumba za makahaba
Mashaa Allah nakupenda wema sepeto uko na roho ya utu mungu akujalie kila la kheri katika maisha yako
Hawa njo mashabiki wakweli nimefurai ata mimi
Acheni kulia kuna watu wenye matatizo ya kulia😂😂😂
Wema mnunulie simu uyoo
Yan umewaza Kama mimi
Aiseeee
Huyu dada haamini anamuangalia wema mar 10/10
Wema wa buguruni bwana katangaza nia ya smatfone
@@dotnathalazaro8078 kweli akimnunulia simu ndio tutajua wema yuampenda pia yy
Jmn Hadi raha wema na mm nakupenda mpenz 😭😭😭😭😭😭😭
Wema sepetu big up xn,kumbe ulistahili xn kuwa mis tz.
Wema sepetu una sifa ya kupendwa dadangu hata mm kutoka msa nakupenda kwa furaha ya wma a n wma b machozi yamenitoka
Maashaallah mashaallah
Jamani wema una shida gani mbona umekataaa ata wanisikitisha aki sikwaubaya bt hauko sawa kabisa 😰😰😰😰😰😰😰
Aseh ,watu wanaupendo kweli yani demu wangu Wa mwanzo alikuwa ananipenda nikaona uchiz sahivi sipati upendo huo
😂😂😂😂😂😂
Mnbavu za ng🤣
🥲🥲😢....Udungu sio hadimzaliwe tumbo moja.... correct
Big up Wema huu ndio maana ya usanii MUNGU AWABARIKI NYOTE
Wema she is so cute
Ingekuwa.ibadaajami
Oowwh that so lovely.. Wema unastahili kupendwa sana. You have got the heart of Gold😍❤
Sio huyo pekeyake tupo wengi kama huyo wema mimi nikisikiamtu anakusemavibaya nachukiaga sana nakupenda sana wema
Hat mm napanikigi jamani
Na mimi nampenda wema jamani 😭❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dini zote zinasisitiza upendo. Mtu akionyesha upendo kwa mwanadamu mwenzake apewe nafasi ya kuonyesha hisia zake. Ahsante dada Imelda kwa kuwakutanisha
I am so happy, jamani it's very emotional love you both wema sepetu,s
Kwa kweli uyu wema wa buguruni si kiki anampenda kutoka moyoni alishagasema sana
Wema una roo ya kirasta mungu atakubaliki dada yangu keep strong
Kiukwel Mm Pia Nampenda Huyo Dada Hata Awe Namapungufu Kiasi Gn Hata Mm Sjakamilika,Ila Nampenda Ktk Moyoni Ukiachana Nakutokuolewa Angepta Japo Mtto Japo Mmoja Jmn😔😔❤❤❤❤❤❤
Nampenda wema pia na mungu ampe maisha marefu
Mashallah kelele yake kwa wema
Masha Allah hata mimi sjawai kumchukia wema bali nachukia baadhi ya matendo yake tu na nikisikia habari mbaya za kumhusu naumia sana kama ndio naambiwa mimi jamani love much kipenzi💞💋
Kuchukuiya tabia mbaya za mtu haminshi wamchukua ule upendo ndio husabisha
Jaman nafurah pakamachoz ananitok❤👍👌
Nakupenda pia wema.
Nakupenda xnaaa da wema am from saudia ntamaniiiii pia mm kkuona just one day
Hongereni sana Wema Sepetu A na B..
Kupendwa Raha jamani... Ata mimi Nakupenda sana wema kipenzi chetu Tz Sweetheart 😘 😘 😘
Just imagine kumpenda mtu usiyefahamiana nae kiasi hiki. Huu ndio upendo tulioitiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani uo moyo sinaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nime fill ku cry namm jamani mapenzi hayo ya hali ya juu
Nimejikuta nam nalia iyo hali ya kumpenda mtu Sana wallah ukimuona sijui unajiskiaga aje lazima machozi ya furaha yakudodoke
Tofauti kat ya global TV na vitu vngne.....wwee mtangazaji unanchekesha walaahy
Angekua wakiume leo pangechimbika
Atimae ndoto zake zimetimia
jaman
Hahahahaa ubunifu tu unatoboa kwakwel
@@saladaniel9274 ahahaha
@@mmangajuma5642 ahahaha
@@mwanaamasud1989 yani kashatoboa tiyali masanii hahahahaha
Mbona ulimkataa yule kijana aliye kuchora 🙄🙄 ama kulikoni
Yule si dume labda alihis msumari ndo umempenda
@@kmotivation1130 😂😂 apende tu fans wote sio kubagua yule kijana alimpenda sana
Hongera sana wema sepet kwa MOYO wako mzuri
ukiona niupumbavu sio razima kuiangaria hii itaviyu
Itaviyu ndo nn
Itaviyu 🤣🤣 tumekuelewa
Minlivyoona sjui skendo ya ngono istar nilizukwa natumbo nliharisha nkiyama sjaingia Ista miezi minne loohh wema unapendwa mashallah
Ila mtu akimpenda mtu Acha Tu mwenyew kuna mtu nampenda najikuta nalia halafu najiuliza kwann naumiza kichwa kupenda
Kweli Mimi nampenda Sana Rose Muhando yani hata nikisikia ametajwa kwa Jambo baya siachi kumpenda alipolazwa hospital nililazwa pia
Ila wema mrefuuu jmn duuuu
Si ndo miss tz
Umeona eeh twiga
Urefu unatamaniwa ww
Ampe kibarua hata nyumbani kwake ili amuinue kimaisha..upendo ni kitu kikubwa mnoo
Wewe tena hahahahaha
@@maloomaalmnsj5111 😃amsaidie bhanaa
@@hjhj6230 okay
Huyu ampe sini ya uswahili kwenye karma atakuwa ame msaidia sana
Ushilie jaman hata mimi dada wema nampenda sana
Huyu Dada mtangazaji namkubali sanaaaa
Mashallah hongera sanaa wema
Kiki tu
Gupendwa Raha sana.ata Miye namupendanga wema Sepetu naishi kigali Rwanda.naomba siku utafika kigali ndakuona.
Tuletee youtube tamthilia ya Karma wema jaman tunapenda kazi zako
Da wema mnunulie cm uyo dada kwa kweli 😭 maana akiwa anakuonaona kwenye cm atafarijika kwa kweli naimani ushauli wangu utaupokea inshallah 🙏
Wema pamoja na watu wanakupingeza kwa hili lakini unajambo moja la ushamba sana tena sana. Ulipomwambia huyo Wema 2. "Tena nenda kwachambe" hapa hujatumia busara wewe unatakiwa uwe na busaraaa a weye ni star. Au huo ustar haujakugomboa. Chukua tabia ya Lulu wacha ushamba.
Mnavituko mmemshinda firauni watu wazima ovyo km mimba yaujari
wEmA.nA.miMi.hUkU.nAkUpEnDa.LaKiNi. siNa.tU.siMatiFoNi.
😅😅😅😅
Wema naonakwambali mashafu yamekuja unahaza kunwnapa mange kimambe kasema kweli 🤔 😂 😂 😂
Hata wewe utazeeka tu
Kweli nahamini sasa uyu dada anampenda wema niliwai kuihona vd yake ya hapo nyuma
Nikacheka ila leo nimehamini
Yani Mimi nimelia sijategemea Kama wema angempokea uyo Dada kwaupendo wakiasi hicho wangekuwa niwengine hapo sikwadhalau hizo angefanyiwa uyo dada
jamanii atamm nimefurai sn wema endelea kuwa namoyo huwo huwo maana wapo masupa ster wawezi kufanya kama alivyo fanya wema hongera sn wema
Hata mimi wema nakupenda uje huku
Mm nampenda sana Magufuli tangu enzi za uwaziri wake kipindi anagombea 2015 urais nilifurahisana nilikua mjamzito lakini nilienda kwenye kampeni jamani sema sikupata nafasi ya kuongea nae nampe Magufuli jaman
Nakupenda sana wema mpk sauti yko naipenda
Wow hadilaha 💕👌🏾kweli wema niwatofauti 🥰
Nakata vitunguu hapa
Nani ananisaidia jameni👇
Akapimwe akili huyo dada😂😂😂😂
TUMEFURAHI LAYLKIYASSS
YES ALWAYS WMA ATABAKIA KUWA WEMA HAMNA HASARA KUMPENDA
WEMA TRUE COLLAR GOOD HEART ❤ FOREVER 💯💯💯 LOVELY SIS👍 KAMA KUNA WENGINE WANAMKUBALI WEMA NIPENI LIKE ZENU TUJUWANE 🙏👍
Jaman............mm pia nampenda sanaaaaa wema nimesafir kutoka...tarime hadi Dar sijamuona
Upendo wa huyo wema wa buguruni hatari Mwenyezi Mungu azidi kuwadumishia upendo wenu
Wema hao ndiyo wapenzi wa kweli
exactly
Yani nimelia huwezi amini anamwangalia wemaa haamini.
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 biteeee njoo umuone siwazuri kaaaaaa 😂😂🤣🤣😂😂 nimecheka siwazuriii jamani haya ushakutana naeee
Aaaaaahaa uwiiiii hii ni series ya ngapi, mnanikumbusha michezo ya utotoni ya kuchezea vitambaa.
Walio tokwa na machoz
Kama mm like hapa
Asiye mpenda wema sepetu ni mwanga
Kweli kabisaaaa
Natamani kuigiza hata kakipande kadogo tu kuhusu maisha na wema
Ni kweli kabsa
Kabisa kabisa wema ni kipenzi cha watu bana
Huyo wema ndo mwanga
Huyu dada wema sepetu yupo fair sana hajiskii
Mashaallah kwa kuitambua thamani ya upendo
Dah,,, kwakweli wema hunampinzan watu wengi tunakupenda sana yani nadua nyingi tunakuombea mpenz kuwa nahamani yamoyotuko pamoja sana ila msalimie sana mama natamani sikumoja nijekumuona hallah akijaalia in shalla kilalakher hallah hawajaz wewe pamoja namam nafamiy yako kwaujumla
Natamani hii fursa niipate hata Mimi damwani❤️❤️❤️.. nakupenda
😂😂😂
Ila hiki kiwema chetu jamn kina roho nzr tukibali tusikubal
Imependeza sana gn.. Wema mstarabu aswaaaaa
Omani srhrmu ga ni ndugu mm lkhoudh
@@zohoraramadan4540 niko ibra my krb Na samadi
@@omantimes9699 hongera na pole kwa majukumu my una muda gani
@@zohoraramadan4540 asnt majukumu kwawote Nimwenyeji sio haba ww je
Nakupenda muno tupo weng tuuuuuuu wananiita wema pia umenirithisha saut Mama ila kitu kimoja tu Mama m naumithiii ule mwili wako ndo ulkua unakupendeza zaidi
Ingawa nipo ugaibuni ila bongo?? Sihami ng'o????
Mm Kenya nahama 😂
@@auntiemylee3157 milliana my dear usihame why unahama ?.kama unahama basi nenda. Tanzania ntakukaribisha
@@theosaimon6933 I love Tanzania
@@auntiemylee3157 your welcome free to leave and make a family or if your hv family also free
Mashallah jmni mpk nafurai machoz ya furah yamenitoka utadhani ndio Mimi nimekutana na wema hhhhhh
Inapendeza sana 👌🥰