MBOWE AKICHAFUWA! "KAMA NIKIFA AU NIKIPIGWA RISASI MSIRUDI NYUMA, MAANDAMANO YAKO PALE PALE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 51

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Naombeya chadema mungu awape ushindi hakuna silaa itakayofanikiya juu yenu tena mungu awalinde ndiye mlinzi mwema hakika mtashinda ❤❤❤

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Maji ni Mazuri Kwa mabomu ya Machozi ukinawa tu imekwisha hiyo

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Dah Yani Nimeskia Uchungu Sana jinsi Alivyoongea Mbowe

  • @LabanMauma
    @LabanMauma 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nchi yetu sasa itajazwa na visasi, balaa na masononeko kila sehemu maana kila aliye raia na aliye kiongozi wa nchi kwa vyeo vyao wamejazwa na kiburi. Mungu atatuadhibu tu tukiendelea hivi.

  • @NaaliSimba-t2p
    @NaaliSimba-t2p ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    polisi msije mkajaribu kumpiga mbowe maan kitakachotokea ni zaidi ya izraeli na palestina mmezoea kuona kuona tunaongea tu bila vitendo sasa mguseni mbowe kwa risasi muone

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Sasa kama hutaki kuvunja amani kwanini wapingana na serekali kwani lazima uwandamano kama sio kiongozi vile haya nenda huko barabaran utapata unachotaka

  • @EmmanuelSanga-ts8fk
    @EmmanuelSanga-ts8fk 57 นาทีที่ผ่านมา +2

    Tengua kifo mbeba maono Hafi kama ingekuwa hivyo daudi asingeishi nyakati za sauri aliwindwa kama swala

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Baba unaniliza lakini namlilia mungu aweke ulinzi

  • @isayamhumba3352
    @isayamhumba3352 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kimsingi CCM imeshazeeka, hadi fikra namtazamo wao umezeeka

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    KO KISA KAFA MWANACHAMA WENZENU NDO MNA WAKA MBONA KUNA WATU WENGI WANAKUFA VIFO VYA KIKATIL HAMSEMI KAMA KWEL MNAJAR MAISHA YA WATANZANIA WOTE

  • @MkulimaTarimo
    @MkulimaTarimo ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mkirudi nyuma msipoamdamana hamtaaminiwa

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ungeamua hivo wakati wa Mwendazake. That Man was not joking. He didn't give a damm.
    Unajua Mama hayuko hivo ndio maana unatafuta umaarufu.
    Kama una nia safi kaeni mzungumze. Afterall hata mkiandamana mwisho wa siku mtakaa mzungumze. Mama amebugi amepotoshwa. Mama alijawa na jazba amepoteza mwelekeo. Hakutumia common sense. Nawewe umepata ahweni umefufuka. Tayari mlikuwa hamna jipya tena. Mistake ya Mama imewapaisha. Lakini bado una mtihani ndani ya Chama chako

  • @LeoKinango
    @LeoKinango ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Eee MUNGU tusaidie hawa watu hawaogopi tena kifo😭😭😭

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hakika mungu atawapa ushindi

  • @nassrabarwani1548
    @nassrabarwani1548 4 นาทีที่ผ่านมา

    Aluta Continua! Victory Arseta!

  • @Didaskamili
    @Didaskamili 44 นาทีที่ผ่านมา +1

    Tuko pamoj nanyi mungu ataWalinda

  • @MatatizoMkama
    @MatatizoMkama ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Iposiku ccm itafikamwisho

  • @Hemedally-o9x
    @Hemedally-o9x 39 นาทีที่ผ่านมา

    Mbowe wewe ni kama wewe haki haitafutwi kwa maandamno na mungu atakulaani

  • @salamwajeka-yo6su
    @salamwajeka-yo6su ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mungu atende jambo

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tupo pamoja kamanda

  • @GervasPeterNtakimazi
    @GervasPeterNtakimazi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu bariki tanzania

  • @EmmanuelSanga-ts8fk
    @EmmanuelSanga-ts8fk ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jipe moyo nyenyekea kwa Mungu naamini maono ya 2oo7 niyakweri

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd ชั่วโมงที่ผ่านมา

    mwenyezi mungu tuna kuomba ingilia kati, shetani analitesataifa lako, aiwezekani vijana wa chadema tu ndio wakosaji,

  • @ZakayoYohana
    @ZakayoYohana 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Tupambane kitaelewekatu

  • @michaelm.mwalusako3724
    @michaelm.mwalusako3724 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kuandamana nì haki ya kikatiba na kisheria. Pamoja na ukweli huo, naomba kwa ajili ya kumtukuza Mungu, Muumba wa Mbingu na Nchi, Mwingi wa rehema na neema, TUTAFUTE AMANI badala ya kuandamana.
    Kwa jinsi hali inavyoonekana, ni dhahiri hali si shwari. Naomba kipau mbele chetu kama nchi kiwe ni kutafuta amani na mstakabali mwema wa taifa letu. 4R zetu ziendelee kuwa nguzo imara kwa ujenzi imara wa taifa letu.
    Kurudi nyuma katika maamuzi yetu sio udhaifu wala woga, bali ni kukubali kuongozwa na Mungu katika kufanya mambo yetu.
    Je, maandamano ya amani katikati ya zuio la polish yataendelea kuwa ya amani?
    NAOMBA TUITAFUTE AMANI KWA KUKUBALI KUONGOZWA NA MUNGU KATIKA MAAMUZI YETU.
    MUNGU IBARIKI TANZANIA.

  • @KhamisMwinyi-gl5xe
    @KhamisMwinyi-gl5xe ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nenda mzee ww na familia yako Rais ameshakataza ww ni nani asee ss kama na ww uliesikia sikio la kufa alisikii dawa nenda kakutane ww na familia yako na ndugu zako mzee

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Raisi ni nani Kwan Hadi achukue haki za watu Hadi za kuishi? Kila mmoja yupo chini ya Sheria hata police wapo chini ya Sheria, na Sheria inasema kuandamana ni haki. Hakuna mtu wa kuichukua.

  • @isaackmwakapala8663
    @isaackmwakapala8663 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Naiomba Chadema isitishe Kwanza maandamano. Najua mioyo inauma, umepelekwa Kila jumbe kwa serkali. Mpaka hivi Sasa na Kila mtanzania ameshajua mbivu na mbichi.

  • @mohamedimfyomi5767
    @mohamedimfyomi5767 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tupo pamoja mkuu nipo njian nakuja kulalia mjin

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mnahangaika na kutapatapa
    Bora mtumie me majumbani
    Mnaenda kutafutia kumwagiwa mabomu ya machozi na wengine kupata virema ya nn kisa utawala kaaa duuu hii NI maisha mafupi sn

  • @NgombaleNgombale
    @NgombaleNgombale 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hata sielewi

  • @Java-king255
    @Java-king255 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    😢😢😢😢😢😢

  • @hassanjuma3703
    @hassanjuma3703 14 นาทีที่ผ่านมา

    Wacheni kuua amani nyie mafala mnaandama Kwa msaada Wa nje acheni tangazen sera mmemteka wenyewe kama ulivyo lewa saa 8 usiku ukasema umepigwa acheniiiiiiiiiooiii

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 14 นาทีที่ผ่านมา

    Viongozi wa dini acheni kusubiri hadi Mbowe afe ndo tuanze kusikia kauli za kulaani, jitokezeni mapema muishauri serikali haraka iwezekanavyo kwani maandamano hayamtoi mtu madarakani

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yesu yu karibu kuja tujiandae

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Tuji andae na nn sasa kama yesu yupo karibu kuja

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mpaka anatia uruma jaman mbowe pole na kupotelewa na wanachama wako.pole lakin umechukua mahamz magum mno mno.japo inaumiza kwel ntelejensia sijui walikua wap.pole

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Maigizo kila kitu anakijua muda utaongea

    • @Java-king255
      @Java-king255 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      kuma la mamaako

    • @hamdincatalonia3272
      @hamdincatalonia3272 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@Java-king255 ndio maana tunasema chadema chama cha wahuni matusi yanini ok nashukuru vp mwenzangu mama yako mwanaume nini

    • @hamnajipyadicksoni4007
      @hamnajipyadicksoni4007 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@hamdincatalonia3272matako

  • @Hemedally-o9x
    @Hemedally-o9x 52 นาทีที่ผ่านมา

    Mbowe mbona huna majibu au hutoi majibu ya tuhuma unazo pewa badala yake umeng'ang'ana maandamano na umeng'ania urudishiwe walip kufa tu na hao wapelelezi unao wataka hawatufai sisi tuna jitawala hatutawaliwi hatutaki nchi kua kama libia su somalia

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kardinali Rugambwa na Maaskofu wakuu ingilia kati Sakata hili lisitokee, Wayazungumze. Mungu awabariki

  • @MORCEPLIMITED
    @MORCEPLIMITED ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😢

  • @MICHAEL.C.E.O.4Gnga
    @MICHAEL.C.E.O.4Gnga ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila tatehe23😅

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jamaa muigizaji hahahaha kama atutaonana tena

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbowe chukua wanao wajukuu zako na ukoo wenu mzima halafu mkaandamane sio kutumia watoto wetu kama mtaji wakwako umewaficha ndani nanyinyi vijana nawausia jitambueni acheni kutumika kijinga nahuyo mbowe

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwenyekit amesema tuje na maji mengi jamani, me ntakuja na jaba 😂

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Akawaulize ya mbeya kilichowapata anajitafutia umaarufu bure kabisa

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      We haujitambui kuandamana ni haki hakuna mtu wa kuchukua isipokuwa Mungu