ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Allah awafanyie wepesi katika maisha yao
M.mungu atufanyie wepesi in sha Allah
Hapa ndio ccm walipoifikisha nchi
Kumbe bandarin kumejengwa Zaid ya daa ccm oyeee
Majumba mazuri labda yalijengwa na Waarabu ndio wenye juhudi ya utafutaji
Mashallah m nafrah kupaona nyumbn kabisa nilipo zaliwa nikasoma Hadi nimeondoka nikiwa mtu mzim Leo hii napaona mashallah me nmefrah sn
Je unaenda kutembea au mkataa kwao
Umaskini wa pemba umetengenezwa kusudi ni mpango maalum kwenye vikao maalum hamjajua tu mpaka leo
Kwani umasikini ni pba tu. Zanzibar mzima ni umasikini
Nenda na mtambe bs au mkoa wa kaskikazi
naam inabidi nimefike uko shehe wangu
Tumefikisha pabaya na ccm nikienda pemba huwa nasikitika sana japo mm sio mpemba
Tatizo wapemba wenyewe wanakukimbia kwao unategemea itajengwa na Nani? Na wao ndio wafanyabiashara wakubwa
@@maryamalli9090 ww ushawahi kuenda pemba serekali imekutupa zamani na inakubaguwa miradi yte mikubwa unguja njaa ilikuepo hata mm sikai hy kibandari km chochoro
Mashaallah Alhamdulillah kwa kuiyona mkoani
Me too. Kwenu nini? Me kwetu chake. Niko Dublin Ireland.
@@mohamededdi7527 na mm kwetu chake na konde
Unaishi wapi Fatma?
@@mohamededdi7527 Naishi oman
Ok, umeolewa?
Kwetu kunapendeza mashallah
Watu wazembe wa huko wanapenda wale tu
Xx usipokula ufanye nn
Allah awafanyie wepesi katika maisha yao
M.mungu atufanyie wepesi in sha Allah
Hapa ndio ccm walipoifikisha nchi
Kumbe bandarin kumejengwa Zaid ya daa ccm oyeee
Majumba mazuri labda yalijengwa na Waarabu ndio wenye juhudi ya utafutaji
Mashallah m nafrah kupaona nyumbn kabisa nilipo zaliwa nikasoma Hadi nimeondoka nikiwa mtu mzim Leo hii napaona mashallah me nmefrah sn
Je unaenda kutembea au mkataa kwao
Umaskini wa pemba umetengenezwa kusudi ni mpango maalum kwenye vikao maalum hamjajua tu mpaka leo
Kwani umasikini ni pba tu. Zanzibar mzima ni umasikini
Nenda na mtambe bs au mkoa wa kaskikazi
naam inabidi nimefike uko shehe wangu
Tumefikisha pabaya na ccm nikienda pemba huwa nasikitika sana japo mm sio mpemba
Tatizo wapemba wenyewe wanakukimbia kwao unategemea itajengwa na Nani? Na wao ndio wafanyabiashara wakubwa
@@maryamalli9090 ww ushawahi kuenda pemba serekali imekutupa zamani na inakubaguwa miradi yte mikubwa unguja njaa ilikuepo hata mm sikai hy kibandari km chochoro
Mashaallah Alhamdulillah kwa kuiyona mkoani
Me too. Kwenu nini? Me kwetu chake. Niko Dublin Ireland.
@@mohamededdi7527 na mm kwetu chake na konde
Unaishi wapi Fatma?
@@mohamededdi7527 Naishi oman
Ok, umeolewa?
Kwetu kunapendeza mashallah
Watu wazembe wa huko wanapenda wale tu
Xx usipokula ufanye nn