KWA HALI HII PEMBA HAISTAHIKI KUA MASIKINI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 เม.ย. 2023

ความคิดเห็น • 29

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 ปีที่แล้ว

    Allah awafanyie wepesi katika maisha yao

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 ปีที่แล้ว

    M.mungu atufanyie wepesi in sha Allah

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya6743 ปีที่แล้ว +1

    Hapa ndio ccm walipoifikisha nchi

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 ปีที่แล้ว

    Kumbe bandarin kumejengwa Zaid ya daa ccm oyeee

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 ปีที่แล้ว +1

    Majumba mazuri labda yalijengwa na Waarabu ndio wenye juhudi ya utafutaji

  • @bauchatv-yd4ug
    @bauchatv-yd4ug ปีที่แล้ว

    Mashallah m nafrah kupaona nyumbn kabisa nilipo zaliwa nikasoma Hadi nimeondoka nikiwa mtu mzim Leo hii napaona mashallah me nmefrah sn

    • @pandumakame6421
      @pandumakame6421 ปีที่แล้ว

      Je unaenda kutembea au mkataa kwao

  • @khamisjuma2947
    @khamisjuma2947 ปีที่แล้ว

    Umaskini wa pemba umetengenezwa kusudi ni mpango maalum kwenye vikao maalum hamjajua tu mpaka leo

  • @noffalsalim
    @noffalsalim ปีที่แล้ว

    Kwani umasikini ni pba tu. Zanzibar mzima ni umasikini

  • @jumamkali8307
    @jumamkali8307 ปีที่แล้ว

    Nenda na mtambe bs au mkoa wa kaskikazi

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 ปีที่แล้ว

    naam inabidi nimefike uko shehe wangu

  • @pandumakame6421
    @pandumakame6421 ปีที่แล้ว

    Tumefikisha pabaya na ccm nikienda pemba huwa nasikitika sana japo mm sio mpemba

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 ปีที่แล้ว

      Tatizo wapemba wenyewe wanakukimbia kwao unategemea itajengwa na Nani? Na wao ndio wafanyabiashara wakubwa

    • @pandumakame6421
      @pandumakame6421 ปีที่แล้ว

      @@maryamalli9090 ww ushawahi kuenda pemba serekali imekutupa zamani na inakubaguwa miradi yte mikubwa unguja njaa ilikuepo hata mm sikai hy kibandari km chochoro

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Alhamdulillah kwa kuiyona mkoani

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 ปีที่แล้ว

      Me too. Kwenu nini? Me kwetu chake. Niko Dublin Ireland.

    • @fatmasaid9765
      @fatmasaid9765 ปีที่แล้ว

      @@mohamededdi7527 na mm kwetu chake na konde

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 ปีที่แล้ว

      Unaishi wapi Fatma?

    • @fatmasaid9765
      @fatmasaid9765 ปีที่แล้ว

      @@mohamededdi7527 Naishi oman

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 ปีที่แล้ว

      Ok, umeolewa?

  • @tamemahmad9902
    @tamemahmad9902 ปีที่แล้ว

    Kwetu kunapendeza mashallah

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

    Watu wazembe wa huko wanapenda wale tu

    • @noffalsalim
      @noffalsalim ปีที่แล้ว

      Xx usipokula ufanye nn