BADO KILIO CHATAWALA SOKO LA WETE PEMBA "WATU WANAONDOKA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2021
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

ความคิดเห็น • 38

  • @doubleimpact9749
    @doubleimpact9749 3 ปีที่แล้ว +3

    Daahh nilienda hv karibuni kiukweli Pemba watu wanakimbia tena wanakimbia kweli kweli hususan Kaskazini kwa maana ya Wete watu hawapo kabisaa watu ni wachache watu wanakimbilia Unguja,Dar na kwengineko ku find maisha hali ya uchumi wa Pemba ni mbaya hakuna mzunguko wa pesa

    • @othmanmohd7297
      @othmanmohd7297 3 ปีที่แล้ว

      Ndio anaeweza kuishi pemba kw ss ni yule alielazimikiwa kuwa pale au mfanya kazi wa serekalin lkn lkn kw walio baki huwezi kukaa maana hela hamna

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awafanyie wepesi inshallah

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 2 ปีที่แล้ว

    Shukraan sana KTV TZ ONLINE pia Allah atawafanyia wepesi inshaaallah

  • @salimomy7418
    @salimomy7418 3 ปีที่แล้ว +1

    kweli serkl mna2dharau san cc wapemba mungu anawaon..😥

  • @allyummar9845
    @allyummar9845 3 ปีที่แล้ว

    Kwa Jina naitwa Ali Omar Said nimzaliwa wa wete pemba mimi nitamuomba muheshimuwa raisi wetu mpendwa afanye ziara ya kwenda pemba kuwadikiliza wananchi na kuwatembelea kiujumla namiini itakua ni jambo LA furaha Sana kwa wazanzibar kisiwani pemba ahsante

  • @jambo3751
    @jambo3751 3 ปีที่แล้ว +1

    KTV angalau sasa mnaanza kurudi kwenye jamii kuripoti matukio mbalimbali kama mlivyokuwa mwanzo. Kuna wakati mlikuwa mkituletea habari za viongozi tuuuu
    yaani mitaani kuliko na changamoto kibao za wananchi na matukio mbalimbali mlikukimbia kabisaa.
    Kwahivyo ni vizuri zaidi kufika mitaani kuripoti changamoto na matukio mbalimbali.

    • @hassanbizze2672
      @hassanbizze2672 3 ปีที่แล้ว

      Suala hili mbona lipo wazi kabisa, sio lazima Rais afike shemu hiyo... Rais ana wawakilishi wake tokea ngazi za chini kuanzia serikali za mitaa na halmashauri ya jiji na manispaa n.k watendaji wa serikali za mitaa kwa kweli wanakazi kubwa kuhakikisha wafanyabiashara wadogo wadogo hawawapotezi kwa kuboresha huduma nzuri na kutoza tozo halisia kutoka na hali ya uchumi kwa ujumla

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc 3 ปีที่แล้ว +3

    Biashara ushindani shindaneni na wafanyabiashara wa juu, lakin pia baraza la mji watoweni kodi hao wafanyabiashara wa mitaani sio wa sokoni tu.

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwakweli kwetu pemba bado maisha ni magumu mwinyi tukomboe baba

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ndugu yangu umesema ukweli kwamba kwetu Pemba maisha magumu, lakini watu wengine ni wapotoshaji

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa kipindi kirefu kulikuwa na mipango ya kuikandamiza Pemba,na hasa mji wa Wete,kutokana na misimamo ya kisiasa.Hii imelazimishs WaPemba wengi kuhamia nje ya Pemba kutafuta maslahi ya kimaisha.Ukitaka kustawisha jamii, nishati ya maji ,umeme,usafiri(hasa wa baharini)matibabu na elimu ni vitu vya muhimu kuwepo ili kuwavutia watu wabaki na kuishi hapo.

  • @zakwani885
    @zakwani885 3 ปีที่แล้ว +1

    Dkwa kweli wanakumbia Pemba Kwa sababu pemba haitizamwi MTU hakimbii kwao isipo kua kuna shida na tutizamwe na hicho la huruma dokta njoo kwetu Pemba utufaraji

  • @makameomar871
    @makameomar871 3 ปีที่แล้ว +2

    Elfu mojakubwa sana sasa huyo mwenye vikuta vinne angalau alipe 2000 vikuta vidogo kwa 1000 kubwa sana

  • @abdillahjuma8474
    @abdillahjuma8474 3 ปีที่แล้ว +1

    Obviously ya kwamba huko wete yenyew ukihitaji kwenda wakat unatoka chake n shida kubwa xn kwa7bu ya BARABARA MBOVU SANAA

  • @muhammedkhamis1407
    @muhammedkhamis1407 3 ปีที่แล้ว

    Mimi Naona Kwa Wete Ninayo Ijuwa Mm Haina Haja Yakuweka Masoko Mawili Kutokana Na Mzungumko Wa Pesa Wenyewe Soko Moja Tu Lina Tosha Hamna Mnzungumko Wapesa Upochini Kabisa Kabisa😭😭😭

  • @noffelsalim7340
    @noffelsalim7340 2 ปีที่แล้ว

    Kwa io munajenga masoko ili mukandamize watu au vp.

  • @masoudseif3773
    @masoudseif3773 3 ปีที่แล้ว

    K TV mbona konde hamuji watu wana malalamiko yao sokoni na madukani want aka viongozi wawasikie papatikane ufumbmbuzi

  • @mrok284
    @mrok284 3 ปีที่แล้ว

    Mh.Rais tunakuombea uende na Pemba Ndugu zetu wanaumia.

  • @muhammedkhamis1407
    @muhammedkhamis1407 3 ปีที่แล้ว

    WETE mbona Haina shida ila tatizo ni uwongozi wa Juu ndio ikawahamna Maendeleo mpaka leo hiyi nn shida Uwongozi haupo Sawa hata kidogo Watendaji ni wabovu sana

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 3 ปีที่แล้ว

    Eti elfu 30 na kwa siku elfu moja si hiyo hyo

  • @kbsaid6822
    @kbsaid6822 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mkurugenzi kawambia walipe 30000 kwa mwezi wakaona ni kunwa kwa hio wakakubali kwa kila siku walipe 1000 sasa kwa mwezi itakua kiasi gani 🤣

    • @yasalaam590
      @yasalaam590 3 ปีที่แล้ว

      Hapo sasa yaani 🤣🤣🤣

    • @khamismasoud412
      @khamismasoud412 3 ปีที่แล้ว

      Hhhhhhh kuna miezi Ina siku 31 na ule wa February siku 28 kwahiyo watailipa zaidi elfu moja hhhhhh

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 3 ปีที่แล้ว

    Hapaa kituu hapaa mwezii 30 mzungumza nao kwa sikuu 1000 sii Nisawa kuruka mkojo kukanyaga mafii ndooo nn ss

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

      kutokana na biashara zao hawawezi kusave hizo moja moja wakalipa kwa mwezi ndio wameona ni bora watoe kila siku haidhuru mtu atajinyima kitu chengine lakini ipatikane elfu .

  • @othmanmohd7297
    @othmanmohd7297 3 ปีที่แล้ว

    Kwa mtazamo wangu mm sh. 1000 kw siku sio kubwa ikiwa kuna mauzo ila sh. 200 yaweza kua kubwa ikiwa hakuna wateja na kinachowaponza wafanya biashara wa soko la wete no kwamba watawala wote walio pita hakuna alie kua tayar kuufungua mji wa wete na pemba kiumjumla kibiashara. Ombi langu kw mh rais mwinyi aifungue wete kibiashara kwanza kwa kuijenga bandari ya kisasa ya abiria na mizigo halafu muckie kama kuna mtu atalalamika kutoa elfu kw siku

    • @kreamagdfsa1697
      @kreamagdfsa1697 3 ปีที่แล้ว

      Umezungumza point ya msingi ikijengwa bandari ya wete mambo yatakua bull bull

  • @rashidabdallah3253
    @rashidabdallah3253 3 ปีที่แล้ว

    Kiukweli unaweza kuidogosha 1000 tu lakini ukiipigia hesabu ya mwaka ni 360,000 kikuta tu hapo hajalipia huduma ya mlinzi wala huduma ya choo wala ya usafi ikiwa pia wanalipia kwa hiyo ukionganisha huduma zote hizo kwa mwaka ni laki zisizopungua 5 mtaji wake mtu ni laki 1 jeee umemuenua au umemporomoa? Nadhani baraza likae kuwafikiria wadau wao unguja na Pemba hatufanani kabisa kibiashara.

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 3 ปีที่แล้ว

    Rais mwinyi ni muelewa na mwenye hekima . Naamini atalishughulikia hili .

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 3 ปีที่แล้ว

    Inabidi serekali ifanye mbinu mbadala pia itoe elimu kuhusu biashara pia wito wangu kwa vijana munaokaa pemba musikimbilie unguja na dar-essalam kufanya biashara jitahidini kupambana ili kuijenga PEMBA

    • @hemed4064
      @hemed4064 3 ปีที่แล้ว

      Wapambane vp wkt hali hairuhusu ndugu!
      Pemba haitizamwi viongoz wameisahau kabisa, Pemba hali ni mbaya. Rais aiangalie kwa jicho la pili na la tatu. Mtu atoke leo aitembelee pemba na Unguja basi lazima ataiona tofauti kubwa iliopo

    • @salmahilal3577
      @salmahilal3577 3 ปีที่แล้ว +2

      Wapemba sio kama hawapendi kukaa kwao na kufanya biashara kwaoo ,,, ilaa fursa iliyopo na hali halisi ya maendeleo ya Pemba na wanachi wakee hayapewi kipaombelee especially na serikali ,,,, serikali ingejaribu kuikuzisha kimaendeleo Pemba bac wafanyabishara weng wa kipemba wangekuwepo ila kila kijana ikifika mda anahama Pemba kwasababu hapakalikiii ,,,, hali ni tete na hairuhusuuu , serikali ingebidi iliangalie hilii jambooo kwa kinaa kama inania na watu wakee haswa wapembaaa

  • @binbarwan7401
    @binbarwan7401 3 ปีที่แล้ว

    Soko asaa ilikua waliweke mtemani

  • @jumarocky9544
    @jumarocky9544 3 ปีที่แล้ว

    raisi mwinyi kipenzi cha watu atakuja kusawazisha