Unalipwaje ukiwa na YouTube Channel (How YouTubers get paid?)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ม.ค. 2022
  • Unalipwa kiasi gani na hatua za kulipwa zipoje? Je, kuna umuhimu wa kufungua youtube ili nawe uweze kupata kipato chako kutoka TH-cam?

ความคิดเห็น • 82

  • @user-cv4jq1mh7l
    @user-cv4jq1mh7l 8 หลายเดือนก่อน +5

    Ahsantee bro, nimekuelewa

  • @BenPou-nh8uj
    @BenPou-nh8uj 4 หลายเดือนก่อน +3

    Asante Sana kwa erimu nzuri

  • @NehemiaLyaumi
    @NehemiaLyaumi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Daha nilisumbuka sana mda mrefu Leo nimepata ufumbuzi ubarikiwe

  • @mubbazicco
    @mubbazicco 9 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana nimepata Darasa lakutosha

  • @MtupoliMtupoli
    @MtupoliMtupoli 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante

  • @user-mw9js4cl6l
    @user-mw9js4cl6l 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa Asante kaka

  • @EDDY4D
    @EDDY4D 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante bro umenifunguwa kitu hapo nimeelewa somo mungu akubariki

  • @mohdsheha8295
    @mohdsheha8295 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kaka ningefrahi sana kama tungewasiliana na kunipa muongozo zad

  • @BarajiMohamedi
    @BarajiMohamedi 6 หลายเดือนก่อน +2

    hii nielimu nzuri sanaaa

  • @Mwl456
    @Mwl456 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana Kwa elimu nzuri Kwa sisi tunaoanza

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuelewaga sana bro

  • @Zumbemajogo
    @Zumbemajogo 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sio kazi ndogo

  • @boythenuru4125
    @boythenuru4125 ปีที่แล้ว +4

    Nashukuru sana kaka umetoa elimu nzuri maana hata mm nilikua naumiza kichwa kuhuu mziki wangu nifanye nini ili nifanye kazi kwa wakati na kipato sina

  • @LuckKilawe
    @LuckKilawe 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja sana uncle

  • @Dafetty
    @Dafetty หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana brother

  • @mlelwamapinduzi
    @mlelwamapinduzi ปีที่แล้ว +3

    Kaka naomba. Mawasiliano yako

  • @RamgyTalentTz
    @RamgyTalentTz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asant kaka

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana😊😊

  • @ochuKhan-hi1ju
    @ochuKhan-hi1ju 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

  • @Sensa2002
    @Sensa2002 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante🎉

  • @hearts4mama
    @hearts4mama ปีที่แล้ว +1

    Wow...barikiwa

  • @MIBWA
    @MIBWA 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi kaka

  • @mlelwamapinduzi
    @mlelwamapinduzi ปีที่แล้ว +2

    Pamoja kiongozi

  • @BarajiMohamedi
    @BarajiMohamedi 6 หลายเดือนก่อน +1

    hii nielimu nzuri

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 ปีที่แล้ว +1

    Uko vzr sana Kwa KUTOA elimu nzuri.

  • @ShuhudiaMahuvi
    @ShuhudiaMahuvi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa elimu

  • @JohnomaryKabumba
    @JohnomaryKabumba 8 หลายเดือนก่อน +1

    Good

  • @martin9984
    @martin9984 2 ปีที่แล้ว +2

    May God bless you

  • @user-lh2dq6rr4l
    @user-lh2dq6rr4l 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki

  • @mubabray9845
    @mubabray9845 2 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja kaka

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 ปีที่แล้ว +12

    Asante kaka, Mimi nimevuka subscriber 1000 na views wapo k 4, k8. K15. Sijui unanisaidiaje kupta hatua hiyo ya kulipwa na ninaona tu matangazo yanapita nisaidie kaka

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  ปีที่แล้ว +3

      Una watch hours ngapi hadi sasa? Maana kuachilia subscribers 1000 inabidi uwe na 4000 watch hours. Moja ya njia ya kuzidi kukua ni kuzidi kuweka videos nyingi. Una content nzuri. Nime subscribe sasahivi

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 ปีที่แล้ว +1

      @@EBMSWAHILI Asante sana Mungu akutunze Asante sana sana. Niliangalia kama 82 elfu na kitu hivi.♥️♥️🇹🇿🇹🇿

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 ปีที่แล้ว +2

      @@EBMSWAHILI NAKUSHUKURU tena Kaka tunaangaliaje watch ours ?

    • @mlelwamapinduzi
      @mlelwamapinduzi ปีที่แล้ว +1

      @@KADALAtv255 hongera kadala mmwenzio ndo naanza hata mwezi sjamaliza

    • @djp-selector1906
      @djp-selector1906 ปีที่แล้ว +1

      Broo haya Mambo unapnekana ulisomeaa ...unajuaa kufundisha na kumuelekeza mtu akaelewaAa....mungu akubarikiii

  • @Kaninis3
    @Kaninis3 2 ปีที่แล้ว +2

    Apo umenisaidia sana asant sana

  • @patrickwambua660
    @patrickwambua660 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka

  • @jumasalumu817
    @jumasalumu817 5 หลายเดือนก่อน +1

    True

  • @jovnechrispine436
    @jovnechrispine436 3 วันที่ผ่านมา

    🔥

  • @xtinoboydismass4359
    @xtinoboydismass4359 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja

  • @peterkainga6524
    @peterkainga6524 ปีที่แล้ว +2

    kaka we naomba mawsiliano zaidi tusaidiane

  • @tyroneduplooy9903
    @tyroneduplooy9903 5 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 7 หลายเดือนก่อน

    thanks

  • @sooslin1225
    @sooslin1225 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa video
    Je kuazisha channel ya TH-cam Tanzania unatakiwa kulipa kodi kwa serikali?.na je usipolipa kuna madhara yapi? .ningependa ungeelezea kuhusu kodi za mitandao ya kijamii nchini kwetu Tanzania.

  • @XhenboyThebadnumber
    @XhenboyThebadnumber หลายเดือนก่อน +1

    Live

  • @MadamOrida
    @MadamOrida หลายเดือนก่อน

    Asanteeh kaka naomba unitumie namba zako

  • @Napioni2
    @Napioni2 หลายเดือนก่อน +1

    👇

  • @Musaasagwile
    @Musaasagwile 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbn Kama kwer

  • @alberttvonline2174
    @alberttvonline2174 2 ปีที่แล้ว +1

    samahan EBM Swahili naomba kuuliza je kuna umuhimu wowote wa kusajili mapema channel yako hata kabla ya kunufaika chochote na kama upo je ni upi ulio nafuu?

  • @swahilinationfilms8494
    @swahilinationfilms8494 26 วันที่ผ่านมา

    sasa mkuu ukiwa unaweka maudhui ya filam, afu matangazo yako yakawa ya nje ya nchi apo unalipwa kwa dora ya au pesa ya kitanzania

  • @denisterikhabi89
    @denisterikhabi89 2 ปีที่แล้ว +2

    Jambo EBM, mimi ni subscriber wa EBM Scholars kutoka Kenya lakini naishi Dubai.Leo nimejua kuhusu hii Chanel.
    Asante kwa mafunzo ya maana.

  • @nasrimbaraka341
    @nasrimbaraka341 9 หลายเดือนก่อน

    Je ukinunua Chanel ya TH-cam nikaweka video zangu kama imefika vigezo nitalipwa?

  • @onesmocharles8245
    @onesmocharles8245 ปีที่แล้ว

    Ningependa kujua garama ya kufungua U tube channel

  • @Budodi90na10
    @Budodi90na10 ปีที่แล้ว +1

    Kaka iyo fom unayo takiwa kujaza unaipataje naomba unisaidie kwa hilo channel yangu imetimiza vigezo vya awali

    • @Meeknego
      @Meeknego 2 หลายเดือนก่อน

      Hiyo form utapatiwa na Google kwa njia ya email ukishafikisha vigezo vya kumonetize account: 1000 subscribers na 4000 watch hours. Ukifisha tu hivyo, wanakutumia.

  • @raffeiystar2870
    @raffeiystar2870 2 ปีที่แล้ว +1

    Na je kweny matangazo hapo kuna sehemu ya kuchagua kwamba katik video zangu yaje matangazo ya nmna fulani na yasije matangazo ya namna fulani?? Mfno mm sitotak yaje matangazo ya pombe, naweza kuzuia ?? Je mipangilio hyo huwa ipo??

    • @queentz8314
      @queentz8314 2 ปีที่แล้ว +1

      Yes km ukiangalia you tube za mashekh wakubwa wa kidunia huwezi kuta matangazo ambayo dini ya kiislaam hairuhusu

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 ปีที่แล้ว

    Hi naweza kulipwa kwenye istragrama

  • @talentdzonetv
    @talentdzonetv ปีที่แล้ว

    Nime maliza vigezo ila kujaza ads sijuwi

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson 2 ปีที่แล้ว

    Nmekifunza kitu kikubwa mm natumiga luga ya English language

  • @kel_zZodicX
    @kel_zZodicX ปีที่แล้ว +1

    Sijaelewa, yani masaa elfu 4000 kwa mwaka , vip km ukifikisha hayo masaa ndani ya mwezi uwez kulipwa?

  • @user-ro3wn4dt5y
    @user-ro3wn4dt5y 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman samahini hiv kufungua channel ni hela??

  • @Mussa-sf6oc
    @Mussa-sf6oc หลายเดือนก่อน

    Me nina masaa 3,945 ndani ya 28days

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 6 หลายเดือนก่อน +1

    Zipo TH-cam channel ambazo hazilipwi? Na ni kivipi?

  • @kaponasalum3648
    @kaponasalum3648 6 หลายเดือนก่อน

    Tumezingatia Maelezo yako.

  • @ChotaraOfficial
    @ChotaraOfficial 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa me nikiangalia leo yapo masaa 137 na jana Hivyo Hivyo sasa wanajumuisha masaa ya kila siku Mpaka mwezi mzima au lazima kila siku nipatemasaa 4000

    • @Meeknego
      @Meeknego 2 หลายเดือนก่อน

      Masaa 4000 ni jumla ya masaa kwa video zako zote kwa mwaka husika

  • @Official_Letanyau24-sn9tc
    @Official_Letanyau24-sn9tc 9 หลายเดือนก่อน

    Me youtub yangu watu awaiyon

  • @user-lh2dq6rr4l
    @user-lh2dq6rr4l 8 หลายเดือนก่อน

    Nice