Asante kaka, Mimi nimevuka subscriber 1000 na views wapo k 4, k8. K15. Sijui unanisaidiaje kupta hatua hiyo ya kulipwa na ninaona tu matangazo yanapita nisaidie kaka
Una watch hours ngapi hadi sasa? Maana kuachilia subscribers 1000 inabidi uwe na 4000 watch hours. Moja ya njia ya kuzidi kukua ni kuzidi kuweka videos nyingi. Una content nzuri. Nime subscribe sasahivi
Asante kwa video Je kuazisha channel ya TH-cam Tanzania unatakiwa kulipa kodi kwa serikali?.na je usipolipa kuna madhara yapi? .ningependa ungeelezea kuhusu kodi za mitandao ya kijamii nchini kwetu Tanzania.
samahan EBM Swahili naomba kuuliza je kuna umuhimu wowote wa kusajili mapema channel yako hata kabla ya kunufaika chochote na kama upo je ni upi ulio nafuu?
Hiyo form utapatiwa na Google kwa njia ya email ukishafikisha vigezo vya kumonetize account: 1000 subscribers na 4000 watch hours. Ukifisha tu hivyo, wanakutumia.
Na je kweny matangazo hapo kuna sehemu ya kuchagua kwamba katik video zangu yaje matangazo ya nmna fulani na yasije matangazo ya namna fulani?? Mfno mm sitotak yaje matangazo ya pombe, naweza kuzuia ?? Je mipangilio hyo huwa ipo??
Ahsantee bro, nimekuelewa
Asante Sana kwa erimu nzuri
Daha nilisumbuka sana mda mrefu Leo nimepata ufumbuzi ubarikiwe
Safi sana nimepata Darasa lakutosha
Ahsante
Sawa Asante kaka
Ahsante bro umenifunguwa kitu hapo nimeelewa somo mungu akubariki
Asante sana kaka ningefrahi sana kama tungewasiliana na kunipa muongozo zad
hii nielimu nzuri sanaaa
Ahsante sana Kwa elimu nzuri Kwa sisi tunaoanza
Nakuelewaga sana bro
Sio kazi ndogo
Nashukuru sana kaka umetoa elimu nzuri maana hata mm nilikua naumiza kichwa kuhuu mziki wangu nifanye nini ili nifanye kazi kwa wakati na kipato sina
Pamoja sana uncle
Asante sana brother
Kaka naomba. Mawasiliano yako
Asant kaka
Asante sana😊😊
Nice
Asante🎉
Wow...barikiwa
Safi kaka
Pamoja kiongozi
hii nielimu nzuri
Uko vzr sana Kwa KUTOA elimu nzuri.
Asante kwa elimu
Good
May God bless you
Mungu akubariki
Pamoja kaka
Asante kaka, Mimi nimevuka subscriber 1000 na views wapo k 4, k8. K15. Sijui unanisaidiaje kupta hatua hiyo ya kulipwa na ninaona tu matangazo yanapita nisaidie kaka
Una watch hours ngapi hadi sasa? Maana kuachilia subscribers 1000 inabidi uwe na 4000 watch hours. Moja ya njia ya kuzidi kukua ni kuzidi kuweka videos nyingi. Una content nzuri. Nime subscribe sasahivi
@@EBMSWAHILI Asante sana Mungu akutunze Asante sana sana. Niliangalia kama 82 elfu na kitu hivi.♥️♥️🇹🇿🇹🇿
@@EBMSWAHILI NAKUSHUKURU tena Kaka tunaangaliaje watch ours ?
@@KADALAtv255 hongera kadala mmwenzio ndo naanza hata mwezi sjamaliza
Broo haya Mambo unapnekana ulisomeaa ...unajuaa kufundisha na kumuelekeza mtu akaelewaAa....mungu akubarikiii
Apo umenisaidia sana asant sana
Asante kaka
True
🔥
Pamoja
kaka we naomba mawsiliano zaidi tusaidiane
❤❤
thanks
Asante kwa video
Je kuazisha channel ya TH-cam Tanzania unatakiwa kulipa kodi kwa serikali?.na je usipolipa kuna madhara yapi? .ningependa ungeelezea kuhusu kodi za mitandao ya kijamii nchini kwetu Tanzania.
Live
Asanteeh kaka naomba unitumie namba zako
👇
Mbn Kama kwer
samahan EBM Swahili naomba kuuliza je kuna umuhimu wowote wa kusajili mapema channel yako hata kabla ya kunufaika chochote na kama upo je ni upi ulio nafuu?
sasa mkuu ukiwa unaweka maudhui ya filam, afu matangazo yako yakawa ya nje ya nchi apo unalipwa kwa dora ya au pesa ya kitanzania
Jambo EBM, mimi ni subscriber wa EBM Scholars kutoka Kenya lakini naishi Dubai.Leo nimejua kuhusu hii Chanel.
Asante kwa mafunzo ya maana.
Je ukinunua Chanel ya TH-cam nikaweka video zangu kama imefika vigezo nitalipwa?
Ningependa kujua garama ya kufungua U tube channel
Bureee kabisa
Kaka iyo fom unayo takiwa kujaza unaipataje naomba unisaidie kwa hilo channel yangu imetimiza vigezo vya awali
Hiyo form utapatiwa na Google kwa njia ya email ukishafikisha vigezo vya kumonetize account: 1000 subscribers na 4000 watch hours. Ukifisha tu hivyo, wanakutumia.
Na je kweny matangazo hapo kuna sehemu ya kuchagua kwamba katik video zangu yaje matangazo ya nmna fulani na yasije matangazo ya namna fulani?? Mfno mm sitotak yaje matangazo ya pombe, naweza kuzuia ?? Je mipangilio hyo huwa ipo??
Yes km ukiangalia you tube za mashekh wakubwa wa kidunia huwezi kuta matangazo ambayo dini ya kiislaam hairuhusu
Hi naweza kulipwa kwenye istragrama
Nime maliza vigezo ila kujaza ads sijuwi
Nmekifunza kitu kikubwa mm natumiga luga ya English language
Sijaelewa, yani masaa elfu 4000 kwa mwaka , vip km ukifikisha hayo masaa ndani ya mwezi uwez kulipwa?
Unalipwa
Jaman samahini hiv kufungua channel ni hela??
Me nina masaa 3,945 ndani ya 28days
Zipo TH-cam channel ambazo hazilipwi? Na ni kivipi?
😂😂
Tumezingatia Maelezo yako.
Sasa me nikiangalia leo yapo masaa 137 na jana Hivyo Hivyo sasa wanajumuisha masaa ya kila siku Mpaka mwezi mzima au lazima kila siku nipatemasaa 4000
Masaa 4000 ni jumla ya masaa kwa video zako zote kwa mwaka husika
Me youtub yangu watu awaiyon
Nice