Bwanga you are too far Good comrade....keep it up champ
Jamaa uwa sichoki kutazama mapambano yake saidi bwanga anajua mpk anajua tena nataman siku wakutane na salim mtango itakuwa game nzuri tena iwe main card
Na nilimwimbia goma hili
th-cam.com/video/PCjhUK8BKIM/w-d-xo.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Bwanga bondia ili game kashinda kiuwalali💪
Wazanzibari hapa kwa salehe kassimu wamepata bonge la man card kama watamjali nakumthamini bondia wao .ni bondia mkali sana.
Saidi bwanga saidi bwanga nakuona mbalisana kwenye mafanikio yako yangumi dogo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
Na nilimwimbia wimbo huu broo
th-cam.com/video/PCjhUK8BKIM/w-d-xo.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Said is a winer
Bwanga unajua
Pambano kasim ndie Ame shinda saidi bwanga majaji wa me Amua kumpa
Saidi bwanga bondia aliyepitishwa njia ngumu sana.Ana mustaqbali mzuri iwapo uongozi wake utasimama nae imara
💪💪🤝
Huojama anahusika nangi Mana namuonaga kiramechi
Naona majaji mnataka kuharibu mchezo wa ngumi sasa sindio huo mchezo ulikua ni sare waote wamepugana achezi upuuz uko
Hapana said bwanga kashinda vizuri kwa mchezo huu saida kacheza vzuri na hata mpinzani wake sio mbaya pia ni mzuri
Bwanga unajua
Bwanga unajua
Big up champion bwanga ushindi bila kona kona 💪
huyu dogo anajua ngumi na anahimili ngumi, akikomaa atatisha familia yake vzr kuptia mchezo huu yuko vzr
Bwangaaaa
th-cam.com/video/PCjhUK8BKIM/w-d-xo.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI