ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.
Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..
Mungu awazidishie inshaallah
Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo
Paaambe tu Asanteni
unalo lililokukaa na roho mbna hamjaupload,naitafuta sanaa
Naipenda Iko sawa
Nimeielewa san
Zanzibar is in my list of destination ❤
Hizinyimbo zilikua tamu sana
Hinyimbo nishida jaman
Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....
Karibu sana
@@RioIpo kabisa
Twende kazi
Hapi chacha
Pambe hatar❤❤❤❤
na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho
Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!
Vitu kwa mpango
Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa
Zanzibar beutiff island of africa
Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location
Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi
Jitahidi
😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅
Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana
Hahahaha Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao
umeoneèee
Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂
Asante sana
Fitina mbaya
Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni
Vizazi na vizazi watackiliza hii nyimbo,iko poa sn.
Walaih hii nyimbo,huni gusa sana..naienzi hii nyimbo sana,huni ongoa wakati nina mzongo wa mawazo😁😁👍👍🙏🙏.allah atujalie ya kheri,atuepushe na yashari!!!!..
Mungu awazidishie inshaallah
Mashaallah mama nyimbo ya zama lakini Bado nikiisikiliza ni km ni ya juzi na maneno ambayo yanamafumbo
Paaambe tu Asanteni
unalo lililokukaa na roho mbna hamjaupload,naitafuta sanaa
Naipenda Iko sawa
Nimeielewa san
Zanzibar is in my list of destination ❤
Hizinyimbo zilikua tamu sana
Hinyimbo nishida jaman
Inshallah allah akinijalia,uhai,uzima,pia nafasi ya fedha nitakuja kutalii zanzibar,nione madhari ya uko👁️👁️👁️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯🦈🦈🦈🦂🦂🦂🦂....
Karibu sana
@@RioIpo kabisa
Twende kazi
Hapi chacha
Pambe hatar❤❤❤❤
na wapewe dozi lao,hao vijiba vya roho
Waaaa! Nani anigaramie safari za zanzibar niende nione hawa malkia wa kusema ukweli in lyrics? Nisibaki kubweka na windo lishaenda yawa!
Vitu kwa mpango
Izo ni atari sanaa kipindi iyo acha kabisa
Zanzibar beutiff island of africa
Kuna mtu hawezi kuingia huku kwenye mikito anaweza zimia by mr &Mrs Tausi wa Ghana Airport road location
Nlienda likizo tanga mjini kwa dadaangu 2004 duuu nainjoi
Jitahidi
😅😅😅😊😅😊😅😅😅😅
Kipind hich tumepanga yaan ukiweka tu wapangaji wengine wanajua umewawekea ilikuwa Raha sana
Hahahaha
Zamani raha kweli yaani ukiiweka akili zao unawapigia mafumbo wao
umeoneèee
Mwenye kijiba cha roho akaugue hospitalini😂😂
Asante sana
Fitina mbaya
Inanikumbusha mbali Sanaa hii nyimbo jamni