Kiukweli inauma sana da Marium kweli nataman kila wakati nipige wimbo wako huu "uzushi haunitii doa" hakika unanifariji na kukumbuka majonzi.... Allah akusamehe popote ulipo na akuepushie na adhabu za kabri
Pumzika kwa amani da Mariam tulikupenda sana sana watanzania wenzako lakini kazi ya Mungu haina makosa nyimbo zako zote ni faraja kwangu,ndiyo basi tena,presha inawapanda,mti wa riziki upo kwa Mungu na raha ya mapenzi pamoja na paka mapepe.
Allah amsameh makosayake makubwa na madogo 😢
❤❤wenqine swahiba zanqu salamu kutwa mara tatu.kumbe ndo wapika majunqu❤❤❤jamn hii dunia hii❤❤❤❤❤❤❤❤
Dunia sio rafiki kwa mwanadamu
Allah akurehem da Mariam 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamani nyimbo amefariki musitoweni tena hizo nyimbo ni mtihani mkubwa huko aliko akhera mungu asamekhe akhera😢😮
Kweli duniani sisi ni wasafiri tu..
+254 tulikupenda sana.. Rest easy Dada Marriam.. Mungu kazi yake naniapinge? Yetu bado machozi tu😥😰😢
Daa safari ya wote!!! Tulikupenda dada mariam sisitupo nyuma yako.
Dada mwenye kipaji cha kuimba,R.I.P
Mungu akupe kauli thabit akupe pepo ya daraja la juu
Kiukweli inauma sana da Marium kweli nataman kila wakati nipige wimbo wako huu "uzushi haunitii doa" hakika unanifariji na kukumbuka majonzi.... Allah akusamehe popote ulipo na akuepushie na adhabu za kabri
Allah amrehem mwanadada uyo Allah aieke roho yake pema pepon Yaarabilaallahmin
Pumzika kwa amani da Mariam tulikupenda sana sana watanzania wenzako lakini kazi ya Mungu haina makosa nyimbo zako zote ni faraja kwangu,ndiyo basi tena,presha inawapanda,mti wa riziki upo kwa Mungu na raha ya mapenzi pamoja na paka mapepe.
Wewe pacha wangu kwa nyimbo za Mariam, napenda nyimbo zake sana, love from Kenya, halaf kuna ule wimbo wa lawama ❤😢
Daaaa!!!!dada inauma sana udongo unatumaliza, pumzika kwa amani dada.
Mamu we still miss you 😥😥
Innlilah wainalilah rajiun
Maryam nilikupenda sana uimbaji wako slow but unajua haswa kuimba rest easy maryam
Alla akufanyie wepes ktk safar yko
R,I,P, MARIYAM khamis Allah akupe jana naakusamehe makosa yako na cc atupehatima njemaa😭😭🙏🙏🤲🤲 2022/10/24 Allah 😭😭😭😭
Allha amjaliye Kila la kheri katika kaburi lake inshaallha mungu amuondolee vitisho inshaallah
@@user-wh8xm1yp3x in shaa Allah😢😢💔
Amen
Hiyo ndio tarehe alokufa kwani😭😥😔
Aaaaa
😮❤wzuei
Eeeeeerre❤
Allah akupunguzia adhabu
R..I..P...MUM Pumzika kwa Amani ,,🙏
RIP MARIAMU
Dada.mtaratibu mwenyewe jamani.basi inauma.safari ya wote sisi tupo nyuma yako, kila nafsi itaonja umauti.
Alikua mpooole mwenyew daah😢
Am from uganda I like the tarab music
Mungu.amrehem.nisafar.yawot
Udada yuwapataajali niko tanga namkumbuka sana mungu amrehemu😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyu hakupata ajali,alifariki mambo ya uzazi,nadhan 2021 mwezi wa kumi na mbili bila shaka
Pumzika kwa amani Da Mariamu
Dah pumzika kwa amani
R-I-P mariam khamis 😭😭😭😭💞💞💞💞💞💞💞
Allah akupe kauli thabit
Huu wimbo sikuwahi kuuochoka
Allah akusamehe mazadhambi yako inshaAllah aamiyn
10/1/2024 twakukumbuka bi mariam
Kweli marafiki ndo wanafiki
Pumzika kwA amani
😭😭😭
Dunia hii mungu tu mjuzi,.
Mtihani kifo jamani
😭😭 R.l.p.
Inalilah wainnaillah
Nakubalia santaaa 😍😍😍
Punzik kwa amani
Marioo
Mi shabiki wako hata umetangulia mbele haki
R.I.P MAMU HAMISI
Inalilah wain Lilah rajiun Allah akuondolee adhab z Kabul 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤ 🙏 RIP
❤
11:49
Rlp
😭🥰
2024 January 3 tu,niko huku Pumzika dada
😭😭😭😭😭👏👏👏👏
Bass haya
Dunia tunapita, napenda kusikiliza huu wimbo Aliimba vizuri sana, nitakukumbuka daima Kwa huu wimbo, Inallilah wahinalilah Rahajun
Pumzika kwa aman😰😰🙏
maliam
Humble Mariam...Allah Akuswameh Wallahi
Bass haya
Allah amsamehe madhambi yake
Mengi yamesemwa ila kutoka kwangu nasema amina