Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee
HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?
Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie
Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi
👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen
@@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.
in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania
@@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌
@@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!! Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!
Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya
Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time, Nani anapigana vita kwa style hii.
Turekebishe jeshi retu twende dunia inapokwenda sikuiz askar angiki na azabu ya namna hii jeshi liende kisasa tuajir wataram wa kutengeneza vyombo vya kisasa
@@JaisuriaPidas hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .
Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee
0:00
Safi kaka jack saiv umeongezwa nyita hongera mama anafurah akikutazama
Hongereni mko vizuri mungu awape maisha malefu
Magufuli alifuta hii sherehe akaagiza pesa zilizotengwa zikapanue barabara ya Mwenge to Morocco dar es salaam..RIP Magu.
Ilikuwa uhuru siyo hii 😢
Wewe wa wapi? Barabara ya mwenge imejengwa kwa mkopo wa Japani, mlidanganywa tu
Huo ni uongo magufuli hakuwahi kuingilia shughuli yoyote ya jwtz hao ndio watu aliowaheshimu na aliwapa shavu sana kama unapinga njoo kwa hoja
@@mpajibinaisa7238 sikukuu ya Muungano ni ya jwtz? 😂 Kafate ada uliposomea walikuacha ukiwa empty kichwani
Onyesho zuriii mungu ibariki Tanzania
Mungu awalinde wajeshi wetu wa Tanzania mpo vizur
Heshima kwa makomando vizuri sana mwenyezimungu awalinde ❤❤❤
Jaman jaman!!!!
Siku hizi vita Sio Kutunisha Misuli.
Bali ni Technically, technology skills.
Mtu Yupo IRAN ANAPIGA Telaviv
HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?
Kabisa yan unajua nin sa hv vita za ngumi zishapitwa na wakati tuko kwenye technology
Hiyo misuli imekatwa na wale muliowaita makunguru😂 Hawa na wa South Africa, wa rundi na .ajeshi wa DRC wakawekwa Kwa sufuriya mojaaa
Ao ni combat ready special force we Bata
😮1980 kizaman sana ..tudili na teknolojia .
Askari anajifungua kamba dk 3 😊
Safi sana makomandoo wetu wa TANZANIA
Hongera JWTZ, tukumbuke kwenda na wakati. Technology na AI , ulinzi nawenye
Nawahomba msijichanganye sikumoja kutakavita yani aaaaaaaa😊 kariba Congo ndipo utajuwa wanavifaa
Hakuna chochote hapa, Alshabab wawili tu wanaangamiza Tz nzima
Nimecheka😅😅😅
😂
Una kichaa
Jeshi letu liko vizuri,,, lakini tuonyesheni itakuwaje kama tunapigana na nchi ya mbali zaidi.
Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie
nice job...naitamani sana mm
Hongeren sana kwa ujuz wenu
Mungu awalinde makamanda wetu TZ
Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi
Ufahamu mdogo mnacoment upuuzi. Mwananchi smbae hathamini kitu chake amefilisiks akili
Long live Samia
Mpaka mama samia anaogopa jamani comando anatisha sana
God bless Tanzania 🙏
Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23
Congo mtapata shida djameni.Mtoke uko mapema!
Twende mbele turudi nyuma hii mibaba inatisha 😅😅
Hio michezo mpeleke DRC kwa M23 itawafundisha kikomando cha ukweli onground.
Tunajivunia sana kuwa na watu Kama Hawa nchini❤
hongereni sana
Wapeleke Congo waende kupambana na M23 ndio watapata ujuzi zaidi
Aswa
Mamaeee😂😂
WAENDE MARA NGAPI SASA. MBONA HUKO WAPO TANGU 2012 AU HUJUI TANZBAT WEWE..?
Ndio wanakoshinda huko. Au unaongea tu hujui?
Kujeni training kenya ,the king of defence
Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz
wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........
Hatr sanaaaa
👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen
Ibaliki nini
Kwahyo mnaonyesha sir ya kivita na plan zenu hadharan.
Hii nchi Uhuru umezdi
Waende Congo 🇨🇩 jamani
Hazina effect hizo
Mko juu sana Makamado wetu.
Very nice
Subhana llah
close-quarters combat 😍😍💥🔥🔥🔥
Najivunia kuwa mtanzania kwani ulinzi wake ni imara na madhubuti hongera rais wangu mama Samia suluhu Hasan
Hongereni wanajeshi wetu ila wekeni nguvu kubwa kwenye tecnologia ndipo Dunia ilipo sasaivi
Tanzania shukurani kwa umoja wenu kuilinda nchi yenu..... Kenya tuko pamoja
Kenya is far much ahead military
Kenya is far for what CDF anasafiri bila parachuti
@@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.
in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania
@@EdwardSamson-uf1ee😂😂😂😂
Mama Raise ana shanga kabisa🎉😂😂
Nimewakubali wabongo muna jeshi kbs
Wanaitwa WATAALAMU
Hongereni sana lakini tukae tukijuwa Maisha yamebadilika siku izi vitani hawapigani kwa ngumi
Kabisa yan unajua nin sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kompyuta tu vita za ngumi zishapitwa na wakati asee tuko kwenye technology
Je unahis kila mission ni mtatumia technology mwanzo mwisho???
Mimi maishani mwangu askari kweli wamejitoa kwaajili ya taifa letu si wengine eti anakuja mwanasiasa 😊
Tzd is Doing well
Namuona mdunguaji akinesa kwa umaridadi mkubwa
Makomando nyumbani sio kwenye uwanja wao vita,
Ulizeni habari zao hapo DRC😂😂😂
Awatusaidii chochote kila kitu saiv kinaliwa na wazungu wao wapo tu kupga raia mtoe mama madarakan ametuchosha
Hongereni vyombo vyote vya ulinzi
😂 Mungu ibariki Africa ibariki Tanzania Amina
😂😂😂😂😂kweli ni nchi ya ahadi, sasa maonyesho ya vita inatusaidia nini kwenye nchi yenye changamoto tele za kijamii na uchumi
huna akili na ma imoji yako
@@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌
@@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!!
Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!
Hongera Tanzania ❤❤
Akijawaka tungewaona wapo vipi
Na Rais wa Congo yupo hapo😂
sasa ulikua unahitaji aje kwenu nyumbani??
@@richardrichope3528 🤣🤣🤣🤣
This is too much luggage for a person to curry incase the aduwei (enemy) comes how do you run for your self 😂😂😂😂
Wako Wengine Wanapigwa Mpaka Na Wake Zao2 Lakini Kwakua Wako Na Simu Uruma Ya Mchina Mtu Aoni Asala Kulaumu Kitu Ambacho Ajui Anafanya Nini
Kwa kweli bei za bidhaa zmepanda bei kupindukia wana nchi watakufa kwa njaa
Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.
Tupo vzr Tanzania
Wawawawa.... Tanzania kweli mko nyuma.
Acha kukejeli ww nenda we pumbavu zako
@@KhatibSalehKhatib hivi vitu mwafanya hapo ukija Kenya ni Grade 4 ndio wafanya hivo wakijifunza Scouting.!!
Huyu jamaa nilimuona akiuza madafu ile siku rais alivyofutulisha huyo anayeongea
Eee huyoo ni muuza madafu🤣🤣🤣
Huyu si yule muuza nadafu😅😅😅
eee bwana😅😅😅
We need a friendly match na tanzania from Uganda
😂😂😂😂
So mnataka kulipiza kisasi sio
Peleka wote Urusi wakaongezee tena maana bado sn.
Nendeni kwenye mafuliko makubwa tuone kma mnaweza
🤣🤣🤣 poor mind
@@EdwardSamson-uf1ee me or you 😏😏
Mnaonaje tunge ombe mechi ya kirafiki na urisi😅😅😅😅
😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.
Hakuna vita wanaezana wakiwa wamebeba mizigo kama hiyo😂😂
MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???
Nammi natamani kuwa mwanajeshi
Lool nikiwahigi kudeti na komando mmoja loool wana nguvu hawa na hizo staili za kikomando mbona utakoma!!
HUYO AKIYESHUKA NA KWENYE NDEGE NI KOMANDOO MUUZA MADAFU
haya mawezi makali uchaguzi unakuja mmmm tutasalimika mama usiwalete huku zanzibar tushakomaa basi duuuu
Huyo si alikuwa anauza madafu ikulu jaman macho yangu yananidanganya
😅😅😅 ishi na watu vizuri
Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya
Me 😅 mwanajeshiiii mmmmh niwaangalie tu hv kwa tv
Najiona apo mm 😊
Congratulations makomandoo wetu
M23 was Congo imewashinda makomando wenu. Ni stori tu!
Hawa ndiyo wanasababisha Tanzania iwe nchi ya amani,adui hapati nafasi kupenya kwenye mipaka yetu
2013 tuliwapiga M23 hadi wakakimbilia Rwanda na Uganda. Sijui unaongelea nini😂
Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time,
Nani anapigana vita kwa style hii.
Inaoneka mwenzetu ni muhudhuriaji mzuri wa vita.. 👏🏼👏🏼
Kama makomando wa kweli waende kuwapigania wenzao Falestine huko
Iliiweje sasa
@@Allynyange-hw9bq tuone kama wameiva kweli
Naona umedhamiria kuwaua mazima bila huruma ,Palestine kweliii😂 mbona watakufa kama kuku wakideli.
😂😂😂😅😊@@Mary-fs4mc
@user-sl8😅😅😂bu3we1m
Naamini hawa makomando wako imara zaidi ya uwanja wa vita kuliko hata hapa
Ni kommando ihi ao ni komedy. Afazali ata Burundi.
Mbodi yangumi zakulipwa Tanzania
Uwo ni Sawa na mchezo warambo
Urusi ndo wazuri hao wengine ni bure kama samia
Hivyo tu kwenye mahonyesho na Congo mnapigwa na waasi M23 . SI muwaonyeshe M23 hizo nguvu zenu?
Hhhh ma fake commandos wamemalizwa na m23 hapo DRC, hivo wanavyofanya nikama mchezo wa comedians
🎉🎉🎉
Kujifanya muuza madafu huku wewe ni komando nikuwatia uchoro tu wa uzamadafu 😂😂
Turekebishe jeshi retu twende dunia inapokwenda sikuiz askar angiki na azabu ya namna hii jeshi liende kisasa tuajir wataram wa kutengeneza vyombo vya kisasa
huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua
Hawa wanauawa na allshababu watatu tu
😂😂😂😂 daaah ila we jamaa
Sasa si muombe vita za kirafiki jamani ?
Nimemuona muuza madafu ikulu , kumbe nae nikomando
😂😂😂
😅😅😅 Ishi na watu vizuri
Iyo mizigo ata makuli wanabeba mizigo zaidi ya kilo200
Those are killing machines
Ipo. Siku ntakua raisi pia
Madafu yapo wapi kaka
kwenye mabegi ya makomando
Kutuonyesha makomando haina maana kwa sisi wana nchi, punguza bei vyakula tukusifie mama,
😂😂😂😂 Nan kakuambia uangalie
Kalime
Kwa mtazamo wako unaona ilikua na haja yoyote??? Me naona ni upuuzi tu, wana nchi tunateswa na bidhaa zote kupanda bei, hio mm naona ilikua haina haja
@@JaisuriaPidas hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .
Vita si mchezo hapo hakuna kitu