MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
  • Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
    Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
    Magoli yote manne haya hapa....
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 142

  • @user-rs9fd8oc9j
    @user-rs9fd8oc9j 28 วันที่ผ่านมา +91

    Kama umefrahi Leo azizi ki kufunga gonga. Like apa

  • @joycethomas3183
    @joycethomas3183 28 วันที่ผ่านมา +22

    Me pia nimefurahi Sana aziz k kufunga Kama naww numefurahia gonga hapa like za kutosha

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m 28 วันที่ผ่านมา +16

    Nampongeza mzize kwa kumpa pasi ya goli azizi ki❤❤❤

  • @YasintaKisholi-fl3iy
    @YasintaKisholi-fl3iy 28 วันที่ผ่านมา +11

    Nimependa clement alivyompa pasi azizi afungule hongera yake moyo saf kabisa

  • @annethtimoth3240
    @annethtimoth3240 28 วันที่ผ่านมา +13

    Mzize Mungu akubariki

  • @oswardlonginoosward9832
    @oswardlonginoosward9832 28 วันที่ผ่านมา +13

    Ata Mimi nampongeza clement Kwa kumpa Aziz ki mpira sio mchoyo

  • @lucasjohnmabanda5858
    @lucasjohnmabanda5858 28 วันที่ผ่านมา +4

    Amazing performance for my team and congratulations KI AZIZ for doubling goals today and thus you have gone into a lead over Feisal., Magnificent 💛💚💛💚💛💚

  • @VictoriaBupila
    @VictoriaBupila 28 วันที่ผ่านมา +13

    Mzize ukopw brooo minimekwelewa nini umemanisha

  • @JoyceIsangura
    @JoyceIsangura 28 วันที่ผ่านมา +4

    Waoooooh nimefurai Sana jaman 💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @sneymaloko6479
    @sneymaloko6479 28 วันที่ผ่านมา +5

    Mimi ni YANGA 👌💚💛

  • @amanimbai4627
    @amanimbai4627 28 วันที่ผ่านมา +4

    Yanga africa like hap love sana

  • @user-gk5ms2bk9k
    @user-gk5ms2bk9k 28 วันที่ผ่านมา +6

    Yangga ni sisi tu kila kitu kwetu jmn yanga rahaaa

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z 28 วันที่ผ่านมา +5

    Golden buti ya aziz ilee

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 28 วันที่ผ่านมา +10

    Mikolobwanje Ileeee imenuna 😂😂😂😂

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 28 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 28 วันที่ผ่านมา +4

    Top score 👌 tunae wananchi😂😂😂

  • @MpoleFamily
    @MpoleFamily 28 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga mtatuua mashabiki wenu kwaraha aziz ki wapedozi hao watoto❤❤❤❤❤

  • @martin_james1034
    @martin_james1034 28 วันที่ผ่านมา +9

    Tunakila sababu ya kufurahia sisi kama Wananchi kwa hii misimu 3 mfululizo na mingine inayokuja MUNGU akipenda pia.. viongozi msiumize sana kichwa sisi kama mashabiki tutajitaidi kujisajiri ili kuwezesha mapato kwa timu yetu lakini pia msimlazimishe azizi kubaki ingali hatuna uwezo wa kumlipa Hela anayotaka japo tunampenda kama tulivyompenda mayele na sio kwa ubaya ni suala la kawaida sana kumuacha mchezaji kama mmeshindwa kumlipa anachotaka...na sisi mashabiki tusiwe wajinga wa kubeza viongozi kisa wachezaji wazuri wanaondoka badala yake yujisajiri kwa wingi na tuangalie ni watu gani wanakuja mbadala wa wanaoondoka YANGA,ninauamini saaaaaana uongozi wangu wa timu yangu pendwa ya YANGA.🔥🔥🔥🔥❤❤

  • @user-cl1ut6oq1v
    @user-cl1ut6oq1v 28 วันที่ผ่านมา +6

    Yaaan nikimuona Alajiga namkumbuka2 mzee Said😂😂

    • @Omary-rc8gi
      @Omary-rc8gi 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 28 วันที่ผ่านมา

      Umenikumbusha mbali sana

    • @user-wd1xg9pk6t
      @user-wd1xg9pk6t 28 วันที่ผ่านมา

      Vile alivyosema alajga anahangaliaga miguu ya aziz ki leo nmekubali

    • @consolathamlimi7883
      @consolathamlimi7883 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 hata mm

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 28 วันที่ผ่านมา +5

    🎉🎉 Aziz ki akishinda ndio Raha yetu wananchi

  • @rehemawamwarami3854
    @rehemawamwarami3854 28 วันที่ผ่านมา +2

    Saaafiiiiiiii kabisaaaa

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana2111 28 วันที่ผ่านมา +2

    YANGA 💛💚 TEAM OUR HAPPINESS

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA 28 วันที่ผ่านมา +5

    💚💚💚💚💚💚💚

  • @Mgema001
    @Mgema001 28 วันที่ผ่านมา +7

    Oya kuna nyimbo mpya ya yanga +ushindi mtaaamuuu basi inakua humu tu humu tu😅😅😅

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ni mwema asante Kwa ushindi

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 28 วันที่ผ่านมา +3

    Goli la Max 👌

  • @user-zs7vm3vf4w
    @user-zs7vm3vf4w 28 วันที่ผ่านมา +2

    Raha sana jamani Yangaaaaa❤❤❤❤

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 28 วันที่ผ่านมา +4

    Max ilitakiwa ampe aziz kiii

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 28 วันที่ผ่านมา +5

    Azam mnafanya uzembe sana,mechi imeisha mda mrefu sana halafu highlight mnakuja kuweka sasa hiv

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 28 วันที่ผ่านมา +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉bravoooooo

  • @AfricanKid-mu9lo
    @AfricanKid-mu9lo 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nasikiaa rahaa chama lang yangaa asante mungu 😂😂😂😂🙏

  • @EvaristaChugila
    @EvaristaChugila 28 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤ ki azizi

  • @ayk20
    @ayk20 28 วันที่ผ่านมา +4

    Daah max angemtupia aziz pale mwana amalize biashara mapema

  • @happynesfocus
    @happynesfocus 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hii ndyoo yangaaaa

  • @Sabasmteyyangahoyeeee-zr5yf
    @Sabasmteyyangahoyeeee-zr5yf 28 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga hii raha sanaaa,

  • @RamaaKipingu
    @RamaaKipingu 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda Sana chama langu❤❤❤

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 28 วันที่ผ่านมา +4

    Max ungefanya Kama mzize...😮😮

  • @MachoteghMacho
    @MachoteghMacho 28 วันที่ผ่านมา +3

    Aziz k anama goli 17 kwa Sasa Bado anamche mbili mkononi

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 28 วันที่ผ่านมา +4

    Niame yanga me niumize kichwa

    • @zuhuranasoro8923
      @zuhuranasoro8923 28 วันที่ผ่านมา

      Na alikua na nafasi ya kufunga tena clear goal

  • @gencychaniko8825
    @gencychaniko8825 28 วันที่ผ่านมา +1

    Humu tuu🔥🔥🔥💛💚

  • @user-io2rj2yp5d
    @user-io2rj2yp5d 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kongole kwa Young Africans chama langu

  • @MukhtarSaidi-hx1wj
    @MukhtarSaidi-hx1wj 28 วันที่ผ่านมา +3

    Alaf kuna wengin et wanasema max angemp Aziz yani yey aletewe mipila t bil kutokwa jasho hachani mambo ya hovyooooooooo

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kiwanja hicho, na ukubwa wa ligi haviendani Ni aibu😢

  • @Princemaokoto01
    @Princemaokoto01 28 วันที่ผ่านมา +2

    Maendeleo hayana chama inakubidi tu 😂🤔😂🤔💚💚💚💛💛💛💛

  • @constantinedeus9530
    @constantinedeus9530 28 วันที่ผ่านมา +3

    Farasi wa vita,Guu lake la kushoto ni kama gobole anataka kuua temba,ila Azizi😂

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 28 วันที่ผ่านมา +2

    💚💛💚💛💪💪💪

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 28 วันที่ผ่านมา

    Lengo mama la msimu huu limeisha, ujumbe kwa viongozi ni kubakiza nyota wakubwa na kuongeza vipanga vingine🖤💚💛

  • @gregorysixmund2020
    @gregorysixmund2020 28 วันที่ผ่านมา +14

    Kolo😂😂😂
    Sio kwa mateso hayaaaa
    Ubingwa
    Kiatu
    Mchezaji bora
    Kipa bora
    Kiungo bora
    Mshambuliaji Bora
    Beki bora
    Kocha bora
    Timu bora
    Mashabiki bora
    Jezi bora
    Tabasamu bora 😂😂😂

    • @happyvalence5352
      @happyvalence5352 28 วันที่ผ่านมา

      Da umesahau Mzee mpili Bora 😂😂

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 27 วันที่ผ่านมา

    Hongereni watani

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 28 วันที่ผ่านมา +9

    Hivi mla ugari na sukari ana ma goal mangapi?

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 28 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 28 วันที่ผ่านมา +5

    Operation bila gazi😂😂😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 28 วันที่ผ่านมา +2

    Haya ndio magoli sio yale ya mchongo ya nafasi ya pili Fc, na hata hio yapili hamuipatiiii

  • @saynomore7906
    @saynomore7906 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kama Ligi ina improve then kwanini viwanja viko ovyo!?......TFF mnabidi muangalie hili....Aibu

  • @Anderson-yq2we
    @Anderson-yq2we 28 วันที่ผ่านมา +2

    Yeah japo nataman fei mtt w boo ila azz k n bora zaid anastaili

  • @sohelajamgasa1502
    @sohelajamgasa1502 28 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa magoli manne ya nini? Tumetosheka na magoli labda Aziz pekee afunge💙💚💛

    • @flavianajohn5250
      @flavianajohn5250 28 วันที่ผ่านมา

      😂😅😂😅

    • @user-rc8sv9dg2l
      @user-rc8sv9dg2l 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je 28 วันที่ผ่านมา

      Hzi ni sifa tu wanatakiwa wakiingia uwanjani wamtengenezee aziz ki nafasi za magoli akishafunga matatu basi waaache wapinzani nao wafurahi

  • @user-ur1wq6qb8u
    @user-ur1wq6qb8u 28 วันที่ผ่านมา +2

    💚💛🗝️🔑🔥💪🙏

  • @user-dr4nj8sb8o
    @user-dr4nj8sb8o 28 วันที่ผ่านมา +1

    Good

  • @BintKashanga
    @BintKashanga 28 วันที่ผ่านมา +4

    Mfugaj Bora

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z 28 วันที่ผ่านมา +4

    Rahaaa tuuu

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 28 วันที่ผ่านมา +1

    Okra hana furaha kabisa hata kumshangilia mwenzake

  • @jjkmarcello6582
    @jjkmarcello6582 28 วันที่ผ่านมา

    Golikipa wa dodoma jiji 💔 nijau sana

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nimefrah Mzize alivyompa pass kiii

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 28 วันที่ผ่านมา

    Noma sana

  • @AhmedChitenda
    @AhmedChitenda 28 วันที่ผ่านมา

    Nice guy

  • @VenasiMasanja-ne8xy
    @VenasiMasanja-ne8xy 28 วันที่ผ่านมา

    Ki n noma

  • @iddoilomo1778
    @iddoilomo1778 28 วันที่ผ่านมา +2

    🔥🔥😂

  • @user-hv8ns7gs9c
    @user-hv8ns7gs9c 28 วันที่ผ่านมา

    This is second striker

  • @Joseph-57
    @Joseph-57 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi nimefurahi mpira umefuhi❤❤❤❤❤❤❤

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi 28 วันที่ผ่านมา

    🧡💛💚💛🧡🧡💛💛👏👏👏🔥🔥

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q 26 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂

  • @rogatusmeleki1660
    @rogatusmeleki1660 27 วันที่ผ่านมา

    Aziz ki si mbinafsi anafunga kwa ajili ya timu n si kwa ajili yake tu
    move ya goli la Nzengeli licha ya kuomba mpira n kutopewa baada ya Nzengeli kuona kakaa kwenye nafasi nzuri ya kujaribu kushuti n akafunga
    Lkn unaona uso wake umejawa n furaha n anakuwa wa kwanza kwenda kucelebrate nae

  • @VenasiMasanja-ne8xy
    @VenasiMasanja-ne8xy 28 วันที่ผ่านมา

    Kwayanga hii

  • @H3s4d
    @H3s4d 28 วันที่ผ่านมา +1

    Safisana

  • @DeusDamas
    @DeusDamas 28 วันที่ผ่านมา

    Ss ndo yanga

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 28 วันที่ผ่านมา

    Dodoma wanacheza km team yng ya simba ujinga uji6

  • @user-zg7og5bc6w
    @user-zg7og5bc6w 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hii ndio yanga bwana

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q 26 วันที่ผ่านมา +1

    yanga tuna keraaaaaaa

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mechi ya ndugu😅😅😅

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 28 วันที่ผ่านมา +4

    😂😂😂Utu tu mwaka huu ndo utatumika ila ingekua inaeezekana tuzo zote zilikua zinatakiwa kua za dar yanga afrika 💛💚💚🇹🇿 atutaki kuacha kitu ata za majin watupe 😂😂

    • @tumymohamed1278
      @tumymohamed1278 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 28 วันที่ผ่านมา

      Point sana 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn Raha zimezidi

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@ZenaMsumagilo we timu gn 💛💚🖤

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 27 วันที่ผ่านมา

      @@JastinAlphonce mimi Yanga naipenda mpaka inanilevya

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 27 วันที่ผ่านมา

      @@ZenaMsumagilo ahahaa gud sasa

  • @user-qn9ip4bx2y
    @user-qn9ip4bx2y 28 วันที่ผ่านมา +1

    Oooooooooooooooooiiii

  • @user-hv8ns7gs9c
    @user-hv8ns7gs9c 28 วันที่ผ่านมา +2

    Stephano aziz ki

  • @JacksonMakalanga
    @JacksonMakalanga 28 วันที่ผ่านมา

    🇹🇿

  • @user-lh4dj3qy5d
    @user-lh4dj3qy5d 28 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @SubiriSiame
    @SubiriSiame 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kyanite.wewe.ukowap

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 28 วันที่ผ่านมา

    Fei toto ni mtoto TU,asubiri wakati wake bado

  • @Ismailsuleiman-sj4uf
    @Ismailsuleiman-sj4uf 28 วันที่ผ่านมา

    Dah Yang raha cio poa

  • @edxonamadeo7150
    @edxonamadeo7150 28 วันที่ผ่านมา

    lazima tuwakere...

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 28 วันที่ผ่านมา

    Kumbe magol yenyewe ya butua butua ivo

    • @user-gj5uj8xm6z
      @user-gj5uj8xm6z 28 วันที่ผ่านมา +1

      yakweñu ambayo sio ya butu butu yakoap

    • @lukasjelamisanana6770
      @lukasjelamisanana6770 28 วันที่ผ่านมา

      @@user-gj5uj8xm6z angalia ya Jana ufurai

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-gj5uj8xm6z mwambie Anitha haon vizuri 😂😂😂

  • @MukhtarSaidi-hx1wj
    @MukhtarSaidi-hx1wj 28 วันที่ผ่านมา

    Msuuuuu Hanna timu wala Aziz ki hamn mchezaj ety mnamsifia goli LA hak inatakiwa utokwe jasho kupewa Moira gorin na kumalizia alaf mnamsifia mm nam laumu mzize kwanin asinge shinda mwenyewe aone faid ya jash lake😅😅😅😅

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 28 วันที่ผ่านมา +1

    Penalty ya mchongo kwa Aziz Domo😮

    • @annethtimoth3240
      @annethtimoth3240 28 วันที่ผ่านมา +2

      Bado hujasema

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 28 วันที่ผ่านมา +1

      Na mpaka useme

    • @faidha23
      @faidha23 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kolo kama kolo

    • @jkuser7593
      @jkuser7593 28 วันที่ผ่านมา +1

      Hongera ww uloumbwa na domo zuri

    • @FatumaShabani-mp9vt
      @FatumaShabani-mp9vt 28 วันที่ผ่านมา

      Wewe unauwakika 😮😮😮😢😢😅😅😅😅😅😅😅