"Mawazo" Sehemu Ya 1 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminian
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ธ.ค. 2022
- Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
TH-cam : th-cam.com/users/ChomozaTV?su...
#ChomozaTv#2022 - บันเทิง
Kwamba watu wengi Africa wana akili nyingi kwa sasa lkn akili haitumiki kwa sababu haiaminiki, Nmependa sana hii sentensi
WABARIKIWE WAZAZI WAKO, WALIKUPELEKA SHULE, SISI TUNAPOKEA MADIGRII YA MAVYUO BURE. ASANTE.
Mwalimu wangu ninayefuata kila uchao, pamoja na kiswahili chako kama kigumu kwa yule asiyekuwa mtafiti.
Ubarikiwe Dr Ellie na Team Chomoza kwa ujumla na CMG, Kama Taifa Tunajiona wenye Bahati kuwa na Mtu Genius kama wewe Dr.
Mimi binafsi naona Haya maarifa na Elimu ni Adimu sana kuyapata popote. Hakika mnatufungulia Dunia
Napenda jinsi Jimmy na Sam wanavyokuwa makini kusikiliza ,ni kama sisi tunavyofatilia mafundisho ya Baba Dr elie
Dr.Elie you've changed my mind
Now I love the life I live may God bless you and team Chomoza 🎉🎉🎉
Mungu kupitia Hilo SOMO nisaide kujua wazo langu kusudi langu nakuomba Mungu😭
Chochote unacho kiwekea taswira kipo kabisaa real ahsante team chomoza kwa wazo jipya we love you Dr Ellie vd waminian
Amina! hakika MUNGU ana vipawa vya ajabu alivyo wapa watu wake
Dr you never aged , your truly blessed , thanks for sharing your wisdom 🇬🇧🇬🇧❤
Dr. Elie tuna nufaika na elimu yako TZ. Proud of you, big time.
Naomba uandike ‘an audio book’ Dr Elly
Somo nyeti sana,be blessed dr and team chomoza
Ubarikiwe sana doctor unatujenga
Thanks Dr. Elie. We are blessed to have this platform and more so, for finding time to be of service to us.
Tuko pamoja chomoza na Dr Ellie Mungu ambariki sana
Namshukuru Mungu kwaajili ya uwepo wenu.
Mungu awe na Dr Ellie
We are blessed 🙏🙏🙏
Amina!! hakika MUNGU ana via vya ajabu alivyo wwpa watu
Asante chomoza.
You have postive mind.
Ameni
Mola awape maisha marefu muzidi kutuelemisha ....likewise Happy Christmas & Happy New year in advance 🙏🙏🙏🙏mubarikiwe mpaka mushagae
Daaah anaakili huyu jamaaa
@@janemwigune8232 Tena sana
Knowing your Life purpose👌👌👌
Amen
Respect baba
heri ya merry Christmas chomoza family twawapenda
SOMO LA THAMANI NA MHIMU SANA. ASANTE SANA
❤❤
Merry Christmas Dr. Elie and Team chomoza,
❤️
Babaaaaaa
🙏
Kumbe kunatofauti kati ya mimi na mie
Dt anamambo menge yakutufunza ila nyiye mnamkatatiza mapema angalawi muwe mnampa masaa 2 ili atufundishe mengi zaidi
Nipo nje ya kusudi/wazo…😢
Naamini nitalifikia kusudi/wazo…
Safiii
White boy and black boy
Sema ww mwamba unakwepa kwepa sana kwenye dini Apo, siri unaijua nmekumbuka umesema wote ni wanafiki naww bila shaka ni mnafiki pia, ww ndo umesema mimi nmenunkuu tu
Dini gani?
Unakumbuka usichotaka kujua?! 🤔
Mungu awabarik wote team chomoz
Chochote unacho kiwekea taswira kipo kabisaa real ahsante team chomoza kwa wazo jipya we love you Dr Ellie vd waminian
❤️