Mume Auza Mke Kwa Sh. 900, Kakamega
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2014
- Na katika tukio lisilo la kawaida, wenyeji wa kata ndogo ya Matunda katika eneo bunge la likuyani kaunti ya kakamega wameachwa vinywa wazi baada ya mwanamume mmoja hilo kumtoa mkewe kama malipo ya deni la shilingi mia tisa alilokuwa akidaiwa. Yadaiwa mwanamume huyo alikuwa akidaiwa deni hilo na jamaa mmoja aliyekuwa amemfanyia kazi ya kumtengenezea matofali. Badala ya kulipa deni hilo, mwanamume huyo alidinda huku akimtaka aliyekuwa akimdai kumchukua mkewe mahala pa deni hilo.
Waluhya aja kutuabisha na kuuza mabibi bibi ni golden gift from God bana
Inaonekana hawa watu walikuwa na kulana kweli kisiri.
Mapenzi hayani rika wala umri, Mungu awatende mema kwa ndoa yenu mpya, Amen.
kenya we need Jesus
Ni Kama walianza kitambo. Story ya matofali ikatimiza malengo yao.
Nimekwama hapo kwa 'gari si body, bora uangalie engine'
Eeeeei Kali kweli waaa 🙆gari si body ni Engine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yani unagawa wife aki lakini ata uyo mama pia alimake decision cos unaskia alikua akishikiwa panga waaa aki amevumilia so at least amepata new lover 👊👊mum
pole mama,mungu atakusaidia
This woman was waiting for the slightest opportunity to leave his husband😂😂😂😂😂😂😂😂😂 am happy for her
i think gharama ya maisha Kenya imepanda sana hadi kuchangia watu kuruka vichwa...na ww mama huna qwenu ndio ubalishe ndoa kaa nguo
🤣🤣🤣🤣
Lakini aki uyo mama amevumilia Mara kushikiwa panga ata sai hana jino moja kisa na maana ngumi from her hubby 😂😂😂😂😂so ameona Wandavwa atamlinda poa bila sarakasi ya panga ovyo ovyo All the best nimeenda kwaheri 🙌🙌🙌
PLEASE, TRY TO WRITE THE ENGLISH INTERPRETATION FOR US WHO DON'T SPEAK YOUR LANGUAGE...WE LOVE YOU.
Mathew Akinfenwa It's a Swahili session...So I don't think they can..just check on the English Session
Uko sawa
Where are these people 7 years later?
Pole sana mam
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eish usijali atleast uliuzwa more than Jesus😭😭😭😭😭
JAH DAUGHTER WAMBO TOSH hatari Sana
😃😃😃😃😃😃wako tu sawa
JAH DAUGHTER WAMBO TOSH aki we wish them all the best
😃😃😃😭😃 kabsa
😂😂😂😂😂😂
Happy couple🎉 wishing them well. They deserve a good life.❤❤
Huyo kijana mjinga kabisa,siwezioa mamayangu,..kijana angesahau hiyo pesa kwa akili yake naye huyo mama atafute pahali safe akae..huyo mzee kwa ulevi yake anaweza kuwaua usiku akisema alipokonywa bibi..
😆😆😆😆😆😆😆😆😆"Face your fears"
kila la kheri
nimeenda kwaheri🙌🙌🙈
Gnm mnG Face your fears..drive your dreams..
Na mbona huyu mwanamke akakubali kwenda huko kwani hakuwa na pa kuenda..unabadilisha ndoa na hujui uendako...kkkkk you pple you will styleup
inaonekana engine iko sawa😂😂
hahahaaaaaa siungerudi kwenu nyumbani😂😂😂😂😉😉
Alijua tu nyinyi mlikua mnafanya mapenzi....haha 😂
Hahaha noma sana
Wonders shall never end😂😂
Gari si bodi ni engine?aaiissseeee
Hata mimi nitaenda kupika matafwali nipewe pipi...😂
Sasa hii ni 😅
Wonders shall never end,kweli dunia imefika mwisho
Dunia haifiki mahali. Kumbuka Jamaa anaitwa David. Alipoona mwanamke mrembo kichakani, alitafuta na kuua bwana yake ili atumie huyo mwanamke sustainably. Huyu jamaa hakuua mtu.
Not just from no where.kuna venye kulikua 😀😀😀😀😀
Hahaaaa. Wacha ni cheke tu it's funny sure
🤣🤣🤣🤣🤣Ati aliambiwa toka uende kwa bwanako na akajitoa akaeda???Lord have mercy
Hongera mamamkwe
Waluyah na maajabu mengi
It's only in Kenya 😂😂😂😂😂
I wish she could know the message on her shirt "face your fears"
melvin lokiwial Maybe she knows but understanding is the main issue
Ooh dear lord.ooh I for a minute forgot that we share the same republic with these very intelligent logical beings.Amen
Kama ni mlevi na mwenye vita akae peke yake. Congrats to the new couple. Hadi kumng'oa jino?????❌
Kweli Kenya ni busy country masaa ndo machache
woooi 😯😯😯😯ni wapi sasa ????
Heheee .....ati gari ni engine. ..lo.......ata tingatinga ina engine. Yake ni ya v8 ama ni fyat........cc ngapi?
Nauliza tu......
Wewe mwanamke mlikuwa mnakaa na uyu jamaa alikuwa anashinda bibalua kwenu za kukata matopeli juu mliambiwa muende naye umeoa mamako senzi
Her T-shirt says it all - kwa raha zao!
Ati wachatu nikae vile amenipangia🤣🤣🤣
Hahaha huyu bibi alikua ana chachua kaenda kirahisi kweli?
Haahaaa,,,Jehovah hii ndio ile green weed kabisa,,Lazima nitafika western siku moja nioje
Mh, Nako Kenya hakikisha vituko,, Kila leo
😆😆😆😆😆😆 kakamega vituko haviishi gari c body unangalia engine 😂😂😂😂
900 thousand or shillings?
Oh 🤣🤣🤣🤣Mungu nisamehe kucheka ...please followup this story tujue wamefikia wapi🤣🤣
Woii
Waluhya na vituko😂😂😂
Gari si body ni engine he he he...
ila kenya kwavisa na vituko mmezidii
salma masoud afadhali sema wew dear
Kenya shida sana kila kukicha visa tuuu
Mia 900 Itapendeza Zaid.
It's mainly in Western Kenya not Kenya in general... tena sio lazima huzuni au visa via kuogofya kila mara
Kwani ilikuwa serious
Ski waluhya punguzeni bagi 😂😂😂😂😂
Kenya jamani, waluyha jo
Hapa hakuna ndoa ya kudumu, baada ya mda atoa rika lake
Mumenia angusha Leo marafiki zangu daah
Tobaaa.... makubwa
heheheee aiyaaa
Hii Kenya si ina bangi aki 🤣🤣🤣
😂😂😂kweli meno ime ngoka 😂😂 aiii hehehhh
😂😂😂hi nayo ni kali waa
mh yani kenya kunavituko mpka basi
Haiya na ubaya ni wajui hali yao
Masikini haitaji hali, umasikini ni hali tayari.
Huyu jamaa amekuwa akikanyaga mama na matofali...........
Swartzcop Kennedy very true
Kendi Ireen 🤣🤣🤣Aki wa kenya mumenishinda tabia
lazare kassi 😂 🤣 mungu angilie kati
Hahahahahaa
lazare kassi Usi'generalise the whole Kenya juu ya MTU mmoja
Engine light
Nani aliroga hawa watu wa kk?
hatari makubwa
Future husband,usiniuze tafadhali
☺☺☺
Hahaa u made my day
😂😂
aibuuuuu
huyu mwanamke alikuwa na mabwana wawili hawawezi juana kwa siku moja na waoane
Hiyo n ufala sana
😂😂😂wanajuana si Siri !
3.17 pwahahahahahhahahahhahaaha engine kitu gani
ma bi na mabwana tutatokelezea wapi? ???
Watu na vituko!
hahahaha waluhya hamuachu vituko
Jamila Moo si waluhya, tapia ya uyu mama ana heshima ata .
Kweli bangi si cabbage.......
Heee! Dunia isimame nishuke
"ngari si body ni engine"
bisi mwania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
yes u heard him.Gari si body ni Engine aki 😂😂😂😂😂😂eeeeish my ribs
Haaaaaahaaaaa uuuuwi hata mi nipeanwa jamen
Kenya hatuhami ngoo.....
Haha crazy
hahahaha...usiangalie body angalia ingine
Mtaaja bangi watu wa Lugari, ukajukuwa nguo zako vane
kwani bibi ni malenge ama ovacado? wewe bwana mjinga kweli na wewe bibi kaa chonjo huyo bwana yako si Mzuri.
mama na hyo uzee yote wachana na mtoto Wa mwenzio
haaaaaaa bangi ndiyo nyingi
mambo
Samuel Mainye Momanyi
poa
Nilichoka🤣
tapia nayo haaa
Mother kuangalia umuri alichoka😂
😁😁
🤣🤣🤣
😀😀😀how can u give out ur life to other money because 900ksh
gari si bodi 😂😂😂😂😂
Waluyha si muwache bangi kwani ni lazima mvute
Waluhya wanamasaibu jameni
Luhyas are comedians by default lol
Waluhya punguzeni bangi
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
hagmann serah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Masomo ndio ndogo ama ni nini
Ukisikia wakitukana wakikuyu na tabia kwao bofu zimewalemewa