Mgaagaa na Upwa: Mhudumu Chumba cha Maiti
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ก.ย. 2011
- Mtazamaji, utakubaliana nami kwamba kifo ni adui wa binadamu ijapokuwa ni lazima kwa kila binadamu. Na si ajabu basi muda tu mhusika anapofariki, ni wachache mno wanaotaka hata kumkaribia, licha ya kuwa huenda alikuwa rafiki yao. Kinyume cha hivyo, ni kuwa kwa wengine, kifo kinapotokea, huwa mwanzo wa kazi kwa wengine. Mwanahabari wetu Job Mwaura, alikutana naye Michael Njuguna,ambaye kwa muda wa mwaka moja sasa amekuwa akifanya kazi katika chumba cha kuhifadhi maiti. Na hii ndio taarifa yake kwenye makala ya kila jumanne ya mgaagaa na upwa.
Thenx guys for your appreciations...its al bout life and am really proud of my job am now a manager in a Funeral Home in Kenya..God bless you.
mike antony
God bless you sir...that job needs courage it's by grace to make it.big up👍👍
God bless you more
I would love to work with you. I have always love the work morgue attendants are doing. And I want to be like you also. This is my number 0721968101
Beautiful. Thank you for taking care of the people
mike antony
Waoh... great job. May you be granted strength and courage to serve. As you said, one can see it on your face.. it’s like Calling...i don’t know why we fear the dead... death is only a transition from one realm to another🦋🙏🏿
Hii ni talent kutoka kwa Mungu..sio kazi rahisi... congratulations Brother kanyangia hapo... kila mtu ako na kosi yake...
😢
He is so handsome.
Kazi Ni kazi yule anakutharau Kwa iko siku atakusalimia Kwa heshima usife moyo kaka fanya kazi yako
i thank God he gave me this courage and many people appreciate my job
Montezuma and Monalisa is a very good, clean and professional funeral home. I abruptly lost my brother at home, we had a friend give us reference to the funeral home, they came home and picked the body free of charge, handled us very well, they had the government pathologist talk to us at lengthy the cause of my brother's demise, and preserved my brother very well. Thank you so much for making our burden lighter during that very trying period in our lives... God bless you for respecting even the dead who can't talk.
Pole engina
Poleni Sana dr
mbele kwa mbele bro usirudi nyuma heri kuosha maiti kuliko kuiba mungu ubariki kazi ya mikono ya mutu.
salume omushobo.
احمد خالد gv CNN b ah kg ay
Abariki???utakufa
Wow I really wonder how that man is such courageous.
Wooow,,,am training for the same profession......am so passionate about this.thumb up💓
Ukimaliza shule
Uko sure
I always love the job and wish to get there
Ulihamia citizen tv job mwaura, great job
Hongera. I really do appreciate your hard work.
i will never 4get di name "montezuma monalisa funeral home" my mom passed away 15 August 2007...from Nairobi hospital and he was transported back to Tanzania by montezuma servises....i dont know if the guy in this video was there when my mom passed away.....i dont know if he was the one who took care of my moms body....but all i can say is thank u so very much 4 ur services and plz dont get tired of doing what ur doing.....
Justinno Derosa
Rip 😟
Justinno Derosa
Sorry for your loss and may her soul Rest In Eternal Peace
MUNGU azidi kukulinda nakukuongoza kwenye kazi yamikono yako.
Hongera sana..office ya mtu usiidharau
Usikate tamaa ayo ndio maisha usisikize ya watu, god bless you
Jeremiah 29:11 for I no the plans that I hv for you declares the lord
mbona mm naogopa hii hali ndio warembo hupenda kuuliza mwaume una kazigani kabla uwe nae he una mwanaume kazi ni hiii 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
mungu ndiye upanga Riziki uwezi kujua riziki utoka wp,, Arapha Hassan from Tz
Pongezi!God bless you so much
love this God bless u
congrats u hv a strong heart n ur soo handsome
Kasime
The fear i have for coffins, let alone dead bodies i honestly wish i could be strong as you when it come to this sector. God bless aki.
Me too
Kazi,.Ni.kazi..brother.endelea.cos.msipofanya.hivo.watu.wakikufa.wataudumiwa.nanani.kwa.sababu.cio.watu.wengi.ambao.wanastaimili.kuona.maiti.keep.on.good.job.hio.ni.neheema.kufanya.kazi.ka.hio.cio.rahisi
Be strong. It's normal
barikiwa na mungu abariki kazi ya mikono yako
I salute you bro..big up
wow I like it bro ,kazi ni kazi
Ubarikiwe😥🙏
kusafi sana, congratulations
Inspiring God bless you Njuguna
Safi. Sana. Kaka. Kwani. Ao. Wanazalau. Kazi iyo wakumbuke. Ao. Maiti. Walikua kama. Sis. Kila. Ktu. Walikua wanafanya wenyewe. Kikitokea. Kifo. Ata. Awe. Nani. Autajiweza. Kwa. Lolote. Lazima. Uogeshwe. Uvalishwe.na.uduma
Zingine.kila.bnadamu.ni.ivo.
Mungu akubariki kaka uskate tamaa
Wao bro I like you and I admire being a morgue attendant bro keep it up
Ican like thus job
Kazi ni kazi Bro
Waaah! Kali sana...naeza pata job uko bro. ...
Big Up 👏Brother
Brother you have good job keep going
kazi ni Kazi bora pesa
Thanks for take care of of:)🇹🇿
Kazi ni kazi bora uhai
I love the guy he is handsome...
Gloria onditi walio kufa pia walikwa to ni watu kama sisi kwanini usimudumie akiwa ako helpless sasa. mimi kwangu mimi sioni ikiwa ni job mbaya na mapenzi haichagui job utakiwa anafanya wapi .so usiseme angekutaka ungekata imagine kilamtu atakufa but tukiwa na wenye wamejitoa kutu tudumia nivizuri hatuwezi kukuliwa na mafisi uko njee
Mungu akubariki sana
I love this job it has always bn my drm n I'll achieve t beside my parents denial
Leen Kamur 😂😂😂😂 kuwa serious
What are the qualifiaction since my parents have been discouraging me but at long last i will make sure nimefanya job uko
Khai
Keen kamau same here.
Good job my brother
kazi ni kazi
keep it up, confidence is what we need
Job, Hukuogopa ulipoingia hapo woyeeee, Gai. I love the spirit of The man. Job how was the experience there?
Uwe hodari na moyo wa ushujaa brother
ii inahitaji courage si mtu ka mm.kama kuona ata ya mtu wetu mi shida
very good job!
I admire him may God bless him
Kazi ni kazi
waaa iyo job inahitaji roho ngumu
Hustle ni hustle Broh never mind
kazi ni kazi bro
*Kama ulikua unataka kuwa soldier, naamini utakua na hiyo roho ya kuonana na Maiti kila siku, Ndio maana tunaambiwa, jinunulie sanda lako KABISA uliweke kabatini, ukija kufa usihangaishe watu na usijihangaishe nafsi yako iliyo kufa, kifo huja ghafla* !
atinis uko tayar umenunua👀
Ako sawa masha Allah
it tykes courage....oh my God it's difficult
Ni safi
kazi Ni kazi we jali kipato kaka angu
kp it up bro ....that's a power from God .
yr right siz
🙆🙆🏿♀️🙆🏼♀️🙆🏻♀️ am afraid, ata km kz Ni kz lkn🤒🤒🤒😒😒😱😱👋👋
nice story
Ya mungu ni mengi ,Wacha mungu afanye kazi yake
in fact ningependelea nikifa wanilete apo kwako juu nikusafi sana since I am a clean gal napenda clean things atanikifa niwe pahali clean kama hapo. God bless your job bro
lovina akinyi 😂😂😂😂😂😂
very clean
ohh GOD Help him😢😢😢Courage
Hongera kaka Kwa ujasiri wko
God bless u
You look so handsome
Duh
he is handsome
uuuuuhh it take courage to do this......kip up
I love citizen souch but on my side I can't work at mortuary .
Good work
😂😂😂😂mpaka nimeamka can't sleep again......that guy so cute oh
Princess Kim íininbninibn. ninninin i ii iii
Kasi n kasi bora doo
Good job
Ngaii
Where can I be trained am willing
I need this job
Congrats bro, how can I get that job
Jesus I r strong bro me hiyo job joh cwezi
Fixer Shi Sugusia,
hapo kwa kugonga MTU na chupa kumeni jazz😹😹😹😹😹
Mh
we need you..mad respect your work is important to society
Kaxi ni kaxi jipe moyo sana
Na morg yenu ni safi kabisa
🙆♀️
Kaka kama haujaoa mm nipo buree..niko tanzania
Unataka hela tu we
@@miltonnorbert7212 🤣🤣🤣🤣
@@miltonnorbert7212 hahahahaha umenichekesha eti anataka hela hahahahaha,apana kaka tupo wengi tunahitaji kuolewa siyo kuwa tunahitaji pesa ila nimecheka
wow where can I find u please... if u wont mind
Kkk Respect
Montezuma is very clean try your hand at city mortuary
This is my dream. I believe it's my calling
Daah!!
@@stellanalianya6215😂😂😂
Mazee hiyo maneno yako iko poa ilaaa......
Emillywanjira
You are not alone brother
pia wewe
Edirian rivuge
Demn.. Na venye uko mhot, chapa kazi
Ft
hiyo kiswahili ya Magaagaa na upwa ndiyo poa