Kijana Apashwa Tohara Ya Kitamaduni Kawangware

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ส.ค. 2014
  • Jamii ya waluhya ni mojawapo ya jamii za humu nchini zinazoenzi mno utamaduni wa upashanaji tohara kwa wavulana. Kila baada ya miaka miwili, miezi ya Agosti na Desemba wakati wanafunzi huwa likizoni, huashiria mwanzo wa msimu wa tohara katika jamii hii. Ukidhani wanaoshikilia mila hii ni wale walio mashinani pekee, umekosea. Leo tunakuletea taarifa inayoonyesha kuwa katika jamii hii, mila ni mila haijalishi inafanyikia wapi. Familia moja inayoishi mtaa wa Kawangware hapa Nairobi imeonyesha wananairobi kuwa muacha mila ni mtumwa kwa kuandaa sherehe ya kitamaduni ya kupasha mtoto wao tohara hapa nairobi. Mwanahabari wetu patrick injendi amekuwa akifuatilia sherehe hii kwa siku kadhaa na hii hapa taarifa hiyo kwa kina.

ความคิดเห็น • 58

  • @heavyweight5487
    @heavyweight5487 5 ปีที่แล้ว +3

    👏🏾👏🏾👏🏾 well done boy. Ulionyesha dunia yote where we come from.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 5 ปีที่แล้ว +1

    MASHAA ALLAH limengenga hilo

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 6 ปีที่แล้ว

    mmhh vizuri

  • @austinewafula7528
    @austinewafula7528 6 ปีที่แล้ว

    well covered and edited

  • @nancykanaya1565
    @nancykanaya1565 6 ปีที่แล้ว

    Pole msinde

  • @cutelady3710
    @cutelady3710 7 ปีที่แล้ว +4

    I like culture. This is beautiful.

  • @lillianwanjiru1169
    @lillianwanjiru1169 6 ปีที่แล้ว

    pole aki

  • @lidiammbone6126
    @lidiammbone6126 3 ปีที่แล้ว

    Uchi woooooi

  • @ebbymbao3865
    @ebbymbao3865 5 ปีที่แล้ว +1

    Waau, uyo ndie mwanaume 💪💪💪

  • @austinmabele3132
    @austinmabele3132 4 ปีที่แล้ว

    The best culture

  • @maureentasha3706
    @maureentasha3706 7 ปีที่แล้ว +1

    Jesus my babies are born of different cultures this no more please waahh

  • @redskyboom4677
    @redskyboom4677 ปีที่แล้ว

    Mahali tutokako na mahali tuendako 😂😂

  • @adanletoo2530
    @adanletoo2530 5 ปีที่แล้ว

    Accent ya ngariba imenbamba sana

  • @samuelmaloba4939
    @samuelmaloba4939 5 ปีที่แล้ว +1

    Better hospital this is a thing of the 18th century

  • @rispergwaro8817
    @rispergwaro8817 6 ปีที่แล้ว

    Ghai

  • @zannesmarie728
    @zannesmarie728 3 ปีที่แล้ว

    Mahali nimetokako, na mahali niendakako

  • @joyann985
    @joyann985 6 ปีที่แล้ว

    Where is Hon.Sifuna.

  • @lidiammbone6126
    @lidiammbone6126 3 ปีที่แล้ว

    Mahali tukako na mahali kuendako

  • @lidiammbone6126
    @lidiammbone6126 3 ปีที่แล้ว

    Hahaha ati bora akue uji

  • @janethmutai4543
    @janethmutai4543 3 ปีที่แล้ว

    knife ouch

  • @nancyachieng5365
    @nancyachieng5365 6 ปีที่แล้ว

    Awesome but the knives oohh no

    • @cephaswamalabe9041
      @cephaswamalabe9041 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅 hatunanga hofu na hio, cha muhimu mtoto amekatwa

    • @cephaswamalabe9041
      @cephaswamalabe9041 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅 hatunanga hofu na hio, cha muhimu mtoto amekatwa

  • @mreallashy3525
    @mreallashy3525 6 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @happysoul5356
    @happysoul5356 4 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annesther9160
    @annesther9160 4 ปีที่แล้ว

    My son, hospital direct

  • @franklinkarani8031
    @franklinkarani8031 5 ปีที่แล้ว

    Akuna duniani kutaili Kama wameru

  • @robertmwangi7875
    @robertmwangi7875 6 ปีที่แล้ว +1

    This culture is just off

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza5813 5 ปีที่แล้ว

    Watu wa pungoma vaye 😵

  • @keysomkeysom1187
    @keysomkeysom1187 6 ปีที่แล้ว +2

    Culture gani hii duh isei watu wanachoma kisumu ati culture ((( sijawahi kuiona wakikuyu wanachoma kuwao lkn mjale anachoma kisumu why kkkkkkkkkkk duh duh

  • @fridahdmmy4495
    @fridahdmmy4495 8 ปีที่แล้ว +2

    Ooh noo those knives,this can transmit HIV/AID

  • @jacinterroy7120
    @jacinterroy7120 8 ปีที่แล้ว

    mmm which universe are these people from? yani hakuna wenye wamesoma kati yao,masomo hijawadaidia hata kidogo

    • @cutelady3710
      @cutelady3710 7 ปีที่แล้ว +2

      mwacha mila ni mtumwa. i have liked it more.

    • @matthanmuyela4329
      @matthanmuyela4329 4 ปีที่แล้ว +2

      We have gone to school but we love our culture. That's what makes us different from others.

    • @nancynanjala5704
      @nancynanjala5704 4 ปีที่แล้ว

      Matthan muyela tall them again we do love our culture

    • @rasputin7323
      @rasputin7323 3 ปีที่แล้ว

      Mila na masomo Zina usiano gani?

  • @patricknyongesa8742
    @patricknyongesa8742 6 ปีที่แล้ว +1

    My people let's stop this culture plz

  • @charlowmathew9762
    @charlowmathew9762 6 ปีที่แล้ว +2

    jaluo mmeona hiyo ? na nyiye mfanyiwe hivyo ilimkuwe na heshima

  • @reuelngugi1622
    @reuelngugi1622 4 ปีที่แล้ว

    Primitive,silly culture