LIVE: Mungu Hafanyi Kazi Peke Yake |Pastor Tony Kapola Anazungumza na Vijana Chamani XXL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ธ.ค. 2022
  • #CloudsDigital ipo mubashara kutoka Stusio ya Clouds FM kwenye kipindi cha #xxl
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 84

  • @kongs.9595
    @kongs.9595 ปีที่แล้ว +10

    Wafilipi 4:6-7
    [6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
    Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God.
    [7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
    And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.

  • @janetmbambazi6865
    @janetmbambazi6865 ปีที่แล้ว +10

    I love listening to pastor tony

  • @rehemasimsamba1788
    @rehemasimsamba1788 4 หลายเดือนก่อน

    Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.

  • @user-vd9gi8ik4n
    @user-vd9gi8ik4n 5 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana pastor tony kapola

  • @veronicamahenge7256
    @veronicamahenge7256 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda pastor Tony kapola❤

  • @user-lp8mu7ri2u
    @user-lp8mu7ri2u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanaume wa wanaume Yesu anainua

  • @yohanadaniel7030
    @yohanadaniel7030 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante Pastor ninajifunza vingi kupitia wewe all in God bless you

  • @jonathanthomas7606
    @jonathanthomas7606 ปีที่แล้ว +1

    Bigap kwa pastor Ton kapola🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️❣️

  • @paulinedavid2524
    @paulinedavid2524 ปีที่แล้ว

    Asante pastor tony napokeaq mbegu yangu bora iliyopandwa ndani yani yanu iman chanzo chake kuskiaa

  • @gracesilas1971
    @gracesilas1971 ปีที่แล้ว +1

    Preach Preach Preach Man of God,your in the right place sir.

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 ปีที่แล้ว +3

    Mungu si tegemezi ujue pia

  • @victodeussiriwa3919
    @victodeussiriwa3919 ปีที่แล้ว +3

    What an interview... asanteni sana

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim4057 ปีที่แล้ว

    God bless u pastor tony kapola nakuelewa sana

  • @kennethkelvin7225
    @kennethkelvin7225 ปีที่แล้ว +2

    well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri.
    Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...

  • @TheRealTemidayo
    @TheRealTemidayo ปีที่แล้ว

    The Best Interview ever! He GOATED IT!!

  • @clemence3493
    @clemence3493 ปีที่แล้ว

    Be blessed pastor Tony

  • @benomeya797
    @benomeya797 ปีที่แล้ว +3

    Thanks Tony, kila nikifuatilia mafundisho yako napata kitu kwenye maisha yangu na familia yangu

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Asante sana mtumishi watu umewajibu vizuri sana Mungu akubariki

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 ปีที่แล้ว

    Hongr pastar Mungu ataotesha mbegu ambazo umepanda no matter what Hakika Mungu anakusikia

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 ปีที่แล้ว +2

    Thanks

  • @saimonmizingo7485
    @saimonmizingo7485 ปีที่แล้ว

    Unanipa radha ya neno la Mungu paster ubalikiwe

  • @priscillamwashigadi1271
    @priscillamwashigadi1271 ปีที่แล้ว

    Asanteni

  • @giftmbogela2435
    @giftmbogela2435 ปีที่แล้ว +1

    Adam bhn anaharibu interview aambiwe anaboa

  • @bettybusumba1478
    @bettybusumba1478 ปีที่แล้ว +1

    Well done Tony

  • @barakaandrea8271
    @barakaandrea8271 ปีที่แล้ว

    Amen mchungani Kapola

  • @user-op8rq3xr1w
    @user-op8rq3xr1w 6 หลายเดือนก่อน

    God bless you ...

  • @godlisenservice9555
    @godlisenservice9555 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni Bonge la interview, nimependa @xxl mlivyokuwa creative. Ur the best media with bright presenters.

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na Mafundisho japo muda mchache Barikiwa mtu wa Mungu

  • @atanasicosmas6678
    @atanasicosmas6678 ปีที่แล้ว

    So sweet

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana huyu Pr

  • @InsideTanzania
    @InsideTanzania ปีที่แล้ว

    Amen

  • @sinaichristian8365
    @sinaichristian8365 ปีที่แล้ว +2

    Sisi ndo wale tunaosaidiwa na mungu

  • @josinahmukoya3311
    @josinahmukoya3311 ปีที่แล้ว

    This was very powerful let man of God blessed

    • @merrykisu
      @merrykisu ปีที่แล้ว

      Eee MUNGU anisaidie namimi

  • @user-qq5rp9qn5t
    @user-qq5rp9qn5t ปีที่แล้ว

    Jamani kodi nyingi sana nchi hii, zinakatisha tamaa

  • @clemence3493
    @clemence3493 ปีที่แล้ว

    Emeeen

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 ปีที่แล้ว

    🙌🙌🙌🔥🔥

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga ปีที่แล้ว

    Ameen kiongozi

  • @mulidjuma6095
    @mulidjuma6095 ปีที่แล้ว +2

    Good sana wanangu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 ปีที่แล้ว

    Good 👍

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 ปีที่แล้ว +1

    Pastor ana sauti kama Barnaba fulani

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 ปีที่แล้ว

    XXL good 👍 pastor yuko goooooood

  • @benjaminilutakala9254
    @benjaminilutakala9254 ปีที่แล้ว

    Dah pastor katulisha madini ya maana sana

  • @Paplick9
    @Paplick9 ปีที่แล้ว

    Master maind

  • @dianamchami2720
    @dianamchami2720 7 หลายเดือนก่อน +1

    Adam plzzzz iga mfano wa milad akihoji watu kahhh

  • @Hshshhsi1222
    @Hshshhsi1222 ปีที่แล้ว +1

    Bangi anazovuta Adam ukijaribu unawezq kuvua nguo ukahc bd umevaa 🤣 ila huyu pastor ni next level 💥

  • @koburungomubahasha2207
    @koburungomubahasha2207 ปีที่แล้ว +4

    Adam bangi mbaya saana na anakaribia kuzimaa haisee

  • @enockadam8509
    @enockadam8509 ปีที่แล้ว +2

    Huyu pastor kapola ni balaa, kiukweli sijawahi ona

    • @maryaika9645
      @maryaika9645 ปีที่แล้ว

      Anadanganya
      Mungu ni Mungu
      A nafanya kazi pekeyake na
      Au na watu

  • @dankonkwibe2032
    @dankonkwibe2032 ปีที่แล้ว +1

    Please Adam, let the Pastor explain him self.

  • @MarcoAbel-rj5kv
    @MarcoAbel-rj5kv ปีที่แล้ว

    Good

  • @barakabenoni857
    @barakabenoni857 ปีที่แล้ว +1

    Adam unauliza maswali mazuri Mungu akubariki

  • @O11CEreview
    @O11CEreview ปีที่แล้ว +6

    Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 ปีที่แล้ว

    Nmba ya pastar please

  • @clemence3493
    @clemence3493 ปีที่แล้ว +1

    Daah. Adamu chizi kweli eti Kumoka

  • @nathanielshayo6306
    @nathanielshayo6306 ปีที่แล้ว +2

    Bonge la kipindi na hongera kwenu.....next time Tena japo hjamliza kiu yetu leo

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 ปีที่แล้ว

    Ahaaaa mmetukatisha

  • @hanslikecha4786
    @hanslikecha4786 ปีที่แล้ว

    Nitakuwepo tena hichi kipindi

  • @jonathancosmas8131
    @jonathancosmas8131 ปีที่แล้ว +3

    Aje Tena tunahitaji madini siku nyingne

  • @nancynkya4462
    @nancynkya4462 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu kak ana maswali ya ajabu😅😅😅

  • @Gtunewaves
    @Gtunewaves ปีที่แล้ว +4

    kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 ปีที่แล้ว

    2023 ukwendeee zakee

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 ปีที่แล้ว

    God enjoy to be in the middle of Men🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mariethaschoolofbeauty
    @mariethaschoolofbeauty ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze sana baba mchungaji aisee unajua kufundisha neno la mungu

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 7 หลายเดือนก่อน

    Hakuna nchi isio na uhalifu mtu wa mungu 😅😅

  • @safiahassan6121
    @safiahassan6121 ปีที่แล้ว +2

    Watangazaj wana makelele hawatoi mda kwa mchungaj

  • @goldprocessplant5893
    @goldprocessplant5893 ปีที่แล้ว +6

    Mwanadamu ameumbiwa roho chaguzi Kisha akaonyeshwa kutambua mema na mabaya na mwisho wake akaambiwa

    • @barakachaula7055
      @barakachaula7055 ปีที่แล้ว

      Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment

    • @jacklinechaula
      @jacklinechaula ปีที่แล้ว +2

      Ww nawe hujaelewa ww ndo uache kulopoka hpo vyote anavyoongea vipo kweny biblia kwahy kasome biblia ndo uje kukoment

  • @laurianpima2528
    @laurianpima2528 2 หลายเดือนก่อน

    Una kitu,utafika mbali

  • @tugwemshana8825
    @tugwemshana8825 ปีที่แล้ว

    Kanisa lako lipo wapi mchngaji

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 ปีที่แล้ว

    Jumatano akija muulize kwanini Yesu amezaliwa tarehe ya mfanano na miungu wengi

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 ปีที่แล้ว

    Betrayal is painful sin😔😔😔

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 หลายเดือนก่อน

    Macho ya rohoni adamu vipi wewe mkristo gani jamani tunaimba kwenye kipaimari

  • @rubyring100
    @rubyring100 ปีที่แล้ว +1

    Walikula Bangi 😂😂😂

  • @habibaissa3641
    @habibaissa3641 ปีที่แล้ว +2

    Sank you