Wafilipi 4:6-7 [6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God. [7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu. And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.
well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri. Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...
Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia
kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much
Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment
Wafilipi 4:6-7
[6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God.
[7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
I love listening to pastor tony
Speech zake ni very powerful and and contains authority man of God.HOPE one day atakua the biggest preacher in the world.Hakika kupitia yeye Mungu amenivusha kwenye eneo ambalo nilikua nimelizoea.
Barikiwa sana pastor tony kapola
Nakupenda pastor Tony kapola❤
Mwanaume wa wanaume Yesu anainua
Ahsante Pastor ninajifunza vingi kupitia wewe all in God bless you
Bigap kwa pastor Ton kapola🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️❣️
Asante pastor tony napokeaq mbegu yangu bora iliyopandwa ndani yani yanu iman chanzo chake kuskiaa
Preach Preach Preach Man of God,your in the right place sir.
Mungu si tegemezi ujue pia
What an interview... asanteni sana
God bless u pastor tony kapola nakuelewa sana
well done mtumishi Tony, mafundisho mazuri.
Sema utusomee neno kwa kutumia Biblia maana hizi App za simu muda wowote zinahitaji Update sijui wanapunguza neno au wanaongeza ...
The Best Interview ever! He GOATED IT!!
Be blessed pastor Tony
Thanks Tony, kila nikifuatilia mafundisho yako napata kitu kwenye maisha yangu na familia yangu
Asante sana mtumishi watu umewajibu vizuri sana Mungu akubariki
Hongr pastar Mungu ataotesha mbegu ambazo umepanda no matter what Hakika Mungu anakusikia
Thanks
Unanipa radha ya neno la Mungu paster ubalikiwe
Asanteni
Adam bhn anaharibu interview aambiwe anaboa
Well done Tony
Amen mchungani Kapola
God bless you ...
Hii ni Bonge la interview, nimependa @xxl mlivyokuwa creative. Ur the best media with bright presenters.
Wooou
Nimebarikiwa na Mafundisho japo muda mchache Barikiwa mtu wa Mungu
So sweet
Namkubali sana huyu Pr
Amen
Sisi ndo wale tunaosaidiwa na mungu
This was very powerful let man of God blessed
Eee MUNGU anisaidie namimi
Jamani kodi nyingi sana nchi hii, zinakatisha tamaa
Emeeen
🙌🙌🙌🔥🔥
Ameen kiongozi
Good sana wanangu
Good 👍
Pastor ana sauti kama Barnaba fulani
XXL good 👍 pastor yuko goooooood
Dah pastor katulisha madini ya maana sana
Master maind
Adam plzzzz iga mfano wa milad akihoji watu kahhh
Bangi anazovuta Adam ukijaribu unawezq kuvua nguo ukahc bd umevaa 🤣 ila huyu pastor ni next level 💥
Adam bangi mbaya saana na anakaribia kuzimaa haisee
Huyu pastor kapola ni balaa, kiukweli sijawahi ona
Anadanganya
Mungu ni Mungu
A nafanya kazi pekeyake na
Au na watu
Please Adam, let the Pastor explain him self.
Good
Adam unauliza maswali mazuri Mungu akubariki
Aaah adamu mchomvu anazingua anacompein kila mda hatulii kusikiliza hadi anamtoa mzungumzaji kwenye mpangilio wa point kwani hua hawezi kutulia tu au awe anatoka wengine waendelee haiwezekani mtu aanaelezea ye anakurupuka huko na kuongea tena visivyo endana nachanganya mambo dah watu tuko makini kuelewa lakini huyu adm anaharibu sjui majina ya adam yana shida gani naona akili zao ni za kushukiwa tu hawawezi kutulia
Yaniii anakera
Akuwe najikaza muache mtu amalize maneno kwenye kuongea
Nmba ya pastar please
Daah. Adamu chizi kweli eti Kumoka
Bonge la kipindi na hongera kwenu.....next time Tena japo hjamliza kiu yetu leo
Ahaaaa mmetukatisha
You blessed mi
Nitakuwepo tena hichi kipindi
Aje Tena tunahitaji madini siku nyingne
Uyu kak ana maswali ya ajabu😅😅😅
kuna time mchomvu anakera sana tena anaharibu si vyema kumkatisha mtu akiwa anaongea yan kila interview anafanya hii mbona wakina mamy na kennedy wanatulia mpaka mtu amalize then maswali yanafuata lakin adam kila sekundi kasharukia ebu hii kitu arekebishe maana inakua too much
Kwakweli kher umeongea🎉🎉
hat mm napenda Sana uyu mchungaji
2023 ukwendeee zakee
God enjoy to be in the middle of Men🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu akutunze sana baba mchungaji aisee unajua kufundisha neno la mungu
Hakuna nchi isio na uhalifu mtu wa mungu 😅😅
Watangazaj wana makelele hawatoi mda kwa mchungaj
Mwanadamu ameumbiwa roho chaguzi Kisha akaonyeshwa kutambua mema na mabaya na mwisho wake akaambiwa
Huu nimsiba Eti Mungu hafanyi kazi peke yake haya tueleze anasaidiwa na wewe au tufundishe Mwalimu,,, nijuavo Mimi Mungu hanamshirika hapo VP acheni kuropoka ili mpate coment
Ww nawe hujaelewa ww ndo uache kulopoka hpo vyote anavyoongea vipo kweny biblia kwahy kasome biblia ndo uje kukoment
Una kitu,utafika mbali
Kanisa lako lipo wapi mchngaji
Jumatano akija muulize kwanini Yesu amezaliwa tarehe ya mfanano na miungu wengi
Tarehe ipi
Betrayal is painful sin😔😔😔
Macho ya rohoni adamu vipi wewe mkristo gani jamani tunaimba kwenye kipaimari
Walikula Bangi 😂😂😂
Sank you
❤❤❤