@@iam_sami kumbe we mwenyew kilaza asa dereva kauliwa na nani kilichomuua ni kilevi chake istoshe hao ni watu sio dini na mtu anaweza kufanya uhalifu kwa njia yeyote ile mfano kuna kesi nyingi za wachungaji, mapadri waumini wa dini ya kikisto kubaka kutembea na wake za watu wengine kufanya mauwaji je ndivyo biblia ilivyofundisha?
Kisauni hoyee huyu ni mwanangu sanaaa mkumbusheni anamkumbuka gwengweleee street boy
Genius jini ni CHAMPION HASWAAA 🏆💪
Muislam gani unavaa msalaba halafu usituaribie dini hzi Kiki tu muongo sana huyu
Kwa stairi iyo kwann ucseme uislam ni ugaidi … poor guy pole sna jini 💪🏽
Uislam sio ugaidi watu ndo magaidi
@@BablayEagle wanaua kwa ajir ya nan… ???
@@iam_sami kwaajili yao wenyewe na wala uislam auhusian na uhalifu
@@BablayEagle lete fact acha bra bra kwann awajawauwa aowaliofunga akamuua dereva don’t be a follower be a free thinker
@@iam_sami kumbe we mwenyew kilaza asa dereva kauliwa na nani kilichomuua ni kilevi chake istoshe hao ni watu sio dini na mtu anaweza kufanya uhalifu kwa njia yeyote ile mfano kuna kesi nyingi za wachungaji, mapadri waumini wa dini ya kikisto kubaka kutembea na wake za watu wengine kufanya mauwaji je ndivyo biblia ilivyofundisha?
Chaos Bamburi kisauni apa
Kisauni...WAKALI KWANZA
Duu! Nchi za watu tubaki bongo kwetu
Mmmh ❤😂🎉😢😂😂
Muongo makende
Alshabab anawajua kweli!???
😂 kubalii tu anachosema
@@user-cg2zu1wm7r dah kweli..