Maisha nikazi yamungu tusijikatie tamaa yakimaisha ata yatukute matatizo vipi tumkabidhi mungu atayatatua matatizo yetu ata isiwe muda kwamuda unaoutaka wewe ila atayatatua tu pia tusiwe wasiri katika mambo yetu yanayokutatiza maishani mwako tujalibu kubadilishana mawazo mtu mpaka kafia kujinyonga mawazo yashafika mwisho ii nimbaya saana
Inaalilahi wainalilahi rajiuni mwenyezi mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu ampe kauli sabiti na mwezi huu wa ramadhani
Ameen yarabil alamyna
Maisha nikazi yamungu tusijikatie tamaa yakimaisha ata yatukute matatizo vipi tumkabidhi mungu atayatatua matatizo yetu ata isiwe muda kwamuda unaoutaka wewe ila atayatatua tu pia tusiwe wasiri katika mambo yetu yanayokutatiza maishani mwako tujalibu kubadilishana mawazo mtu mpaka kafia kujinyonga mawazo yashafika mwisho ii nimbaya saana
dahaaaaaa msongo wa mawazo m baya sanaaaaaaa
Kabisaa yan we acha tu
2020 ina mambo mengi sana jamani yake mbele sisi nyuma aaaaah😭😭😭😭
Pale unapokuwa na matatizo na ukakosa hata wa kumwambia tuache kakaa na vitu moyoni. Inalillah waiina irayhi rajioun
Duuh mungu amjaalie kauli thabiti
Hilo ni pepo
Mgambo wamekuwa wala rushwa sana tena wamekuwa wakiwasukuma watu kutopesa ata pale haikubaliki. Tena wanaokaa kwenye mageti ya ushuru wa mazao
Mungu wa mbinguni atuhurumie yote kwa yote
Mmesongamana bila tahadhari yoyote
Jamani tuwe serious na hili janga
Mtangazaji nyumba inauzwa hiyo kuwa dalali Sasa tutajie na Bei naona mazingira Ni mazuri kijani kinatawala
Inalilah wainalilah rajuuni
Aisei POLENI sana
Pepo baya sana hilo lakujikatisha uhai
Mmmmh kuna watu wanamatatz lkn huwajui unakuj shtukia tu kashajinynga hujui kapitia wakt gn😯
Innalillahi waina ilaihi rajiun
Ina lilah waina ilaih Rajuun
Innalilah
Wamedhurika hao mume na mke wake, mazingira sio mazuri
R.I.p
Futher investigation please, she has no reason to commit suicide.
How did you know??
@@damariszuckschwert9489 Doesn't make sense that's why I said further investigation 😎
Muache aende akaikute adhabu yake
Maana mtu ukijiua ni dhambi nyingine
RIP
Jomani kwetu kabisa
rip
Najuhazarake anawezajiuwa shetanimutumbaya
Dah jmn
Depression is real
akose mumewearimureteya mafikiri
R. I. P