Kilichotokea RC Makonda Alipoagiza "Mmiliki wa Saccos Akamatwe Awekwe Ndani Kwa Tuhuma za Ut..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2024
- Kilichotokea RC Makonda Alipoagiza "Mmiliki wa Saccos Akamatwe Awekwe Ndani Kwa Tuhuma za Ut..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo - บันเทิง
BIG UP Makonda. Hii nchi imejaa dhuluma na watendaji wa serikali ni sehemu ya tatizo
Mhe.P.Makonda Mungu mkuu akupe hekima zaidi,akulinde katika kila jambo ulifanyalo.
Huyo mdada amejitahid sana kujibu. Nampa hongera
Big up commander Makonda
Mr. Makonda keep on,
Makonda Mungu akupe maisha malefu
Chapa kazi mwamba Makonda kaka yangu nakuelewa
Good leader... Kuna saa unamsikiliza MAKONDA THE PRESIDENT,,, so funny
Tik tv mpo vibaya sana kwenye hii vedio jirekebishe
Mambo niyapendayo Mimi ,,,,, kazi iendelee
Nakuombea sana mtoto wangu Mungu akulinde
Yanyooshe hayo majizi mkuu mi binafsi nakubali unachapa kazi mpaka muda mwingine huwa naomba uhamishiwe huku kwetu Singida mijizi mingi sana ya aina hio
Haswaaaaa!
Makonda hongera, lkn pongezi kwa Rais Samia. Hajakosea kumteua Makonda
Kuteua Jambazi ndio sifa.m, Yeye mwenyewe kapita Nyumba za Wafanyabiashra ndio anajificha kwenye Siasa ili asipelekwe Mahakamani
@@tanzanite9944 du! Jambaz Tena?
Jambazi muuaji 🚮aseme Ben saanane yu wapi
@@MiriamAbdallah mpe maua yake .acha makasiriko binti,,pambana wote hatuwezi kuwa makonda
Piga kazi rais wangu, RIP JPM,ila watakutoa hawa mafisadi, viva makonda
Kwa ushauri ao wananchi wangekaa chini ingekua salama kusukumana ivo na si salama wanawake wanaume wanasokotana
Huyu Makonda ni makelele bmengi kupayuka lakini Hajui mambo ya Financial/Finani Kabisa Ndio sababu haoni hii kesi inakwendaje
Wewe unayejua umesaidia nini ktk hii nchi?
Kwani nchi hii wezi na mafisadi wa mabilioni ya umma ni akina nani?,si ni nyie mnaojifanya mnajua mambo ya Financial/Finance?
Wezi wote ktk nchi hii ni wale wanajifanya wanajua.
Unafanya kazi nzuri sana baba
Nimegundua Nchi inahitaji viongozi wavumilivu wa kusikiliza shida za Watu viongozi wengi hajipi muda wao kutatua shida za Watu
Makonda anastahili Maua yake
Makonda.mimi.baba.yako.nakuombea.dua.usikunamchana.mungu.akupe.maisha.marefu.unatenda.haki.arusha.imepata.muarubaini.wa.matatizo.yao.mungeni.mkono.makonda.wanaarusha
Hii nchi??
Huyu dada yupo vzr
Nchi hii usione watu wanatajirika kwa kuwaibia watu.
Hii chanel inachosha, scrach inakatakata sana. Mtuombe msamaha
sauti hakuna....😊😊
Mimi nasema mambo haya alitajiwa raisi atoe kauli lakini raisi yeye safari kila dey dah
To be honest hana uwezo wa kusikiliza changamoto za wananchi kama hivi
@@emmanuelmayunga1518 Atowe kauli ya nini wakati kila eneo kuna Kiongozi wa Kijiji hadi Mkuu wa Mkoa achilia mbali uongozi wa chama tokea shina hadi Mkoa. Wote hao wanalipwa kwa kodi zetu kwa kazi, ni wao ndio waulizwe wanafanya kazi gani, mpaka kila jambo aseme Rais.
Hii nchi usione watu wanatajirika kwa kuwaibia watu
Hapo saccos wanatakiwa warudishe hati zao halafu TID wambane huyo mwenyew saccos warudishe kwanza hati
Yes! Makonda ni Rais ajaye. 2030 makonda jiandae.
Labda Rais wa Nyumbani kwenu sio Tanzania ya wenye akilini 😊
Eti raisi😂😂😂😂😂😂
@@tanzanite9944 we unavoona hafai? Yaan sis watanzania sijui tupoje? Akitokea mtu anapambana na changamoto za watu HAFAI?
Mama samia tunaomba makonda utuletee lindi huku
Dadahuyuamejitahidi sana juu yao taipi ni wahuni kabisa
Kama TIB ana title deed yenye thamani ya 400ml kwanni Hawa wazee ambao hata TIB haiwatambui wasipewe kadi zao, uhuni kabisa
Kamata huyo mwenyekiti weka ndani tafuta TID bank kuna kaujanja hapo
Sukuma ndani Hao mafisadi
Bad video quality nyie Tiki mjitafakari na kuboresha kazi
Hawajielewi hawa
Nani hao hawajielewi
Sacco imekoroga hawa wazee
😅😅😅😅😅
Hi ni ngumu sana
Mama sule hongera haki yako utapata mama
Wanamchezo mchafu hapa