Kilichotokea RC Makonda Alipoagiza "Mmiliki wa Saccos Akamatwe Awekwe Ndani Kwa Tuhuma za Ut..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2024
  • Kilichotokea RC Makonda Alipoagiza "Mmiliki wa Saccos Akamatwe Awekwe Ndani Kwa Tuhuma za Ut..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 52

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 20 วันที่ผ่านมา +2

    BIG UP Makonda. Hii nchi imejaa dhuluma na watendaji wa serikali ni sehemu ya tatizo

  • @klotildasusuma2220
    @klotildasusuma2220 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mhe.P.Makonda Mungu mkuu akupe hekima zaidi,akulinde katika kila jambo ulifanyalo.

  • @melkizedck
    @melkizedck 23 วันที่ผ่านมา +5

    Huyo mdada amejitahid sana kujibu. Nampa hongera

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 23 วันที่ผ่านมา +4

    Big up commander Makonda

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mr. Makonda keep on,

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 23 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda Mungu akupe maisha malefu

  • @user-dd2bv2ru8y
    @user-dd2bv2ru8y 23 วันที่ผ่านมา +4

    Chapa kazi mwamba Makonda kaka yangu nakuelewa

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt 23 วันที่ผ่านมา +3

    Good leader... Kuna saa unamsikiliza MAKONDA THE PRESIDENT,,, so funny

  • @shamzone388
    @shamzone388 23 วันที่ผ่านมา +2

    Tik tv mpo vibaya sana kwenye hii vedio jirekebishe

  • @user-ei3id7nn5g
    @user-ei3id7nn5g 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mambo niyapendayo Mimi ,,,,, kazi iendelee

  • @user-rr1ri7nw7q
    @user-rr1ri7nw7q 21 วันที่ผ่านมา

    Nakuombea sana mtoto wangu Mungu akulinde

  • @khalidmwakabuta5045
    @khalidmwakabuta5045 23 วันที่ผ่านมา +2

    Yanyooshe hayo majizi mkuu mi binafsi nakubali unachapa kazi mpaka muda mwingine huwa naomba uhamishiwe huku kwetu Singida mijizi mingi sana ya aina hio

    • @melkizedck
      @melkizedck 23 วันที่ผ่านมา +1

      Haswaaaaa!

  • @melkizedck
    @melkizedck 23 วันที่ผ่านมา +3

    Makonda hongera, lkn pongezi kwa Rais Samia. Hajakosea kumteua Makonda

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kuteua Jambazi ndio sifa.m, Yeye mwenyewe kapita Nyumba za Wafanyabiashra ndio anajificha kwenye Siasa ili asipelekwe Mahakamani

    • @melkizedck
      @melkizedck 22 วันที่ผ่านมา

      @@tanzanite9944 du! Jambaz Tena?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 วันที่ผ่านมา

      Jambazi muuaji 🚮aseme Ben saanane yu wapi

    • @selemankumbanga-mo8re
      @selemankumbanga-mo8re 20 วันที่ผ่านมา

      @@MiriamAbdallah mpe maua yake .acha makasiriko binti,,pambana wote hatuwezi kuwa makonda

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 วันที่ผ่านมา

    Piga kazi rais wangu, RIP JPM,ila watakutoa hawa mafisadi, viva makonda

  • @salmarawahy3914
    @salmarawahy3914 20 วันที่ผ่านมา

    Kwa ushauri ao wananchi wangekaa chini ingekua salama kusukumana ivo na si salama wanawake wanaume wanasokotana

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Makonda ni makelele bmengi kupayuka lakini Hajui mambo ya Financial/Finani Kabisa Ndio sababu haoni hii kesi inakwendaje

    • @charlesjohnjohn7953
      @charlesjohnjohn7953 22 วันที่ผ่านมา

      Wewe unayejua umesaidia nini ktk hii nchi?
      Kwani nchi hii wezi na mafisadi wa mabilioni ya umma ni akina nani?,si ni nyie mnaojifanya mnajua mambo ya Financial/Finance?
      Wezi wote ktk nchi hii ni wale wanajifanya wanajua.

  • @lohayyaato465
    @lohayyaato465 23 วันที่ผ่านมา

    Unafanya kazi nzuri sana baba

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 8 วันที่ผ่านมา

    Nimegundua Nchi inahitaji viongozi wavumilivu wa kusikiliza shida za Watu viongozi wengi hajipi muda wao kutatua shida za Watu
    Makonda anastahili Maua yake

  • @sadikishemkai
    @sadikishemkai 23 วันที่ผ่านมา

    Makonda.mimi.baba.yako.nakuombea.dua.usikunamchana.mungu.akupe.maisha.marefu.unatenda.haki.arusha.imepata.muarubaini.wa.matatizo.yao.mungeni.mkono.makonda.wanaarusha

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hii nchi??

  • @user-vn9om8wg2h
    @user-vn9om8wg2h 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada yupo vzr

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi hii usione watu wanatajirika kwa kuwaibia watu.

  • @melkizedck
    @melkizedck 23 วันที่ผ่านมา

    Hii chanel inachosha, scrach inakatakata sana. Mtuombe msamaha

  • @ngumu
    @ngumu 22 วันที่ผ่านมา

    sauti hakuna....😊😊

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi nasema mambo haya alitajiwa raisi atoe kauli lakini raisi yeye safari kila dey dah

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 23 วันที่ผ่านมา

      To be honest hana uwezo wa kusikiliza changamoto za wananchi kama hivi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@emmanuelmayunga1518 Atowe kauli ya nini wakati kila eneo kuna Kiongozi wa Kijiji hadi Mkuu wa Mkoa achilia mbali uongozi wa chama tokea shina hadi Mkoa. Wote hao wanalipwa kwa kodi zetu kwa kazi, ni wao ndio waulizwe wanafanya kazi gani, mpaka kila jambo aseme Rais.

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 22 วันที่ผ่านมา

    Hii nchi usione watu wanatajirika kwa kuwaibia watu

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 22 วันที่ผ่านมา

    Hapo saccos wanatakiwa warudishe hati zao halafu TID wambane huyo mwenyew saccos warudishe kwanza hati

  • @melkizedck
    @melkizedck 23 วันที่ผ่านมา +3

    Yes! Makonda ni Rais ajaye. 2030 makonda jiandae.

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 22 วันที่ผ่านมา

      Labda Rais wa Nyumbani kwenu sio Tanzania ya wenye akilini 😊

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 วันที่ผ่านมา

      Eti raisi😂😂😂😂😂😂

    • @melkizedck
      @melkizedck 20 วันที่ผ่านมา

      @@tanzanite9944 we unavoona hafai? Yaan sis watanzania sijui tupoje? Akitokea mtu anapambana na changamoto za watu HAFAI?

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 23 วันที่ผ่านมา

    Mama samia tunaomba makonda utuletee lindi huku

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa 23 วันที่ผ่านมา

    Dadahuyuamejitahidi sana juu yao taipi ni wahuni kabisa

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 23 วันที่ผ่านมา

    Kama TIB ana title deed yenye thamani ya 400ml kwanni Hawa wazee ambao hata TIB haiwatambui wasipewe kadi zao, uhuni kabisa

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 22 วันที่ผ่านมา

    Kamata huyo mwenyekiti weka ndani tafuta TID bank kuna kaujanja hapo

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 23 วันที่ผ่านมา

    Sukuma ndani Hao mafisadi

  • @clevermlinga3947
    @clevermlinga3947 23 วันที่ผ่านมา +1

    Bad video quality nyie Tiki mjitafakari na kuboresha kazi

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hawajielewi hawa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 23 วันที่ผ่านมา

      Nani hao hawajielewi

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 23 วันที่ผ่านมา +1

    Sacco imekoroga hawa wazee

    • @straitnews3441
      @straitnews3441 22 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😅

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 23 วันที่ผ่านมา

    Hi ni ngumu sana

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 23 วันที่ผ่านมา

    Mama sule hongera haki yako utapata mama

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa 23 วันที่ผ่านมา

    Wanamchezo mchafu hapa