Magoli | Yanga 2-0 Aigle Noir - Siku ya Mwananchi 2020

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Yanga SC yaibuka na ushindi wa kibabe mbele ya wageni Aigle Noir ya Burudani wakihitimisha #WikiYaMwananchi jijini Dar es Salaam.
    Tuisila Kisinda 'TK Master' na Michael Sarpong walihitimisha #SikuYaMwananchi kwa burudani ya aina yake.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

ความคิดเห็น • 151

  • @noelsengua7227
    @noelsengua7227 4 ปีที่แล้ว +15

    Kama umeona kichwa ya Sarpong kama Mimi gonga like hapa mwana jangwani

  • @johanesdeocles6337
    @johanesdeocles6337 4 ปีที่แล้ว +6

    Wataweza kwa yanga hiiii

  • @kabulakabadi227
    @kabulakabadi227 4 ปีที่แล้ว +2

    mambo ni moto yanga kwa sasa....hongeren viongozi kwa usajili

  • @regnaldscolfieldluiz5933
    @regnaldscolfieldluiz5933 4 ปีที่แล้ว +4

    Hii ndio YANGA💚💛💛

  • @jaham4481
    @jaham4481 4 ปีที่แล้ว +1

    Yanga kidoooogo,, kwa mbaaaaaali mmeanja kujaribu👌

  • @jacobsonson4473
    @jacobsonson4473 4 ปีที่แล้ว +5

    Wapee salam daima mbele

  • @kigalinziza2853
    @kigalinziza2853 4 ปีที่แล้ว +1

    I'm a Yanga African's fan now ....Love from Rayon sport FC...Rwanda.

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita1576 4 ปีที่แล้ว +5

    Nilimiss vchwa vya makambovic now sapourng he is nice replacement for makambovicç

  • @sellah4603
    @sellah4603 4 ปีที่แล้ว +4

    Tk master baraka mpenja pepo iyo

  • @biusisaidi2815
    @biusisaidi2815 3 ปีที่แล้ว +2

    Ilove yanga

  • @emmyladogambison7961
    @emmyladogambison7961 4 ปีที่แล้ว +2

    I love u yang African

  • @nurukapoja7759
    @nurukapoja7759 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamani rahaaaaaaaaa

  • @latifamohammed61
    @latifamohammed61 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimewaelewa vijana

  • @zakariathomas9698
    @zakariathomas9698 4 ปีที่แล้ว +1

    Wanaweza

  • @begaca
    @begaca 4 ปีที่แล้ว +4

    Yanga Mbele Kwa Mbele

  • @denisirobati3890
    @denisirobati3890 4 ปีที่แล้ว

    I love you yanga

  • @hlalelemohale7296
    @hlalelemohale7296 4 ปีที่แล้ว +6

    Which soccer league is this, I am from South Africa, but this vibe here is on another level

    • @lemathomas2862
      @lemathomas2862 4 ปีที่แล้ว +2

      Tanzania

    • @hlalelemohale7296
      @hlalelemohale7296 4 ปีที่แล้ว +2

      @@lemathomas2862 thanks br. I like your vibe it's on another level I wish we could have such cheerful crowds at our stadiums!!

    • @paulomavado3736
      @paulomavado3736 4 ปีที่แล้ว +1

      Dar es salaam young African👏👏

    • @otmarykiowi4132
      @otmarykiowi4132 4 ปีที่แล้ว +1

      The united republic of Tanzania.

    • @hlalelemohale7296
      @hlalelemohale7296 4 ปีที่แล้ว

      @@otmarykiowi4132 thanks brother!!

  • @muhutarshalifa9435
    @muhutarshalifa9435 4 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ndoo yanga

  • @barakasaid6045
    @barakasaid6045 3 ปีที่แล้ว

    Wao wanasemaje

  • @ombenibebe9136
    @ombenibebe9136 4 ปีที่แล้ว +1

    This makes me that no corona in Africa

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +1

    Hlo gol la kwanza la kawaida Sanaaaa 😂😂😂 Tukutane trh 18-10-2020

    • @omaryommy404
      @omaryommy404 4 ปีที่แล้ว +1

      La pili

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว

      @@omaryommy404 hlo la pil ngoja nmulze kwanza Mwalimu KASHASHA 😂😂😂

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 4 ปีที่แล้ว +1

      @@ferouzmasoud4741 loooooooooooo

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว

      @@rehemaconeriocostance9011 Luuuuuuuuuuuuu 😂😂😂

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว

      @@julianaemmanuel4998 😂😂😂😂

  • @jumafundi2762
    @jumafundi2762 4 ปีที่แล้ว +1

    Juma daudi fundi

  • @yusuphzakaliaalon9436
    @yusuphzakaliaalon9436 3 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana

  • @tausiramadhan6979
    @tausiramadhan6979 4 ปีที่แล้ว

    Yanga oyeee

  • @verokigabo9570
    @verokigabo9570 4 ปีที่แล้ว +1

    Wape salamuuu

  • @alexanderkimbeho1098
    @alexanderkimbeho1098 4 ปีที่แล้ว +2

    Mweeeee hakuna kitu

  • @shaameshaame2136
    @shaameshaame2136 4 ปีที่แล้ว +3

    ww unaeshangaa kuwa kadi nyepesi ulitaka apewe rangi gani ya kadi ? njano alishapewa mbili au ulitaka apewe na bluu. tatizo la kuanza kupenda timu kabla ya kupenda mpira linawasumbua.

    • @begaca
      @begaca 4 ปีที่แล้ว

      SUMU JOMBAAAA

  • @frowinkondamwali3902
    @frowinkondamwali3902 3 ปีที่แล้ว +1

    Kila nikirudia kuangalia hii mechi tukubali tukatae Yanga tumepigwa misumari kwa hivi tunavtosheza sasa!!

  • @paulchamba6768
    @paulchamba6768 4 ปีที่แล้ว +1

    YANGA ni asili yao kucheza pasi ndefu na na Simba asili yao kucheza pasi fupifupi....msimu huu tutaona mengi mazuri

  • @elizaatilio180
    @elizaatilio180 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii ndo Yanga

  • @aminakipingu7957
    @aminakipingu7957 4 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nacheka Simba tu awashindi mpaka morison awasaidie😹😹😹😹

    • @modojsoza6273
      @modojsoza6273 4 ปีที่แล้ว

      Huna cha kukoment

    • @amirhassan5618
      @amirhassan5618 4 ปีที่แล้ว +1

      Na zile NNE aliwafunga Morrison?? Yani hapo tu ndo unapoyumba mkewangu.

    • @simonshija2476
      @simonshija2476 4 ปีที่แล้ว

      kwa maan hiyo tuseme jana ukimtoam hawakushida, au yanga wamesheza mechi mbili arusha na dar es salaam maana wanadai bado ni mchezaji wao!!!!!

  • @wilsonkahamba8806
    @wilsonkahamba8806 4 ปีที่แล้ว

    Hatalii

  • @chingatz4894
    @chingatz4894 4 ปีที่แล้ว +3

    Roho yake ni muhimu unawezezqje kudaka kichwa icho

  • @nelsonshoo537
    @nelsonshoo537 4 ปีที่แล้ว

    Wape salaaam...

  • @ombenibebe9136
    @ombenibebe9136 4 ปีที่แล้ว +3

    SARPONG SARPONG

  • @neemaijuma9536
    @neemaijuma9536 4 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @victajospht4835
    @victajospht4835 4 ปีที่แล้ว +2

    Simba bwana hawakosagi sababu

  • @ashufaamlalila
    @ashufaamlalila 4 ปีที่แล้ว

    Timu ya Wanainchi!!!

  • @Ndayaki
    @Ndayaki 4 ปีที่แล้ว +3

    Unfair red card

  • @mamutz5479
    @mamutz5479 3 ปีที่แล้ว +1

    Yanga Amna ki2 mechi ya kilafiki mnapata 2. Kweli jamani

    • @fanikiwamhapa4236
      @fanikiwamhapa4236 3 ปีที่แล้ว

      Kuna timu inachezaga taifa mechi ya kirafiki kutoka nje na kupigwa hapo hapo,,wanalipa malazi yote,wana walisha chakula,mwishowe wanafungwa

  • @saidicharles3628
    @saidicharles3628 2 ปีที่แล้ว

    yanga vs simba

  • @wiliamanthon6857
    @wiliamanthon6857 3 ปีที่แล้ว

    hyooo ndoo tmuu

  • @geophreyjustine4135
    @geophreyjustine4135 4 ปีที่แล้ว +1

    Yanga bhn ety mechi ya kirafiki na card nyekundu wapi na wapi

    • @bongomanlevocatus4411
      @bongomanlevocatus4411 4 ปีที่แล้ว

      Kama hautaki kuwepo kad et kigezo ni mchezo wa kilafiki bx na walefa wasiwepo tumia akili unapo fikilia kitu cha kuandika

    • @mathiasmsese6128
      @mathiasmsese6128 4 ปีที่แล้ว

      Kwa hit=yo walikua wanatumia sheria gani. mtani ww utakua unashabikia pool table watu wa mpira wanaelewa

    • @geophreyjustine4135
      @geophreyjustine4135 4 ปีที่แล้ว

      Bongoman nakuona umepata moto vp umepika makande na huo moto wako

    • @geophreyjustine4135
      @geophreyjustine4135 4 ปีที่แล้ว

      Mathias 😂😂😂😂😂😂😂😂nimepita zangu

    • @triplea3463
      @triplea3463 4 ปีที่แล้ว

      Kila team ioneshe taji lake baada ya kushinda jana

  • @omarabdalahubwa8970
    @omarabdalahubwa8970 4 ปีที่แล้ว +3

    Kama sio kad wangewaumbua watu leo

    • @aminakipingu7957
      @aminakipingu7957 4 ปีที่แล้ว +3

      Bila msaada warisoni Simba nae ashindi😂😂😂😂

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 4 ปีที่แล้ว +1

      Na mababu zenu do shida sana kiukweli

    • @isackkamuga5665
      @isackkamuga5665 4 ปีที่แล้ว

      Kwani walianza wakiwa pungufu?

    • @brightbeatus8312
      @brightbeatus8312 4 ปีที่แล้ว +1

      Wangefunga hata moja tujue kwamba wangeumbua watuu, ushabiki mwingine duu

    • @samsonnishimwe9845
      @samsonnishimwe9845 4 ปีที่แล้ว

      Yanga mbona hawajaanza kufunga mapema kabla yakadi, kiukweri aigle noir ingefunga yanga. Wangeleta refa wakigeni.

  • @nurukapoja4524
    @nurukapoja4524 3 ปีที่แล้ว +1

    Roho yakeee muhimu hahaha hi ndo yanga

  • @dennisisaya8858
    @dennisisaya8858 4 ปีที่แล้ว

    Ya

  • @omarabdalahubwa8970
    @omarabdalahubwa8970 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmeshindwa kuwafunga mpaka wapungue kwa red team ndogo Kama hii

    • @ezemanvlogs8987
      @ezemanvlogs8987 4 ปีที่แล้ว

      Timu ndongo inajikaza namna hio wakati ninusu?

  • @anethshio497
    @anethshio497 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwahiyo TFF inabidi waongeze kanuni kuwa timu yoyote ikicheza na Uto FC italazimika wapunguze mchezaji mmoja.

    • @aboubackhrkassangullah3377
      @aboubackhrkassangullah3377 4 ปีที่แล้ว

      Cku zote mjinga upinga ukerelekwa na yasomuusu

    • @anethshio497
      @anethshio497 4 ปีที่แล้ว

      @@aboubackhrkassangullah3377 rudi shule kwanza ukautoe huo Ujinga ulionao ndo uje uandike hiyo comment yako upya kwa ufasaha, sawa? 😎

    • @jacksonnchimbi308
      @jacksonnchimbi308 4 ปีที่แล้ว

      Na nyinyi matozi fc tff waweke kanuni mkicheza na timu yeyote penalties,na offside yote yawe magori yenu

    • @anethshio497
      @anethshio497 4 ปีที่แล้ว

      @@jacksonnchimbi308 hiyo siku nyingi ilishapitishwa rejea mechi ya Simba 3 - 2 Namungo msimu uliopita uwanja wa Taifa.....

  • @tinawash513
    @tinawash513 4 ปีที่แล้ว

    Waooo

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda 4 ปีที่แล้ว

    Hii kadi nyekundu sio halali

  • @ben-ally.jr.7611
    @ben-ally.jr.7611 4 ปีที่แล้ว

    👋🏻👋🏻

  • @SamuelJoshua7
    @SamuelJoshua7 4 ปีที่แล้ว +2

    Simba wamepewa penati mapena Kama walivo zoea kwahonga marefa acha yanga ipete

  • @juniorchilongola2191
    @juniorchilongola2191 4 ปีที่แล้ว

    Mikia kama kawaida mapovu

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 ปีที่แล้ว +5

    Hii team ilikuwa na uwezo wa kukataa kucheza mpira baada ya mchezaji wao kupewa Red Card maana hii team ilikuwa imearikwa tu kuja kucheza mchezo wa kirafiki katika tamasha la wananchi ila mchezo huu ulikuwa hautambuliki katika Fifa au Tff hivyo basi hii Team ilitumia tu uungwana kukubaliana na maamzi ya refari lakini walitakiwa wasusie game yaani waseme hakuna umuhimu wa kuendelea kucheza.
    Kwa nini nayasema haya?mpira wa kirafiki ambao hautambuliwi na shirikisho la soka fifa au tff yaani haupo kwenye kalenda yeyote ile mara nyingi inatakiwa marefari wanaochezesha mpira ule basi wawe waungwana wa kutumia kuonya wachezaji nasio kutoa Red Card inayoweza kuharibu ladha ya mpira lakini yote ya yote Yanga wameonesha combination nzuri na sasa goja tusubiri ligi ianze ili tuone zaidi.

    • @yassinhassan7288
      @yassinhassan7288 4 ปีที่แล้ว +1

      Umeeandika maandishi malefu chaa jabu bado na baki na maswal kwaiyo kwasababu mech ya kilafiki mtu akikosea aazibiwe kilafiki we uwon kama watu wengi wanamuangalia uyu muamuz

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 4 ปีที่แล้ว

      @@yassinhassan7288 anajua bas anacho ongea, siwale waropokaji au ujawazoea ndug yngu

    • @allymngwaya1369
      @allymngwaya1369 4 ปีที่แล้ว

      Labda hufahamu mpira. Mechi ikianza kichezwa inaongozwa na sheria 17 za FIFA kwa hiyo hata kama friendly match lazima izingatie sheria zote

    • @johanneskayanda7260
      @johanneskayanda7260 4 ปีที่แล้ว

      Akili yako haiko sawa mpira ni mpira Shelia zote 17 zinafuatwa kweli we kaoge maji ya nazi iliyo oza akili italudi

    • @gabrielisack7786
      @gabrielisack7786 4 ปีที่แล้ว

      @@yassinhassan7288 unaelewa nini kuhusu adhabu?sheria 17 za soka zinafuatwa na kila team lakini kwenye mchezo wa kirafiki licha ya kufuata sheria 17 lakini refari hana ulazima wa kutoa red card na kama huamini ninachokiongea basi fuatilia game zote ambazo hazikuwa registered kwenye fifa au tff halafu uone kama kuna red card ilitolewa zaidi ya kuonywa kwa maneno tu,refari wa mchezo wa Yanga hana taaluma maana alistahili kutoa adhabu nyingine nasio alivyofanya.

  • @Tanurulafikra2410
    @Tanurulafikra2410 4 ปีที่แล้ว

    hamna kitu hapo mmesubili jamaa wamepunguzwa kwa card nyekundu, ndo mkafunga tena magori mawili tu. je wangekuwepo wote

  • @jovinusmodest8257
    @jovinusmodest8257 3 ปีที่แล้ว

    Feisar

  • @jumongmuhudhari3932
    @jumongmuhudhari3932 3 ปีที่แล้ว

    Jym

  • @rtizoonlinetv
    @rtizoonlinetv 4 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/nuiFTuqdPxM/w-d-xo.html
    Tazama mashabiki wa Yanga Walivyofunga mtaa

  • @wilsonshija3456
    @wilsonshija3456 4 ปีที่แล้ว

    Xaw

  • @shabanimagitah9546
    @shabanimagitah9546 4 ปีที่แล้ว

    Bongo la striker.

  • @almachiusjohn7394
    @almachiusjohn7394 4 ปีที่แล้ว

    Yang amna ki2

  • @htrseif9346
    @htrseif9346 4 ปีที่แล้ว

    😀😀😀

  • @didakta7011
    @didakta7011 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndo sababu hamna referee wa Tanzania katika CAF na michuano yao

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwahyo apo ww ulitaka afanye nn?

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 4 ปีที่แล้ว +1

      Umefata nini huku mkia wewe

    • @didakta7011
      @didakta7011 4 ปีที่แล้ว

      Mchezo wa kirafiki haifai kadi nyekundu kwani si mashindano

    • @mwalimfikirini9204
      @mwalimfikirini9204 4 ปีที่แล้ว

      @@didakta7011 kakwambia nan kama baadh ya sheria za mpira hazitumiki kwenye frend match achen ushabik wa kishamba kwan lazma wote mupende football michezo ipo ming

    • @footmobonline
      @footmobonline 4 ปีที่แล้ว

      Watu wasiojua sheria 17 za mpira wanaropokaga tu.
      Kwahiyo friend match haitakiwi kufata sheria, sio?

  • @BikehySaiboytz
    @BikehySaiboytz 4 ปีที่แล้ว

    Amejitaidi

  • @fatumakiondo4060
    @fatumakiondo4060 4 ปีที่แล้ว

    Calos karinyo

  • @graphilo6849
    @graphilo6849 4 ปีที่แล้ว +3

    WELCOME TO
    UNITED VAN DE BEEK
    th-cam.com/video/sG00ItWqKkY/w-d-xo.html

  • @jackisonmasawa6340
    @jackisonmasawa6340 4 ปีที่แล้ว

    Jackison

  • @paulchamba6768
    @paulchamba6768 4 ปีที่แล้ว

    Wanaojua mpira Kama washabiki wa Simba ni lazima waogope saanaaa maana hwa wachezaji wa YANGA wakikaa pamoja ndani ya miezi miwili tu Basi hawatashikika tenaaa

    • @otmarykiowi4132
      @otmarykiowi4132 4 ปีที่แล้ว +2

      Wakati wanakaa hiyo miezi 2 wengine watakuwa wamelala?

    • @paulchamba6768
      @paulchamba6768 4 ปีที่แล้ว +2

      @@otmarykiowi4132 hawatakuwa wamelala na kwa mtazamo wangu mpaka sasa Simba wanakikosi Bora kuliko YANGA ila baada ya wachezaji wa YANGA kuzoeana ubora wa YANGA utazidi ule wa Simba.....ni mtazamo wangu tu......nawe pia uwe huru kuwa na mtazamo wako ili baadae tuje kuulizana Nani alikuwa na mtazamo sahihi uliomletea majibu sahihi ya kikosi Bora......

    • @triplea3463
      @triplea3463 4 ปีที่แล้ว

      @@paulchamba6768 kwa hio unajipa moyo😆

  • @babsheby2964
    @babsheby2964 4 ปีที่แล้ว

    💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @onlinemoney599
    @onlinemoney599 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli yanga Hamna kitu,
    jamaa wamepewa kadi nyekundu mapema eti mnashinda goli mbili tu.... Simba Baba laooooo......

    • @abubakarnabahani4994
      @abubakarnabahani4994 4 ปีที่แล้ว

      Mkikutana na sisi ndio mtatutambua

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 4 ปีที่แล้ว +1

      Nyoookoooooolinyooooo keng wew wivu tu

    • @solemba595
      @solemba595 4 ปีที่แล้ว

      @Daniel Kulyama unajua sheria 17 za soka? Ukipewa kadi za njano mbili inakuwaje? Usiongelee kiushabiki Kabla ya kuwa na elimu na unachosema, kujifunza sio Dhambi rudi darasani.

    • @zahordinjakobo4978
      @zahordinjakobo4978 4 ปีที่แล้ว

      Hili cyo bonanza mama weeee

    • @rehemaconeriocostance9011
      @rehemaconeriocostance9011 4 ปีที่แล้ว

      @@solemba595 elimu yenywewe anayo basi

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 4 ปีที่แล้ว

    Itakufurahisha hii hapa👇
    th-cam.com/video/3nxmUvZawZw/w-d-xo.html
    toa comment yako baada ya kuangalia

  • @djmarkmadvd1615
    @djmarkmadvd1615 4 ปีที่แล้ว +1

    xxx

  • @gracekavishe8251
    @gracekavishe8251 4 ปีที่แล้ว

    Dogo sele

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 4 ปีที่แล้ว

    Mmebebwa

  • @alexanderkimbeho1098
    @alexanderkimbeho1098 4 ปีที่แล้ว +1

    Mweeeee hakuna kitu